MOROGORO, September 14, 2026: The journey to equip girls with the digital skills, confidence and opportunities they need to participate in the technology-driven future has moved to Morogoro.

Following the official launch of the UNESCO-BNU ICT Clubs programme in Dodoma on September 7, 2026, UNESCO, in collaboration with Beijing Normal University (BNU) and the Government of the United Republic of Tanzania, today launched the Morogoro phase of the initiative, which will run from September 14 to 18, 2026.

The programme is being implemented under the UNESCO-BNU project, “Closing the Digital Divide: Ensuring Gender-Transformative Digital Skills Education for Women and Girls,” aimed at addressing the gender gap in digital education and expanding opportunities for women and girls to participate meaningfully in the digital economy and technology sector.

The Morogoro phase builds on the experience gained in Dodoma, where participating students were introduced to practical digital learning and innovation through ICT Clubs.

Rather than limiting technology education to theory, the programme gives girls opportunities to learn by doing—developing skills in coding, computational thinking, problem-solving, digital creativity, visual and audio content production, and the safe and responsible use of technology.

The experience in Dodoma demonstrated the value of creating spaces where girls can explore technology, ask questions, experiment with ideas and develop solutions to real-life challenges.

More importantly, the initiative seeks to nurture confidence and aspiration, enabling girls to see technology not simply as something they consume or use, but as a field in which they can create, innovate and build careers.

Speaking during the Morogoro launch, UNESCO Tanzania Head of Education Sector, Dr Faith Shayo, encouraged girls to take advantage of the opportunities provided through the ICT Clubs and to challenge perceptions that technology-related learning and careers are primarily for boys.

She emphasized the importance of creating learning environments where girls feel confident to experiment, make mistakes, ask questions and develop their abilities in technology.

The message is clear: girls should not only be users of technology; they should also be creators, innovators and future leaders in the digital world.

FROM LEARNING TO CREATING

Through the ICT Clubs, students are expected to gain practical experience while developing creativity, collaboration, problem-solving and leadership skills.

The programme will also connect girls with women ICT professionals through mentorship, giving them opportunities to learn from their experiences and gain a broader understanding of education, employment and career pathways in the technology sector.

For a girl writing her first line of code, developing a digital idea or using technology to solve a community problem, such experiences can represent more than a new skill.

They can be the beginning of a new ambition.

The ambition to become a programmer, engineer, developer, digital creator, entrepreneur, innovator—or a future leader in technology.

ICT INNOVATION BOOTCAMP STARTS TOMORROW

The Morogoro programme continues tomorrow, September 15, 2026, with an ICT Innovation Bootcamp at Kilakala Secondary School, a girls’ school.

The Bootcamp will provide participants with hands-on opportunities to strengthen their digital skills, develop innovative ideas and work collaboratively on technology-based solutions to real-life challenges in their communities.

The activities will reinforce the programme’s emphasis on practical learning, creativity and innovation, while encouraging girls to explore their potential in ICT.

The Morogoro activities will continue through September 18, 2026.

A SHARED COMMITMENT

The initiative is being implemented in collaboration with the Ministry of Education, Science and Technology (MoEST), the Prime Minister’s Office – Regional Administration and Local Government (PMO-RALG), and the Tanzania Institute of Education (TIE).

Across Dodoma and Morogoro, the programme is expected to strengthen ICT Clubs in 20 public schools, directly benefiting 500 girls and 40 teachers.

The ICT Clubs are intended to provide safe, inclusive and supportive learning environments where students can develop digital skills, creativity, leadership and collaboration, while gaining greater awareness of opportunities in ICT-related education and careers.

As the programme moves from Dodoma to Morogoro, the goal remains the same: to ensure that girls are not left behind in the digital transformation.

They must have the opportunity to learn technology.

They must have the confidence to use it.

They must have the freedom to create with it.

And they must have the opportunity to build their future through it.

From Dodoma to Morogoro, the journey continues—one girl, one skill and one digital opportunity at a time.

The future of technology needs girls. Let us give them the skills, confidence and opportunity to build it.

#UNESCO #BNU #GirlsInICT #ICTClubs #DigitalSkills #DigitalEducation #GirlsInTechnology #ClosingTheDigitalDivide #Morogoro #Tanzania

Jina langu ni Halima. Kuingia kwenye ndoa na kuishi miaka nenda rudi bila kupata mtoto ni jaribu zito linaloweza kumvua mwanamke amani, heshima, na furaha ya moyo wake.

Kwa zaidi ya miaka saba tangu niolewe, tulikuwa tukihangaika usiku na mchana mimi na mume wangu kutafuta mtoto wa kulea na kumpa upendo wetu, lakini tumbo langu lilibaki tupu.

Maneno ya chini chini kutoka kwa ndugu, kejeli za majirani, na mabadiliko ya taratibu kutoka kwa mume wangu yalianza kuninyonga nafsi.

Kila nilipotembea mtaani nilionekana kama mtu mwenye mikosi, na hofu ya ndoa yangu kuvunjika au mume wangu kuamua kuoa mke mwingine ilikuwa ikinikesha usiku kucha na machozi.

​Nikiwa kwenye simanzi nzito na kupoteza matumaini ya kuwahi kuitwa “mama”, bibi yangu mzaa mama alinitembelea kijijini.

Baada ya kunikuta nikiwa nimejikunyata kwa huzuni, alinishika mkono na kunieleza kwa dhati kuwa matatizo mengi ya uzazi na vifungo vya tumbo hutibiwa na kupona kabisa kwa kutumia tiba za asili na mitishamba ya babu zetu. SOMA ZAIDI.
Jina langu ni Hassan. Kufanya kazi kwa bidii na kujitoa kwa moyo wote katika kampuni au asasi kwa miaka mingi bila kuonekana thamani yako ni jambo linalokata tamaa na kuua morali ya maisha.

Kwa zaidi ya miaka nane, nilikuwa nikijituma usiku na mchana katika nafasi yangu ya kazi, nikitimiza wajibu wangu kwa uaminifu mkubwa na hata kufanya kazi za ziada ili kuleta matokeo mazuri.

Hata hivyo, kila fursa ya kupandishwa cheo au kuongezwa mshahara ilipowadia, mabosi wangu walinipita na kuwapa nafasi hizo watu wapya au wale waliokuwa na majungu na fitina.

Nilibaki nikitazama wenzangu wakipiga hatua, huku mimi nikiishia kupokea mshahara mdogo usiotosheleza hata mahitaji ya msingi ya familia yangu.

​Nikiwa kwenye majuto na msongo mkubwa wa mawazo nikifikiria kuacha kazi, kaka yangu mkubwa alinitembelea.

Baada ya kumsimulia dhuluma na kusahaulika huko kazini, alinieleza kwa huruma kuwa mara nyingi hali ya kuziba kwa nyota ya mafanikio na kutoonekana thamani kazini hutokana na fitina za kishirikina au vifungo kutoka kwa wafanyakazi wenzako wenye wivu. SOMA ZAIDI.
Jina langu ni Asha. Kufikisha miaka ya ukubwani bila kuwa na mwenzi wa maisha wala dalili za kuanzisha familia ni jaribu linaloweza kukuletea simanzi na kukuondolea furaha ya nafsi.

Kwa miaka mingi, nilikuwa nikitamani kupata mtu mwenye mapenzi ya dhati wa kujenga naye maisha ya ndoa, lakini kila mahusiano niliyoyaanzisha yalikuwa yakiishia njiani bila sababu za msingi.

Wanaume walijitokeza na kuahidi mambo makubwa, lakini punde tu walipopata walichotaka, walipoteza hamu na kutoweka kabisa, wakiniacha na maumivu moyoni na maswali yasiyo na majibu.

Nilibaki nikishinda na huzuni huku marafiki zangu wote wakifunga ndoa na kupata watoto, mimi nikionekana kama mtu aliyeandikiwa kuishi peke yake.

​Nikiwa kwenye majuto na kuanza kukata tamaa kabisa ya kupata mume wa ndoto zangu, shangazi yangu aliyekuwa akitambua mateso yangu ya muda mrefu alinitembelea.

Baada ya kumweleza jinsi nilivyokuwa nikidhulumiwa kimapenzi na kuachwa, alinieleza kwa huruma kuwa mara nyingi mkosi wa kukataliwa au kukosa bahati ya ndoa hutokana na vifungo vya kishirikina na mikosi ya kimaisha iliyowekwa ili kukuharibia nyota yako. SOMA ZAIDI.
CHUO Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kinatarajiwa kuwa mwenyeji wa Mkutano wa Mwaka wa 2026 wa Alliance for African Partnership (AAP), utakaowakutanisha viongozi wa vyuo vikuu, wanazuoni, watunga sera, wabunifu, sekta binafsi na washirika wa maendeleo kutoka Afrika na sehemu mbalimbali duniani.
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Chuo cha Elimu ya Biashara (CBE) kimeanzisha programu mbili mpya za shahada zinazolenga kuwaandaa vijana kuwa wataalamu wenye ujuzi wa kimataifa, teknolojia na uwezo wa kutatua changamoto za kiuchumi na kijamii.

 


Na: OWM – TAMISEMI, Kilwa – Lindi

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezielekeza Wilaya na Halmashauri zote nchini kuhakikisha zinafanya kazi ya kuzibua mitaro na mifereji ya maji ili kujiandaa na kukabiliana na athari zinazoweza kusababishwa na mvua za El Niño zinazotarajiwa kunyesha kuanzia mwezi Oktoba 2026 hadi Februari 2027, kufuatia tahadhari iliyotolewa na Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania.

Prof. Shemdoe ametoa maelekezo hayo Septemba 13, 2026 akiwa Somanga, wilaya ya Kilwa, katika siku ya kwanza ya ziara yake ya kikazi mkoani Lindi, yenye lengo la kukagua utekelezaji wa miradi ya maendeleo, kuhimiza uwajibikaji kwa viongozi na watumishi wa umma katika Mamlaka za Serikali za Mitaa, kusikiliza na kutatua kero za wananchi pamoja na kuwahamasisha kushiriki katika shughuli za maendeleo.

Prof. Shemdoe amewataka Wakuu wa Wilaya, Wakurugenzi wa Halmashauri na Mameneja wa TARURA Wilaya nchini kote, kuhakikisha wanashirikiana na taasisi nyingine katika kujiandaa na kuwa na utayari wa kukabiliana na athari za mvua za El Niño kwa kuhakikisha miundombinu ya kupitisha maji inakuwa katika hali nzuri na inakidhi mahitaji.

“Nimuelekeze Meneja wa TARURA Wilaya ya Kilwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilwa kushirikiana na wananchi kuzibua mifereji ya maji iliyoziba ili kipindi cha mvua za El Niño maji yasipate nafasi ya kuchepuka na kuvamia makazi ya wananchi na kuleta madhara,  Mkuu wa Wilaya ya Kilwa simamia jambo hili,” amesisitiza Prof. Shemdoe.

Katika hatua nyingine, akijibu ombi la wananchi wa kata ya Kinjumbi la kujengewa kwa kiwango cha lami 

barabara ya Kinjumbi yenye urefu wa kilomita 30, Prof. Shemdoe amesema ujenzi wa barabara hiyo kwa kiwango cha lami utachukua muda mrefu, hivyo amemuelekeza Meneja wa TARURA kufanya tathmini ya gharama za kuikarabati kwa kiwango cha changarawe na kuwasilisha gharama hizo ofisini kwake ili bajeti ya fedha za matengenezo itumike kuikarabati na kuiwezesha kutumika muda wote.

Maelekezo ya Prof. Shemdoe kwa wilaya na halmashauri kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El Niño ni sehemu ya utekelezaji wa maelekezo yaliyotolewa katika kikao kazi  Septemba 11, 2026 na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Deogratius Ndejembi, aliyezitaka Wizara, Mamlaka na Taasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka za kujiandaa ili kuzuia na kupunguza athari zinazoweza kusababishwa na mvua hizo zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba 2026.

Aidha, maelekezo hayo ya Prof. Shemdoe kwa wilaya na halmashauri kujiandaa kukabiliana na athari za mvua za El Niño ni muendelezo wa hatua za utekelezaji wa maelekezo ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ya kuboresha usafi wa mazingira katika miji na majiji, aliyoyatoa Septemba 2, 2026 wakati akiwaapisha Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala aliowateua Agosti 27, 2026.

Akizungumza kwa niaba ya wananchi wa Somanga, mkazi wa kata ya Somanga, wilaya ya Kilwa, Bw. Hashimu Omary Changadua, ameishukuru na kuipongeza Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuwajengea shule mbili za sekondari, soko la kimkakati na kituo cha afya, pamoja na kutekeleza miradi mbalimbali ya maendeleo inayolenga kuboresha maisha ya wananchi.

Mara baada ya kuzungumza na wananchi wa Somanga, Prof. Shemdoe aliendelea na ziara yake kwa kutembelea na kukagua ujenzi wa ghala la kuhifadhia mazao linalojengwa na halmashauri ya Kilwa, pamoja na ujenzi wa soko la wajasiriamali wadogo katika kijiji cha Njianne, kata ya Tingi, katika halmashauri hiyo.
















Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) imekabidhi pikipiki kwa Kamati ya Watumia Maji Ngazi ya Jamii (CBWSO) ya MIMAKI, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya, kwa lengo la kuongeza ufanisi katika utoaji na usimamizi wa huduma za maji kwa wananchi.

 Ikiwa taifa liko katika juhudi za kujenga jamii yenye maadili, amani, mshikamano na uwajibikaji, Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) limetakiwa kuendelea kutumia nafasi yake katika kuimarisha misingi hiyo na kushiriki kikamilifu katika maendeleo ya taifa.

Wito huo umetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rose Mary Senyamule, wakati wa ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa 6 wa Wachungaji wa KKKT unaofanyika katika Ukumbi wa Chimwaga, jijini Dodoma.

Senyamule amesema Serikali inatambua na kuthamini mchango wa KKKT katika maendeleo ya taifa, ikieleza kuwa kwa miaka mingi kanisa hilo limekuwa mshirika muhimu katika utoaji wa huduma mbalimbali za kijamii.

Amesema huduma hizo ni pamoja na elimu, afya, malezi ya vijana, huduma kwa watu wenye mahitaji maalum pamoja na misaada ya kijamii na juhudi za kupambana na umaskini.

 Senyamule amesema pamoja na huduma za kijamii, KKKT imeendelea kuwa mdau katika shughuli za kiuchumi na uwekezaji, huku viongozi wa dini wakiwa na nafasi ya kipekee katika kujenga maadili mema, kudumisha amani na kuimarisha umoja wa kitaifa.

“Viongozi wa dini tunatambua kuwa mnaaminika sana na wananchi kuliko taasisi na watu wengine. Kwa sababu hiyo, mafundisho na matendo yenu yanaweza kuleta mabadiliko makubwa katika familia, jumuiya na taifa kwa ujumla,” amesema.

Amesema taifa linahitaji viongozi wa dini wanaoweza kuwa sauti ya matumaini na faraja kwa wananchi, hususan wale wanaopitia changamoto mbalimbali za maisha.

Senyamule amewataka wachungaji na viongozi wa dini kwa ujumla kuendelea kuwa sauti ya faraja kwa wenye huzuni, matumaini kwa waliokata tamaa na msaada kwa watu walio katika mazingira magumu.

Katika eneo la malezi, amesema kuna umuhimu wa kuimarisha malezi ya kiroho na kimaadili, hasa kwa watoto na vijana, ili kuwaandaa kuwa kizazi chenye maadili, uwajibikaji na uwezo wa kushiriki kikamilifu katika ujenzi wa taifa.

Aidha, amewataka wachungaji kuendelea kutoa elimu inayowajenga wananchi katika nyanja za kiroho, kijamii na kiuchumi, huku wakihimiza wananchi kufanya kazi kwa bidii, kutumia fursa zilizopo na kushiriki katika shughuli halali za maendeleo.

“Imani iendelee kusambaa sambamba na matendo yanayoleta ustawi wa mtu binafsi, jamii na taifa kwa ujumla,” amesema.

Mkutano Mkuu wa 6 wa Wachungaji wa KKKT umehusisha wachungaji kutoka Dayosisi 28 za KKKT na umefunguliwa na Mkuu wa KKKT, Askofu Alex Malalusa.

Mkutano huo unatarajiwa kuendelea hadi Septemba 17, 2025, ukiwa na lengo la kujadili masuala mbalimbali yanayohusu huduma ya kanisa, malezi ya kiroho na nafasi ya kanisa katika jamii na maendeleo ya taifa.



Mashindano  ya Soka ya Kiruswa Jimbo Cup yanayoandaliwa kila mwaka na Naibu Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Longido Mkoani Arusha,Dkt Steven Kiruswa yameingia msimu wa sita na kuendelea kufana kila mwaka na mwaka huu timu 51 zimeshiriki mashindano hayo kutoka katika tarafa nne wa wilaya hiyo yenye wakazi wengi vijana wa jamii ya kifugaji ya Kimasai.

Naibu Waziri huyo alisema hayo baada ya uzinduzi rasmi wa mashindano ya Kiruswa Jimbo Cup mwaka huu na kusema kuwa mwaka  yatafanikiwa zaidi kwani waandaji wamejipanga kuhakikisha kila kitu kinakwenda sawa na  vijana kuchukuliwa kwenda katika ligi za madaraja mengine ya juu timu za huko ili waweze kuiwakilisha vema Longido.

"Sasa mwakani ntakuja kivingine  nataka iwatoe vijana wa kiume na kike wa hapa  Longido kwenda kupata fursa za kimaisha kupitia michezo na kujikita katika michezo zaidi na kuacha mara moja kujikita katika ujambazi, madawa na ulevi"alisema Kiruswa

Naye Mwenyekiti wa Chama Cha Soka Wilaya ya Longido(LDFA) Obeid Mollel amesema Kiruswa Jimbo Cup ni mashindano yanayokuwa mwaka hadi mwaka na vijana wengi wamefanikiwa kusajili katika timu za ngazi mbalimbali Mkoa na ligi daraja la pili na kwanza baada kuonyesha vipaji vyao katika mashindano hayo. 

Mollel alisema timu zote shiriki zimepewa seti moja ya jezi na mpira na washindi watapata zawadi ya fedha taslimu na medali ila mwakani utaratibu utabadilika kwa kuongeza zawadi ya fedha kuwa nono na timu zilizoshika nafasi tatu za juu zitapewa jezi na mpira na sio timu zote kama ilivyokuwa sasa hiyo ni kuongeza ushindani katika soka.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Longido ,Salumu Kally amesema kuwa Kiruswa Jimbo Cup ni mashindano muhimu katika wilaya yake kwani yanawapa ubize vijana kujikita katika soka na kuacha kujikita katika uhalifu,madawa na ulevi hivyo Mbunge anastahili pongezi na kuungwa mkono kwa hali na mali.

Naye Maenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) Papa Nakuta amesema michezo ni ilani ya chama hicho inayosisitiza kuendeleza michezo na anachofanya Kiruswa ni utekelezaji wa ilani ya chama katika kukuza michezo katika Jimbo la Longido na vijana wanafurahia mashindano hayo ambayo yanaonyesha ushindani mkubwa mwaka hadi mwaka.













Mimi nilipitia tukio ambalo liliniumiza sana. Mtu niliyemwamini alinisaliti na kuniharibia mambo yangu muhimu. Ilikuwa ni hali iliyonifanya nijisikie kudharauliwa na kupoteza heshima yangu mbele ya wengine.

Nilikuwa na hasira kubwa ndani yangu. Wakati mwingine nilifikiria kulipiza kisasi kwa njia za haraka, lakini nilijua hilo lingeweza kuniletea matatizo makubwa zaidi, hasa ya kisheria. Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu kuhusu hali hiyo. SOMA ZAIDI.
Mimi nilikuwa naishi na maumivu ya kuona ardhi ya familia yetu ikichukuliwa bila haki. Ilikuwa ni mali ya wazazi wetu, lakini kwa sababu ya migogoro na ukosefu wa nyaraka kamili, tulijikuta tukiipoteza.

Tulijaribu kupambana kwa njia mbalimbali kwa miaka mingi, lakini hakuna kilichobadilika. Kila hatua tuliyochukua ilionekana kugonga mwamba. Hali hii ilinichosha sana. Ilikuwa sio tu kupoteza mali, bali pia historia na heshima ya familia yetu.

Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu hali hiyo. SOMA ZAIDI.
Nilikuwa na kazi ambayo nilikuwa naiweka kama sehemu muhimu ya maisha yangu. Ilikuwa chanzo cha matumaini na heshima yangu mbele ya jamii na familia. Lakini ghafla mambo yalibadilika.

Nilishutumiwa kwa makosa ambayo sikuwa nimeyafanya, na bila nafasi ya kujitetea kwa ufasaha, nikafukuzwa kazi kwa aibu kubwa. Siku ile nilihisi kama dunia imenigeuka. Niliondoka kazini nikiwa na maswali mengi kichwani na maumivu makubwa moyoni.

Watu waliokuwa wananijua walishangaa na wengine walianza kunidharau. Siku zilizofuata zilikuwa ngumu sana. Nilianza kujifungia ndani, nikikosa hamu ya kufanya chochote. Nilihisi kama maisha yangu yamefikia mwisho wa safari. SOMA ZAIDI.
Jina langu ni Bakari. Kwa muda mrefu, nilikuwa mtu wa kufanikiwa katika biashara na mambo yangu ya kifamilia, lakini ghafla mambo yote yalianza kuporomoka bila sababu za msingi.

Afya yangu ilianza kudhoofika kwa magonjwa ya ajabu yasiyorekodiwa vipimo vya hospitali, biashara yangu ikapoteza wateja wote, na migogoro isiyoisha ikaanza kuibuka nyumbani kwangu.

Nilijua wazi kuwa kuna maadui waliokuwa wakinitazama kwa jicho la husuda na kunirushia mishale ya kishirikina ili kunidondosha kabisa na kuniharibia maisha.

​Nikiwa kwenye majuto na hofu kubwa ya kupoteza kila kitu nilichochuma kwa jasho langu, mzee mmoja wa heshima katika kijiji chetu alinitembelea.

Baada ya kumsimulia mateso na majanga yaliyokuwa yakiniandama, alinieleza kwa huruma kuwa ulinzi wa kawaida hautoshi pale unapokabiliwa na maadui wenye roho mbaya na uchawi wa waziwazi. SOMA ZAIDI.
Jina langu ni Juma. Kwa zaidi ya miaka mitatu, nilikuwa nikiamka usiku wa manane nikiwa na jasho jingi na hofu kubwa baada ya kuota nikifukuzwa na wanyama wakali, watu waliojifunika nguo nyeusi, au kutumbukia kwenye mashimo marefu.

Mateso haya hayakuishia ndotoni pekee; mchana nilikuwa nikihisi uzito mkubwa mabega, maumivu ya kichwa yasiyoonekana hospitali, na kila mpango wangu wa maendeleo ulikuwa ukiharibika ghafla.

Nilibaki nikijitenga na watu, nikiteseka na vifungo vya kishirikina vilivyotaka kuniangamiza. Nikiwa kwenye majuto na kukata tamaa kabisa, ndugu yangu mmoja aliyekuwa akijua hali yangu alinitembelea.

Baada ya kushuhudia jinsi nilivyokuwa nikidhoofika kwa kukosa usingizi na amani, alinieleza kwa huruma kuwa maumivu na ndoto za namna hiyo ni ishara za wazi za vifungo vya giza na uchawi uliotegwa ili kuniharibia maisha. SOMA ZAIDI.
Kuhisi kuwa mpenzi wako anacheat huku akikana kwa sauti ya juu na kukuona kama unamsingizia ni jambo linaloumiza roho na kukosesha amani ya nafsi.

Kwa miezi mingi, nilikuwa nikiona mabadiliko makubwa kwa mwenzangu; simu zilifungwa maneno ya siri, alirudi nyumbani usiku wa manane akiwa na visingizio visivyo na msingi, na mapenzi yote na heshima kwangu vilipungua.

Kila nilipojaribu kumuuliza kwa ukweli, alipandisha hasira, kunifokea, na kunifanya nionekane mwenye wivu usio na maana. Hali hii iliniletea msongo mkubwa wa mawazo, nikiishi kwa hofu na wasiwasi huku nikitazama mahusiano yetu yakitumbukia kwenye shimo la usaliti.

​Nikiwa kwenye simanzi na nikitafuta njia ya kupata ukweli bila kuendelea kudanganywa na kuonekana mjinga, rafiki yangu wa karibu alinishauri kutafuta suluhisho la kienyeji badala ya kuendelea kugombana bila ushahidi.

Alinieleza kuwa wapo wataalamu wa kiasili wenye uwezo wa kufanya visomo vinavyoweza kumfanya mtu anayecheat afumanishe mwenyewe au kunaswa papo kwa papo bila kukana. SOMA ZAIDI.


Kizimkazi, Kusini Unguja — Katibu Mtendaji wa Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Prof. Hamisi Masanja Malebo, ameungana na viongozi wengine wa Wizara katika kumtembelea na kumpa pole Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, kufuatia kifo cha mume wake, Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan.

Ziara hiyo imefanyika tarehe 11 Septemba 2026 nyumbani kwa Rais Samia, Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, ambapo ujumbe huo ulifika kutoa pole na faraja kwa Rais pamoja na familia yake katika kipindi hiki cha maombolezo.

Prof. Malebo, akiwa sehemu ya ujumbe huo wa viongozi, aliungana na viongozi wengine wa Wizara kuwasilisha salamu za pole kwa Rais Samia na familia yake kufuatia msiba wa Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan, aliyefariki dunia tarehe 7 Septemba 2026 katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Zanzibar.



Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaungana na Rais Samia, familia, ndugu, jamaa na wote walioguswa na msiba huo katika kipindi hiki cha huzuni na maombolezo.

Tume inatoa pole kwa Rais Samia na familia yake, huku ikiwaombea nguvu, faraja na moyo wa subira katika kipindi hiki cha majonzi.

Tume ya Taifa ya UNESCO inaendelea kuungana na familia katika kuomboleza msiba huo na kuenzi kumbukumbu ya Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan.




GEITA: Kwa vijana walio nje ya mfumo rasmi wa elimu, kukosa ajira si lazima kuwe na maana ya kukosa kabisa fursa za kufanya kazi; wakati mwingine changamoto kubwa ni kukosa maarifa na ujuzi unaowawezesha kuzitambua na kuzitumia fursa zilizopo.

Hilo ndilo linalolenga kushughulikiwa na Mradi wa BRIDGE Tanzania, unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya UNESCO ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kushirikiana na Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini, kwa kuwapatia vijana walio nje ya mfumo rasmi wa elimu elimu ya msingi na ujuzi wa vitendo unaoweza kuwawezesha kujiajiri na kushiriki katika shughuli za kiuchumi.

Katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, vijana 210 tayari wamepatiwa mafunzo kupitia mradi huo, huku baadhi yao wakianza kutumia ujuzi walioupata katika uzalishaji wa bidhaa mbalimbali, zikiwemo sabuni za miche, sabuni za maji na vyakula vya mifugo.


Mafunzo hayo pia yanahusisha kusoma, kuandika, kuhesabu na ujasiriamali, yakilenga kuwajengea vijana uwezo unaoweza kutumika katika maisha yao na katika mazingira ya soko.

Akizungumza wakati wa kikao cha Kamati ya Uongozi ya Wilaya (District Steering Committee) ya Mradi wa BRIDGE Tanzania kilichofanyika Nzera, Geita, Mratibu Msaidizi wa Kitaifa wa mradi huo, Adriano Adrian Hyera, alisema hadi sasa vijana 210 katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita wamepatiwa mafunzo.

Alisema mradi huo unaweka mkazo katika kuwapa vijana fursa ya kupata maarifa na ujuzi ambao unaweza kuwasaidia kujenga uwezo wa kujitegemea.


“Lengo si kuwapa vijana mafunzo pekee, bali kuwajengea uwezo ambao wataweza kuutumia baada ya mafunzo ili kujipatia kipato na kujitegemea,” alisema Hyera.

Kwa mujibu wa muundo wa mradi, vijana ambao hawakupata fursa ya kukamilisha elimu ya msingi hupewa nafasi ya kujenga uwezo katika kusoma, kuandika na kuhesabu, kabla ya kuendelea na mafunzo ya ujuzi wa vitendo unaoendana na mazingira yao na fursa zinazopatikana katika soko.

Mtazamo huo unaweka msisitizo katika kuunganisha elimu na ujuzi wa vitendo, ili kijana anapomaliza mafunzo asiishie kuwa na maarifa ya darasani pekee, bali awe na uwezo wa kutumia ujuzi huo katika shughuli za uzalishaji na kujiajiri.

Katika utekelezaji wake Geita, mradi unawawezesha vijana kujifunza kwa vitendo na pia unatoa vifaa na mahitaji muhimu kwa ajili ya mafunzo, ili kuwapa nafasi ya kufanya mazoezi ya uzalishaji wakati wa kujifunza.

Baadhi ya vijana walionufaika na programu hiyo wamesema mafunzo yamewajengea uwezo wa kufanya shughuli mbalimbali za uzalishaji na kuwapa mtazamo mpya kuhusu namna wanavyoweza kutumia ujuzi wao kama njia ya kujipatia kipato.

Ujuzi huo unawapa pia nafasi ya kutengeneza bidhaa ambazo zinaweza kutumika katika jamii na, kwa kuzingatia ubora na mahitaji ya soko, kuwa sehemu ya shughuli zao za kiuchumi.

Kutoka elimu ya msingi hadi ujuzi wa soko

Kwa mtazamo wa mradi, elimu na ujuzi haviwekwi katika maeneo mawili tofauti, bali vinaunganishwa ili kumjengea kijana uwezo wa kutumia maarifa yake katika mazingira halisi.

Baada ya kujenga msingi wa kusoma, kuandika na kuhesabu, kijana hupewa ujuzi wa vitendo unaozingatia eneo analotoka na fursa zinazopatikana katika soko.

Hii inalenga kuwapa vijana ambao hawakumaliza elimu rasmi nafasi ya kupata ujuzi unaoweza kuwasaidia kushindana katika shughuli za kiuchumi pamoja na vijana wengine waliopitia njia rasmi za elimu na mafunzo ya ufundi.

Kwa maana hiyo, BRIDGE Tanzania inalenga kujenga daraja kati ya elimu, ujuzi na soko, badala ya kuishia katika utoaji wa mafunzo pekee.

Vijana wahimizwa kutumia fursa za mikopo

Akizungumzia hatua zinazofuata baada ya mafunzo, Hyera aliwashauri vijana kujiunga katika vikundi vya watu watano ili waweze kuchangamkia fursa za mikopo zinazotolewa na Halmashauri.

Alisema ushiriki katika vikundi unaweza kuwasaidia vijana kutumia ujuzi walioupata katika shughuli za kiuchumi na kutafuta fursa za kukuza shughuli zao.

Hatua hiyo inalenga kuhakikisha kuwa mafunzo wanayopata vijana yanaunganishwa na fursa za mitaji na uzalishaji, ili kuongeza uwezekano wa ujuzi huo kuleta matokeo katika maisha yao.

Majaribio yenye matarajio ya kupanuka

BRIDGE Tanzania ni mpango wa majaribio unaotekelezwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Geita, Halmashauri ya Wilaya ya Masasi na Kaskazini A Unguja.

Mradi una lengo la kuwafikia vijana 3,000 katika kipindi cha miaka mitano, sawa na takribani vijana 600 kila mwaka.

Majaribio hayo yanatoa nafasi ya kutathmini namna ya kuwaunganisha vijana walio nje ya mfumo rasmi wa elimu na elimu ya msingi, ujuzi wa vitendo na fursa za kiuchumi.

Matokeo na uzoefu unaopatikana katika maeneo ya utekelezaji utasaidia katika kutathmini namna mfumo huo unavyoweza kuimarishwa na, baada ya tathmini, kupanuliwa katika maeneo mengine nchini.

Tume ya UNESCO katika utekelezaji

Utekelezaji wa BRIDGE Tanzania unaenda sambamba na juhudi za Serikali ya Awamu ya Sita za kuwawezesha vijana kupata maarifa, ujuzi na fursa za kushiriki katika shughuli za kiuchumi na maendeleo ya Taifa.

Kupitia Tume ya Taifa ya UNESCO, ushirikiano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Korea Kusini umegeuzwa kuwa fursa ya kuwafikia vijana ambao kwa sababu mbalimbali hawapo katika mfumo rasmi wa elimu.

Tume ya Taifa ya UNESCO, kwa jukumu lake la kuratibu, kutathmini na kufuatilia utekelezaji wa shughuli za UNESCO nchini, inaendelea kushirikiana na Serikali na wadau mbalimbali katika kuhakikisha programu zinazotekelezwa zinachangia mahitaji na vipaumbele vya maendeleo ya Tanzania.

Kwa BRIDGE Tanzania, msisitizo ni kuhakikisha kijana aliye nje ya mfumo rasmi hapotezi fursa ya kujenga uwezo. Badala yake, anapewa nafasi ya kujifunza, kupata ujuzi na kuutumia katika kujenga maisha yake.

Kikao cha Kamati ya Uongozi ya Wilaya kilichofanyika Nzera, Geita, kilitoa nafasi kwa wadau kupitia utekelezaji wa mradi, mafanikio, changamoto na hatua zinazoweza kuchukuliwa ili kuongeza manufaa yake kwa vijana.

Kwa vijana hao 210 wa Geita, safari inaanzia katika kujenga msingi wa elimu na ujuzi; lakini lengo kubwa ni kuwawezesha kutumia uwezo huo katika ulimwengu halisi wa kazi, uzalishaji na kujitegemea. https://www.instagram.com/reel/DczGOqpqA74/?igsi=ZHVqMjQwemwyYTU=


Mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani Tanzania (JMAT), Sheikh Alhad Mussa Salumu, akiongoza ujumbe wa jumuiya hiyo kumfariji Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, baada ya kuwasili nyumbani kwake Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, Zanzibar, tarehe 11 Septemba 2026, kufuatia kufiwa na mume wake, Marehemu Maalim Hafidh Ameir Hassan, aliyefariki dunia katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Zanzibar, tarehe 7 Septemba 2026.
WAZIRI wa Maji, Jumaa Aweso, ameshiriki utiaji saini mikataba ya kiutendaji kati ya Wizara ya Maji na Bodi ya Wakurugenzi ya Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA), hatua inayolenga kubadili utendaji kutoka mazoea hadi mfumo unaopimika na wenye uwajibikaji.