Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara.

Na.Mwandishi Wetu

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, amewapongeza watumishi wa wizara hiyo kwa kazi kubwa na mafanikio waliyoyapata katika mwaka wa fedha uliopita, huku akiwataka kuendelea kuyasema kwa ujasiri mafanikio hayo yaliyoiwezesha sekta ya elimu kung’aa kitaifa na kimataifa.

Prof. Nombo amesema mafanikio hayo yametokana na uongozi imara wa Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Adolf Mkenda, na Naibu Waziri, Mhe. Wanu Hafidh Ameir, pamoja na ushirikiano wa Wakurugenzi, Wakuu wa Idara na watumishi wote.

Prof. Nombo amesema hayo Septemba 1, 2026 jijini Dodoma wakati alipoongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara. Amewashukuru watumishi kwa utekelezaji mzuri wa majukumu yao na kusisitiza umuhimu wa kuendeleza ushirikiano katika kufikia malengo ya wizara.

Aidha, Prof. Nombo amesema mabadiliko makubwa yanayoendelea katika sekta ya elimu yanatokana na utekelezaji wa sera mpya ya elimu, ambayo inalenga kuandaa wahitimu wenye ujuzi, kuboresha matokeo ya kujifunza na kuimarisha mfumo mzima wa elimu nchini. Amesisitiza kuwa Serikali ya Awamu ya Sita, chini ya uongozi wa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imewekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta ya elimu kupitia ujenzi wa miundombinu, ajira za walimu, mafunzo ya watumishi na fursa mbalimbali za kitaaluma.

Katika kikao hicho, Katibu Mkuu amekumbusha wajibu mkubwa wa Wizara katika utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, akieleza kuwa takribani asilimia 40 ya masuala yaliyomo kwenye dira hiyo yanahusu sekta ya elimu, sayansi, teknolojia na ubunifu. Ameongeza kuwa utekelezaji wa elimu ya lazima kwa miaka 10 na maandalizi ya kupokea kundi la wanafunzi la double cohort mwaka 2028 ni miongoni mwa majukumu makubwa yanayohitaji maandalizi ya mapema na ushirikiano wa pamoja.

Kwa upande wake, Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Daniel Mushi, amewataka watumishi kuendelea kufanya kazi kwa ushirikiano, weledi, nidhamu na uadilifu, akisema misingi hiyo ni muhimu katika kuimarisha utendaji kazini. Prof. Mushi amesema hayo Septemba 1, 2026 jijini Dodoma wakati akifunga kikao cha tafakuri cha watumishi wa wizara hiyo.

Amesema mafanikio ya wizara yanatokana na mchango wa kila mtumishi, hivyo kuna umuhimu wa kuongeza ubunifu katika utendaji huku sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya utumishi wa umma ikizingatiwa. Pia amesisitiza umuhimu wa kuzingatia usalama wa taarifa za Serikali na kuhakikisha wananchi wanahudumiwa kwa furaha, ufanisi na weledi, huku akiwataka watumishi kutumia mafunzo waliyopata kuongeza tija na kuhamasisha utamaduni wa kuendelea kujifunza katika kila ngazi ya utumishi.

Naye, Mkurugenzi wa Idara ya Utawala na Rasilimali Watu katika Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Dkt. Edith Rwiza, amesema kikao cha uongozi na watumishi kimetoa fursa ya kutafakari kwa pamoja, kujenga mshikamano na kubadilishana uzoefu kwa lengo la kuimarisha utendaji kazi.

Amesema kikao hicho pia kililenga kutafakari mafanikio, changamoto na mafunzo yaliyopatikana katika utekelezaji wa mipango na majukumu ya wizara katika mwaka uliopita.

Dkt. Rwiza amesema kikao hicho kimewapa watumishi nafasi ya kujitathmini kwa kuzingatia uhalisia wa utendaji kazi na kujadili namna bora ya kuhakikisha malengo ya wizara yanafikiwa kwa ufanisi.

Ameongeza kuwa washiriki wamepata fursa ya kutazama kwa pamoja changamoto za rasilimali na kubaini namna ya kuongeza ufanisi ili kupata matokeov makubwa zaidi kwa kutumia rasilimali zilizopo, huku wakielekezwa kuimarisha mshikamano na uwajibikaji katika kutekeleza majukumu yao.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akizungumza wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara.

Sehemu ya Watumishi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani) wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara.

Sehemu ya Watumishi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani) wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara.

Sehemu ya Watumishi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani) wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara.

Sehemu ya Watumishi wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani) wakati akiongoza kikao cha tafakuri cha uongozi na watumishi wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, kilicholenga kutathmini utekelezaji wa majukumu yaliyokabidhiwa kwa wizara.




Na Denis Chambi, Tanga


SERIKALI ya mkoa wa Tanga imewaagiza wamiliki wote wa Mabasi yanayosafirisha abiria kwenda nje ya mkoa huo na maeneo mbalimbali ya nchi kuhakikisha kuwa ifikapo September 8,2026 Magari yote yanaanza na kumaliza safari zake katika kituo kikuu cha Mabasi kilichopo Kange.


Agizo hilo linatokana na maadhimio yaliyotolewa na ofisi ya Waziri mkuu, Kamati ya Bunge inayoshughulika na Ofisi ya Rais tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa 'TAMISEMI' pamoja na wamiliki na wadau wa usafirishaji kwa lengo la kuhakikisha huduma ya usafirishaji inaimarika pamoja na kuchangia maendeleo ya mkoa huo hususani kwa kwa Halmashauri ya jiji la Tanga kupitia kituo hicho ambacho kinatarajia kuwa kitomvu cha uchumi kwa wananchi .

Akizungumza katika kikao cha pamoja na wadau wa usafirishaji wakiwemo wamiliki wa Mabasi, Baraza la madiwani na ofisi ya halmashauri ya jiji la Tanga Mkuu wa mkoa wa Tanga Balozi Dkt Batilda Buriani amesema kuwa utekelezaji wa agizo hilo umezingatia utekelezaji wa Sheria ndogo ya Halmashauri 'by laws' ya mwaka 2019 huku akiitaka Halmashauri kuendelea kutoa elimu kwa wananchi na wadau wote wa usafirishaji.

"Baada ya kupitia mapendekezo na ushauri ulioyotolewa na wadau wa usafirishaji na viongozi mbalimbali kwa kuzingatia Sheria ndogo ya Halmashauri 'by laws' ya mwaka 2019 Magari yote yatapaswa kuanza na kumaliza safari zake katika kituo kikuu cha Mabasi Kange wamiliki wote wanapaswa kuzingatia Sheria hizi na tumekubaliana suala hili lianze rasmi tarehe 8,2026" amesema Dkt Buriani.

Amesema kuwa agizo hilo limeambatana na mapendekezo ambayo yanatakiwa kutekelezwa ikiwa ni pamoja na kuitaka mamlaka ya udhibiti wa usafiri ardhini 'LATRA' kwa kushirikiana na Wakala wa Barabara za vijijini na mijini kuanzisha njia za safari za Daladala zinazotoka maeneo mbalimbali ya jiji kwenda katika kituo hicho cha Kange, kuwepo kwa gari la Zimamoto na uokoaji, kukaguliwa kwa vituo vyote vya Mabasi vilivyopo katikati ya jiji kama vinakidhi vigezo.

Aidha kabla ya kutekelezwa kwa agizo hilo Balozi Dkt. Buriani ameiagiza Halmashauri ya jiji la Tanga kuhakikisha kuwa katika kituo hicho kunakuwa na maeneo maalumu kwaajili ya maegesho la Daladala, Bodaboda, Magari binafsi na kuweka mabango ili kuwarahisishia abiria na wananchi kuweza kuendelea na safari zao.

Amewataka wamiliki wote wa Mabasi mkoani humo kuhakikisha wanakuwa na maeneo maalumu kwaajili ya kupaki Magari yao ambayo yatakuwa yakisubiri safari tofauti na sasa ambapo baadhi yao hutumia barabara zilizopo katikati ya jiji hilo na kusababisha msongamano.

"Wale wenye terminal zao huko itabidi sasa terminal hii ya Kange iwe ndio inafanya kazi lakini hatuwakatazi kuwa na terminal zenu hiyo lazima iwe imezungushiwa ukuta ambapo gari linaweza kwenda kufanyiwa marekebisho wakati likisubiri safari" amesisitiza Dkt Buriani.

Akizungumza katika kikao hicho Naibu Mstahiki Meya wa Halmashauri ya jiji la Tanga Khalid Hamza amepongeza maadhimio hayo na kuahidi kuendelea kusimamia uboreshaji wa kituo hicho ambacho mbali na kuwa kituo kikuu cha Mabasi kinatarajia kuwa kitomvu cha uchumi kwa wananchi na Serikali kuendelea kukusanya mapato.

"Tunaendelea kumpongeza Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassani kwa miradi mikubwa ya kimkakati ambayo inaletwa katika mkoa wetu hususani jiji letu la Tanga sisi kama halmashauri tuko tayari kupokea maelekezo na kwenda kuyafanyia kazi kuhakikisha stendi yetu inafanya kazi kwaajili ya mapato ya Halmashauri yetu" amesema Hamza.

Kwa upande wake Mwenyekiti wa chama Cha wamiliki wa Mabasi Mkoa wa Abdi Awadhi amepongeza kutekelezwa kwa baadhi ya mapendekezo ambayo waliyatoa hapo awali huku akiiomba Serikali Mabasi yote kuendelea kushusha na kupakia abiria wake nyakati za usiku katika terminal zao za siku zote wakati ambapo bado miundombinu inaendelea kuboreshwa katika kituo hicho cha Kange.

"TABOA mkoa wa Tanga tumeridhia maelekezo yote ambayo umeyatoa mkuu wa mkoa na kamati uliyoiunda kwaajili ya maboresho ya mpito yaliyotolea sisi tunaomba turuhusiwe kushusha na kupakia abiria Tanga mjini nyakati za usiku kutokana na kituo chetu hali ya usalama bado hijakuwa sawa" amesema Awadhi.

Kikao hicho pia kimeadhimia kuwa mara tu baada ya kuanza kutekelezwa kwa agizo hilo wadau wote wa usafirishaji, wamiliki wa Mabasi pamoja na Serikali kila baada ya mwezi kuweza kukutana kufanya tathmini ya mkakati huo na kufanyika kazi mapungufu ambayo yanatakiwa kuboreshwa ili kutoa huduma iliyo bora kwa wananchi.












The ICT Transforming Education in Africa – Phase III Project is designed to go beyond providing teachers with basic digital skills by building a sustainable culture of technology-enabled teaching and continuous professional development, Project Coordinator Gabriela Lucas has said.

Ms Lucas, who coordinates the project at UNESCO, said the KFIT-supported initiative was focused on strengthening teachers’ ability to use ICT purposefully to improve teaching and learning while ensuring that the skills acquired could continue to benefit other educators and learners beyond the training period.


“UNESCO aspires to see every teacher able to use ICT for learning and teaching,” she said.

She explained that the project uses the ICT Competency Standards for Teachers in Tanzania (ICT-CSTT) as a structured framework for helping teachers progressively develop their digital competencies according to their existing levels of knowledge and skills.


The framework comprises 15 modules, with the Arusha training focusing on the Beginner and Intermediate levels, covering 10 modules, while participants are also being introduced to five modules under the Advanced level.

Ms Lucas said the training covers practical areas including ICT integration in teaching and assessment, digital learning platforms, Open Educational Resources (OER), online information-search skills, digital content development and the use of Artificial Intelligence (AI) in education.

She stressed that the objective was not simply to teach teachers how to use digital devices, but to enable them to integrate technology effectively into classroom practice, develop relevant learning resources and create more engaging learning experiences for students.





Ms Lucas said the project had adopted a cascade training model, whereby teachers who receive specialised training are expected to share their knowledge and skills with colleagues in their respective schools.

“This approach enables us to reach more teachers and expand the impact of the training beyond those participating directly in the programme,” she said.

She explained that the approach would allow trained teachers to become multipliers of digital knowledge, helping to extend the benefits of the programme from individual participants to entire schools and, ultimately, to more learners.

The Arusha training follows a similar programme conducted in Morogoro, while the wider project is being implemented in Tanzania, Namibia and Uganda.

Ms Lucas said the project was also leveraging existing Government digital systems to ensure that teacher professional development continued beyond face-to-face training.

Through the TIE Teachers Continuous Professional Development Learning Management System (TCPD LMS), linked to the Government’s MEWAKA system, teachers can access learning materials and continue strengthening their professional skills.

She said continuous professional development was increasingly important as digital technologies, including AI, continued to change the way teaching and learning were conducted.

Ms Lucas said the long-term ambition of the project was to contribute to a digitally capable teaching workforce in which teachers could confidently use technology, support their colleagues, develop relevant educational content and prepare learners with the knowledge and competencies required for an increasingly technology-driven society and economy.

She said investing in teachers’ digital capacity was therefore an investment in the future of education and in the human capital needed to drive sustainable development in Africa.



 Na. Joseph Mahumi na Peter Haule, WF, Dar es Salaam


Serikali imesema itaendelea kuimarisha ushirikiano na Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri wa Kitaalamu ya KPMG, hususan katika masuala ya sera za kodi, usimamizi wa mapato na mageuzi ya mfumo wa kodi, ili kuongeza ufanisi wa ukusanyaji wa mapato na kuwezesha utekelezaji wa malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

Hayo yamesemwa na Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), alipokutana na kufanya mazungumzo na Uongozi wa KPMG East Africa, ukiongozwa na Mkurugenzi Msimamizi wa Kampuni hiyo, Bw. Alexander Njombe, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam.

Alisema kuwa Serikali inathamini mchango wa kampuni hiyo kupitia huduma za ushauri wa kitaalamu na kisera katika kusaidia Serikali kufanya maboresho mbalimbali yenye tija kwa uchumi wa Taifa.


“Serikali inafurahia ushauri tunaoupata kutoka KPMG, hasa katika masuala ya sera, tunathamini ushirikiano huu kwa sababu unatupa fursa ya kupata mtazamo mpana na ushahidi unaoweza kutusaidia kuboresha maamuzi yetu,” alisema Mhe. Balozi Omar.

Mhe. Balozi Omar alisema ushirikiano kati ya Serikali na KPMG umejikita katika maeneo mbalimbali, ikiwemo mazungumzo ya kisera, ushauri wa kitaalamu na kiufundi, pamoja na masuala yanayohusu maboresho ya mfumo wa kodi, na Serikali imekuwa ikinufaika na ushauri unaotolewa na wataalamu wa KPMG, ambao mara nyingi hujikita katika ushahidi na takwimu, jambo linalosaidia Serikali kufanya maamuzi yanayozingatia uhalisia wa mazingira ya kiuchumi.

Aidha alisema Serikali haiwezi kufanya mageuzi ya mfumo wa kodi kwa kujifungia ndani ya taasisi zake pekee, bali inahitaji pia maoni na uzoefu kutoka kwa wataalamu wa sekta binafsi na taasisi zenye uzoefu katika nchi mbalimbali, na uwepo wa KPMG nchini Tanzania na nchi nyingine za ukanda wa Afrika unatoa fursa ya kufanya ulinganisho wa mifumo ya kodi na kujifunza uzoefu wa nchi nyingine, hatua ambayo inaweza kusaidia kuendelea kuboresha mazingira ya kodi nchini.

Aliongeza kuwa katika kuendeleza ushirikiano huo, Serikali imeainisha maeneo mbalimbali ambayo inaweza kushirikiana na KPMG, ambayo ni muhimu katika kipindi ambacho Tanzania imeanza kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, na yataibadilisha Tanzania kuwa nchi yenye uchumi shindani, unaozalisha fursa na kuboresha maisha ya wananchi.

“Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ni ya wote, hatuwezi kusema Serikali ifanye kila kitu peke yake, wakati sekta binafsi ndiyo inayofanya sehemu kubwa ya shughuli za kiuchumi,  tunahitaji kukaa pamoja, kushauriana na kujenga mambo yatakayosaidia Taifa kufikia malengo tuliyojiwekea,” alisema Mhe. Balozi Omar.

Kwa upande wake, Mkurugenzi Msimamizi wa Kampuni ya Kimataifa ya Ukaguzi na Ushauri wa Kitaalamu ya KPMG East Africa, Bw. Alexander Njombe, alisema kuwa KPMG iko tayari kuendelea kutumia mtandao wake wa kikanda na kimataifa, pamoja na utaalamu wa wataalamu wake katika sekta mbalimbali, kusaidia Serikali ya Tanzania kupata maarifa na uzoefu unaoweza kuchochea uwekezaji na maendeleo katika mikoa na sekta mbalimbali nchini.

Alisema kuwa kupitia uwepo wa KPMG katika nchi nyingi za Afrika na duniani, Serikali inaweza kunufaika na uzoefu na mbinu bora zinazotekelezwa katika maeneo mengine, hususan katika matumizi ya teknolojia na Akili Unde(AI), ufanyaji wa maamuzi unaozingatia takwimu, ufanisi wa kiutendaji pamoja na utaalamu mahsusi katika sekta kama nishati na maliasili, jambo ambalo linaweza kusaidia kuongeza ufanisi wa sera na uwekezaji na kuchangia utekelezaji wa malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, Mshirika wa Masuala ya Kodi wa KPMG (Tax Partner), Bi. Fabiola Ssebuyoya, Mshirika wa Huduma za Uhakiki na Ukaguzi (Assurance Partner), Bw. Adolph Boyo na maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha.

 


Na Peter Haule na Joseph Mahumi, WF, Dar es Salaam


Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omar (Mb), ametoa rai kwa Taasisi ya Wahasibu, Wakaguzi na Washauri Elekezi wa Kodi Zanzibar (ZIAAT) kuhakikisha kuwa inajenga uwezo wa kitaaluma unaoambatana na maadili, ili taaluma hizo ziwe na tija kwa jamii.

Ametoa rai hiyo alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe wa ZIAAT ulioongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi hiyo, CPA Ame Burhan Shadhil, katika Ofisi Ndogo za Wizara ya Fedha, jijini Dar es Salaam.

Mhe. Balozi Omar alisema kuwa Taifa linahitaji wataalamu wenye uwezo na weledi katika taaluma zao, lakini pia wenye maadili yanayoendana na elimu, utaalamu na ujuzi walioupata, akisisitiza kuwa maadili ni msingi muhimu katika kuhakikisha taaluma zinakuwa na mchango chanya katika maendeleo ya Taifa kwa sasa na kwa vizazi vijavyo.

“Tumebadilishana mawazo kuhusu namna ya kusimamia taaluma na namna ambavyo ZIAAT inaweza kuendelea kushirikiana na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) ili kuimarika zaidi,” alisema Mhe. Balozi Omar.

Alisema kuwa ni muhimu ZIAAT kuendelea kushirikiana na taasisi zinazohusika na usimamizi wa taaluma hizo, ikiwemo NBAA, ili kupata ithibati (accreditation) na usajili unaotambulika katika taasisi mbalimbali za kitaaluma ndani na nje ya Tanzania.

“NBAA imekuwa ikishirikiana na ZIAAT katika kuwawezesha kupata usajili katika baadhi ya taasisi ndani ya Bara la Afrika, na ni muhimu ushirikiano huo ukaendelea,” alisema.

Aidha, Mhe. Balozi Omar alisema kuwa kuna ushirikiano mkubwa kati ya Mhasibu Mkuu wa Serikali wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mhasibu Mkuu wa Serikali wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), hususan katika ujenzi wa uwezo wa wataalamu na uimarishaji wa mifumo ya kitaaluma.

Alisema kuwa ushirikiano huo ni muhimu kwa kuwa ZIAAT inashughulikia maeneo mbalimbali ya taaluma, yakiwemo uhasibu, ukaguzi wa hesabu, ushauri wa masuala ya kodi pamoja na taaluma ya manunuzi (procurement).

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Wahasibu, Wakaguzi na Washauri Elekezi wa Kodi Zanzibar (ZIAAT), CPA Ame Burhan Shadhil, alimshukuru Mhe. Balozi Omar kwa kuonesha utayari wa kushirikiana na taasisi hiyo katika kuongeza ubora na weledi wa taaluma.

Alisema kuwa ZIAAT ni taasisi changa, lakini imeendelea kushirikiana vizuri na NBAA kupitia Mkataba wa Makubaliano (MoU), unaowezesha taasisi hizo kushirikiana katika utoaji wa elimu na uendeshaji wa semina za Maendeleo Endelevu ya Kitaaluma (CPD).

“Pamoja na kwamba taasisi yetu ni changa, tumekuwa na ushirikiano mzuri na NBAA kupitia MoU tuliyoingia. Kupitia ushirikiano huo, tumekuwa tukishirikiana katika utoaji wa elimu na kuendesha semina za CPD, ambapo kwa sasa tunafanya semina mbili kila mwaka,” alisema CPA Shadhil.

Aidha, alisema ZIAAT inatoa kozi ya Utaalamu wa Kodi (Professional Tax) inayowalenga wataalamu kutoka Tanzania Bara na Zanzibar, hivyo akatoa wito kwa wataalamu wa masuala ya kodi kutumia fursa hiyo kujiendeleza kitaaluma.

CPA Shadhil alisema Tanzania ina uhitaji mkubwa wa wataalamu wenye ubobezi katika masuala ya kodi, hivyo ni muhimu wataalamu kutumia fursa zilizopo ili kuimarisha taaluma hiyo na hatimaye kuwa na wataalamu bora wa Kodi nchini.

Alisema kuwa ushirikiano kati ya taasisi za kitaaluma ni muhimu katika kujenga uwezo, kuimarisha weledi na kuhakikisha kuwa wataalamu wanakuwa na elimu, ujuzi na maadili yanayokidhi mahitaji ya Taifa.

Kikao hicho klihudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya, Mhasibu Mkuu wa Serikali, CPA. Leonard Mkude, Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA), CPA Prof. Siasa Mzenzi, Kaimu Mkaguzi wa Ndani Mkuu wa Serikali, Mhandisi Kenneth Nindie na maafisa wengine waandamizi wa Wizara ya Fedha na ZIAAT.

 Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) imejipanga kikamilifu kuhakikisha inatoa huduma za matibabu na tiba za kibobezi kwa wanamichezo watakaoshiriki michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya Tanzania kuelekea mashindano hayo makubwa ya kimataifa.


MOI imesema imeweka mikakati mahsusi ya kuhakikisha wanamichezo watakaopata changamoto za majeraha wakati wa michuano hiyo, pamoja na wale watakaohitaji kupima afya zao, wanapata huduma za kisasa, za haraka na zenye viwango vya kimataifa.

Akizungumza leo jijini Dodoma kuhusu maandalizi hayo, Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya, amesema taasisi hiyo iko tayari kutumia wataalamu, miundombinu na teknolojia ilizonazo kuhakikisha wanamichezo wanapata huduma bora wakati wote wa michuano.

Amesema MOI ina zaidi ya Madaktari Bingwa Bobezi sita (6) waliobobea katika tiba za michezo (Sports Medicine), ambao wamepata mafunzo katika mataifa mbalimbali duniani na kurejea nchini wakiwa na ujuzi na uzoefu unaowawezesha kutoa huduma maalum kwa wanamichezo.

Kwa mujibu wa Dkt. Ulisubisya, baadhi ya wataalamu hao pia wamekuwa wakihudumia timu ya Taifa pamoja na kushirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), jambo linaloongeza uwezo wa MOI katika kushughulikia mahitaji ya kiafya ya wanamichezo wa ngazi ya juu.


KLINIKI MAALUM KWA WAGONJWA WA KIMATAIFA


Katika maandalizi hayo, MOI imeeleza kuwa ina Kliniki Maalum ya Wagonjwa wa Kimataifa (Premier and International Patient Services) inayolenga kutoa huduma kwa haraka na kwa viwango vinavyokidhi mahitaji ya wagonjwa na wageni wa kimataifa.

Huduma hiyo inatarajiwa kuwa sehemu muhimu katika kuwahudumia wanamichezo na wajumbe wa timu mbalimbali watakaohitaji huduma za kitabibu wakati wa michuano.

Aidha, MOI ina vyumba 25 vya kisasa vya kulaza wagonjwa wa kimataifa (Premier Wards), ambavyo vimeandaliwa kutoa mazingira bora ya malazi na matibabu kwa wagonjwa wanaohitaji huduma za kiwango cha juu.


TEKNOLOJIA NA VIFAA VYA KISASA

Dkt. Ulisubisya amesema uwezo wa MOI pia unaimarishwa na uwepo wa vifaa vya kisasa vya uchunguzi, tiba na upasuaji, vinavyowezesha wataalamu kutoa huduma za kibobezi kwa usahihi na kwa wakati.

Miongoni mwa vifaa hivyo ni MRI, CT Scan, Cathlab, Arthroscopic Towers, Brain Lab, Digital X-Ray, Ultrasound za kisasa, vifaa vya kisasa vya Microscopy kwa ajili ya upasuaji wa ubongo na mgongo, C-Arms pamoja na ETV Towers, sambamba na vifaa vingine vya kisasa.

Kwa kuwa michezo ya ushindani inaweza kuhusisha majeraha ya aina mbalimbali, MOI imesema uwepo wa teknolojia hizo unaipa uwezo wa kufanya uchunguzi wa haraka na kutoa matibabu yanayohitajika kulingana na aina na ukubwa wa jeraha.


KITENGO CHA DHARURA CHAWEKWA TAYARI


MOI pia imeweka mkazo katika maandalizi ya Kitengo cha Dharura, ambacho kimeandaliwa mahsusi kuhakikisha kinakuwa tayari kutoa huduma wakati wa kipindi cha michuano.

Dkt. Ulisubisya amesema MOI tayari ina uzoefu wa kuandaa huduma za dharura wakati wa mashindano makubwa ya michezo, akitoa mfano wa michuano ya CHAN, ambapo taasisi hiyo ilishiriki katika kutoa huduma za afya kwa maandalizi maalum.

Amesema uzoefu huo umejenga uwezo na utayari wa taasisi hiyo kukabiliana na mahitaji ya kitabibu yatakayojitokeza wakati wa AFCON 2027.

Kwa ujumla, MOI imesisitiza kuwa imejipanga kutumia wataalamu wake, huduma maalum, miundombinu na teknolojia ya kisasa kuhakikisha Tanzania inakuwa na mfumo madhubuti wa huduma za afya kwa wanamichezo wakati wa AFCON 2027.

“MOI tuko tayari kwa michuano ya AFCON Zanzibar na mikoa ya Arusha na Dar es Salaam,” amesema Dkt. Ulisubisya.

Kauli hiyo inaweka wazi dhamira ya MOI kuwa sehemu muhimu ya maandalizi ya Tanzania katika kuhakikisha mashindano hayo yanafanyika kwa maandalizi ya kutosha, ikiwemo uwepo wa huduma za afya zinazoweza kukidhi mahitaji ya wanamichezo wa ndani na wa kimataifa.

Taarifa hiyo imetolewa wakati wa kuwasilishwa kwa Taarifa ya Mafanikio ya Taasisi ya Tiba ya Mifupa Muhimbili (MOI) kwa kipindi cha mwaka mmoja kuanzia Julai 2025 hadi Juni 2026, iliyotolewa jijini Dodoma, Septemba 1, 2026, na Mkurugenzi Mtendaji wa MOI, Balozi Dkt. Mpoki Ulisubisya.

 



By Our Correspondent, Arusha

ARUSHA: The President’s Office – Regional Administration and Local Government (PO-RALG) is strengthening the digital capacity of government secondary school teachers in Arusha City and Arusha District councils through a four-day ICT training programme aimed at improving the use of technology in teaching and learning.

The training, involving government secondary school teachers, is being conducted in collaboration with the United Nations Educational, Scientific and Cultural Organisation (UNESCO) and the Tanzania Institute of Education (TIE) at Gold Crest Hotel in Arusha from September 1 to 4, 2026.

The programme is being implemented under the ICT Transforming Education in Africa – Phase III Project, supported through the Korean Funds-in-Trust (KFIT), and seeks to equip teachers with practical digital skills to effectively integrate Information and Communication Technology (ICT) into teaching, learning and assessment.


Speaking during the opening of the training, Assistant Director of Education at PO-RALG, Melchiory Baltazary, said the Government was committed to strengthening teachers’ capacity to use ICT effectively as part of efforts to improve the quality of education.

He said the collaboration between the Government, UNESCO and TIE was providing teachers with practical skills that could be applied directly in teaching, learning and assessment.

Mr Baltazary said strengthening teachers’ digital competencies was important in ensuring that the Government’s efforts to expand the use of technology in education translated into meaningful improvements in classroom practice.

He urged the participating teachers to make effective use of the knowledge and skills acquired during the training and share them with colleagues who had not attended the programme.

He said the cascade training approach, whereby trained teachers share their knowledge and skills with colleagues, would enable the benefits of the programme to reach more educators in their respective schools and councils.

Mr Baltazary also encouraged teachers to continue using available Government digital learning systems and resources to strengthen their professional competencies beyond the face-to-face training.

The training is aligned with the ICT Competency Standards for Teachers in Tanzania (ICT-CSTT), which provide a framework for developing teachers’ competencies in the effective integration of ICT into teaching and learning.

Speaking at the same event, Head of the Education Sector at the UNESCO Dar es Salaam Office, Dr Faith Shayo, said strengthening teachers’ digital competencies was essential to ensuring that Tanzania’s education system kept pace with rapid technological developments.



Dr Shayo urged the participating teachers to make full use of the training and share the knowledge and skills acquired with their colleagues after returning to their respective schools.

“We expect you to share what you learn here with your fellow teachers so that they can also keep pace with these transformations in education,” she said.

She said teachers were at the centre of education transformation because they were directly responsible for translating technological developments and innovations into meaningful classroom practice.

Dr Shayo added that technology should be used to improve the quality of teaching and learning, expand access to knowledge and equip learners with skills relevant to the 21st century.

Arusha Regional Academic Officer, Oscar Kapinga, said effective use of technology could simplify teaching and learning while expanding students’ access to knowledge and educational resources.

He urged teachers to ensure that ICT was applied in ways that directly contributed to improved learning outcomes.

The training covers key areas of digital competency, including digital learning tools and platforms, ICT integration in teaching and assessment, Open Educational Resources (OER), online information-search skills and the use of technology in curriculum implementation.

Participants are also being trained in interactive teaching approaches, management of school records and information, development of digital learning resources, production of audio-visual educational content and the use of Artificial Intelligence (AI) in education.

The teachers are using the TIE Teachers Continuous Professional Development Learning Management System (TCPD LMS), linked to the Government’s MEWAKA system, to access training materials and undertake various learning modules.

Explaining the implementation of the project, Gabriela Lucas from UNESCO’s Education Sector, said the KFIT-supported programme was aimed at strengthening teachers’ ability to use technology effectively in teaching and learning while making use of existing Government systems to support continuous professional development.

She said teachers were central to the project because they played a direct role in integrating technology into everyday classroom practices.

“UNESCO aspires to see every teacher able to use ICT for learning and teaching,” she said.

Ms Lucas said the ICT-CSTT framework comprised different competency levels designed to enable teachers to progressively develop their digital skills according to their existing levels of competence.

She said the framework comprised 15 modules, with the Arusha training focusing on the Beginner and Intermediate levels, covering 10 modules, while also introducing participants to five modules under the Advanced level.

She explained that the project adopted a cascade training model, whereby teachers who receive the training are expected to share their knowledge and skills with other teachers in their respective schools.

“We have already conducted the training in Morogoro, and now we are in Arusha,” she said.

Ms Lucas said the project was being implemented in Tanzania, Namibia and Uganda, with UNESCO seeking to strengthen teachers’ capacity to use ICT effectively in modern education environments.

She said digital learning systems also provided teachers with opportunities for continuous professional development by enabling them to access learning materials and acquire new skills beyond face-to-face training sessions.

The training is also being supported by TIE. One of the facilitators, Watson Mtewele, said the modules used during the training were accessible through the teachers’ continuous professional development system known as MEWAKA.

He said the system enabled teachers to continue learning and strengthening their professional skills even after completing the face-to-face training.

The 64 teachers from Arusha City and Arusha District councils are expected to return to their respective schools and support other teachers in using digital tools and platforms, developing educational content and applying technology in teaching, learning and assessment.

The initiative is designed to create a wider network of digitally competent teachers through the sharing and transfer of knowledge and skills among educators, ultimately benefiting learners.

The programme also complements the efforts of the Sixth Phase Government under the leadership of President Dr Samia Suluhu Hassan to strengthen the use of ICT in education and develop a skilled and knowledgeable workforce capable of responding to the demands of the 21st century.

It is also aligned with the aspirations of Tanzania Development Vision 2050, which places emphasis on developing a knowledgeable, skilled and technologically capable population to drive national development.

The initiative therefore goes beyond enabling teachers to use digital devices and platforms. It is part of broader efforts to prepare teachers to equip learners with the knowledge, skills and competencies required to participate effectively in an increasingly technology-driven society and economy.

The four-day training continues at Gold Crest Hotel in Arusha and is scheduled to conclude on September 4, 2026.

Kufungua biashara na kuweka akiba zako zote za maisha kwenye mradi unaotarajia utakupa kipato endelevu ni ndoto ya kila mfanyabiashara.

Hata hivyo, pale unapoingiza mzigo mkubwa wa bidhaa kisha zikakaa meza na maghalani bila mtu yeyote kujitokeza kununua, maisha hugeuka kuwa chanzo cha msongo mkubwa wa mawazo na madeni yanayoongezeka kila siku.

Kwa zaidi ya mwaka mzima, nilipitia maumivu makubwa ya kifedha baada ya duka langu la bidhaa za vyakula na nguo kupoteza wateja kwa kasi ya ajabu.

Kila siku nilifungua duka mapema asubuhi na kukaa hadi usiku kucha bila kuuza hata bidhaa ya shilingi mia moja, huku bidhaa zinazoharibika haraka zikitupwa jalayani na nguo zikijaa vumbi.

Wakati huo huo, maduka ya majirani zangu yaliyokuwa na bidhaa za kawaida yalikuwa yakijaa wateja mfululizo.

​Nikiwa kwenye simanzi nzito na nikionekana kukata tamaa kabisa huku watoa mikopo wakishinikiza kuninyang’anya mali zangu, rafiki yangu mmoja aliyekuwa na biashara iliyofanikiwa alinitembelea.

Baada ya kushuhudia jinsi duka langu lilivyokuwa kama eneo lililotelekezwa, alinieleza ukweli unaowakumba wawekezaji wengi. SOMA ZAIDI.


Kuwekeza mtaji wako wote kwenye biashara ili kujenga maisha ya familia yako ni hatua inayohitaji mshipa mkubwa wa uvumilivu na kujinyima.

Hata hivyo, pale ambapo biashara yako inageuka kuwa shabaha ya majambazi na wezi huku maduka ya majirani zako yakiwa salama kabisa, maisha hugeuka kuwa hofu ya mara kwa mara na msongo mzito wa mawazo.

Kwa zaidi ya miaka miwili, nilipitia maumivu makubwa ya kifedha na kisaikolojia baada ya duka langu la jumla kuvamiwa na kuibiwa mara tatu mtawalia.

Kila mara nilipofanikiwa kujinyima na kujaza bidhaa mpya kwa mikopo ya benki, wezi walivunja usiku na kusafisha kila kitu, wakiniacha nikiwa na madeni makubwa na fedheha mbele ya waliostahili kulipwa.

Nilibaki nikikosa amani ya kulala usiku, nikihofia hata maisha yangu na familia yangu. Nikiwa kwenye simanzi hiyo na nikifikiria kufunga biashara yangu kabisa ili kukimbia madeni, mfanyabiashara mwandamizi wa mtaani kwetu alinitembelea.

Baada ya kushuhudia jinsi nilivyokuwa nikiteseka, alinieleza ukweli kwamba matukio ya kuibiwa mara kwa mara katika eneo moja mara nyingi hutokana na mikosi, vifungo vya kishirikina kutoka kwa washindani wenye wivu, au ukosefu wa kinga imara ya kiasili inayoweza kuzuia nia mbaya za maadui.SOMA ZAIDI.
Kuhitimu masomo ya elimu ya juu na kushika vyeti vya taaluma ni hatua inayompa kila kijana matumaini makubwa ya kupata ajira na kujenga maisha yake.

Hata hivyo, pale unapohangaika kutuma maombi ya kazi kwa miaka mitano mtawalia bila hata kuitwa kwenye usahili mmoja, maisha hugeuka kuwa chanzo cha maumivu makubwa na kukata tamaa.

Baada ya kumaliza masomo yangu ya chuo kikuu, nilikuwa na ndoto kubwa za kupata ajira nzuri ili kuwasaidia wazazi wangu waliopambana kunisomesha kwa shida. Hata hivyo, mambo yalikwenda tofauti kabisa.

Kila siku nilitembea na bahasha za vyeti vyangu kwenye maofisi mbalimbali, nikituma mamia ya barua za maombi mtandaoni na kufuata kila nafasi iliyotangazwa, lakini sikuishia kuona wenzangu niliosoma nao wakiajiriwa huku mimi nikibaki nikidharaulika na kuonekana mzigo kwa familia.

​Nikiwa kwenye simanzi nzito na nikianza kuamini kuwa nimerogwa au nina mikosi ya kuzaliwa nayo, rafiki yangu mmoja wa zamani alinitembelea.

Baada ya kuona jinsi nilivyokuwa nikiteseka na msongo wa mawazo, alinieleza ukweli kuwa ukosefu wa ajira usio na sababu mara nyingi hutokana na nyota ya mafanikio kufungwa na maadui au kuvishwa ukungu wa kishirikina unaofanya waajiri wasione thamani yako. SOMA ZAIDI.
NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO

WAKALA wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) umesisitiza matumizi sahihi ya Akili Bandia (AI) na elimu ya Sayansi, Teknolojia, Uhandisi na Hisabati (STEM) katika kuboresha ubora wa elimu na kuwaandaa wanafunzi kukabiliana na mahitaji ya karne ya 21.

 






By Our Correspondent, Arusha

ARUSHA: Empowering teachers with digital skills is critical to transforming Tanzania’s education system and preparing learners for a technology-driven future, Head of the Education Sector at the UNESCO Dar es Salaam Office, Dr Faith Shayo, has said.

Dr Shayo made the remarks in Arusha while officially opening a four-day ICT training programme for government secondary school teachers from Arusha City and Arusha District.

The training, taking place at Gold Crest Hotel from September 1 to 4, 2026, is being implemented by UNESCO in collaboration with the Ministry of Education, Science and Technology (MoEST), the Tanzania Institute of Education (TIE) and the President’s Office – Regional Administration and Local Government (PO-RALG) under the ICT Transforming Education in Africa – Phase III Project, supported through the Korean Funds-in-Trust (KFIT).


The programme is designed to strengthen teachers’ ability to integrate ICT effectively into teaching, learning and assessment, while equipping them with practical skills in digital content development and the use of emerging technologies, including Artificial Intelligence (AI).

The training is aligned with Tanzania’s ICT Competency Standards for Teachers in Tanzania 2025 (ICT-CSTT), which provide a national framework for strengthening teachers’ knowledge, skills and competencies in the effective integration of ICT into teaching and learning.

Dr Shayo said teachers were at the heart of education transformation because they were responsible for translating innovations and technological developments into meaningful classroom experiences for learners.

She urged the participating teachers to make full use of the training and share the knowledge and skills acquired with their fellow teachers after returning to their respective schools.

“We expect you to share what you learn here with your fellow teachers so that they can also keep pace with these transformations in education,” she said.

Dr Shayo emphasised that digital transformation in education should go beyond providing access to technology, stressing the importance of ensuring that teachers have the confidence, competence and capacity to use digital tools effectively to improve learning.

She said technology should be used to enhance the quality of teaching and learning, expand access to knowledge and equip learners with relevant skills for the 21st century.

She also highlighted the importance of the cascade training approach, whereby teachers who receive specialised training share their knowledge and skills with colleagues in their respective schools.

According to Dr Shayo, the approach is important in expanding the number of digitally competent educators and ensuring that the benefits of investment in teacher training reach more schools and learners.

The training covers key areas of the ICT Competency Standards for Teachers in Tanzania, including ICT integration in teaching and assessment, digital learning platforms, Open Educational Resources (OER), online information-search skills, digital content development, curriculum implementation and the use of Artificial Intelligence (AI) in education.

Participants are also being introduced to interactive teaching approaches, management of school records and information, and the production of audio-visual educational content.

The programme reflects UNESCO’s broader commitment to strengthening teachers’ digital competencies as a foundation for effective technology integration in education. It also complements Tanzania’s national efforts to build a digitally capable teaching workforce.

The initiative supports the Sixth Phase Government’s efforts to strengthen the use of ICT in education and develop a skilled, knowledgeable and technologically capable workforce.

It further contributes to the aspirations of the Tanzania Development Vision 2050, which places human capital development, science, technology, innovation and digital capabilities at the centre of Tanzania’s long-term transformation.

By strengthening teachers’ digital competencies, the programme is contributing to national efforts to improve the quality of education, advance digital transformation and prepare teachers and learners for an increasingly technology-driven society and economy.

The teachers are expected to return to their respective schools as digital learning champions, sharing the knowledge and skills acquired with their colleagues and supporting the effective use of technology in classroom practice.

Through this approach, UNESCO and its partners are supporting the development of a stronger community of digitally competent educators capable of using technology, developing relevant learning resources and helping prepare the next generation of Tanzanians for a rapidly changing world.

The four-day training concludes on September 4, 2026.

#UNESCO #DrFaithShayo #Education #ICT #DigitalTransformation #DigitalEducation #ICTCSTT #Teachers #Arusha #Tanzania #AIinEducation #KFIT #Vision2050

ARUSHA: UNESCO, in collaboration with the Tanzania Institute of Education (TIE) and the President’s Office – Regional Administration and Local Government (PO-RALG), is strengthening the digital skills of 64 government secondary school teachers from Arusha City and Arusha District through a four-day ICT training programme.


The training, taking place at Gold Crest Hotel in Arusha from September 1–4, 2026, is being implemented under the ICT Transforming Education in Africa – Phase III Project, supported through the Korean Funds-in-Trust (KFIT).


The programme is equipping teachers with practical skills to effectively integrate ICT into teaching, learning and assessment, as well as to develop digital learning content and use emerging technologies, including Artificial Intelligence (AI).

The training also covers Open Educational Resources (OER), digital learning platforms, online information-search skills, digital content development and the use of technology in curriculum implementation.

Speaking during the opening of the training, Head of the Education Sector at the UNESCO Dar es Salaam Office, Dr Faith Shayo, urged participants to share the knowledge and skills acquired with their fellow teachers after returning to their schools.

“We expect you to share what you learn here with your fellow teachers so that they can also keep pace with these transformations in education,” she said.

The initiative adopts a cascade training approach, through which trained teachers are expected to support and build the digital capacity of other teachers in their respective schools.


The programme forms part of broader efforts to strengthen teachers’ digital competencies and ensure that educators are better prepared to respond to the changing demands of 21st-century education.



#UNESCO #Education #ICT #DigitalEducation #DigitalSkills #Teachers #Arusha #Tanzania #AIinEducation #KFIT