Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabasi Mwakalukwa akiagana na meneja wa ushirikiano wa BBC Media Action, Agnes Kayuni mara baada ya kumaliza mazungumzo na watendaji wa BBC Media Action leo alipo watembelea ofisini kwao kwa lengo la kuimarisha ushirikiano. (Picha na Jeshi la Polisi)
Studio Meneja wa shirika la utangazaji la BBC, Peter Mfalila akimuonesha Msemaji wa Jeshi la Polisi nchini, Kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Barnabasi Mwakalukwa namna studio ya BBC Dar es salaam inavyofanya kazi. (Picha na Jeshi la Polisi
Share To:

msumbanews

Post A Comment: