Faru Rajabu enzi akiwa hai


Faru Rabaju amefariki usiku wa kuamkia leo Machi 21, 2022 akiwa na miaka 43. Faru Rajabu ni mtoto wa Faru John ambaye naye alifariki mwaka 2015.

Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) limetoa taarifa.


Share To:

Post A Comment: