Nilipoajiriwa kazini, nilikuwa na ndoto kubwa. Nilifanya kazi kwa bidii, nilikuwa mtu wa kwanza kufika na wa mwisho kutoka. Kila jukumu nililopewa nililitekeleza kwa uaminifu na kujituma.
Nilitarajia juhudi zangu zingeonekana, lakini mwaka wa kwanza ulipita bila mabadiliko yoyote. Nilijipa moyo nikijua labda muda wangu ulikuwa bado haujafika.
Mwaka wa pili ukaanza, na hali ikawa ile ile. Watu niliowafundisha wakaanza kupandishwa vyeo. Wengine waliokuwa na muda mfupi kazini wakawa wakubwa wangu. Nilikuwa nashangaa, nilikuwa naumia kimya kimya.
Kila nilipouliza, niliambiwa “endelea kujituma, muda wako utafika.” Lakini ndani yangu nilihisi kuna kitu kinazuia maendeleo yangu. Nilianza kupoteza motisha. Nilijiuliza kama kweli nilikuwa na thamani kazini pale.
Heshima yangu kazini ilianza kushuka, na hata nyumbani mawazo yalinizidi. Nilikuwa nafanya kazi, lakini matunda ya kazi hayakuonekana. Ilifika hatua nikahisi kama ninafungwa, kana kwamba kuna mkono usioonekana unaozuia maendeleo yangu. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilifanya-kazi-kwa-miaka-mbili-bila-kupata-promotion-ila-nilijitafutia-hiyo-promotion-mwenyewe/
Post A Comment: