Written by Alex Sonna

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akizungumza wakati wa kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika leo Januari 20, 2025, Jijini Dodoma

Na Alex Sonna, Dodoma

WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imezitaka taasisi za elimu ya juu nchini kuhakikisha kampasi mpya zinazoendelea kujengwa katika maeneo mbalimbali zinajielekeza katika kutoa mafunzo ya ujuzi (Amali), ili kuandaa wahitimu wenye uwezo wa kujitegemea na kushindana katika soko la ajira.

Agizo hilo limetolewa leo Januari 20,2026  jijini Dodoma na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, wakati wa kikao kazi cha kimkakati kati ya Wizara na Wakuu wa Taasisi zilizo chini yake, kilicholenga kujadili utekelezaji wa majukumu na malengo ya sekta hiyo.

Prof. Mkenda amesema Sera ya Elimu na Mafunzo ya mwaka 2014 toleo la 2023 inaelekeza kwa nguvu zote kuandaliwa kwa wahitimu wenye ujuzi, hivyo ni muhimu kampasi mpya zikabeba dhana ya mafunzo ya amali kama ufundi na ufundi stadi.

“Haya ni maagizo ya Sera. Tunapopanua miundombinu ya elimu ya juu, lazima tuhakikishe tunapanua pia ujuzi kwa vitendo. Kampasi hizi mpya zisigeuke kuwa za kufundisha nadharia pekee, zizingatie mafunzo ya amali kwa lengo la kuongeza tija kwa Taifa,” amesema Prof. Mkenda.

Aidha Prof.Mkenda amesema kuwa serikali imeanza kuchukua hatua mahsusi za kutatua changamoto ya upatikanaji wa ufadhili wa masomo nje ya nchi baada ya kubaini kuwa wanafunzi wengi wa Kitanzania wanakosa fursa hizo kutokana na kushindwa kuziomba ipasavyo.

Prof. Mkenda amesema Serikali imefanikiwa kupata nafasi 127 za ufadhili wa masomo nchini Saudi Arabia, lakini bado idadi ya wanafunzi wanaoomba na kunufaika na fursa hizo ni ndogo, hali iliyosababisha Wizara kuanza kushughulikia vikwazo vinavyowafanya wanafunzi wengi kushindwa kuomba masomo nje ya nchi.

Amesema Wizara imeanza mchakato wa haraka wa kufanya tathmini ili kubaini sababu zinazofanya Watanzania kutozitumia kikamilifu fursa za masomo nje ya nchi pindi zinapojitokeza, akisisitiza kuwa hali hiyo haikubaliki ikizingatiwa agizo la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, la kuongeza idadi ya Watanzania wanaopata elimu katika vyuo vya nje ya nchi.

“Ni muhimu kubaini kwa nini fursa zinapopatikana hazichangamkiwi na Watanzania, ili Serikali iweze kuchukua hatua sahihi na kuongeza ushiriki wa wanafunzi wetu katika masomo ya kimataifa,” amesema Prof. Mkenda.

‎Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, amesema kuwa kikao hicho ni fursa muhimu ya kujifunza, kubadilishana uzoefu na kujenga uelewa wa pamoja kuhusu mwelekeo wa utekelezaji wa sera na mipango ya Wizara.

‎Aidha amebainisha kuwa Wizara itaendelea kuimarisha ushirikiano kati ya viongozi wa Wizara, taasisi zake na wataalamu wa sekta ya elimu ili kuhakikisha mageuzi yanayopangwa yanatekelezwa kwa ufanisi na kuleta matokeo chanya kwa Taifa.

Naye ,Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo, amesema  kikao hicho cha kimkakati kimewaleta pamoja viongozi wa wizara na taasisi  ili kupitia utekelezaji wa malengo ya mwaka 2025/26 na kupanga mikakati itakayowezesha kufikiwa kwa Dira 2050 katika sekta za Elimu, Sayansi na Teknolojia.

Amesema mikakati hiyo inajumuisha utekelezaji wa elimu ya lazima ya miaka 10, uimarishaji wa mafunzo ya amali katika ngazi ya sekondari, kuimarisha fursa za elimu ya juu pamoja na masuala ya ufadhili.

“Tutajadili pia programu nyingine muhimu zenye lengo la kuboresha sekta ya elimu, kuimarisha ubora, usawa na upatikanaji wa huduma kwa Watanzania wote,” amesema Prof. Nombo.

Kikao hicho kinatarajiwa kutoa mwongozo mpya wa utekelezaji wa vipaumbele vya Serikali katika sekta ya elimu kuelekea kufikiwa kwa malengo ya muda mfupi na mrefu.


Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda akizungumza wakati wa kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika leo Januari 20, 2025, Jijini Dodoma

Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Wanu Hafidh Ameir akizungumza wakati wa kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika leo Januari 20, 2025, Jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, akizungumza wakati wa kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika leo Januari 20,2026 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Hussein Omary,akifuatilia mada mbalimbali ambazo zilikuwa zikitolewa wakati wa kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika leo Januari 20,2026 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia anayeshughulikia Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi,akifuatilia mada mbalimbali ambazo zilikuwa zikitolewa wakati wa kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika leo Januari 20,2026 jijini Dodoma.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  kikao kazi na Taasisi zilizo chini ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kilichofanyika Januari 20, 2025, Jijini Dodoma.

Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa kulaumiwa kwa kila jambo. Kila kitu kikiharibika, macho yaligeuka kwangu. Kazi ikiyumba, familia ikagombana, biashara ikishindwa jina langu lilitajwa.

Niliambiwa ni mkosi, ninaleta bahati mbaya, na niwe mbali. Nilivumilia kimya kimya, nikijilaumu, nikijiuliza kosa langu ni nini.

Kilichonichanganya ni kwamba, nilipokuwa peke yangu mambo yalikaa sawa kidogo. Lakini kila nilipozingirwa na watu fulani, matatizo yalizidi. Nilipoteza pesa bila sababu, nilikosa usingizi, na nilijihisi mzito kila mara.

Nilianza kujiuliza maswali mazito: je, kweli mimi ndiye mkosi, au kuna watu wanaobeba mikosi wanayonipachika bila kujua? Nilikaa muda mrefu nikihofia kusema ukweli. Kuwaambia watu kuwa huenda wanachangia kuanguka kwangu kulionekana kama kukosa adabu.

Lakini hali ilipozidi, nilijua nikikaa kimya nitaangamia. Niliamua kuchunguza maisha yangu kwa umakini. Ndipo nikagundua mfanano wa kushangaza watu wachache tu walikuwepo karibu nami kila jambo lilipoharibika.Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilikuwa-nachukuliwa-kama-mkosi-siku-watu-wenye-mikosi-walipoondolewa-maisha-yangu-yakabadilika/

Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi maisha ambayo hayakuwa yangu. Kila jambo lilikuwa linaanza vizuri lakini linaisha vibaya bila sababu ya kueleweka. 

Nilikuwa na afya njema jana, leo naamka nikiwa dhaifu. Nilikuwa na furaha asubuhi, jioni huzuni nzito inanielemea.

Nilihisi kama kulikuwa na mkono usioonekana uliokuwa unanisukuma chini kila nilipojaribu kuinuka. Nilianza kuona ishara zisizo za kawaida. 

Ndoto mbaya zilikuwa za kurudia rudia, usingizi haukuwa usingizi, na nyumbani kwangu hapakuwa na amani.

Watu wa karibu waliniona nimebadilika, lakini hawakujua nini kinaniandama. Nilijaribu kupuuza nikidhani ni msongo wa mawazo, lakini moyoni nilijua kuna zaidi ya hilo. Kilichonishtua ni pale matatizo yalipoanza kuingia kwa kasi.

Kazi ikaanza kuyumba, fedha zikapotea ovyo, na migogoro ikaibuka bila chanzo cha wazi. Nilianza kujiuliza, “Kwa nini mambo haya yote kwa wakati mmoja?” Ilikuwa kana kwamba mtu alitamani niharibikiwe kila upande.

Ndipo nikaanza kuamini kuwa labda kuna uchawi mbaya umeelekezwa kwangu kwa siri.
Nilikaa kimya kwa muda kwa sababu ya hofu na aibu. Sikutaka kuonekana nikiamini mambo ambayo watu wanacheka.

Lakini hali ilipozidi kuwa mbaya, nilijua nikikaa kimya zaidi ningeangamia. Soma Zaidi....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/walinitakia-mabaya-kwenye-giza-lakini-nuru-ilipowaka-walikimbia/
Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa “kujitahidi sana bila kuona matokeo.” Nilifanya kazi kwa bidii kuliko wengi, nikaamka mapema, nikarudi nyumbani usiku, lakini kila nilichoshika hakikukaa. Mapato yalipotea, fursa zilipita mikononi, na kila nilipokaribia kufanikiwa, kitu fulani kilivuruga mambo.

Nilianza kujiuliza kama nilizaliwa bila bahati.
Kilichoniumiza zaidi ni kuona watu niliowazidi juhudi wakipiga hatua kubwa. Wengine walipata ajira, wengine walipanua biashara, nami nilibaki palepale. 

Kila mtu alinipa ushauri wake badilisha kazi, hama mji, soma tena lakini nilipofanya hayo, bado hakuna kilichobadilika.

Nilihisi kama kuna pazia zito lililokuwa limetandikwa mbele ya maisha yangu.
Nilipoanza kukata tamaa, nilikaa kimya nikijitathmini.

Ndipo nikatambua jambo moja la ajabu: kila nikipata wazo zuri au fursa, niliingiwa na wasiwasi usioelezeka, mambo yalivurugika ghafla, au nilipoteza motisha bila sababu. Sikuweza kulieleza, lakini nilijua hili halikuwa la kawaida. Bahati yangu ilikuwa imefungwa mahali.Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilijitahidi-bila-mafanikio-mpaka-bahati-yangu-ilipofunguliwa-ghafla/
Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa ajabu machoni pa wengine. Nilifanya kazi kwa bidii, lakini kila nilichopata kilipotea ghafla. Nilipojaribu kuanzisha jambo jipya, lilivurugika kabla halijakomaa.

Kilichonichanganya ni kwamba, watu waliokuwa karibu nami walikuwa wakinitabasamia kila siku, wakinionyesha upendo wa juu juu, huku nyuma ya pazia mambo yangu yakianguka moja baada ya jingine.

Nilipoanza kuchunguza maisha yangu kwa makini, niliona mfanano wa ajabu. Kila niliposhiriki habari njema mpango, hatua, au mafanikio madogo ndani ya muda mfupi kulikuwa na tatizo. Ama pesa zinapotea, ama migogoro inaibuka, ama ninajikuta nimechoka bila sababu.

Nilijiuliza maswali mengi, lakini sikuthubutu kusema wazi kuwa labda nilizingirwa na adui waliovaa mavazi ya marafiki. Nilikaa kimya kwa muda mrefu kwa sababu sikuwa na ushahidi. Watu wale wale walikuwa wanakuja nyumbani kwangu, wanakula nami, wanacheka nami.

Lakini ndani yangu kulikuwa na sauti iliyokuwa ikiniambia, “Si kila tabasamu ni la heri.” Niliendelea kuvumilia hadi pale nilipofikia mwisho. Usiku mmoja, niliketi peke yangu nikahisi presha nzito isiyoelezeka. Ndipo nikajua nilihitaji msaada.Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/adui-zangu-walikuwa-wananitabasamia-siku-nilipowafunga-kimya-kimya-wakaanza-kujitenga/
Kwa miaka nane, maisha yangu yalizunguka neno moja tu subira. Niliolewa nikiwa na matumaini makubwa ya kuwa mama mapema, kama wanawake wengi. 

Mwaka wa kwanza ulipita, wa pili pia, nikijifariji kwamba labda ni wakati tu. Lakini kadri miaka ilivyoongezeka, shinikizo nalo liliongezeka.

Kila sherehe ya mtoto wa mtu ilinifanya nijifungie chumbani na kulia kimya kimya.
Nilizunguka hospitali nyingi. 

Vipimo vilifanyika mara kwa mara, majibu yalikuwa yale yale: “Hakuna tatizo kubwa.” Maneno hayo yaliuma zaidi kuliko majibu mabaya, kwa sababu hayakunipa suluhisho.

Nilimeza vidonge, nikafuata ratiba kali, nikabadili chakula, hata nikapunguza stress kwa makusudi. Lakini kila mwezi ulipoisha bila mabadiliko, moyo wangu ulizidi kupasuka.
Kilichoniumiza zaidi ni maneno ya watu. Wengine walinionea huruma, wengine walinidharau bila kujua.

Nilianza kujitenga na familia na marafiki. Niliishi na hofu ya kuulizwa, “Mbona bado?” Nilimpenda mume wangu, naye alinipa moyo, lakini nilijilaumu mwenyewe kila siku. Nilianza kuamini labda uzazi haukuwa sehemu ya hatima yangu.

Siku moja, katika mazungumzo ya kawaida tu, mwanamke niliyekuwa simjui sana alinisimulia safari yake ya miaka ya kutafuta mtoto. Alizungumza kwa utulivu, bila kujisifu, lakini kulikuwa na amani kwenye sauti yake.

Alipotaja kuwa kuna wakati matatizo ya uja uzito hayawi ya kitabibu pekee, bali yanahitaji kufunguliwa kwa njia ya kiroho, nilitetemeka.

Ilikuwa ni hofu niliyokuwa najaribu kuikimbia kwa miaka. Baada ya tafakari ndefu, niliamua kujaribu kitu ambacho nilikuwa nakiogopa kuomba msaada wa kiroho.Soma Zaidi....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/miaka-nane-ya-kutafuta-mtoto-iliisha-baada-ya-hatua-moja-niliyokuwa-nikiogopa-kuijaribu/
 

SHIRIKA la Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO) limebuni, kusanifu na kutengeneza mtambo wa kuchakata zao la miwa ili kupata sukari kwa kiwango cha mjasiriamali wa kati, ikiwa ni jitihada za kupunguza uhaba wa sukari nchini pamoja na kuwaongezea wakulima wa miwa soko la uhakika.

Hayo yalisemwa Januari 19, 2026 na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Dennis Londo (Mb.), wakati wa Ziara yake TEMDO jijini Arusha ambapo amelishauri Shirika hilo kuzalisha mitambo hiyo ya Sukari pamoja na mitambo mingine katika kanda zote nchini kwa kushirikiana na taasisi mbalimbali za ndani ikiwemo TAMISEMI na nje ya nchi, ili kufikia Malengo yanayotarajiwa.

Aidha, aliiagiza TEMDO kuzalisha mitambo inayoendana na kasi ya teknolojia ili kuhakikisha teknolojia zinazozalishwa zinaingia sokoni na kutoa fursa zaidi za kiuchumi na kuondokana na umaskini kwa Wajasiliamali na Wananchi kwa ujumla.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bodi ya TEMDO, Kanali Mstaafu Joseph Simbakalia, alisema Shirika hilo linaendelea kuweka mikakati madhubuti ya mageuzi ya viwanda kwa kuzalisha mitambo itakayotatua changamoto za wakulima na kuwawezesha kupata masoko ya uhakika ili kuongeza uzalishaji viwandani na kufikia Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050.

Awali, Mkurugenzi Mkuu wa TEMDO, Profesa Frederick Kahimba alisema kuwa kukamilika kwa mradi huo kutasaidia kupunguza pengo la uzalishaji wa sukari nchini sambamba na kuongeza thamani ya zao la miwa kwa wakulima wadogo na wa kati ambapo hadi sasa Shirika hilo limepokea maombi sita kutoka kwa Wajasiliamali wa kati wanaotaka kufungiwa mitambo hiyo ya Sukari kutoka Dodoma, Same, Manyara, Busega, Kilosa na Morogoro.

Temdo inazalisha bidhaa zaidi ya 16 ikiwemo vifaa tiba vya hospitali kama majokofu ya kuhifadhia maiti, vichomea taka hatarishi, vitanda vya aina mbalimbali vinavyohitaji kufika soko la Zanzibar ili kuongeza pato la Taifa, kukuza uchumi na kupunguza uagizaji wa bidhaa hizo kutoka nje ya nchi. Alifafanua Kahimba.

Naye Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Sera na Mipango wa wizara hiyo, Audax Bahweitama akimwalikilisha Katibu Mkuu wa Wizara hiyo alisema Serikali improvises Sera na Sheria mbalimbali zinazohusu Maendeleo ya Viwanda ili kufikia uchumi jumuishi kupitia viwanda kwa kuzalisha bidhaa zenye ushindani na ubora sokoni, kama ilivyoainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050.

 

 

NA. MWANDISHI WETU -NKASI

Idara ya Menejimenti ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu imewajengea uwezo wajumbe wa Kamati ya Wataalamu ya Usimamizi wa Maafa ya Wilaya ya Nkasi Mkoani Rukwa ili kuhakikisha jamii inakuwa stahimilivu wakati wa majanga.


Elimu hiyo imetolewa leo tarehe 19 Januari, 2026 na timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Waziri Mkuu wakati wa kikao cha kupitia Rasimu za Nyaraka za Usimamizi wa Maafa za Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kwa Kamati za Usimamizi wa Maafa wilayani humu ikiongozwa na  na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo.




Kikao hicho kimeandaliwa na Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu kwa kushirikiana na timu ya wataalamu kutoka ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi kikilenga kuwapitisha katika nyaraka zilizoandaliwa kwa ajili ya matumizi ya Halmashauri ambazo ni Tathmini ya Vihatarishi vya Majanga, Uwezekano wa Kuathirika na Uwezo wa Kukabiliana na Majanga, Mpango wa Kujiandaa na Kukabiliana na Maafa pamoja na Mkakati wa kupunguza vihatarishi vya maafa.


Akitoa neno la shukran mara baada ya kikao hicho Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi Bw. Eliud Njogellah amepongeza kazi iliyofanyika na timu ya kuandaa nyaraka hizo huku akieleza kuwa zimekuja kwa wakati sahihi ambapo Halmashauri imekuwa ikikumbwa na majanga na maafa mbalimbali hivyo zitatumika kwa uzito wake na tija iliyokusudiwa.


Ndoa yangu haikuvunjika ghafla. Ilianza taratibu, kimya kimya, bila kelele kubwa. 

Ugomvi mdogo wa asubuhi, maneno makali jioni, kisha ukimya mzito usiku. Kila siku ilifanana na iliyopita. Nilipojaribu kukumbuka mara ya mwisho tulicheka kwa pamoja, sikupata jibu la uhakika.

Tulianza kulaumu kila kitu. Uchovu wa kazi, pesa, watoto, hata wakwe. Kila mmoja alijitetea na hakuna aliyesikiliza. Nilianza kuona mume wangu kama adui badala ya mshirika.

Wakati mwingine ugomvi ulianza kwa jambo dogo kabisa chakula, kuchelewa, au ujumbe wa simu lakini uliishia kwa machozi na kukaa mbali.
Kilichoniumiza zaidi ni kwamba tulikuwa bado tunaishi nyumba moja, lakini mioyo yetu ilikuwa mbali.

Nilijaribu kurekebisha kwa busara, nikanyamaza, nikajitahidi kuwa mpole, lakini hali ilizidi kuwa mbaya. Ndani yangu nilihisi kama kuna kitu kinatuchochea kugongana, kitu ambacho hakikuwa chetu kabisa.

Nilianza kujiuliza swali ambalo sikuwa nimewahi kujiuliza kabla: je, huu ni ugomvi wa kawaida, au kuna kitu kinachotuingilia? Hisia zile hazikuwa za kawaida. Hasira zilikuwa kali kupita kiasi, maneno yaliuma sana, na majuto yalikuja haraka mno baada ya kila ugomvi.

Nilifungua duka langu na matumaini makubwa, nikifikiri kila kitu kitaratibu.

Nilihakikisha bidhaa zangu ziko safi, bei zipo sawa na soko, na kila mteja anapokelewa kwa tabasamu. Lakini kwa miezi kadhaa, jambo lilikuwa tofauti kabisa.

Wateja walikuwa wachache sana, mara nyingine siku nzima ikafika bila hata mtu mmoja kuingia. Nilihisi huzuni na kuchanganyikiwa. Nilijua nimeweka jitihada nyingi, lakini matokeo hayakuonekana.

Nilijaribu kila njia: kubadilisha mpangilio wa duka, kuweka matangazo madogo, kutoa punguzo, hata kubadilisha rangi na kuweka bidhaa kwa urembo zaidi. Lakini hakuna kilichobadilika. Baadhi ya wenzangu walinipendekezea nifunge duka, wakiamini siwezi kufanikisha biashara.

Nilihisi kuumia moyoni, nikijiona nimekosea au labda sina bahati. Siku moja, nilikutana na mtu aliyenishauri kuwa tatizo langu linaweza kuwa siyo la kawaida, bali kuna kitu kisichoonekana kilichokuwa kizuizi cha mafanikio ya duka langu.

Nilishangaa, lakini nilihisi tayari kuchukua hatua yoyote ili kuona mabadiliko. Soma Zaidi....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/duka-langu-halikuwa-linapata-wateja-siku-nilipobadili-njia-foleni-ilianza-asubuhi/

Nilianza kuamini mambo ya kiroho baada ya kupitia misukosuko mingi ambayo haikuwa na majibu ya kawaida. 

Lakini kila nilipothubutu kusema jambo hilo mbele ya watu, nilichekwa. Marafiki waliniambia nimepotea, wengine wakasema labda ninatafuta kisingizio cha kushindwa.

Nilijifunza kukaa kimya, nikiamini mambo yangu moyoni bila kuyasema hadharani. Nilikuwa nikipitia kipindi kigumu maishani. 

Kila kitu nilichogusa hakikufanikiwa. Biashara haikusonga, mahusiano yalikuwa na misukosuko ya mara kwa mara, na hata kazini juhudi zangu zilionekana kama haziendi popote.

Kila mara nilipojaribu kueleza kuwa nahisi kuna kitu kinanizuia, watu walitabasamu kwa kejeli. Nilihisi peke yangu kabisa. 

Kilichonifanya nisimame kwa imani yangu ni kwamba nilijua juhudi zangu zilikuwa halisi. Sikuwa mtu wa kukaa bila kufanya kazi.

Lakini matokeo yalikuwa tofauti na nguvu niliyoweka. Ndani yangu nilihisi kama nilikuwa nimefungwa mahali ambapo macho hayawezi kuona. Hilo ndilo lililonifanya nianze kutafuta msaada zaidi ya nilichokizoea. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilichekwa-kwa-kuamini-mambo-ya-kiroho-lakini-kilichonitokea-baadaye-kiliwafanya-wanitafute-kimya-kimya/
Kwa miaka kadhaa kazini, jina langu halikuwa zuri. Nilikuwa napitwa kwenye miradi, maoni yangu yalipuuzwa, na kila kosa lilionekana kubwa nikifanya mimi. Nilijitahidi kufanya kazi kwa bidii, lakini juhudi zangu zilionekana kama hazionekani.

Taratibu, wenzangu walianza kuniita mvivu na mtu wa visingizio, jambo lililoniumiza zaidi kuliko nilivyokiri hadharani. Kilichonichosha si kazi yenyewe, bali mazingira. Nilikuwa nafanya majukumu yanayozidi nafasi yangu, lakini sifa zikichukuliwa na wengine.

Kila nafasi ya kupandishwa cheo ilipotokea, jina langu halikuwahi kuitwa. Nilianza kujiuliza kama nilikuwa nimekosea taaluma, au kama kulikuwa na kitu fulani kinanizuia kuonekana bila mimi kukijua.

Nilijaribu kujibadilisha. Nikawa nafika kazini mapema, nikachukua majukumu ya ziada, nikakaa hadi usiku nikikamilisha kazi. Lakini bado, tathmini zilipokuja, nilikuwa tu “wa kawaida.” Ndani yangu nilihisi kama nilikuwa nimefungwa kana kwamba nilikuwa nafanya kazi gizani huku wengine wakifanya kazi mchana.

Siku moja nilikutana na mtu aliyekuwa akifahamu maumivu yangu bila mimi kuyaeleza sana. Aliniambia mara nyingine mtu anaweza kuwa amefungwa njia ya maendeleo kazini, hivyo juhudi zake zisionekane. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/niliitwa-mvivu-kazini-siku-niliyopata-cheo-wote-walibaki-midomo-wazi/
Siku niliyopokea ujumbe wake wa mwisho bado unauma hadi leo. Hakukuwa na maelezo marefu, hakukuwa na majibu ya maswali yangu. 

Aliniambia tu ameona siwezi kumpa maisha aliyoyataka, na akanitakia kila la heri. Ndani ya muda mfupi sana, nilisikia amepata mtu mwingine.

Kabla hata sijakusanya vipande vya moyo wangu, ndoa yake ikatangazwa. Nilidharauwa vibaya. Marafiki walinicheka, wengine wakaniambia nisonge mbele. 

Lakini hawakujua jinsi nilivyompenda kwa dhati. Tulikuwa tumepanga maisha, biashara, hata majina ya watoto.

Ghafla kila kitu kilikatika kama hakuwahi kuwepo. Nilijaribu kujifanya niko sawa, lakini ndani nilikuwa navunjika kila siku. 

Kilichoniumiza zaidi siyo yeye kuondoka pekee, bali jinsi alivyonisahau haraka. Alifuta picha, alibadilisha namba, na kunizuia kila mahali. Nilijiuliza nilikosea wapi.

Nilianza kuhisi kama kuna kitu kilichonichukulia nafasi yangu ghafla, kana kwamba mapenzi yetu yalikatishwa kwa nguvu nisizoziweka.

Baada ya miezi kadhaa ya kulia kimya kimya, nilikutana na mtu aliyenisikiliza bila kunihukumu.

Alinambia kuwa wakati mwingine mahusiano huvunjwa si kwa sababu ya makosa yetu, bali kwa kuingiliwa na nguvu zinazopindua hisia ghafla.Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mpenzi-wangu-aliniacha-na-kuolewa-na-mwingine-miezi-mitatu-baadaye-alirudi-akilia-mlangoni-kwangu/
Usiku ule bado naukumbuka kama jana. Nililala nikiwa nimechoka baada ya siku ndefu ya kazi, bila kujua kwamba kulikucha maisha yangu yakiwa yamegeuka kabisa. 

Nilipoamka asubuhi, mlango ulikuwa wazi, makabati yamevurugwa, na vitu vyangu vya thamani vilikuwa vimetoweka.

Simu, pesa, nyaraka muhimu, hata bidhaa za biashara yangu ndogo vyote vilikuwa vimechukuliwa bila huruma. 

Jirani walikusanyika, wengine wakiniongea kwa huruma, wengine kwa mashaka. Baadhi walinidokeza huenda watu ninaowajua ndio walihusika.

Nilitoa taarifa polisi, nikaeleza kila kitu, lakini majibu yalikuwa yale yale: “Tutafuatilia.” Siku zikapita, wiki zikapita, lakini hakuna kilichopatikana. 

Biashara ilisimama, deni likaanza kunisukuma ukutani, na usingizi ukanikimbia. Kilichoniumiza zaidi siyo kupoteza mali pekee, bali ile hali ya kukosa matumaini.

Nilianza kujiuliza kama lile tukio lilikuwa la kawaida au kulikuwa na kitu zaidi nyuma yake. 

Kwa nini walichukua kila kitu bila kuacha hata kidogo? Kwa nini hadi leo hakuna dalili yoyote? Ndani yangu nilihisi kama nilikuwa nimefungwa mikono, kama vile kuna nguvu fulani iliyokuwa inazima kila jaribio langu. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/waliniibia-kila-kitu-usiku-mmoja-lakini-baada-ya-hatua-moja-tu-wezi-wenyewe-walinirudia-kuomba-msamaha/
Nilidhani ilikuwa ni zawadi ya kawaida tu. Doli nzuri, ya rangi laini, macho yanayong’aa kama mtoto halisi. 

Nilinunua nikiwa na furaha, nikitaka kumfurahisha mtoto wangu aliyekuwa akililia sana doli kwa muda mrefu. Hakuna hata sekunde moja niliwaza kuwa uamuzi huo mdogo ungegeuka kuwa mwanzo wa hofu kubwa katika familia yetu.

Siku za mwanzo kila kitu kilionekana kawaida. Mtoto alikuwa akicheza na doli yake, akiizungumza kana kwamba ni rafiki wa karibu. 

Lakini nilianza kugundua mabadiliko madogo yaliyonitia wasiwasi. Alianza kukataa kulala peke yake, akilia ghafla usiku bila sababu ya msingi, na mara nyingine akiniambia anaogopa “rafiki yake”.

Nilipoanza kuchukulia mambo hayo kama ndoto za watoto, hali ilibadilika kabisa. Usiku mmoja nilisikia doli likianguka sakafuni wakati hakuna mtu aliyeligusa. 

Siku nyingine nililikuta limebadili mkao, macho yameelekea mlangoni kana kwamba linatazama kitu. Soma Zaidi.....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilinunulia-mtoto-doli-ambayo-ilirudi-kutuhangaisha-sisi-wote-njia-hii-ndio-iliyotuokoa/
Kilichoniumiza haikuwa matusi, wala si maneno ya kunidharau. Kilichoniumiza ni kwamba niliona watu wakinichukia bila sababu. Waliokuwa wakinisalimia kwa tabasamu walianza kunitazama kwa macho ya ajabu.

Niliitwa majina niliyoshangaa. Kazini, nilionekana kama tatizo, hata kabla sijasema neno. Nilijitahidi kujitathmini. Nilijiuliza kama nilimkosea mtu, kama nilisema jambo baya, au kama nilibadilika bila kujitambua.

Lakini jibu lilikuwa lilelile hapana. Hakukuwa na kosa la wazi. Chuki ilionekana kuibuka ghafla, ikinisonga kutoka kila upande. Kilichonishangaza zaidi ni kwamba hata watu niliowasaidia waligeuka kuwa wa kwanza kuniongelea vibaya.

Urafiki wa miaka uliisha kwa kimya. Nilipokaribia, walijitenga. Nilipozungumza, walinikatiza. Nilihisi kama kuna kitu kinanifuata, kisichoonekana lakini chenye nguvu.
Usiku nilikaa nikiwaza. Hofu ilinivamia.

Nilianza kujitenga mwenyewe kwa sababu nilihisi kama kuwepo kwangu kulikuwa kero. Ilifikia hatua niliogopa hata kufungua simu au kutoka nje. Hapo ndipo nilijua hili halikuwa jambo la kawaida. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/niliona-watu-wakigeuka-dhidi-yangu-bila-sababu-baadaye-nikagundua-chanzo-cha-chuki-isiyoelezeka/

Haikuchukua mwezi. Haikuwa hata mchakato wa muda mrefu. Ilikuwa wiki moja tu wiki moja iliyonivua kila kitu nilichokuwa nikijivunia. 

Kazi niliyopigania kwa miaka iliniponyoka bila maelezo. Biashara ilianza kuporomoka ghafla. Marafiki walinitenga kimya kimya.

Ndani ya siku saba, maisha yangu yalibadilika kuwa magofu. Nilikuwa naamka kila asubuhi nikiwa na matumaini kuwa leo mambo yatanyooka. Badala yake, kila siku ilileta pigo jipya. Simu zilinyamaza.

Milango ilifungwa. Kila nilipopiga hatua mbele, nilihisi kama kuna mkono usioonekana unanisukuma nyuma. 

Nilianza kujiuliza, “Nimekosea nini?” lakini sikupata jibu.
Kilichoniumiza zaidi si kupoteza mali, bali kupoteza mwelekeo.

Nilikuwa nahisi nimeachwa katikati ya jangwa. Usiku sikuwa nalala. Mawazo yalikuwa mazito kuliko usingizi. 

Nilianza kuamini labda huu ndio mwisho wangu kwamba nilizaliwa kwa bahati mbaya. Nilijaribu kuomba ushauri kila mahali.

Wengine waliniambia nivumilie, wengine waliniambia ni bahati mbaya tu. Lakini ndani yangu nilihisi hili halikuwa jambo la kawaida. 

Anguko lilikuwa la haraka mno, la ghafla mno, na bila sababu inayoonekana. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoteza-kila-kitu-kwa-wiki-moja-lakini-njia-moja-ilinirudisha-kwenye-maisha-tena/
Sikuwahi kufikiria kuna siku nitaogopa kioo. Nilikuwa mtu wa kawaida, mwenye afya, mwenye ndoto na mipango. Lakini polepole, mambo yalianza kubadilika bila maelezo.

Nilikuwa nachoka bila kufanya kazi ngumu, usingizi haukuwa usingizi, na kila asubuhi niliamka nikiwa mzito kama mtu aliyebeba mzigo usioonekana. Watu walidhani labda ni msongo wa mawazo au uchovu wa maisha.

Nilijiambia pia hivyo. Lakini ndani yangu nilihisi kuna kitu kinanivuta chini. Kila siku nguvu zangu zilipungua. Kumbukumbu zilianza kunipotea. 

Nilianza kujitenga. Nilikuwa nahisi kama nipo lakini sipo. Siku moja usiku, nikiwa nimechoka kupita kiasi, nilienda bafuni kuosha uso.

Nilipoangalia kwenye kioo, niliishiwa pumzi. Suruali ilikuwa yangu, uso ulikuwa wangu lakini macho hayakuwa yangu. 

Kulikuwa na ukavu, uzito, na kitu cha kutisha ambacho sikuwahi kujiona nacho. Nilipiga hatua nyuma kwa hofu. Ndani ya moyo wangu nilijua, hiki si uchovu wa kawaida.

Kuanzia hapo, hali ilizidi kuwa mbaya. Nilianza kusikia mawazo yasiyo yangu. Nguvu za kufanya maamuzi zilinitoka. 

Kila nilipojaribu kusali au kujifariji, nilihisi kuzidi kudhoofika. Ilikuwa kama kuna kitu kinanyonya uhai wangu taratibu, bila kelele. Soma Zaidi.........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoteza-nguvu-zangu-polepole-mpaka-kioo-kilipoonyesha-kitu-ambacho-sikuwa-mimi/
Kwa muda mrefu, kila usiku nilikuwa nikilia macho, nikijikuta nikiwa nimezama kwenye ndoto zisizoeleweka. 

Ndoto hizi hazikuwa za kawaida; mara nyingi zilikuwa na nyuso zisizo za watu niliowafahamu, sauti zisizo za kawaida, na hali ya kuogofya isiyoelezeka.

Nilipojaribu kuamka, moyo wangu ulikuwa ukikimbia. Nilianza kupoteza usingizi mzuri, na siku za kazi zilikuwa ngumu sana, kwani hofu iliyokuwa ndani yangu iliendelea kunishikilia.

Nilijaribu kila kitu; kutoka kwa kutulia akili kwa kufanya mazoezi ya kupumua, hadi kujaribu tiba za kawaida za usingizi, lakini hakuna kilichonisaidia.

Nilijikuta nikipoteza furaha na amani yangu ya ndani, na kila siku ilikuwa changamoto ya kisaikolojia na kihisia. Nilihisi nimefungwa kwenye mzunguko usio na mwisho wa hofu na ndoto zinazoniweka chini ya shinikizo. Soma Zaidi.........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipokuwa-nikiona-ndoto-zinanikamata-hatua-nilizochukua-ili-kuishi-bila-hofu-na-kutambua-siri-zilizofichika/



Na Oscar Assenga, MKINGA


WAZIRI wa Maji Jumaa Aweso amemtaka Mkandarasi anayetekeleza mradi wa Maji Mkinga – Horohoro kuhakikisha wanafanya kazi usiku na mchana kuukamilisha kwa wakati ili wananchi waweze kupata huduma ya maji safi na salama.

Aweso aliyasema hayo leo wakati wa halfa ya Mapokezi ya Vitendea kazi (Mabomba) vitakavyotumika katika utekelezaji wa Mradi wa Maji Mkinga-Horohoro ambao unagharimu kiasi cha Bilioni 35.



Halfa hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali akiwemo Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Tanga Uwasa,Dkt Ally Fungo,Mkurugenzi wa Tanga Uwasa Mhandisi Geofrey Hilly,Meneja wa Ruwasa Mkoa wa Tanga Mhandisi Upendo Lugongo pamoja na watumishi wa Tanga Uwasa,Ruwasa,Viongozi wa CCM na wananchi wa eneo la Manza.

Alisema kutokana na kwamba mradi huo ni muhimu kwa wananchi ambao wanakabiliwa na changamoto ya maji hivyo wahakikishe unakamalika kwa wakati na ujenzi wake uwe tofauti uende na maji katika maeneo yanayolazwa mabomba nao wapate maji.



“Tunajua tuna miradi mingi sana lakini nikuombe Katibu Mkuu utoe fedha ili mradi huo ukamilike kwa wakati ili wana Mkinga waweze kupata huduma ya maji safi na salama”Alisema



“Kama mnakumbuka tulimleta Rais Dkt Samia Suluhu aliweke kuweka jiwe la msingi kukamilika kwake tumuombe Rais aje kuzindua mradi huu wa Mkinga sababu ndio muasisi na ndio aliyweka jiwe la msingi”Alisema

Waziri Aweso aliwataka wafanye kazi hiyo kwa uadilifu na uaminifu ili kuhakikisha hiyo kazi inakamilika na wana Mkinga waweze kupata maji safi na salama



Hata hivyo Waziri huyo alimuahidi Mbunge wa Jimbo la Mkinga Twaha Mwakiojakwamba watafanya kazi kuhakikisha wanakamilisha mradi huo kutokana na kwamba wapo baadhi ya watumishi wanaishi Tanga kutokana na changamoto ya maji wakikamilisha mradi huo watapata maendeleo makubwa.


Alisema maendeleo hayo yatapatikana kwa wana Mkinga na wawekezaji mbalimbali watakwenda kuwekeza hiyo kazi wameibeba na kufanya kazi usiku na mchana ili kuhakikisha mradi unakamilika.



Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Gilbert Kailima alisema wanaishukuru Serikali kutokana na kwamba mradi huo ni mkombozi mkubwa kwa wananchi wa wilaya ya Mkinga na utaondoa adha kubwa ya Maji.


Alisema wanamshukuru Rais kwa kutoa kipaumbele sana katika mradi huo na ndio maana alikuja kuweka jiwe la Msingi katika mradi huo na kuhaidi watajitahidi kusimamia mradi huo kwa karibu kwa kushirikiana na Tanga Uwasa ili utekelezwe kwa wakati ili uanze kufanya kazi kama Rais anavyotamani iwe pamoja nawe.



Aidha alisema katika wilaya hiyo wana miradi mengine mikubwa iliyopo wilayani humo ikiwemo wa Gombero, Mapatano, Muhinduro na Bamba Mwarongo yote ni mikubwa ambayo Serikali chini ya Wizara ya Maji inaendelea kutenga fedha kwa ajili ya utekelezaji wake na ipo katika hatua mbalimbali.


“Kutokana na kwamba umefika leo tunaomba nayo hii miradi waone namna gani inaweza kuisha kwa wakati kama ambavyo wananchi wa Mkinga wanatamani iwe tunaimani sana na utendaji wako na katibu mkuu wa wizara ya Maji “Alisema.


Alitoa wito kwa wananchi wa wilaya hiyo kutoa ushirikiano kwa mkaandarasi ambaye atatoa huduma ya usambazaji wa maji katika mradi huo na kuhakikisha vifaa vyake havihujumiwi badala yake wawe walinzi ili kufanya kazi yake vizuri.

Naye kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Mkinga (CCM) Twaha Mwakioja alisema kwamba katika taifiti iliyofanywa changamoto kubnwa inawakabili zaidi ya wananchi asilimia 80 wamelalamikia hali ya upatikanaji wa maji.



Alisema kwamba mradi huo kabla ya kuanza kutekelezwa wastani wa upatikanaji wa maji katika wilaya ya Mkinga ni asilimia 60 mpaka 69 hivyo wana imani mradi huo utakapokamilika upatinaji wa maji utafika zaidi ya asilimia 88 mradi huo ni mkombozi mkubwa kwao.



Aidha alisema kwamba mradi huo utakakamilika zaidi ya vijiji 37 vinakwenda kupata maji safi na salama ya uhakika na Serikali imeweka fedha nyingi ili kuhakikisha unakamilika ili wananchi waweze kuondokana na adha ya maji.



“Mhe Waziri tunaomba mradi huu kwa maana umesuasua kwa mude mrefu kama unavyotambua upo nyuma zaidi ya miaka miwili na ifikapo julai mradi uwe umekamilika hivyo tunashukuru na wananchi wana mategemeo makubwa sana “Alisema



Mwisho