Kwa miezi kadhaa, kila usiku ulikuwa kama vita. Nilijaribu kulala, lakini ndoto mbaya zilikuwa zikinirudisha kwenye hofu, wasiwasi, na mawazo yasiyo na mwisho. Nilipowaka macho, moyo wangu ulikuwa na nguvu chache, na kuamka asubuhi kulikuwa ni changamoto kubwa.

Nilihisi maisha yangu yamekanyagana na usingizi haukuwezi kuleta utulivu. Nilijaribu njia zote za kawaida kushusha mwanga chumba, kunywa chai ya mimea, kufanya mazoezi ya kupumua lakini ndoto mbaya zilirudi mara kwa mara.

Hali ilizidi kuwa mbaya kiasi kwamba hata kazi na uhusiano wangu vilianza kuathirika. Nilihisi nimepoteza udhibiti juu ya maisha yangu, na hofu haikupungua. Soma Zaidi............
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/sikuweza-kulala-usiku-juu-ya-ndoto-mbaya-lakini-sasa-nalala-kama-mtoto-baada-ya-kupata-suluhisho/
Kwa muda mrefu, nilijaribu kusonga mbele katika maisha yangu. Nilifanya kazi kwa bidii, nikajitolea bila kuhesabu muda, na kujaribu kila fursa iliyonifikia. Lakini licha ya jitihada zote, nilihisi kama kuna kitu kinanizuia.

Kila hatua niliyoipiga, ilikuwa kama kuwa kando, huku wengine wakinuka mbele. Nilianza kujihisi kuchoka, kuchukizwa, na hata kujiuliza kama maisha yangu hayana mwelekeo. Nilijaribu mbinu zote za kawaida. Nilifikiri labda ni tatizo la kazi, labda ni uhusiano wangu na watu, au labda ni sababu za kifedha.

Lakini hata pale nilipojaribu kubadilisha kila sehemu ya maisha yangu, mambo hayakuenda kama nilivyotarajia. Nilihisi kuna kizuizi kisichoonekana, kitu kilichonizuia kuendelea, lakini sikujua ni nini. Soma Zaidi..........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilihisi-kuna-kitu-kinazuia-maendeleo-yangu-baada-ya-kufunguliwa-mambo-yalisonga/
Kwa muda mrefu nilijivunia kujaribu bahati yangu kwenye betting za michezo. Nilidhani kila timu ilikuwa na uwezekano wa kuniletea faida, lakini kila mara nilipoteza. Hasara ziliendelea kuongezeka, pesa zikipotea haraka kuliko nilivyotarajia, na kila jaribio lilikuwa kama kukumbwa na bahati mbaya.

Nilijaribu mbinu za kila mtu niliyewasikia, lakini matokeo hayakuwa chochote zaidi ya hasara.
Kilichoniuma zaidi ni kuona marafiki zangu wakinufaika huku mimi nikiporomoka. Nilianza kujiuliza kama mimi si mtu wa bahati, au labda kuna kitu kingine kilichonizuia.

Kadri siku zilivyopita, presha ilizidi, na nilihisi nimepoteza muda na pesa bila sababu. Mabadiliko yalikuja nilipoamua kutafuta msaada wa kipekee. Soma Zaidi.......
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilijaribu-kushinda-sport-bet-bila-mafanikio-nilipopewa-mwongozo-sahihi-nilivuna-milioni-mbili/
Kwa miaka mingi nilijaribu kila aina ya biashara, nikijiambia kwamba siku moja lazima niwe na mafanikio. Nilifungua maduka madogo, nilijaribu kuuza bidhaa mtandaoni, nikafikiria hata kuingia ubia na marafiki. Kila mara mwisho ulikuwa hasara.

Kila pesa niliyoingiza ilionekana kuondoka bila matokeo, na kila fursa niliyoshika ilikufa kabla hata haijakomaa. Nilihisi nimekata tamaa, lakini bado sikuweza kuacha. Kilichoniuma zaidi ni kuona watu niliokuwa nao mwanzo wakifanikiwa huku mimi nikiporomoka.

Marafiki na jamaa walianza kuniangalia kwa shaka. Nilijilaumu kwa kila kitu, nikijiuliza kama mimi si mtu wa biashara. Nilijaribu kila njia ya kawaida ushauri wa watu, kubadilisha bidhaa, kuongeza bidii lakini hakuna kilichofanya tofauti. Soma Zaidi..........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipata-hasara-kila-nilipojaribu-biashara-ushauri-mmoja-ulinifanya-napata-faida-kubwa/
Kwa muda mrefu maisha yangu yalizunguka ratiba ya maumivu ya kichwa. Karibu kila wiki nilikuwa nikiamka au kumaliza siku nikiwa na maumivu yaliyokuwa yananifanya nikose umakini, furaha, na hata usingizi.

Nilimeza dawa za maumivu mara kwa mara, baadhi zikisaidia kwa muda mfupi tu, nyingine hazikufanya chochote. Nilianza kuogopa kuzoea dawa bila kupata suluhisho la kudumu.

Nilipojaribu kueleza watu, wengi waliniambia ni stress, ni kazi, au ni uchovu wa kawaida. Nilijaribu kupunguza shughuli, kunywa maji, na kubadilisha mpangilio wa siku, lakini hali haikubadilika.

Kilichoniumiza zaidi ni kuona maumivu yanarudi bila onyo, hata siku ambazo nilikuwa nimepumzika vizuri. Hatua ya kubadilika ilikuja nilipoamua kuangalia tatizo kwa mtazamo mpana zaidi.

Nilijifunza kuwa wakati mwingine maumivu ya kichwa hayahusiani na mwili pekee, bali pia mzigo wa mawazo, hofu iliyokaa ndani, au mivurugiko ya ndani isiyoonekana kirahisi. Hapo ndipo nilipoamua kutafuta mwongozo mbadala. Soma Zaidi.......
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilikuwa-naumwa-na-kichwa-kila-wiki-dawa-za-kawaida-zilikataa-njia-mbadala-ikaleta-nafuu/

 

Na Mwandishi Wetu

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Salum Nyamwese, ameridhishwa na kasi ya utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa kituo cha kupooza umeme (substation) cha Handeni mkoani Tanga, unaolenga kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika kwa wakazi na wawekezaji wa wilaya hiyo.

Akizungumza mara baada ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa kituo hicho, Nyamwese amesema kwa sasa Wilaya ya Handeni ina wawekezaji wakubwa katika sekta mbalimbali, hali inayoongeza mahitaji ya nishati ya umeme wa uhakika na wenye nguvu.

“Kwa hiyo, kukamilika kwa substation hii kutaleta tumaini jipya kwa wakazi wa Handeni na wawekezaji. Wawekezaji wengi wanatamani kuja kuwekeza Handeni, lakini bado wanasuasua kutokana na kukosekana kwa umeme wa uhakika na wenye uwezo wa kuendesha mitambo yao,” amesema Nyamwese.

Ameeleza kuwa mara baada ya kituo hicho kukamilika, kinatarajiwa kuvutia uwekezaji wa uhakika na kuongeza kasi ya maendeleo ya kiuchumi wilayani humo.

“Tuishukuru Serikali chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa mipango aliyoiweka katika Awamu ya Sita. Katika kipindi cha kwanza ameweka msingi, na katika kipindi cha pili anaendelea kuikamilisha. Kupatikana kwa umeme wa uhakika katika eneo hili kutakuwa faida kubwa kwetu sote,” ameongeza.

     

 

MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Mnzava, ameendelea kutekeleza mikakati ya kuboresha huduma za afya kwa wazee kwa kugawa Bima za Afya kwa zaidi ya wazee 300 waliohudhuria Makuyuni Festival, tamasha lililowakutanisha wakazi wa maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mhe. Mnzava amesema  hatua hiyo inalenga kuhakikisha wazee wanapata huduma bora za matibabu bila vikwazo vya kifedha, huku akisisitiza kuwa afya ya wazee ni sehemu muhimu ya ustawi wa jamii.

 "Bima hizo zitawawezesha wazee kupata matibabu kwa wakati wowote na katika vituo vilivyosajiliwa, hatua inayotafsiriwa kama kupunguza mzigo wa gharama za afya kwa familia nyingi za kipato cha chini."amesema Mhe.Mnzava

Katika tamasha hilo, Mbunge Mnzava pia alipata fursa ya kushiriki chakula cha pamoja na wazee, watu wenye ulemavu, vijana na wananchi wengine waliohudhuria, akisema kitendo hicho ni sehemu ya kuimarisha mshikamano na kuonyesha ushirikiano kwa jamii ya jimbo lake.

Amesema Makuyuni Festival ni jukwaa muhimu katika kuwaunganisha wananchi, kubadilishana mawazo na kuhamasisha vijana kushiriki katika shughuli za kijamii zinazochochea maendeleo ya Korogwe Vijijini.

Hata hivyo ametumia a nafasi hiyo kuwatakia wananchi wa jimbo hilo na Watanzania kwa ujumla heri ya Sikukuu ya Krismasi, akisisitiza umuhimu wa kusherehekea kwa amani, upendo na mshikamano.

Amesema Krismasi ni kipindi cha kutafakari baraka za Mungu na kuonyesha huruma kwa watu wenye uhitaji, akiwahimiza wananchi kuendeleza moyo wa ukaribu na kusaidiana bila kujali tofauti zao.

Mhe. Mnzava amewahimiza vijana na wananchi wote kutumia Sikukuu ya Krismasi kama chanzo cha nguvu mpya na hamasa ya kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, uzalendo na bidii katika kuchochea maendeleo ya jimbo hilo.

Amesema serikali kwa kushirikiana na viongozi wa maeneo mbalimbali itaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ikiwemo afya, elimu, maji na barabara ili kuhakikisha ustawi wa wananchi unaongezeka.

Aidha Mnzava amewahimiza wadau wote wa maendeleo wa korogwe ambao wanaishi maeneo mbalimbali nchini, kurudi nyumbani kuja kuwekeza ili kuzidi kuinua maendeleo ya korogwe

Kwa upande wao, baadhi ya wazee walionufaika na bima hizo walimshukuru mbunge kwa kuona umuhimu wa afya zao, wakisema hatua hiyo imewapa faraja na matumaini katika kupata matibabu kwa uhakika.

      

 



KAMPUNI ya ya Airtel Tanzania imewataka wanavyuo nchini kutumia fursa ya kimtandao katika kuwasaidia kuboresha taaluma zao pindi wawapo vyuoni.

Hayo yamebainisha mapema hii Leo Disemba 12, 2025, na Meneja wa Airtel Staff Saccos, Gasper Swai, katika hafla fupi katika Chuo Cha biashara (CBE) kilichopo jijini dar es salaam, ambapo amesema lengo kuu la hafla hiyo ni kuwakutanisha vijana pamoja ili kuweza kuwasaidia kufanikisha malengo yao pindi wawapo vyuoni.

Aidha, Gasper amesema kuwa mitandao imekuwa ikitoa wigo mpana katika kuwasaidia wanafunzi katika kutafuta taarifa mbalimbali za kimasomo hivyo uwepo wa huduma za kimtandao za Airtel kupitia bidhaa mbalimbali zikiwemo 5g Router au Pocket Wifi kutasaidia kuongeza vijana wenye chachu ya matumizi ya teknolojia nchini.

Hata hivyo katika hatua nyingine, Gasper amesema kutokana na uhitaji wa huduma ya kimtandao vyuoni lengo la hafla hii si kuhitimisha katika chuo cha biashara (CBE) pekee bali ni mwanzo mzuri wa kuvifikia vyuo vyote vya hapa nchini katika kuhakikisha Inatoa fursa sawa kwa vijana wote nchini.

Kwa upande wake Joakim Faustine ambaye ni Waziri wa Sanaa na utamaduni, katika chuo cha biashara(CBE) amesema ujio wa kampuni ya Simu ya Airtel chuoni hapo si kutoa burudani tu bali ni pamoja na kutoa elimu kwa wanafunzi itakayowasaidia kutambua vitu vya kufanya na ambavyo si vya kufanya ili kuwasaidia kufanikisha malengo yao pindi wawapo chuoni hapo.

Sambamba na hilo Joakim ameipongeza serikali kwa kuendelea kuwasaidia vijana nchini kupitia ajira katika sekta mbalimbali hapa nchini huku akiwaaasa vijana kitambua wanachohitaji pindi wawapo vyuoni.

Nae, Mwanafunzi wa Chuoni hapo Twaha Kalulu amewataka wanafunzi wenzake kuzingatia masomo pindi wawapo vyuoni pamoja na kuachana na vitendo visivyofaa katika jamii vitakavyoweza kupelekea kukatisha masomo Yao.

 

WIZARA ya Afya imesikitishwa na kitendo cha baadhi ya watu wenye nia ovu ambao wamekuwa wakitumia jina la Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Omary Mchengerwa kuwatapeli watu kwamba anaozesha mwanae, hivyo kuwaomba michango ya harusi ya mtoto wa Mhe. Mchengerwa.

Tunapenda kutoa taarifa kuwa, Mhe. Mchengerwa hana mtototo anayemuozesha na kwamba hajawahi kumtuma mtu yoyote kuomba michango kwa ajili ya harusi yoyote.

Wizara ya Afya inapenda kutoa onyo kwa yoyote anayejihusisha na vitendo hivyo vya uvunjaji wa sheria na kwamba tayari imeshatoa taarifa kwenye mamlaka husika kuhusu namba zote zinazotumika kwa hatua za kisheria.

Aidha, Wizara inatoa wito kwa viongozi na wananchi wote kwa ujumla kuwapuuza matapeli hao.

Imetolewa na;
MKUU WA KITENGO CHA MAWASILIANO SERIKALINI
Nilihitaji safari muhimu ya nje ya nchi, lakini niligundua kuwa kupata passport ilikuwa changamoto kubwa. Nilijaribu njia za kawaida kujiandikisha mapema, kuwasiliana na idara husika, na hata kurudia mara kadhaa.

Lakini kila hatua ilidhihirisha ucheleweshaji, masharti magumu, na hofu ya kushindwa kufanikisha safari yangu kwa wakati unaohitajika. Nilihisi wasiwasi mkali kila siku nikifikiria lini nitapata hati hiyo muhimu.

Nilijaribu kuuliza rafiki na familia, kila mtu aliniambia “subiri muda,” au “hakikisha nyaraka zako zipo sahihi.” Lakini ndani yangu, nilijua kuna njia nyingine zaidi njia ya kienyeji isiyo ya kawaida ambayo inaweza kusaidia kupata matokeo haraka na salama. Soma Zaidi....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilihitaji-passport-haraka-suluhisho-hili-lilinisaidia-kupata-ndani-ya-siku-chache/
Nilipoambiwa nina kisukari, maisha yangu yalibadilika ghafla. Dawa, vipimo vya mara kwa mara, masharti ya chakula na hofu ya madhara vilianza kunichosha kiakili na kimwili. 

Nilikuwa nafanya kila nilichoelekezwa hospitalini, lakini bado nilihisi mwili wangu haukuwa sawa. Nilihitaji msaada wa ziada, kitu cha kunipa nguvu na matumaini bila kuacha ushauri wa kitabibu.

Ndipo ndugu yangu akanisimulia kuhusu Kiwanga Doctor. Aliniambia kuna watu wamepata nafuu katika udhibiti wa kisukari kwa kutumia tiba asili kama nyongeza ya ushauri wa hospitali. 

Sikuchukua uamuzi wa haraka. Nilijiuliza maswali mengi kama Mtanzania wa kawaida. Lakini nikaamua kuwasiliana naye ili nipate maelezo. Soma Zaidi....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jinsi-nilivyosaidiwa-kudhibiti-kisukari-kupitia-tiba-asili-ya-kiwanga-doctor-na-kurejesha-afya-na-maisha-yenye-utulivu/
Kwa miaka mingi, nilikuwa nimekubali kimya kimya kuwa safari yangu ya kupata mtoto ilikuwa imefika mwisho. 

Nilipofikisha miaka sitini, nilikuwa tayari nimeacha kuulizwa maswali ya ujauzito na jamii. Wengi walikuwa wanasema kwa umri huo, ni miujiza tu inaweza kutokea. Nilijifunza kuishi na ukweli huo, nikiweka moyo wangu katika amani ya malezi ya wajukuu na maisha ya kawaida ya kila siku.

Lakini ndani ya moyo wangu, kulikuwa na ndoto ndogo iliyokuwa haijazimika kabisa. Sio kwa tamaa, bali kwa imani kuwa maisha yana njia zake zisizoeleweka. Nilianza kujitunza zaidi kiafya, kula kwa nidhamu, kupunguza mawazo na kuzingatia utulivu wa mwili na akili. Sikukimbizana na presha ya watu wala kauli za kunikatisha tamaa.

Miezi ilipopita, nilianza kuhisi mabadiliko yasiyo ya kawaida. Uchovu, kichefuchefu cha asubuhi na usingizi mwingi vilianza kunishangaza. Nilidhani ni dalili za umri au shinikizo la damu. Lakini hali ilipoendelea, niliamua kwenda hospitali kwa uchunguzi wa kawaida tu, bila matarajio yoyote makubwa. Soma Zaidi....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jinsi-mwanamke-wa-miaka-sitini-alivyopata-mimba-ya-mapacha-baada-ya-miaka-ya-kukata-tamaa-tanzania-leo-hii-bila-hofu-tu/
Kwa muda mrefu ndoa yetu haikuwa na kelele wala ugomvi, lakini pia haikuwa na furaha. Tulikuwa tunaishi kama watu wanaoshirikiana nyumba, si kama wenza. Tulizungumza kuhusu mambo ya lazima tu chakula, watoto, bili lakini mioyo yetu ilikuwa mbali.

Ukimya ule ulianza kuniumiza zaidi kuliko ugomvi wowote. Nilijilaumu kimya kimya. Nilijiuliza kama mapenzi yalikuwa yameisha, au kama tulikosea mahali fulani njiani. Kila nikijaribu kuanzisha mazungumzo ya kina, yalikuwa yanakufa njiani.

Kila mmoja wetu alijifungia kwenye dunia yake. Kulikuwa na heshima, ndiyo, lakini hakuna joto la ndoa. Mabadiliko yalianza nilipoamua kutafuta mtu wa nje angeweza kutusikiliza bila kutuhukumu. Soma Zaidi....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/ndoa-yetu-ilikuwa-baridi-bila-mapigano-mazungumzo-moja-na-mtu-spesheli-yalifungua-mioyo-yetu/
Kwa muda mrefu nilikuwa naishi na wasiwasi ambao sikuthubutu kuusema wazi. Mwili wangu ulikuwa umebadilika, na hali hiyo ilinifanya nijilaumu kimya kimya. Nilijiuliza kama nilikosea mahali fulani, kama nilikuwa sifanyi vya kutosha kujijali, au kama kulikuwa na tatizo kubwa lililonificha.

Aibu ilinifanya nikatae hata kuzungumza na mtu wa karibu. Nilijaribu kupuuza hali hiyo kwa muda, nikijipa sababu kuwa labda ni uchovu au mabadiliko ya kawaida ya mwili. Lakini kadri siku zilivyopita, nilihisi kujiamini kwangu kunapungua.

Mawazo yaliongezeka, na nikaanza kujitenga kihisia. Nilikuwa mzima kwa macho ya watu, lakini ndani nilijisikia nimepoteza uwiano wa afya yangu kama mwanamke. Hatua ya mabadiliko ilikuja nilipoamua kuacha kujilaumu na kutafuta uelewa sahihi.

Nilijifunza kuwa ukavu wa mwili unaweza kusababishwa na mambo mengi kama msongo wa mawazo, mabadiliko ya homoni, hofu ya muda mrefu, au uchovu wa akili. Sio kila tatizo linaonekana kwa vipimo pekee; mengine huhitaji kuangalia maisha kwa ujumla. Soma Zaidi........

https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilijilaumu-kimya-kimya-kwa-mabadiliko-ya-mwili-wangu-nilipoelewa-chanzo-cha-ukavu-afya-yangu-ilianza-kuimarika/

MBUNGE wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Mhe. Timotheo Mnzava, ameendelea kutekeleza mikakati ya kuboresha huduma za afya kwa wazee kwa kugawa Bima za Afya kwa zaidi ya wazee 300 waliohudhuria Makuyuni Festival, tamasha lililowakutanisha wakazi wa maeneo mbalimbali ya jimbo hilo.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Mhe. Mnzava amesema  hatua hiyo inalenga kuhakikisha wazee wanapata huduma bora za matibabu bila vikwazo vya kifedha, huku akisisitiza kuwa afya ya wazee ni sehemu muhimu ya ustawi wa jamii.

 "Bima hizo zitawawezesha wazee kupata matibabu kwa wakati wowote na katika vituo vilivyosajiliwa, hatua inayotafsiriwa kama kupunguza mzigo wa gharama za afya kwa familia nyingi za kipato cha chini."amesema Mhe.Mnzava

Katika tamasha hilo, Mbunge Mnzava pia alipata fursa ya kushiriki chakula cha pamoja na wazee, watu wenye ulemavu, vijana na wananchi wengine waliohudhuria, akisema kitendo hicho ni sehemu ya kuimarisha mshikamano na kuonyesha ushirikiano kwa jamii ya jimbo lake.

Amesema Makuyuni Festival ni jukwaa muhimu katika kuwaunganisha wananchi, kubadilishana mawazo na kuhamasisha vijana kushiriki katika shughuli za kijamii zinazochochea maendeleo ya Korogwe Vijijini.

Hata hivyo ametumia a nafasi hiyo kuwatakia wananchi wa jimbo hilo na Watanzania kwa ujumla heri ya Sikukuu ya Krismasi, akisisitiza umuhimu wa kusherehekea kwa amani, upendo na mshikamano.

Amesema Krismasi ni kipindi cha kutafakari baraka za Mungu na kuonyesha huruma kwa watu wenye uhitaji, akiwahimiza wananchi kuendeleza moyo wa ukaribu na kusaidiana bila kujali tofauti zao.

Mhe. Mnzava amewahimiza vijana na wananchi wote kutumia Sikukuu ya Krismasi kama chanzo cha nguvu mpya na hamasa ya kutekeleza majukumu yao kwa uadilifu, uzalendo na bidii katika kuchochea maendeleo ya jimbo hilo.

Amesema serikali kwa kushirikiana na viongozi wa maeneo mbalimbali itaendelea kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo, ikiwemo afya, elimu, maji na barabara ili kuhakikisha ustawi wa wananchi unaongezeka.

Aidha Mnzava amewahimiza wadau wote wa maendeleo wa korogwe ambao wanaishi maeneo mbalimbali nchini, kurudi nyumbani kuja kuwekeza ili kuzidi kuinua maendeleo ya korogwe

Kwa upande wao, baadhi ya wazee walionufaika na bima hizo walimshukuru mbunge kwa kuona umuhimu wa afya zao, wakisema hatua hiyo imewapa faraja na matumaini katika kupata matibabu kwa uhakika.

‎Na Edward Winchislaus.

MBUNGE  wa Jimbo la Mtumba na Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amemkabidhi nyumba iliyofanyiwa ukarabati Bi. Verian Mlewamwenye umri wa miaka 75, mkazi wa Kata ya Mtumba jijini Dodoma, ambaye alikuwa katika hatua ya kuiuza nyumba yake kwa Shilingi 500,000 ili kupata fedha za matibabu baada ya kuugua uvimbe katika ubavu.

Hatua hiyo imefuatia taarifa za hali ya bibi huyo kuripotiwa kwenye vyombo vya habari, ambapo kwa kushirikiana na Kitengo cha Ustawi wa Jamii, Bi. Verian alipelekwa Hospitali ya Rufaa ya Dodoma na kufanyiwa upasuaji uliomwezesha kurejea katika hali nzuri ya afya.

‎Akizungumza na wananchi wa Mtaa wa Vikonje B, Kata ya Mtumba, wakati wa kukabidhi nyumba hiyo leo, Desemba 26, 2025, Mhe. Mavunde amesema kuwa aliguswa na simulizi ya maisha ya bibi huyo baada ya kuona taarifa zake kwenye vyombo vya habari.

‎“Nimeona nitumie fursa hii kuikabidhi nyumba iliyofanyiwa ukarabati. Nyumba hii ni ya Bi. Verian aliyeijenga mwenyewe. Baada ya kuona taarifa kuwa anaumwa na kukosa fedha za matibabu hadi kufikia hatua ya kutaka kuuza nyumba yake, tulishirikiana na ofisi ya ustawi wa jamii kumpeleka hospitalini, akafanyiwa upasuaji na kupona,” amesema Mhe.Mavunde

Aidha Mavunde ame‎ongeza kuwa baada ya Bi. Verian kupona, waliamua kuikarabati nyumba hiyo ili aishi katika mazingira salama na yenye staha.

“Tuliamua kuikarabati nyumba hii ili bibi aishi maisha bora na ya furaha. Rai yangu ni kuwaona wanajamii wakirejesha tabasamu kwa waliopoteza matumaini, kwani hii ni sadaka kubwa mbele ya Mwenyezi Mungu,” amesisitiza Mhe.Mavunde Katika ukarabati huo, madirisha yaliyokuwa yamezibwa kwa matofali yaliondolewa na kuwekwa madirisha ya kisasa ili kuruhusu mwanga na hewa kuingia ndani. Mbali na ukarabati wa nyumba, Mhe. Mavunde amemkabidhi Bi. Verian msaada wa mahitaji mbalimbali ikiwemo kilo 80 za sukari, mchele, mafuta ya kupikia, maji, pamoja na vitenge na kanga. Aidha, Mhe. Mavunde amebainisha kuwa watamuwezesha Bi. Verian kupata mtaji kwa kumjengea mabanda ya kuku ili afuge kuku wa kienyeji na kujiendeleza kiuchumi.

Kwa upande wake,Afisa Ustawi wa Jamii wa Kata ya Mtumba, Bi. Mela Katamba,amesema kuwa walipokea taarifa za dhamira ya Bi. Verian kuuza nyumba yake na kuchukua hatua za haraka kufanya uchunguzi wa karibu.

“Tulibaini changamoto yake kubwa ilikuwa kupata matibabu. Kwa kuwa alikuwa na zaidi ya miaka 60, alikidhi vigezo vya kupata msamaha wa matibabu, hivyo tulimpeleka hospitalini na akapatiwa huduma stahiki,” amesema

Ameongeza kuwa baada ya matibabu, waliendelea kushirikiana na Mhe. Mavunde ambaye alimhudumia Bi. Verian kwa kumpatia kitanda na godoro kabla ya kutekeleza ahadi ya kukarabati nyumba yake.

Naye Bi. Verian Mlewa amemshukuru Mhe. Mavunde kwa msaada huo akisema umebadilisha maisha yake na kumpa matumaini mapya baada ya kipindi kigumu alichopitia. Awali  Mwanawe, Bi. Abigail Daud (40), amema familia ilikabiliwa na changamoto kubwa ya kugharamia matibabu ya mama yao kutokana na hali duni ya kipato.

 



22 Disemba, 2025.
KAMPUNI ya Airtel Tanzania imezindua rasmi minara 5 katika maeneo mbalimbali ikiwemo Kigoma, Singida, Kilimanjaro, Geita na Morogoro. Minara hii ni sehemu ya mkakati wa airtel wa kupanua wigo na kuweza kuwafikia watanzania wengi waishio maeneo ya mijini na vijijini.

Nae Meneja kanda wa Kigoma, Bw. Issack Kijuu, alieleza kuwa Wakati Mwingine wanakijiji walikuwa wanapata shida kuwasiliana na jamaa zao, kwasababu wakiwa katika maeneo haya ya tambalale mtandao unakuwa haushiki kabisa. Aliongeza kwa kuishukuru kampuni ya Airtel kwa Kujenga mnara wa mawasiliano kijijini hapo.

Wakizungumza katika nyakati tofauti Mameneja wa kanda ya Mikoa ikiwemo Meneja wa Masoko Airtel Kanda ya Kati, Bw. Salum Ngururu, amesema kuwa “Sote tunatambua umuhimu wa Mawasiliano katika jamii yetu, Hivyo Airtel tumeamua kupanua wigo wetu wa mawasiliano na kuweza kuwafikia nyie ndugu zetu mnaoishi hapa Singida. Mnara huu utarahisiha upatikanaji wa huduma zetu za Airtel ikiwemo kupiga, Kutuma na kupokea pesa, pamoja na kufurahia interneti yetu yenye kasi ya 4G na 5G.

Naye Meneja wa Airtel kanda ya Ziwa, Bw. Joseph Mushi, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nyarututu, Kata ya Bwanga mkoani Geita amesema “kuwa Kadri uhitaji wa mawasiliano unavyozidi kuongezeka hasa ukichangiwa na ukuaji wa kidigitali, ndivyo na sisi Airtel tunavyoongeza wigo wa mawasiliano kwa kujenga minara katika maeneo ambayo yanauhaba wa miundombinu ya mawasilianoa kama ilivyokuwa hapa Geita.”

Minara hii ya mawasiliano itachangia kufungua fursa kwa vijana, akina mama na watu wote walipo katika mnyororo wa shughuli za kibiashara, Mikoa hii iliyopo kanda inaongoza kwa ufugaji pamoja na kilimo, shughuli hizi zote zinategemea mawasiliano katika kuwaunganisha wazalishaji na wanunuzi au Masoko. Hivyo uwepo wa minara ya mawasiano ya Airtel unaenda kufungua rasmi mzunguko mkubwa wa kibiashara na uzalishaji Tanzania.

Kadhalika meneja wa mauzo Airtel Kanda ya Morogoro, Bw. John Tungaraza, Ambaye katika alizungumza na wananchi wa maeneo hayo akisema “Airtel tumejidhatiti katika kuhakikisha tunajenga minara mingi zaidi hata katika maeneo yasiyofikika kwa urahisi, ili ukuaji wa kidijitali usimuache mtu nyuma. Tuna minara takribani 200 ambayo itazinduliwa msimu huu katika kata mbalimbali za kila mkoa hapa nchini, lengo likiwa ni kusogeza huduma zetu karibu na wateja wetu.”

Uzinduzi huu uliambatana na ofa maalum ya siku tatu kwa wakazi wanaotumia minara hii, ambapo Airtel iliwawezesha kupata dakika 50 za kupiga mitandao yote, MB 500 za intaneti pamoja na SMS 50 ikiwa ni sehemu ya shukrani kwa wananchi wa maeneo hayo.
Kwa muda mrefu nilijiaminisha kuwa kila ninachopitia kinatokana na mwili pekee. Nilijisikia mchovu mara kwa mara, mambo yalikwama, na hata juhudi nilizoweka kazini na kwenye maisha yangu binafsi hazikuzaa matunda.

Nilipima afya, nikazingatia lishe, na nikabadilisha ratiba zangu, lakini hakuna kilichobadilika kwa kiwango nilichotarajia.
Kilichoniumiza zaidi ni kuona wengine wakisonga mbele kwa urahisi huku mimi nikikwama bila maelezo.

Nilianza kujiuliza kama nilikuwa sifanyi vya kutosha au kama nilikosa nidhamu. Kadri nilivyozidi kujilaumu, ndivyo mzigo wa mawazo ulivyozidi kuongezeka. Mabadiliko ya mtazamo yalianza nilipozungumza na mtu aliyenifanya nione picha nzima.

Alinieleza kuwa wakati mwingine kikwazo si cha mwili pekee, bali kuna vizuizi vya ndani vinavyoathiri mwelekeo wa maisha. Hapo ndipo nilipoamua kutafuta ufafanuzi zaidi.Soma Zaidi.......
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilifikiri-tatizo-liko-kwenye-mwili-pekee-sikujua-kulikuwa-na-kizuizi-kingine/
Kwa miaka mitano tulibeba siri ambayo haikuonekana usoni, lakini ilituumiza ndani. Kila mwezi ulikuwa ni mzunguko wa matumaini mapya na maumivu yale yale. 

Tulijaribu kukaa kimya, tukiepuka maswali ya watu, tukicheka mbele ya familia huku mioyo yetu ikibeba uzito mzito.

Nilijifunza kutabasamu hata pale nilipokuwa nikivunjika. Tulipitia hatua nyingi vipimo, ushauri, na mabadiliko ya maisha. Kila tulipoambiwa “jaribuni tena,” nilihisi kama tunaanza upya bila ramani. 

Nilianza kujiuliza kama tatizo lilikuwa kwangu, kwetu, au kama kulikuwa na kitu kikubwa zaidi ambacho hatukukiona.

Msongo wa mawazo uliongezeka, na ukimya kati yetu ukaanza kutuathiri. Ukweli mmoja ulipojitokeza, ulitubadilisha mwelekeo. 

Nilielewa kuwa wakati mwingine safari ya uzazi haikwami kwa sababu ya jambo moja la wazi, bali mkusanyiko wa mizigo ya kihisia, hofu, na vikwazo visivyoonekana.

Hapo ndipo tulipoamua kutafuta mwongozo tofauti na tuliozoea.Soma Zaidi..
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/miaka-mitano-ya-kujaribu-kimya-kimya-kisha-ukweli-mmoja-uliobadili-safari-yetu-ya-uzazi/