Biashara yangu ilikuwa ikipata mapato mazuri kwa miaka kadhaa, lakini ghafla kila kitu kilibadilika. Wateja wangu walianza kupungua kwa kasi, mapato yangu yalishuka, na siku moja niligundua kuwa nimepoteza wateja wote wa kawaida.

Nilihisi kukosa udhibiti wa biashara yangu, na hofu ilianza kunishika. Nilijua kwamba ikiwa sitafanya kitu haraka, kila kitu nilichojenga kitakuwa kimeharibika. Nilijaribu njia mbalimbali kupiga matangazo.

Kutoa punguzo, hata kuwasiliana moja kwa moja na wateja waliokuwa wanarudi mara kwa mara lakini matokeo yalikuwa hafifu. Hali ilikuwa mbaya kiasi kwamba siku moja nikakaa tu nikijaribu kuelewa ni wapi nilikosea.Soma Zaidi..https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoteza-wateja-wangu-wote-ghafula-lakini-njia-moja-niliyojaribu-iliwarudisha-kwa-kasi-isiyotarajiwa/

Nilikuwa nikiwa na ndoa ya miaka minne, lakini kila siku ilikuwa ni changamoto. Tulikuwa tukigombana mara kwa mara, hisia za hasira na huzuni zilijaza nyumba yetu. Kila jaribio la kuzungumza au kutafuta suluhisho lilimalizika kwa chuki na kuchukiana.

Nilihisi kwamba maisha yangu ya ndoa yalikosa maana na kila kitu kilikuwa kikienda mrama.
Hali ilikuwa mbaya kiasi kwamba nilianza kujiuliza kama nilikuwa nimechagua mke sahihi.

Nilijaribu kila kitu; kuzungumza, kujaribu upendo, hata kutafuta ushauri wa rafiki, lakini hakuna kilichofanya tofauti. Hisia za upweke na huzuni zilikuwa sehemu ya maisha yangu ya kila siku. Soma Zaidi.....https://kiwangadoctor.com/kiswahili/miaka-nne-ndoani-bila-amani-kilichobadilika-baada-ya-kuchukua-uamuzi-mmoja-kilinishangaza-mwenyewe/
Nilikuwa nikiwa na uhusiano wa miaka miwili na mpenzi wangu wa zamani. Kila kitu kilionekana sawa mwanzoni. 

Tulicheka pamoja, tulishirikiana changamoto na kuota ndoto za pamoja. Nilidhani tumekamilika na kila kitu kipo sawa.

Lakini ghafla alibadilika. Alinitupa bila sababu ya wazi. Aliniacha nikihisi kuchukuliwa na kutupwa bila huruma. Siku za mwanzo nilijaribu kukabiliana na maumivu haya peke yangu, lakini kila jaribio liliishia kwa huzuni na hisia za upweke.

Nilihisi kuwa maisha yangu yalikuwa yamevunjika. Hata hivyo, mambo yalibadilika baada ya muda mfupi. Bila mimi kujitahidi, alianza kunisumbua kila siku. 

Alituma ujumbe, alipojaribu kunipigia simu bila sababu, na mara nyingine hata kuonekana karibu na marafiki wangu.

Nilihisi kuharibika kihisia. Kila kitu kilionekana kuwa nje ya udhibiti wangu. Nilihisi hisia za hasira, kuchoshwa, na hofu kwa kila hatua yake. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/alinitupa-bila-majuto-lakini-muda-mfupi-baadaye-alianza-kunisumbua-kila-siku-bila-mimi-kujitahidi/
Mwaka huu nilianza kwa hofu isiyoelezeka. Kila siku niliamka nikijiuliza kama nitakuwa salama. Sasa hivi mambo yalikuwa yakizidi kuumiza akili zangu. Nilihofia wizi, mashambulizi, na hata miujiza mibaya kutoka kwa watu wasiojulikana.

Hali yangu ya hofu ilinifanya nishindwe hata kufanya kazi za kawaida nyumbani. Nilijaribu njia nyingi za kujilinda. Nilipata kila aina ya vidokezo kutoka kwa majirani na marafiki. Lakini hakuna kilichonisa matokeo.

Kila mara nilihisi hatari iko karibu. Nilihisi kama kila kitu kilikuwa kikinikabili, na siku nzima ilinifanyia shaka. Soma Zaidi........https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilihofia-usalama-wangu-mwaka-huu-hatua-nilizochukua-kuweka-kinga-yangu-iliyobadilisha-kila-kitu/
Kwa miezi mingi, kila siku ilianza kwa maumivu makali ya tumbo. Nilijisikia nikipoteza nguvu na hamu ya kufanya kazi. Maumivu hayo hayakuacha, na mara nyingine yalikuwa makali kiasi kwamba sikuweza hata kula chakula cha kawaida.

Nilijaribu dawa za kawaida, lakini mara nyingi zilikuwa kali sana au hazikutoa nafuu.
Nilijaribu njia mbalimbali za asili na mbinu za kitamaduni. Baadhi zilikua huru kwa muda mfupi, lakini maumivu yalirudi mara nyingi zaidi.

Nilihisi kuchanganyikiwa na kuchoka. Mara nyingine nilikuwa naogopa kuwa hali yangu ingeendelea kuwa mbaya zaidi, na maisha yangu ya kila siku yalikuwa kwenye hatari. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/kila-siku-nilikuwa-nikipata-maumivu-makali-ya-tumbo-hatua-moja-ilinisaidia-kupona-bila-dawa-kali/

 


Na. Joseph Mahumi na Saidina Msangi, WF, Dodoma.


Tanzania na Indonesia zimekubaliana kuendeleza zaidi ushirikiano wa kimaendeleo katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo na nishati kwa faida ya nchi hizo mbili. 

Hayo yamebainishwa jijini Dodoma, baada ya Waziri wa Fedha, Mhe. Balozi Khamis Mussa Omary (Mb), kukutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Mhe. Tri Yogo Jatmiko Avetisyan.

Akizungumza katika kikao hicho, Mhe. Balozi Omar, ameishukuru Serikali ya Indonesia kwa mchango wake mkubwa katika kusaidia sekta mbalimbali za uchumi wa Tanzania ikiwemo sekta za madini, kilimo na mifugo tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1964.

“Mwaka huu ni maadhimisho ya miaka 62 tangu kuanzishwa kwa uhusiano wa kidiplomasia kati ya Tanzania na Indonesia, na uhusiano wetu umeendelea kuimarika zaidi kadiri miaka inavyosonga mbele, na pia tumeona ziara kati ya viongozi wetu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alipotembelea Indonesia, na Mhe. Prabowo Subianto Rais wa Indonesia alipokuja Tanzania, hii ni ishara ya uhusiano thabiti unaojengwa juu ya heshima na ushirikiano wa kweli,” alisema Mhe. Balozi Omar.

Aidha, Mhe. Balozi Omar alisema kuwa, dhamira ya Indonesia katika kukuza maendeleo endelevu na kupunguza umasikini imechangia kubadilisha kwa kiasi kikubwa maendeleo ya kijamii na kiuchumi nchini Tanzania kupitia misaada ya kifedha, ushauri wa kitaalamu, na programu za kujenga uwezo.

Aidha Mhe. Balozi Omary aliwaalika wawekezaji kutoka Indonesia kuja kuwekeza nchini katika sekta mbalimbali za kiuchumi na kijamii ikiwemo kilimo, uongezaji thamani wa mazao, madini, viwanda, nishati, miundombinu, afya, elimu na utalii.

Kwa upande wake, Balozi wa Indonesia nchini Tanzania, Mhe. Tri Yogo Jatmiko Avetisyan, alisema kuwa katika kuhakikisha kuwa nchi hizo zinadumisha ushirikiano zaidi ya Watanzania 170 wamepata manufaa kupitia programu hizo za kujenga uwezo katika sekta mbalimbali ikiwemo kilimo, mifugo, nishati, madini, uvuvi na fedha.

“Tutahakikisha tunaimarisha zaidi uhusiano huu kwa kuongeza kuwajengea uwezo wataalmu wa Tanzania ili maeneo yote tuliyokubaliana kushirikiana yanaleta tija na ustawi mpana wa uhusiano wa nchi hizi mbili,” alisema Mhe. Balozi Avetisyan.

Kikao hicho kilihudhuriwa pia na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha, Bi. Amina Khamis Shaaban, Naibu Katibu Mtendaji wa Tume ya Mipango, Dkt. Blandina Kilama, Kamishna wa Idara ya Fedha za Nje Wizara ya Fedha, Bw. Rished Bade, Kamishna Msaidizi Idara ya Usimamizi wa Deni la Serikali, Bi. Tiba Kisonga na maafisa wengine waandamizi kutoka Wizara ya Fedha na ubalozi wa Indonesia nchini

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. CPA Amos Gabriel Makalla ameiagiza Wakala wa barabara za Mijini na Vijijini (TARURA) Mkoa wa Arusha, Jeshi la Polisi pamoja na Wakala wa Barabara Tanzania (TANROADS) kushughulikia kadhia ya foleni kwenye Jiji la Arusha kwa wakati ili kuondoa vikwazo katika shughuli za  kila siku za kiuchumi na Kijamii ndani ya Jiji la Arusha.

Katika kutekeleza agizo hilo, leo Jumatano Januari 14, 2026,  kimefanyika kikao kilichowahusisha Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa, TARURA, LATRA, TANROAD, Polisi na Idara ya Mipango Miji Jiji la Arusha, ambapo pamoja na mambo mengine wametangaza kufutwa kwa Vituo vya Mabasi katikati ya Jiji ambavyo vimekuwa vikitumika kushusha na kupakia abiria, wamiliki wa mabasi wakiagizwa kutumia Kituo Kikuu cha mabasi Arusha kwaajili ya abiria wao.

Kulingana na Mhandisi Julius Kaaya, Kaimu Meneja wa TARURA Mkoa wa Arusha akizungumza kwaniaba ya washiriki wa Kikao hicho, agizo hilo linaanza utekelezaji wake mara moja, wakitangaza kuchukua hatua kali za kisheria kwa kampuni ya mabasi itakayokaidi kutekeleza agizo hilo.

Kwa upande wake Afisa Mipango Miji Jiji la Arusha Bi. Doroth Absalom ameeleza kuwa kulingana na sheria, Kampuni za mabasi haziruhusiwi kutumia majengo ya makazi na biashara kama Vituo vyao vya mabasi, akisema ni sheria kwamba kila Basi kuanzia safari zake kwenye Kituo Kikuu cha mabasi Arusha, akionya pia kuhusu uoshaji holela wa mabasi pembezoni mwa barabara.







Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, akizungumza wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo, akizungumza wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Sekta ya Sayansi), Prof Daniel Mushi, akizungumza wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani),wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Sehemu ya washiriki wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo (hayupo pichani),wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

 

Wadau  wakichangia mada mbalimbali wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, Prof. Carolyne Nombo,akiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kufungua  Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Na.Alex Sonna-DODOMA

Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imezitaka taasisi zote za elimu nchini kuongeza ubunifu na ufanisi katika ufundishaji na ujifunzaji kupitia matumizi bora, salama, na yenye uwajibikaji wa teknolojia za kidijitali.

Hayo yamesemwa   na Katibu Mkuu wa Wizara hiyo, Prof. Carolyne Nombo,wakati wa Warsha ya Kujenga Uelewa kwa Wadau  Juu ya  Mkakati na Miongozo ya Kitaifa kuhusu Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali kwenye Sekta ya Elimu iliyofanyika leo Januari 14,2026 jijini Dodoma.

Prof. Nombo amewataka wadau wa elimu kuzingatia mabadiliko ya kidijitali kama hitaji la lazima, huku akisisitiza kwamba ustawi wa baadaye wa Tanzania unategemea nguvu kazi yenye ujuzi wa kidijitali na ubunifu, kama inavyobainishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.

“Mkakati huu unalenga kuweka mfumo wa kitaifa wa kuratibu na kuongoza mageuzi ya kidijitali katika ngazi zote za elimu kuanzia shule, vyuo vya ualimu, taasisi za TVET, vyuo vikuu, hadi ujifunzaji wa mtandaoni,” amesema Prof. Nombo.

