TIMU za Jeshi la Polisi Tanzania zikiwa katika mazoezi katika viunga vya
Chuo Kikuu cha Kenyata Jijini Nairobi nchini Kenya baada ya kuwasili
tayari kwa mashindano ya michezo ya Wakuu wa Majeshi ya Polisi kwa
Nchi za Kanda ya Afrika Mashariki 2019 (EAPCCO GAMES), michezo
inayofanyika Nchini Kenya.

Katika mashindano hayo, Jeshi la Polisi Tanzania linashiriki katika
michezo ya mpira wa miguu, mpira wa kikapu, kareti, judo, taekwondo,
vishale, riadha, kuvuta kamba na ulengaji wa shabaha. Mwaka jana
2018 michezo hiyo ilifanyika nchini Tanzania, ambapo Jeshi la Polisi
Tanzania liliibuka mshindi wa pili katika matokeo ya jumla.
 Timu ya mchezo wa Judo ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwa katia mazoezi
katika viunga vya Chuo Kikuu cha Kenyata Jijini Nairobi nchini Kenya
baada ya kuwasili tayari kwa mashindano ya michezo ya Wakuu wa
Majeshi ya Polisi kwa Nchi za Kanda ya Afrika Mashariki 2019 (EAPCCO
GAMES), michezo inayofanyika Nchini Kenya.
 Timu ya mchezo wa kareti ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwa katia mazoezi
katika viunga vya Chuo Kikuu cha Kenyata Jijini Nairobi nchini Kenya
baada ya kuwasili tayari kwa mashindano ya michezo ya Wakuu wa
Majeshi ya Polisi kwa Nchi za Kanda ya Afrika Mashariki 2019 (EAPCCO
GAMES), michezo inayofanyika Nchini Kenya.
 Timu ya mpira wa kikapu ya Jeshi la Polisi Tanzania ikiwa katia mazoezi
katika viunga vya Chuo Kikuu cha Kenyata Jijini Nairobi nchini Kenya
baada ya kuwasili tayari kwa mashindano ya michezo ya Wakuu wa
Majeshi ya Polisi kwa Nchi za Kanda ya Afrika Mashariki 2019 (EAPCCO
GAMES), michezo inayofanyika Nchini Kenya.
Timu ya wanariadha wa Jeshi la Polisi Tanzania ikiwa katia mazoezi
katika viunga vya Chuo Kikuu cha Kenyata Jijini Nairobi nchini Kenya
baada ya kuwasili tayari kwa mashindano ya michezo ya Wakuu wa
Majeshi ya Polisi kwa Nchi za Kanda ya Afrika Mashariki 2019 (EAPCCO
GAMES), michezo inayofanyika Nchini Kenya.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: