Ndege ya Precision Air imepata ajali katika Ziwa Victoria Bukoba, Kagera asubuhi hii ambapo Mashuhuda wanasema ajali hii imetokana na Ndege hiyo kupata hitilafu wakati ikitua,RPC Kagera amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na wanaendelea na juhudi za uokozi.

Share To:

Post A Comment: