Aliyekuwa  Mkurugenzi  wa  Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC), Tido Mhando amefikishwa katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar leo kwa tuhuma za matumizi mabaya ya madaraka wakati akiwa TBC.

==>Habari Kamili inakuja
Share To:

msumbanews

Post A Comment: