Maumivu ya mgongo na misuli yalikuwa sehemu ya kila siku yangu. Kila asubuhi niliamka nikiwa nimechoka, na kila hatua ilinichosha. Nilijaribu dawa za maduka, lakini matokeo yalikuwa madogo.

Nilihisi kama hakuna suluhisho lolote, na kila siku ilikuwa ni vita mpya ya kuhimili maumivu. Nilijaribu mazoezi madogo na kupumzika mara kwa mara. Lakini maumivu hayakupungua.

Nilihisi kama mwili wangu ulikuwa unanikataa. Hisia za hofu na wasiwasi zilikuwepo kila wakati. Nilijua lazima nifate suluhisho ambalo lingefanya mabadiliko ya kweli.Soma Zaidi.
Share To:

Post A Comment: