Waziri wa afya Ummy Mwalimu na Mbunge wa Jimbo la Tanga (CCM) akizungumza mara baada ya kufanya ziara ya kutembelea Kituo cha Afya Makorora leo kushoto mwenye koti ni Mganga Mfawidhi wa Kituo cha Afya Makorora Neema Charles 
Waziri wa afya Ummy Mwalimu na Mbunge wa Jimbo la Tanga (CCM) kushoto akikisistiza jambo kwa Mfamasia wa Kituo cha Afya Makorora Glory Urio wakati wa ziara yake kwenye kituo hicho
Waziri wa afya Ummy Mwalimu na Mbunge wa Jimbo la Tanga (CCM) kushoto akikagua dawa kwenye Kituo cha Afya Makorora wakati wa ziara yake 

 

Share To:

TANGA RAHA BLOG

Post A Comment: