Nilidhani ilikuwa ni zawadi ya kawaida tu. Doli nzuri, ya rangi laini, macho yanayong’aa kama mtoto halisi. 

Nilinunua nikiwa na furaha, nikitaka kumfurahisha mtoto wangu aliyekuwa akililia sana doli kwa muda mrefu. Hakuna hata sekunde moja niliwaza kuwa uamuzi huo mdogo ungegeuka kuwa mwanzo wa hofu kubwa katika familia yetu.

Siku za mwanzo kila kitu kilionekana kawaida. Mtoto alikuwa akicheza na doli yake, akiizungumza kana kwamba ni rafiki wa karibu. 

Lakini nilianza kugundua mabadiliko madogo yaliyonitia wasiwasi. Alianza kukataa kulala peke yake, akilia ghafla usiku bila sababu ya msingi, na mara nyingine akiniambia anaogopa “rafiki yake”.

Nilipoanza kuchukulia mambo hayo kama ndoto za watoto, hali ilibadilika kabisa. Usiku mmoja nilisikia doli likianguka sakafuni wakati hakuna mtu aliyeligusa. 

Siku nyingine nililikuta limebadili mkao, macho yameelekea mlangoni kana kwamba linatazama kitu. Soma Zaidi.....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilinunulia-mtoto-doli-ambayo-ilirudi-kutuhangaisha-sisi-wote-njia-hii-ndio-iliyotuokoa/
Kilichoniumiza haikuwa matusi, wala si maneno ya kunidharau. Kilichoniumiza ni kwamba niliona watu wakinichukia bila sababu. Waliokuwa wakinisalimia kwa tabasamu walianza kunitazama kwa macho ya ajabu.

Niliitwa majina niliyoshangaa. Kazini, nilionekana kama tatizo, hata kabla sijasema neno. Nilijitahidi kujitathmini. Nilijiuliza kama nilimkosea mtu, kama nilisema jambo baya, au kama nilibadilika bila kujitambua.

Lakini jibu lilikuwa lilelile hapana. Hakukuwa na kosa la wazi. Chuki ilionekana kuibuka ghafla, ikinisonga kutoka kila upande. Kilichonishangaza zaidi ni kwamba hata watu niliowasaidia waligeuka kuwa wa kwanza kuniongelea vibaya.

Urafiki wa miaka uliisha kwa kimya. Nilipokaribia, walijitenga. Nilipozungumza, walinikatiza. Nilihisi kama kuna kitu kinanifuata, kisichoonekana lakini chenye nguvu.
Usiku nilikaa nikiwaza. Hofu ilinivamia.

Nilianza kujitenga mwenyewe kwa sababu nilihisi kama kuwepo kwangu kulikuwa kero. Ilifikia hatua niliogopa hata kufungua simu au kutoka nje. Hapo ndipo nilijua hili halikuwa jambo la kawaida. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/niliona-watu-wakigeuka-dhidi-yangu-bila-sababu-baadaye-nikagundua-chanzo-cha-chuki-isiyoelezeka/

Haikuchukua mwezi. Haikuwa hata mchakato wa muda mrefu. Ilikuwa wiki moja tu wiki moja iliyonivua kila kitu nilichokuwa nikijivunia. 

Kazi niliyopigania kwa miaka iliniponyoka bila maelezo. Biashara ilianza kuporomoka ghafla. Marafiki walinitenga kimya kimya.

Ndani ya siku saba, maisha yangu yalibadilika kuwa magofu. Nilikuwa naamka kila asubuhi nikiwa na matumaini kuwa leo mambo yatanyooka. Badala yake, kila siku ilileta pigo jipya. Simu zilinyamaza.

Milango ilifungwa. Kila nilipopiga hatua mbele, nilihisi kama kuna mkono usioonekana unanisukuma nyuma. 

Nilianza kujiuliza, “Nimekosea nini?” lakini sikupata jibu.
Kilichoniumiza zaidi si kupoteza mali, bali kupoteza mwelekeo.

Nilikuwa nahisi nimeachwa katikati ya jangwa. Usiku sikuwa nalala. Mawazo yalikuwa mazito kuliko usingizi. 

Nilianza kuamini labda huu ndio mwisho wangu kwamba nilizaliwa kwa bahati mbaya. Nilijaribu kuomba ushauri kila mahali.

Wengine waliniambia nivumilie, wengine waliniambia ni bahati mbaya tu. Lakini ndani yangu nilihisi hili halikuwa jambo la kawaida. 

Anguko lilikuwa la haraka mno, la ghafla mno, na bila sababu inayoonekana. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoteza-kila-kitu-kwa-wiki-moja-lakini-njia-moja-ilinirudisha-kwenye-maisha-tena/
Sikuwahi kufikiria kuna siku nitaogopa kioo. Nilikuwa mtu wa kawaida, mwenye afya, mwenye ndoto na mipango. Lakini polepole, mambo yalianza kubadilika bila maelezo.

Nilikuwa nachoka bila kufanya kazi ngumu, usingizi haukuwa usingizi, na kila asubuhi niliamka nikiwa mzito kama mtu aliyebeba mzigo usioonekana. Watu walidhani labda ni msongo wa mawazo au uchovu wa maisha.

Nilijiambia pia hivyo. Lakini ndani yangu nilihisi kuna kitu kinanivuta chini. Kila siku nguvu zangu zilipungua. Kumbukumbu zilianza kunipotea. 

Nilianza kujitenga. Nilikuwa nahisi kama nipo lakini sipo. Siku moja usiku, nikiwa nimechoka kupita kiasi, nilienda bafuni kuosha uso.

Nilipoangalia kwenye kioo, niliishiwa pumzi. Suruali ilikuwa yangu, uso ulikuwa wangu lakini macho hayakuwa yangu. 

Kulikuwa na ukavu, uzito, na kitu cha kutisha ambacho sikuwahi kujiona nacho. Nilipiga hatua nyuma kwa hofu. Ndani ya moyo wangu nilijua, hiki si uchovu wa kawaida.

Kuanzia hapo, hali ilizidi kuwa mbaya. Nilianza kusikia mawazo yasiyo yangu. Nguvu za kufanya maamuzi zilinitoka. 

Kila nilipojaribu kusali au kujifariji, nilihisi kuzidi kudhoofika. Ilikuwa kama kuna kitu kinanyonya uhai wangu taratibu, bila kelele. Soma Zaidi.........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoteza-nguvu-zangu-polepole-mpaka-kioo-kilipoonyesha-kitu-ambacho-sikuwa-mimi/
Kwa muda mrefu, kila usiku nilikuwa nikilia macho, nikijikuta nikiwa nimezama kwenye ndoto zisizoeleweka. 

Ndoto hizi hazikuwa za kawaida; mara nyingi zilikuwa na nyuso zisizo za watu niliowafahamu, sauti zisizo za kawaida, na hali ya kuogofya isiyoelezeka.

Nilipojaribu kuamka, moyo wangu ulikuwa ukikimbia. Nilianza kupoteza usingizi mzuri, na siku za kazi zilikuwa ngumu sana, kwani hofu iliyokuwa ndani yangu iliendelea kunishikilia.

Nilijaribu kila kitu; kutoka kwa kutulia akili kwa kufanya mazoezi ya kupumua, hadi kujaribu tiba za kawaida za usingizi, lakini hakuna kilichonisaidia.

Nilijikuta nikipoteza furaha na amani yangu ya ndani, na kila siku ilikuwa changamoto ya kisaikolojia na kihisia. Nilihisi nimefungwa kwenye mzunguko usio na mwisho wa hofu na ndoto zinazoniweka chini ya shinikizo. Soma Zaidi.........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipokuwa-nikiona-ndoto-zinanikamata-hatua-nilizochukua-ili-kuishi-bila-hofu-na-kutambua-siri-zilizofichika/



Na Oscar Assenga, MKINGA


WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi wa Maji Mkinga – Horohoro kuhakikisha wanafanya kazi usiku na mchana kuukamilisha kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma ya maji safi na salama.

