Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilitabasamu mbele za watu, lakini moyoni sikuwa sawa. Changamoto za maisha zilikuwa zimeanza kuongezeka mmoja baada ya mwingine.
Kulikuwa na matatizo ya kifamilia, presha za kifedha, na mambo mengine mengi yaliyokuwa yakinifanya nifikirie kupita kiasi kila siku. Mwanzoni nilijaribu kuvumilia.
Nilijiambia kwamba hali ile ingepita yenyewe. Lakini kadri muda ulivyopita, nilianza kugundua kwamba sikuwa yule mtu niliyemzoea zamani. Kwa kweli nilibadilika. Nilianza kupoteza hamu ya kufanya mambo niliyokuwa napenda.
Mara nyingi nilikuwa nataka kukaa peke yangu. Furaha yangu ilipungua, na hata kuzungumza na watu wa karibu kulianza kuwa jambo gumu. Kilichoniumiza zaidi ni kupoteza kujiamini. SOMA ZAIDI.
Kulikuwa na matatizo ya kifamilia, presha za kifedha, na mambo mengine mengi yaliyokuwa yakinifanya nifikirie kupita kiasi kila siku. Mwanzoni nilijaribu kuvumilia.
Nilijiambia kwamba hali ile ingepita yenyewe. Lakini kadri muda ulivyopita, nilianza kugundua kwamba sikuwa yule mtu niliyemzoea zamani. Kwa kweli nilibadilika. Nilianza kupoteza hamu ya kufanya mambo niliyokuwa napenda.
Mara nyingi nilikuwa nataka kukaa peke yangu. Furaha yangu ilipungua, na hata kuzungumza na watu wa karibu kulianza kuwa jambo gumu. Kilichoniumiza zaidi ni kupoteza kujiamini. SOMA ZAIDI.
Post A Comment: