Kupendwa, kuposwa, na kuvaa shela la harusi ni ndoto ya kila mwanamke anayetamani kujenga familia yenye amani na heshima.
Kwa zaidi ya miaka sita, nilipitia mikosi ya ajabu kwenye sekta ya mapenzi. Wanaume watatu tofauti waliniposa kwa mbwembwe nyingi, tukafanya mikutano ya familia, na kupanga tarehe za harusi.
Nilibaki nikiwa na simanzi nzito, aibu mbele ya wazazi na ndugu zangu, na msongo mkubwa wa mawazo. Kila nilipojitazama kwenye kioo nilijiona mrembo, mwenye elimu na tabia njema, lakini kwenye macho ya wanaume nilionekana kama kiumbe cha kutisha.
Majirani na marafiki walianza kunisengenya na kunipa majina ya kejeli wakidai nina mikosi au nimerogwa nisiolewe kabisa.
Kwa zaidi ya miaka miwili, nilipitia kipindi kigumu mno cha afya yangu. Nilianza kuhisi vitu vikitembea mwilini, maumivu makali ya kichwa yasiyosikia dawa, na tumbo kuwaka moto kila usiku. Maumivu haya yalininyima kabisa uwezo wa kufanya kazi, kutoka nje, au hata kupata usingizi wa amani.
Nilitembelea hospitali kubwa za mkoa na kutumia mamilioni ya fedha kufanya vipimo vya Ultra-sound, X-ray, na MRI. Hata hivyo, kila matokeo yalipotoka, madaktari waliniahidi kuwa vipimo vyote vilionyesha niko salama kabisa na sina ugonjwa wowote unaoonekana.
Waliponiandikia dawa za kupunguza maumivu, hazikusaidia kitu; hali ilizidi kuwa mbaya kila siku huku nikikonda, kupoteza muonekano wangu, na kuona kifo kikisogea karibu.
Nilibaki nikilia kwa uchungu kitandani, nikitazama akiba yangu yote ikiteketea hospitalini huku ndugu na marafiki wakianza kunitenga wakidhani nina ugonjwa wa ajabu usio na tiba. SOMA ZAIDI.
Kwa zaidi ya miaka minne, mume wangu alikuwa na tabia iliyostua na kuumiza sana. Kila mwisho wa mwezi ulipowadia na mshahara wake kuingia kwenye akunti, alibadilika ghafla. Hakurejea nyumbani kwa siku tatu au nne, na simu zake zote zilikuwa hazipatikani.
Aliporejea, alikuja na mifuko mikavu bila hata shilingi mia moja ya matumizi. Pesa zote za mshahara alizimalizia kwenye hoteli za kifahari, baa, na kuwanunulia zawadi za ghali wanawake wa nje, huku mimi na watoto tukibaki bila chakula, tukidaiwa kodi ya nyumba, na watoto wakifukuzwa shuleni kwa kukosa ada.
Kila nilipojaribu kumhoji kwa uchungu, aliniletea vipigo, matusi ya nguoni, na kunitishia kunifukuza nyumbani. Nilibaki nikilia usiku na mchana, nikijiona sina thamani na nikitazama watoto wangu wakiteseka kwa ukata wakati baba yao anatapanya mamilioni ya fedha na michepuko mtaani. SOMA ZAIDI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM-TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Shemdoe, amezitaka Halmashauri zote nchini kutumia michezo kama nyenzo ya kuimarisha afya, ustawi, mshikamano na tija kwa watumishi, ili kutekeleza majukumu yao kwa ufanisi zaidi.
Prof. Shemdoe ametoa wito huo Agosti 23, 2026 jijini Mbeya wakati akifungua rasmi Mashindano ya Michezo ya Watumishi wa Mamlaka za Serikali za Mitaa Tanzania (SHIMISEMITA), kwa niaba ya Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba.
Akizungumza katika ufunguzi huo, Prof. Shemdoe amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuyarejesha tena mashindano ya SHIMISEMITA mwaka 2023 baada ya kusitishwa, akitambua kwamba michezo ni sehemu muhimu ya kujenga afya ya mwili na akili, kuimarisha mahusiano kazini na kukuza ushirikiano miongoni mwa watumishi kutoka Halmashauri mbalimbali nchini.
“Leo hii mmekutana watumishi zaidi ya 5,000 kutoka katika Halmashauri 177. Kila mmoja anao wajibu wa kujenga mahusiano mazuri na watumishi wa Halmashauri nyingine, kwani michezo ni afya, michezo ni kiunganishi. Hivyo, tumieni fursa hii kujenga afya zenu na kuimarisha ushirikiano miongoni mwenu,” amesema.
Aidha, Prof. Shemdoe amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri kuhakikisha ushiriki wa michezo unawahusisha watumishi kutoka maeneo mbalimbali, badala ya watumishi wa Makao Makuu pekee. Amesema watumishi kutoka ngazi za kata, vijiji na vitongoji wanapaswa kupewa fursa ya kushiriki, kwa kuwa michezo itawajengea ari na morali ya kutekeleza majukumu yao, ikiwemo ukusanyaji wa mapato, ikizingatiwa kuwa mtumishi mwenye afya njema ya mwili na akili atatekeleza majukumu yake kwa ufanisi na kutoa huduma bora kwa wananchi.
Sanjari na hilo, Prof. Shemdoe amezitaka Halmashauri kuwaandaa na kuwajengea uwezo wananchi kutumia fursa zitakazotokana na Mashindano ya Soka kwa Timu za Taifa Barani Afrika (AFCON 2027). Amesema mashindano hayo si suala la michezo pekee, bali yatatoa fursa za kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na hususan katika sekta ya utalii, ambayo ni miongoni mwa sekta muhimu katika kuiingizia Tanzania fedha za kigeni.
Kutokana na umuhimu wa michezo kwa afya na utendaji wa watumishi wa umma, Prof. Shemdoe amezitaka Halmashauri zote nchini kuhakikisha michezo ya SHIMISEMITA inawekewa kifungu katika bajeti zao na kutengewa fedha ili kuwawezesha watumishi kushiriki kikamilifu. Amesema uwekezaji katika michezo ni uwekezaji katika afya ya mwili na akili za watumishi, jambo litakalosaidia kuongeza morali, ufanisi na tija katika utekelezaji wa majukumu ya Serikali na utoaji wa huduma kwa wananchi.
Kwa upande wake, Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Mhe. Beno Malisa, amemshukuru Prof. Shemdoe kwa Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI kuyaleta mashindano ya SHIMISEMITA mkoani Mbeya, na kuahidi kuwa uongozi wa mkoa umejipanga kuhakikisha usalama na ustawi wa wanamichezo wote wakati wa mashindano hayo. Aidha, Mhe. Malisa amemshukuru Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuridhia mashindano ya SHIMISEMITA kuendelea kufanyika nchini.
Naye, Katibu Mkuu wa SHIMISEMITA, Bw. Henry Kapella, ameiomba Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, ikiwa mlezi wa SHIMISEMITA, kuendelea kuzihimiza Halmashauri kutenga bajeti kwa ajili ya kuwawezesha watumishi kushiriki mashindano hayo kila mwaka. Ameshauri pia TAMISEMI kuweka kigezo cha uwepo wa fedha zilizotengwa kwa ajili ya michezo ya SHIMISEMITA katika mchakato wa kupitisha bajeti za Halmashauri, ili kuhakikisha watumishi wanapata fursa endelevu ya kushiriki michezo.
Mashindano ya SHIMISEMITA mwaka huu yamebeba kaulimbiu “Tuko Tayari kwa AFCON 2027,” ikiwa ni ujumbe unaosisitiza utayari wa Tanzania kutumia fursa za michezo, kuimarisha afya na mshikamano wa watumishi, pamoja na kunufaika na fursa za kiuchumi, kijamii, kiutamaduni na kiutalii zitakazotokana na AFCON 2027.
Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi na washiriki wa Wiki ya Kitaifa ya Elimu, Ujuzi na Ubunifu inayofanyika jijini Tanga kuhusu bunifu mbalimbali zinazozalishwa na watafiti na wabunifu wanaoshirikiana na taasisi hiyo.
Katika maadhimisho hayo, NM-AIST imewasilisha jumla ya bunifu 20, ambazo nyingi zimetokana na tafiti na kazi za watafiti wa ndani ya taasisi, huku nyingine zikiwa zimezalishwa na wabunifu wa nje wanaopatiwa malezi, mafunzo na mwongozo kupitia taasisi hiyo. Bunifu hizo zinaonesha jitihada za NM-AIST katika kuunganisha utafiti, ubunifu na mahitaji halisi ya jamii.
Aidha, taasisi hiyo imewashirikisha wawakilishi wa vikundi vya wanawake wanaopatiwa msaada na mwongozo katika kuboresha bidhaa zao na kuongeza thamani. Hatua hiyo inalenga kuwawezesha kutumia maarifa na teknolojia kuongeza ubora, tija na ushindani wa bidhaa zao sokoni.
Katika hatua nyingine, NM-AIST imewasilisha kampuni tatu zilizoanzishwa kutokana na bunifu na tafiti zilizofanyika ndani ya taasisi. Kampuni hizo ni Nano Filter, inayojihusisha na teknolojia ya uchujaji wa maji; AfriTech, inayotumia teknolojia inayotokana na mabaki ya korosho katika uchakataji wa ngozi; na Uji Chap Chap, inayolenga kuchangia afya bora kupitia bidhaa za lishe.
Ushiriki wa NM-AIST katika maonyesho hayo unaendelea kutoa fursa kwa wananchi kujifunza namna ambavyo matokeo ya utafiti na ubunifu yanaweza kubadilishwa kuwa bidhaa na huduma zenye manufaa kwa jamii. Aidha, ushiriki huo unaonesha mchango wa taasisi katika kukuza matumizi ya sayansi, teknolojia na ubunifu kama nyenzo muhimu za maendeleo ya Tanzania.
NM-AIST inaendelea kuthibitisha dhamira yake ya kuifikia jamii, kuwatamia wajasiriamali na kukuza ubunifu kwa maendeleo endelevu.

Mkuu wa Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela Mhe. Omari Issa atunuku shahada za umahiri na uzamivu kwa wahitimi 138 katika Mahafali ya 12 ya Taasisi ya Nelson Mandela yaliyofanyika Leo tarehe 20 Agosti 2026, NM-AIST Tengeru Arusha.
Mwenyekiti wa Baraza la Taasisi ya Afrika ya Sayansi na Teknolojia ya Nelson Mandela (NM-AIST), Balozi Maimuna Tarishi, amesisitiza umuhimu wa kuhakikisha tafiti, teknolojia na ubunifu unaozalishwa na Taasisi unatafsiriwa kuwa bidhaa, huduma na suluhisho halisi kwa changamoto za jamii, sambamba na utekelezaji wa Dira ya Maendeleo ya Tanzania 2050.
Akizungumza katika Mahafali ya 12 ya Taasisi (NM-AIST), Balozi Tarishi amesema ubunifu haupaswi kuishia kwenye makaratasi au usajili wa hati miliki, bali unapaswa kutumika kutatua changamoto katika sekta za kilimo, ufugaji, biashara, mazingira na uchumi.
“Ubunifu usiishie kwenye makaratasi wala usajili BRELA; twende tukautafsiri kwa vitendo ili kujibu changamoto mbalimbali za jamii,” amesema Balozi Tarish.
Aidha, amewataka wahitimu kutumia maarifa na ujuzi walioupata NM-AIST kujitolea kuitumikia jamii ya Tanzania na Afrika, badala ya kutumia elimu kwa manufaa binafsi pekee.
Kwa upande wake, Makamu Mkuu wa NM-AIST, Prof. Maulilio Kipanyula, amesema jumla ya wahitimu 138 wamehitimu katika mahafali hayo, wakiwa wamezalisha machapisho 219 ya kisayansi na hati miliki saba.
Amesema NM-AIST itaendelea kuhamasisha wanafunzi na watafiti kuzalisha bidhaa, kufanya ugunduzi na kuchapisha tafiti katika majarida ya kimataifa.
Pia, Profesa Maulilio Kipanyula amesema watafiti 19 wa NM-AIST wametambuliwa katika tuzo za Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia zinazohusisha machapisho katika majarida ya kisayansi yenye hadhi ya juu duniani.
NM-AIST inaendelea kubadili maarifa kuwa ubunifu, ubunifu kuwa bidhaa na huduma, na tafiti kuwa suluhisho la changamoto za jamii sambamba na utekelezaji wa Dira 2050.

Lakini kadri siku zilivyoenda, mambo yakaanza kuwa ya kutisha zaidi. Nilianza kuona kivuli kikisogea ukutani usiku.
Usingizi wangu ulipotea.
Nilikuwa nikiamka mara kwa mara usiku, moyo ukipiga kwa kasi. Ilifika wakati nikashindwa kuvumilia tena.
Usiku mmoja hali ilizidi. Niliona kivuli hicho kwa uwazi zaidi na nikahisi hofu kali sana. Bila kufikiria sana, nilikimbia nje ya nyumba yangu na kwenda kwa jirani usiku huo huo.
Kesho yake nilimweleza rafiki yangu kilichotokea. SOMA ZAIDI......
Uamuzi wa kuachana haukuwa rahisi, lakini nilijua ulikuwa wa lazima. Baada ya kuachana, nilibaki na huzuni kubwa. Nilihisi peke yangu, na wakati mwingine nilijilaumu kwa kila kitu kilichotokea. Ilikuwa ngumu sana kuanza upya.
Nilianza hata kupoteza imani ya kupata upendo wa kweli. Niliona kama kila kitu kimeharibika na sitapata mtu wa kunielewa tena. Siku moja nilimweleza rafiki yangu wa karibu hali yangu. SOMA ZAIDI....
Hilo lilianza kunifanya nipoteze motisha na kujiamini. Nilianza kufikiria labda siwezi kufanikiwa zaidi kazini.
Kwa zaidi ya miaka mitatu, mwanangu wa kiume aliyekuwa mwenye nidhamu na aliyefanya vizuri shuleni alibadilika ghafla. Alianza kutoroka shule, kuvuta bangi, na hatimaye kujiunga na kundi la vijana wa mtaani waliokuwa wakifanya wizi na kuwapiga watu nondo usiku.
Kila nilipojaribu kuongea naye kwa wema, alinijibu kwa matusi, vitisho, na hata kutaka kunipiga. Nilitumia fedha nyingi kumpeleka kwenye vituo vya kuacha dawa za kulevya (rehab) na kumlipia dhamana mara kadhaa polisi pale alipokamatwa na uhalifu, lakini kila alipotoka alirudia tabia zile zile kwa kasi kubwa zaidi.
Nyumbani kwangu kuligeuka kuwa kero; alianza kuiba vyombo vya ndani, nguo, na vifaa vya elektroniki ili kwenda kuuza kwa bei ya kutupwa apate fedha za kununulia dawa za kulevya.
Nilibaki nikilia usiku na mchana, nikitarajia muda wowote kuletewa taarifa za kifo chake kutoka kwa wananchi wenye hasira kali au polisi, huku masimango ya majirani yakizidi kuwa makali. SOMA ZAIDI.