Aweso aliyasema hayo leo wakati wa halfa ya Mapokezi ya Vitendea kazi (Mabomba) vitakavyotumika katika utekelezaji wa Mradi wa Maji Mkinga-Horohoro ambao unagharimu kiasi cha Bilioni 35.



Halfa hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanga Uwasa,Dkt Ally Fungo,Mkurugenzi wa Tanga Uwasa Mhandisi Geofrey Hilly,Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Lugongo pamoja na watumishi wa Tanga Uwasa,Ruwasa,Viongozi wa CCM na wananchi wa eneo la Manza.

Alisema kutokana na kwamba mradi huo ni muhimu kwa wananchi ambao wanakabiliwa na changamoto ya maji hivyo wahakikishe unakamalika kwa wakati na ujenzi wake uwe tofauti uende na maji katika maeneo yanayolazwa mabomba nao wapate maji.



“Tunajua tuna miradi mingi sana lakini nikuombe Katibu Mkuu utoe fedha ili mradi huo ukamilike kwa wakati ili wana Mkinga waweze kupata huduma ya maji safi na salama”Alisema



“Kama mnakumbuka tulimleta Rais Dkt Samia Suluhu aliweke kuweka jiwe la msingi kukamilika kwake tumuombe Rais aje kuzindua mradi huu wa Mkinga sababu ndio muasisi na ndio aliyweka jiwe la msingi”Alisema

Waziri Aweso aliwataka wafanye kazi hiyo kwa uadilifu na uaminifu ili kuhakikisha hiyo kazi inakamilika na wana Mkinga waweze kupata maji safi na salama



Hata hivyo Waziri huyo alimuahidi Mbunge wa Jimbo la Mkinga Twaha Mwakiojakwamba watafanya kazi kuhakikisha wanakamilisha mradi huo kutokana na kwamba wapo baadhi ya watumishi wanaishi Tanga kutokana na changamoto ya maji wakikamilisha mradi huo watapata maendeleo makubwa.


Alisema maendeleo hayo yatapatikana kwa wana Mkinga na wawekezaji mbalimbali watakwenda kuwekeza hiyo kazi wameibeba na kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha mradi unakamilika.



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Gilbert Kailima alisema wanaishukuru Serikali kutokana na kwamba mradi huo ni mkombozi mkubwa kwa wananchi wa wilaya ya Mkinga na utaondoa adha kubwa ya Maji.


Alisema wanamshukuru Rais kwa kutoa kipaumbele sana katika mradi huo na ndio maana alikuja kuweka jiwe la Msingi katika mradi huo na kuhaidi watajitahidi kusimamia mradi huo kwa karibu kwa kushirikiana na Tanga Uwasa ili utekelezwe kwa wakati ili uanze kufanya kazi kama Rais anavyotamani iwe pamoja nawe.



Aidha alisema katika wilaya hiyo wana miradi mengine mikubwa iliyopo wilayani humo ikiwemo wa Gombero, Mapatano, Muhinduro na Bamba Mwarongo yote ni mikubwa ambayo Serikali chini ya Wizara ya Maji inaendelea kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wake na ipo katika hatua mbalimbali.


“Kutokana na kwamba umefika leo tunaomba nayo hii miradi waone namna gani inaweza kuisha kwa wakati kama ambavyo wananchi wa Mkinga wanatamani iwe tunaimani sana na utendaji wako na katibu mkuu wa wizara ya Maji “Alisema.


Alitoa wito kwa wananchi wa wilaya hiyo kutoa ushirikiano kwa mkaandarasi ambaye atatoa huduma ya usambazaji wa maji katika mradi huo na kuhakikisha vifaa vyake havihujumiwi badala yake wawe walinzi ili kufanya kazi yake vizuri.

Naye kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Twaha Mwakioja alisema kwamba katika taifiti iliyofanywa changamoto kubnwa inawakabili zaidi ya wananchi asilimia 80 wamelalamikia hali ya upatikanaji wa maji.



Alisema kwamba mradi huo kabla ya kuanza kutekelezwa wastani wa upatikanaji wa maji katika wilaya ya Mkinga ni asilimia 60 mpaka 69 hivyo wana imani mradi huo utakapokamilika upatinaji wa maji utafika zaidi ya asilimia 88 mradi huo ni mkombozi mkubwa kwao.



Aidha alisema kwamba mradi huo utakakamilika zaidi ya vijiji 37 vinakwenda kupata maji safi na salama ya uhakika na Serikali imeweka fedha nyingi ili kuhakikisha unakamilika ili wananchi waweze kuondokana na adha ya maji.



“Mhe Waziri tunaomba mradi huu kwa maana umesuasua kwa mude mrefu kama unavyotambua upo nyuma zaidi ya miaka miwili na ifikapo julai mradi uwe umekamilika hivyo tunashukuru na wananchi wana mategemeo makubwa sana “Alisema



Mwisho

 


Na OWM - TAMISEMI 

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe amemuelekeza Mkandarasi MCB Company LTD, Mbeya University of Science and Technology kukamilisha ujenzi wa Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro ifikapo Julai 2026.

Prof. Shemdoe ametoa maelekezo hayo leo  Januari 17, 2026 mjini Morogoro, wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua  miradi ya maendeleo  ambapo alianza ukaguzi  wa mradi huo wa Jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro,  ambao ulianza kutekelezwa rasmi Mei 27, 2022 na ulitakiwa kukamilika Mei 26, 2024.

“Ninaelekeza mwezi Julai jengo liwe limekamilika, kwani fedha ipo, Mshauri Elekezi ambaye ni Wakala wa Majengo upo na Mkandarasi upo,” amesisitiza Prof. Shemdoe.

Sanjari na hilo, amemtaka Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mhe. Adam Malima kutomuongezea muda mkandarasi iwapo atashindwa kukamilisha ujenzi wa jengo hilo, na kuelekeza atafutwe mkandarasi mwingine atakayekamilisha jengo hilo kwa wakati.

Prof. Shemdoe amemuhimiza Mshauri Elekezi TBA kuhakikisha anatekeleza wajibu wake kikamilifu na kuahidi kurejea mwezi Julai ili kujiridhisha iwapo maelekezo yake yametekelezwa, na kuongeza kuwa mwaka 2022 alishuhudia ujenzi wa msingi wa jengo hilo  la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro akiwa ni Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais-TAMISEMI. 

Aidha, amemtaka Mshitiri ambaye ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Mussa Ali Mussa kukutana na Mshauri Elekezi TBA pamoja na Mkandarasi MCB Company Limited ili kuandaa mpango kazi wa kukamilisha ujenzi wa jengo hilo na kuuwasilisha kwake ndani ya wiki moja.

Kwa upande wake, Msanifu Majengo Bw. Justine Katabaro kutoka kampuni ya MCB Company Ltd iliyopewa kandarasi amesema kuwa wamepokea maelekezo ya Prof. Shemdoe ya kukutana na mshitiri pamoja mshauri elekezi ili kuandaa mpango kazi utakaowezesha kukamilisha ujenzi wa jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa Morogoro na kulikabidhi mwezi Julai, 2026.

Awali akitoa taarifa ya ujenzi, Mhandisi Khamadu Kitunzi kutoka TBA amesema jengo hilo ni la ghorofa  tatu (3), ambapo sakafu ya chini imetengwa kwa ajili ya maegesho ya magari ya watu mashuhuri na ofisi ya madereva na sakafu ya kwanza na ya pili imetengwa kwa ajili ya ofisi za watumishi na ukumbi huku sakafu ya tatu ikitengwa kwa ajili ya Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Ofisi ya Katibu Tawala wa Mkoa.









Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba leo Januari 17, 2026 ameongoza kikao cha kazi kuhusu ujenzi wa miradi ya barabara za haraka (Express Ways) kwa ubia kupitia mfumo wa PPP.

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara, Kilimo na Mifugo imeipongeza Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) kwa utendaji kazi mzuri, maendeleo na mabadiliko makubwa yanayoonekana katika utoaji wa huduma kwa wananchi.

