Mwenge wa Uhuru mwaka 2022 umeanza kukimbizwa leo katika Halmashauri ya mji wa Babati.

Ukiwa Mjini Babati unatarajiwa kuweka mawe ya msingi Katika miradi mitatu na kuzindua mitatu yenye thamani ya Bilioni 14.6.

Mwenge wa Uhuru mjini Babati utakimbizwa Kwa umbali wa kilomita 87.

Kauli mbiu ya mwenge wa uhuru mwaka 2022 "Sensa ni msingi wa Mipango ya maendeleo,shiriki kuhesabiwa tuyafikie maendeleo endelevu ya taifa".




Share To:

JUSLINE

Post A Comment: