Na OWM - TAMISEMI, Dodoma

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Prof. Riziki Shemdoe, leo amepokea mpango mkakati wa ukamilishaji wa ujenzi wa jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kutoka kwa  Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro, Dkt. Mussa Ali Mussa (Mshitiri), Msanifu Majengo Justine Katabalo wa Kampuni ya MCB Company Ltd (Mkandarasi) pamoja na Mhandisi Khamadu Kitunzi kutoka Wakala wa Majengo Tanzania (Mshauri Elekezi), ikiwa ni utekelezaji wa maelekezo yake aliyoyatoa Januari 17, 2026 mjini Morogoro wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo.

Prof, shemdoe ameridhishwa na mpango mkakati uliowasilishwa ambao utawezesha jengo la Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro kukamilia ifikapo Juni 07, 2026 tofauti na maelekezo ya awali ambapo ilipaswa jengo hilo kukamilika mwezi Julai 2026.

Awali, Prof. Shemdoe alielekeza ndani ya wiki moja Katibu Tawala Mkoa wa Morogoro, Mkandarasi kampuni ya MCB Company LTD na Mshauri Elekezi Wakala wa Majengo (TBA) kukutana na kuandaa mpango mkakati wa kukamilisha ujenzi wa jengo hilo na kuuwasilisha ofisini kwake leo.

Prof. Shemdoe alilazimika kutoa maelekezo hayo baada ya kutoridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa jengo hilo, licha ya kutokuwa na changamoto ya fedha. Ujenzi  wa jengo hilo  ulianza kutekelezwa Mei 27, 2022 na ulitakiwa kukamilika Mei 26, 2024.











Nilipoachwa ghafla, nilihisi dunia imenigeuka. Ndoa yangu ilivunjika bila onyo, na nilibaki na maswali mengi yasiyo na majibu. 

Watu waliniona kama mwanamke aliyeshindwa, baadhi wakinionea huruma, wengine wakinicheka nyuma ya pazia.

Usiku nililala kwa mawazo mazito; mchana nilitembea nikiwa sina mwelekeo. Nilijaribu kuanza upya, lakini kila nilipoinuka, moyo ulivunjika tena. 

Mateso yalizidi nilipopoteza hata heshima yangu. Nilijihisi peke yangu, nikilaumiwa kimya kimya kwa mambo ambayo sikuyafanya.

Nilijaribu mazungumzo ya busara, nikatafuta ushauri wa kifamilia, hata nikavumilia ukimya. Hakuna kilichobadilika. 

Nilifika mahali nikahisi tumaini lote limeisha, na maisha yangu yamewekwa kwenye kona isiyoonekana.

Siku moja, tukio la kushangaza lilitokea na kujaa vichwa vya habari mitaani. Kulikuwa na simulizi zilizopotoshwa zikisema kuwa nilimteka mwanaume fulani. 

Ukweli ni kwamba nilijikuta katikati ya hali isiyoeleweka, maneno yakichanganywa, na hofu ikitawala.

Nilijua kuwa kulikuwa na nguvu zisizoeleweka zilizokuwa zikicheza na hisia na uamuzi wa watu. Nilitambua wazi kuwa bila msaada wa kweli, ningezidi kupotea. Soma Zaidi....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mwanamke-mmoja-ashangaza-baada-ya-kumteka-jamaa-mmoja-na-kumfanya-mume-kisa-kuachwa/
Nilizaliwa kwenye familia ya kawaida sana, bila jina, bila mtaji, na bila mtu wa kunisukuma mbele. Wakati wenzangu walionekana kuwa na mwelekeo maishani, mimi nilikuwa napambana na umaskini, kejeli na kukataliwa kila mahali nilipojaribu.

Shuleni nilidharauliwa, mitaani nilionekana kama asiye na maana, na hata nyumbani nilionekana kama mzigo. Kila nilipoonyesha ndoto zangu, watu walicheka. Mateso yangu hayakuishia hapo. Nilipofika utu uzima, nilipitia kushindwa mara kwa mara.

Kazi nilikosa, miradi ilifeli, marafiki walinigeuka. Nililala njaa siku kadhaa, nikihama makazi mara kwa mara, nikiishi kwa msaada wa watu. Kilichoniumiza zaidi ni kwamba nilikuwa na kipaji, lakini kilionekana kama kimefungwa.

Nilijitahidi kwa nguvu zangu zote, lakini kila nilipojaribu kusonga mbele, kitu kisichoonekana kilinirudisha nyuma. Nilifika mahali nikaanza kujiuliza maswali mazito: kwa nini ni mimi? Kwa nini juhudi zangu hazizai matunda?

Nilianza kukata tamaa, nikaacha hata kuwaambia watu ndoto zangu. Usiku nililala nikiwa na mawazo mazito, mchana nilitembea bila mwelekeo. Ilifika wakati nilihisi kabisa kuwa maisha yangu yamefikia mwisho kabla hata hayajaanza.

Mabadiliko yalianza baada ya kukutana na mtu mmoja aliyenisikiliza bila kunihukumu. Aliniambia ukweli ambao nilikuwa nikiuhisi muda mrefu moyoni: kwamba wakati mwingine mateso ya muda mrefu hayatokani na uvivu au laana ya kawaida, bali nyota ya mtu inaweza kufungwa. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/kijana-apitia-mateso-mazito-lakini-akaja-kuwa-mtu-maarufu-duniani/
Nilianza kuona ndoto zile bila kuelewa maana yake. Kila usiku karibu saa ile ile, mwanaume yule yule alinitokea. 

Sikuwa namjua, lakini alionekana kama mtu wa karibu sana nami. Ndoto hizo zilikuwa na hisia kali kiasi cha kuniacha nikiwa nimechanganyikiwa nilipoamka.

Nilikuwa nikijiuliza kwa nini ndoto zinajirudia, na kwa nini moyo wangu ulikuwa ukimsikia mtu nisiyemjua. 

Kadri siku zilivyopita, ndoto ziliongezeka. Nilijaribu kupuuza, kujiambia ni mawazo tu, labda uchovu au msongo wa mawazo. Lakini hapana.

Kila nilipozidi kujaribu kuzisahau, zilirejea kwa nguvu zaidi. Nilianza kupoteza usingizi, nikahisi kama kuna kitu kisicho cha kawaida kinanifuata. Hapo ndipo hofu ilianza. Nilihisi kama nimefungwa na jambo nisilolielewa.

Nilizungumza na marafiki wachache, baadhi waliinicheka, wengine waliniambia niombe au nipumzike. Hakuna aliyenisaidia. 

Nilianza kukata tamaa, nikaogopa hata kulala. Ndipo siku moja jambo la kushangaza likatokea.

Nikiwa kwenye shughuli zangu za kawaida, nilikutana uso kwa uso na mwanaume niliyekuwa nikimuona kwenye ndoto. Alikuwa yuleyule, sura, sauti, hata namna ya kunitazama. Nilisimama kama nimerogwa.

Tulipoanza kuzungumza, ilionekana kana kwamba tulikuwa tukifahamiana kwa muda mrefu. Nilitetemeka. Nilijua wazi kuwa hili halikuwa jambo la kawaida. Hapo ndipo nilipoamua kutafuta msaada wa kweli.Soma Zaidi...

https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mdada-afanya-mapenzi-na-mwanaume-kwa-ndoto-ashtuka-kupatana-naye-live/
Sikuwahi kufikiria kuwa kazi ingetuingiza kwenye hali ya ajabu kiasi hiki. Nilikuwa mfanyakazi wa kawaida, nikifanya bidii ili kutimiza malengo yangu. Boss wangu alikuwa mkali, mwenye sauti kubwa na hakuamini mtu kirahisi.

Kila siku nilijitahidi kuonyesha uwezo wangu, lakini licha ya juhudi zote, nilionekana kupuuzwa. Ilifika wakati nilianza kuamini labda sifai, au kuna jambo linafanyika kisiri dhidi yangu. Kadri muda ulivyopita, hali ilizidi kuwa ngumu.

Kila nilipokaribia kupata nafasi au kupendekezwa, jambo lilibadilika ghafla. Wenzangu walinipita, na mimi nilibaki nikijiuliza kosa langu ni nini. Nilihisi kama nyota yangu ya kazi imezimwa, na matumaini yakaanza kupotea. Nilijaribu kubadilisha idara, kuongeza bidii, hata kujinyenyekeza, lakini bado hakuna kilichobadilika.

Nilipokuwa karibu kukata tamaa, nilipata ushauri kutoka kwa mtu niliyemwamini aliyeniambia ukweli mchungu: wakati mwingine si bidii pekee inayohitajika, bali kurekebisha mvuto na bahati ya mtu. Soma Zaidi....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mwanaume-mmoja-ampa-mapenzi-boss-wake-sasa-apagawa-kila-muda-anamuita-kwake/
Nilipoachwa, dunia yangu ilionekana kusimama. Mwanamke niliyempenda kwa moyo wangu wote alinigeuka ghafla na kuniacha bila maelezo ya kueleweka. Nilidharauliwa, nikachekwa, na hata baadhi ya marafiki walijitenga nami wakiamini maisha yangu yamefika mwisho.

Kila mahali nilipopita nilihisi macho ya watu yananiona kama mtu aliyeshindwa kimaisha na kimapenzi. Nilijaribu kuanza upya. Nilijaribu kujiamini tena, kuzungumza na watu wapya, hata kuomba na kujipa moyo.

Lakini kila nilipojaribu kusonga mbele, jambo fulani lilikuwa linanirudisha nyuma. Nilikuwa na biashara ndogo, nayo ilianza kudorora. Bahati ilinipotea, mapenzi hayakutokea, na siku zikawa nzito kama miezi.

Mara nyingi nilikaa peke yangu nikijiuliza kama nililaaniwa au kama kuna mtu alikuwa amefunga nyota yangu.Soma Zaidi....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jamaa-aliyeachwa-apata-bahati-ya-kupendwa-na-kufanya-harusi-ya-kitaifa/

 


Ujenzi wa mabweni ya wasichana katika Chuo cha Maendeleo ya Jamii Monduli umefikia asilimia 58, hatua inayotarajiwa kuongeza fursa ya makazi kwa zaidi ya wanafunzi 500 pindi mradi huo utakapokamilika.

Akizungumza wakati wa ziara ya kutembelea mradi huo chuoni hapo, Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Mhe. Mhandisi Maryprisca Mahundi, amesema kukamilika kwa mabweni hayo kutasaidia kulinda usalama wa wanafunzi wa kike na kuwawezesha kusoma katika mazingira salama na tulivu.

“Watoto wakike wako kwenye hatari zaidi wanapolazimika kuishi nje ya maeneo ya Chuo. Kukamilika kwa mabweni haya kutapunguza changamoto za kiusalama na kuwapa wasichana wetu nafasi ya kusoma kwa utulivu na kuzingatia ndoto zao,” amesema Mhe. Mahundi.

Mhe. Mahundi amesema Serikali inaendelea kuboresha miundombinu ya Vyuo vya Maendeleo ya Jamii nchini ili kuhakikisha wanafunzi wanapata mazingira rafiki ya kujifunzia, hususan kwa masomo ya ufundi na ujuzi.

Kwa upande wake, Mkuu wa Chuo cha Maendeleo ya Jamii Monduli, Boniface Daniel amesema fedha walizopokea hivi karibuni zitasaidia kuingia awamu ya nne ya ujenzi wa mabweni hayo, hatua itakayoharakisha kukamilika kwa mradi huo.

“Fedha tulizopokea zitatuwezesha kuendelea na awamu ya nne ya ujenzi. Lengo letu ni kuhakikisha mabweni haya yanakamilika kwa wakati ili wanafunzi wengi zaidi wanufaike,” amesema Mkuu wa Chuo Boniface Daniel.

Nao baadhi ya wanafunzi wa Chuo hicho wamepongeza jitihada za Serikali katika ujenzi wa mabweni hayo, wakisema yatasaidia kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuongeza morali ya masomo, hasa katika kozi za ufundi.

Katika ziara yake chuoni hapo, Naibu Waziri Mhandisi Maryprisca Mahundi ametembelea madarasa ya ushonaji, eneo la ujenzi wa mabweni hayo pamoja na kufanya mazungumzo na wanafunzi, akiwahimiza kuzingatia nidhamu na kutumia fursa za elimu ya ufundi zinazotolewa na Serikali.













 


Naibu Waziri wa Maendeleo ya jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Mbeya ameanza ziara ya kikazi Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha ukiwa ni muendelezo wa kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali.

Awali Mhandisi Maryprisca Mahundi amefika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM)Wilaya ya Monduli kwa ajili ya utambulisho.

Akiongea na uongozi CCM wa Wilaya ya Monduli Mheshimiwa Mhandisi Maryprisca Mahundi ameahidi kutekeleza majukumu kwa lengo la kumsaidia Mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye pia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan.

Waziri na Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii Wanawake na Makundi Maalumu wanafanya ziara nchi nzima kukagua miradi mbalimbali ikiwemo ujenzi wa mabweni ya wasichana katika vyuo vya Maendeleo ya jamii.












 


๐Ÿ“Œ Amshukuru Mhe.Rais Dkt Samia  kwa kuboresha maslahi ya wafanyakazi

๐Ÿ“Œ Asisitiza usimamizi bora wa masuala ya haki za wafanyakazi na utoaji wa elimu kwa umma na kuboresha utoaji wa huduma za umeme nchini.

Waziri wa Nishati Mhe. Deogratius Ndejembi, leo tarehe 22 Januari, 2026 amefungua rasmi Kikao cha 55 cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kinachofanyika mkoani Dodoma.

Akizungumza wakati wa ufunguzi wa kikao hicho, Waziri Ndejembi amemshukuru Mhe. Rais Dkt Samia kwa kuboresha maslahi na stahiki za wafanyakazi wa TANESCO, huku akisisitiza usimamizi madhubuti wa masuala ya haki za wafanyakazi na kuimarisha ushirikiano mahali pa kazi, pamoja na kuendeleza utoaji wa elimu kwa umma kuhusu masuala mbalimbali yanayohusu huduma ya umeme. 

"Natambua mmekutana hapa  kujadili kwa kina mambo yanayowahusu wafanyakazi naomba mhakikishe mnazungumza yote na kukubaliana ili kuendelea kuboresha utendaji wa shirika na maslahi ya wafanyakazi''.

Amehimiza pia umuhimu wa kuendelea kuboresha utoaji wa huduma bora na za uhakika za umeme kwa wateja wake nchini.

Akimkaribisha katika kikao hicho Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la umeme Bw. Lazaro Twange amemshukuru Mhe Waziri kwa kukubali wito wa kuja kufungua kikao hicho na kumuahidi kuwa wataendelea kusimamia haki za wafanyakazi na kuhakikisha wanakuwa na matokeo katika utendaji.

“Kipekee nikushukuru kwa kuitikia wito wa kuja kutufungulia kikao hiki, kama Mwenyekiti wa baraza hili nikuahidi kuwa nitaenda kuyasimamia yote tutakayojadili hapa kwa ajili ya kuleta tija na maendeleo ya Shirika hili na kuongeza ufanisi katika kuhudumia wananchi”, alieleza Twange. 

Kikao hicho kimewakutanisha viongozi wa TANESCO, wawakilishi wa Chama cha Wafanyakazi (TUICO), Wakurugenzi wa Kanda, pamoja na wawakilishi wa wafanyakazi kutoka kampuni tanzu na ofisi mbalimbali za mikoa nchini.

Waziri wa Viwanda na Biashara, Mhe. Judith Kapinga, amemtaka Afisa Ushirika wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga, mkoani Ruvuma, kuhakikisha anasimamia kwa karibu malipo ya wakulima wa kahawa ili kuwalinda dhidi ya ucheleweshaji wa fedha zao unaofanywa na baadhi ya kampuni zinazonunua zao hilo.

Mhe. Kapinga, ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Mbinga Vijijini, ametoa maelekezo hayo mapema wiki hii alipokuwa akizungumza katika kikao na viongozi wa Vyama vya Msingi vya Ushirika (AMCOS) kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbinga.

Amesisitiza kuwa zao la kahawa ni uti wa mgongo wa uchumi wa Wilaya ya Mbinga na chanzo kikuu cha maisha ya wananchi wengi, hivyo Serikali haitavumilia kuona watu wachache wanaitia doa kutokana na uzembe au kushindwa kusimamia ipasavyo sheria na kanuni ili wakulima walipwe fedha zao za mauzo ya kahawa kwa wakati.

Katika maelekezo yake, Waziri Kapinga amemwagiza Afisa Ushirika wa wilaya hiyo, kufuatilia kwa karibu na kuhakikisha wakulima wanalipwa fedha zao kwa wakati bila visingizio, huku akiwataka watumishi kutotumia masuala ya ukomo wa malipo kama kisingizio cha kuwakandamiza wakulima.

Kwa upande mwingine, Waziri Kapinga amemtaka Mkurugenzi wa Halmashauri hiyo, kufanya tathmini upya ya kampuni ya Mamba Coffee ili kubaini kama inastahili kuendelea kupewa kibali cha kununua kahawa, kutokana na malalamiko ya ucheleweshaji wa malipo kwa wakulima, amesema kuchelewesha malipo ni sawa na kuwarudisha nyuma wakulima na maendeleo yao.

Vilevile, amewahimiza viongozi wa vyama vya ushirika kukaa vikao na kufanya maamuzi muhimu mapema kabla ya kuanza kwa msimu wa kilimo, ili kuzuia migogoro inayoweza kuepukika.

Pia ametoa onyo kali dhidi ya matumizi mabaya ya fedha za ushirika, akisisitiza kuwa hatua za kisheria zitachukuliwa kwa yeyote atakayebainika kutumia fedha hizo kwa maslahi binafsi hatavumiliwa.