Pongezi hizo zimetolewa leo tarehe 16 Januari, 2026, katika Ofisi za Bunge jijini Dodoma na Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Mhe. Deodatus Mwanyika (Mb), baada ya Kamati kupokea Taarifa ya Muundo na Majukumu ya BRELA iliyowasilishwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA, Bw. Godfrey Nyaisa.

Mhe. Mwanyika amesema kuwa, licha ya kazi nzuri inayoendelea kufanywa na BRELA, bado kuna changamoto ya wafanyabiashara na wamiliki wa kampuni wengi kutohuisha taarifa za kampuni zao kupitia mfumo wa BRELA. Ameeleza kuwa tatizo hilo ni kubwa, lakini wananchi wengi hawalitambui ipasavyo.

“Hili tatizo ni kubwa lakini wengi hawalielewi; wengi wana kampuni lakini hawajahuisha taarifa za kampuni hizo,” amesema Mhe. Mwanyika.

Kutokana na hali hiyo, Mhe. Mwanyika ameielekeza Wizara ya Viwanda na Biashara kufanya utafiti na kutathmini namna ya kuboresha mfumo wa uhuishaji wa taarifa za biashara na kampuni, ili kuja na mfumo wezeshi, unaoongeza ufanisi na kuharakisha utoaji wa huduma.

Aidha, Mwenyekiti huyo amesisitiza umuhimu wa kuhuisha taarifa za biashara na kampuni, akitoa wito kwa wafanyabiashara kuchukua hatua hiyo kwa hiari na kwa wakati.

“Kuhuisha taarifa ni jambo jema, na ni muhimu tukalifanye,” amesisitiza.

Kwa upande wake, Afisa Mtendaji Mkuu wa BRELA, Bw. Godfrey Nyaisa, amesema kuwa Wakala itaendelea kutoa elimu kwa Waheshimiwa Wabunge kupitia Kamati hiyo ili kuwajengea uelewa mpana kuhusu majukumu ya BRELA pamoja na mifumo ya kidijitali inayotumika katika utoaji wa huduma.

Bw. Nyaisa ameeleza kuwa, pamoja na mafanikio yaliyopatikana, uelewa mdogo wa wananchi kuhusu matumizi ya mifumo ya kidijitali bado ni miongoni mwa changamoto zinazokwamisha urasimishaji wa biashara na utoaji wa leseni.

Amefafanua kuwa mfumo wa BRELA ni rafiki kwa mtumiaji na unajieleza wenyewe, hivyo kumwezesha mwananchi kujisajili moja kwa moja bila usumbufu.

“Mfumo wa BRELA ni rafiki kwa mtumiaji na unajieleza wenyewe, hivyo humwezesha mtu kuingia moja kwa moja na kusajili kampuni yake bila usumbufu,” amesema Bw. Nyaisa.

Ameongeza kuwa BRELA inaendelea kutoa elimu kwa wananchi ili kuwahamasisha kufahamu kuwa mchakato wa usajili wa biashara, kampuni na utoaji wa leseni si mgumu kama inavyodhaniwa.

Amebainisha kuwa katika mapitio ya sheria yanayoendelea, BRELA inapendekeza kutambuliwa rasmi kwa Mawakala wa Usajili wa Kampuni, ili kusaidia wananchi wanaokutana na changamoto wakati wa usajili.

“Lengo ni kuhakikisha mwananchi akikwama, anapata msaada kutoka kwa watu wanaotambulika na kuaminika,” amesisitiza Bw. Nyaisa.

Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Mheshimiwa Petro Magoti akiwa kwenye picha ya pamoja na Mtendaji Mkuu wa ADEM, Dkt. Maulid J. Maulid, Katibu Tawala wa Wilaya ya Kisarawe pamoja na Mwakilishi wa Madiwani wa Mkoa wa Pwani, mara baada ya kufunga mafunzo kwa Waheshimiwa Madiwani.
Nilikuwa nikilala kwa amani ya kawaida, lakini siku moja mambo yakaanza kuwa tofauti. Kila usiku, sikitazama saa, nilisikia nyayo zisizo za kawaida zikitembea karibu na kitanda changu. Sauti za kupiga kelele, kuomba, na kunialika zikiningia, nikitishiwa bila kuona mtu yeyote.

Nilijaribu kupumzika, kuacha kufikiria, lakini hofu haikupungua. Kila siku ilipita, hali ikawa mbaya zaidi. Nilianza kuhofia kuendelea kuishi kama kawaida. Ndoa yangu ilianza kushindwa, usingizi wangu ukawa wa usiku tu.Soma Zaidi........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jinsi-nilivyopata-pete-ya-ulinzi-baada-yakusikia-nyayo-zikitembea-na-sauti-zikiniita-usiku-bila-kuona-mtu/
Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi maisha ya kawaida juu juu. Kila kitu kilionekana sawa. Lakini nyuma ya pazia, kulikuwa na mambo mengi yaliyokuwa hayapigi kelele. Familia yetu ilikuwa imegubikwa na migogoro isiyoeleweka. Chuki zisizo na chanzo.

Wagonjwa wa mara kwa mara. Watoto waliokuwa na hofu bila sababu. Nilidhani ni mikosi ya kawaida ya maisha. Kadri nilivyokua, nilianza kuona muingiliano wa ajabu. Kila aliyekuwa anajaribu kusonga mbele, alirudi nyuma. Ndoa zilikuwa hazidumu.

Biashara zilikuwa zinafungwa ghafla. Kila sherehe ilimalizika kwa machozi. Nilipouliza wazee, walinyamaza. Kulikuwa na siri nzito iliyokuwa haizungumzwi. Ukweli ulianza kujitokeza taratibu. Ndoto zilianza kunijia. Ndoto zilizojaa sura za watu niliowajua.

Majina ya waliokufa yakitajwa. Ahadi za zamani nilizokuwa sizijui. Hapo ndipo nilipoanza kuogopa. Nilihisi kama kuna kitu kinatutawala kimya kimya bila sisi kujua. Nilipokutana na Kiwanga Doctors ndipo nilianza kuelewa nilichokuwa nikikabiliwa nacho.

Walinieleza kuwa familia yetu ilikuwa imefungwa katika mzunguko wa ushirikina wa kizazi. Soma Zaidi........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipofahamu-ushirikina-usioonekana-kwenye-familia-yangu-kila-nilichojuwa-kilikuwa-kinaogopesha/
Kila mara nilipopata pesa, ndoto zangu za kuishi kwa utulivu zilikuwa zikidhoofika. Nilijaribu kuokoa kila shilingi, lakini mara zote zilikuwa zikitoweka kwa sababu ambazo sikuwa nafahamu.

Nilijikuta nikiwa nimeshikwa na hofu isiyoelezeka kila nikipokea kipato changu. Hii haikuwa maisha niliyotarajia, na kila siku nilipita nilijiona nikishindwa. Nilijaribu njia mbalimbali za kifedha.

Nilipanga bajeti, nilijitahidi kuepuka madeni, hata hivyo, kila kitu kilikwama. Nilijitahidi kufanyia biashara ndogo ndogo, lakini mara nyingi matokeo yalikuwa hafifu.

Nilihisi kama kila kitu kilikuwa kimefungwa kimya kimya. Kulikuwa na wakati nilifikiri nilikuwa nimeshaanza kushindwa kabisa.
Ndipo nilipoona sina budi kutafuta msaada wa kiroho. Soma Zaidi........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/kila-nilipopata-pesa-zilikuwa-zikitoweka-sababu-nilizoigundua-ilinishtua/
Nilikuwa nimekaa mbali na mume wangu kwa muda, kwa sababu ya kazi. Nilifikiria kuwa uhusiano wetu ungeendelea kama kawaida, kila mmoja akijali nafasi ya mwingine. Lakini siku moja, taarifa zisizotarajiwa zilisogea kwangu kama radi.

Nilipogundua ukweli, moyo wangu ukatetemeka na hofu ilijaa ndani ya nafsi yangu. Nilihisi kutetema kila sehemu ya mwili wangu, na akili zangu hazikuamini kilichokuwa kikiendelea.

Kila hatua niliyopiga kujaribu kupata ukweli, ilikuwa kama kuingia kwenye giza.

Nilijaribu kuzungumza na watu wa karibu, lakini walinipa maoni tofauti. Nilihitaji msaada wa dhahiri, suluhisho linaloweza kurekebisha hali hii kabla ya kuharibu kila kitu tulichojenga.Soma Zaidi........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mwanamke-alifichuliwa-akifanya-mapenzi-na-mume-wangu-nikiwa-niko-mbali-kilichofuata-kilinishtua/

Siku hiyo nilifikiria kuwa ni ya kawaida. Nilikuwa nimechoka na masuala ya familia na kazi, nikihitaji muda wa kupumzika na kutulia. Nilipofika kwenye lodging, hakuwa na dalili yoyote ya kile kilichokuwa kikiwasubiri.

Nilifungua mlango, na macho yangu hayakuamini kile nilichokiona. Kwa kinyume cha matarajio yangu, mama yangu alikuwa pale, na kilichonivunja moyo zaidi, alikuwa anakutana kimapenzi na babake binti yangu.

Mwili wangu ukatetemeka, moyo ukalia ndani ya kifua changu, na uso wangu ukajaa hofu na mshtuko. Nilihisi dunia kuzunguka na kila kitu kilionekana kisicho halisi. Nilijaribu kusema kitu, lakini sauti haikutoka.

Siku zote niliamini familia yetu ilikuwa salama na ya amani, lakini sasa nilijikuta katika hadithi ya kushangaza, isiyo ya kawaida na isiyokuwa ya kufikirika. 

Nilihitaji suluhisho haraka, njia ya kurekebisha hali bila kuharibu kila kitu zaidi ya kile kilichokuwa kimedhoofisha familia. Soma Zaidi......https://kiwangadoctor.com/kiswahili/drama-yatokea-baada-ya-mama-kumfumania-bintiye-na-babake-kwenye-lodging/


Mkurugenzi Mkuu wa Shirika  la Uwakala wa Meli Tanzania- TASAC Bw. Mohamed Salum leo tarehe 16 Januari, 2026 amehitimisha  rasmi mafunzo kwa watumisi wapya 25 yaliofanyika katika ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa Mwalimu Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam. 

Wakati akifunga mafunzo hayo, Mkurugenzi Mkuu amewaasa watumishi hao kuzingatia maadili ya utumishi wa umma,  nidhamu ya kazi, ushirikiano na ubunifu katika kazi. 

“Ndugu watumishi, napenda kuwakumbusha na kuwasisitiza kuhusu umuhimu wa kuzingatia maadili katika utumishi wa umma, nidhamu kazini, ushirikiano na kuendelea kujifunza kwakuwa Sekta ya usafiri kwa njia ya maji inakuwa kwa kasi sana  kutokana na mabadiliko ya kiteknolojia” amesema Bw. Salumu.

Pia, amewasihi kuzingatia kanuni na miongozo katika kutekeleza majukumu yao. 


“Napenda mtambue yakuwa mmepewa dhamana kubwa na serikali hivyo ni vema kuzingatia Kanuni, Sheria, Taratibu na Miongozo mbalimbali inayosimamia utumishi wa Umma ikiwa ni pamoja na kutunza siri, nidhamu na utii kwa viongozi wa serikali, kuendeleza mashirikiano, kutoa huduma bora kwa wateja, kulinda mali za Shirika pamoja na kufuata sheria na miongozo inayoongoza utekelezaji wa majukumu ya TASAC.  

Mwisho Mkurugenzi Mkuu aliwakaribisha watumishi wapya TASAC na kuwatakia utekelezaji mwema wa Majukumu yao.

Mafunzo yalikuwa ya siku 14 ambapo watumishi hao wali kabidhiwa vyeti vya ushiriki na kukaribishwa katika utumishi wa umma.