Aidha, Prof. Nombo amesisitiza umuhimu wa ufundishaji wa kidijitali na ujumuishaji wa TEHAMA, pamoja na uelewa wa Akili Unde  (AI) na stadi za data katika mafunzo ya walimu. Ameeleza kuwa maendeleo endelevu ya kitaaluma kupitia majukwaa ya kidijitali ni muhimu ili kuwawezesha walimu kutumia teknolojia kwa ubunifu na uwajibikaji.

“Nafasi ya walimu ni nguzo kuu ya mageuzi kidijitali. Teknolojia peke yake haiwezi kuleta mabadiliko bila walimu wenye ujuzi na utayari wa kutumia teknolojia za kufundishia na kujifunzia,” amefafanua.

Prof. Nombo pia amesisitiza umuhimu wa Miongozo ya Kitaifa ya Elimu ya Kidijitali na Mwongozo wa Matumizi ya Akili Unde  katika Elimu, ambayo inalenga kuhakikisha matumizi ya teknolojia hayaingilii maadili, ulinzi wa data, ujumuishi, na ubora wa kitaaluma. Vyuo vikuu na taasisi za utafiti wanahimizwa kuongeza ubunifu na utafiti unaozingatia AI na teknolojia nyingine zinazochipuka.

Aidha,ametoa wito kwa taasisi za udhibiti na uthibitishaji ubora kama TCU, NACTVET, COSTECH, TCRA na ICTC kushirikiana na wizara na kutoa elimu ili kuhakikisha mshikamano wa kisera, ulinganifu, na muingiliano wa mifumo sambamba na sera na miongozo ya kitaifa.

Prof. Nombo amewahimiza kutoa  ushirikiano na washirika wa maendeleo na sekta binafsi, wakihimizwa kuunda suluhisho zinazolingana na muktadha wa Tanzania na kuunga mkono ukuaji wa stadi, ubunifu, na uendelevu wa elimu ya kidijitali.


“Usambazaji ni hatua ya kwanza tu. Utekelezaji unahitaji uongozi, uratibu, rasilimali na uwajibikaji. Naomba taasisi zote kuingiza Mkakati wa Kitaifa wa Elimu ya Kidijitali na Miongozo yake katika mipango yao, kuteua waratibu, kutenga rasilimali, na kushiriki kikamilifu katika ufuatiliaji, tathmini na kujifunza kwa pamoja.”amesema Prof. Nombo

Kwa upande wake,Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia (Sekta ya Sayansi), Prof Daniel Mushi, amepongeza hatua ya Serikali kuandaa Mkakati na Miongozo ya Kitaifa ya Matumizi ya Teknolojia za Kidijitali katika Elimu, akisema juhudi hizo zinaweka msingi madhubuti wa mageuzi ya elimu yanayoendana na kasi ya dunia ya sasa.

 Prof Mushi amesema  hatua hiyo inalenga kuboresha ubora wa ufundishaji na ujifunzaji, kukuza ubunifu, na kuwaandaa walimu na wanafunzi kukidhi mahitaji ya zama za kidijitali.

Warsha hiyo ya siku mbili, inayofanyika Januari 14–15, 2026, inawakutanisha wataalam na viongozi mbalimbali wakiwemo makatibu wakuu, wakuu wa vyuo vikuu, viongozi wa VETA, wakuu wa vyuo vya ualimu, taasisi za maendeleo pamoja na wadau wengine wa elimu kutoka sekta za umma na binafsi.

“Huu ni mwendelezo wa jitihada za Serikali kujenga mfumo mmoja na shirikishi wa matumizi ya teknolojia za kidijitali kwenye elimu. Ushiriki wenu unaonesha dhamira ya dhati ya kuijenga Tanzania yenye elimu bora, jumuishi na inayoshindana kikanda na kimataifa,” amesema Prof Mushi.

Kwa muda mrefu nilikuwa nikihisi kama maisha yangu hayasongei mbele. Kila nilipojaribu kupanga mipango, kulikuwa na mtu mmoja ambaye uwepo wake ulinitia wasiwasi bila hata kusema neno baya. Nilichoka haraka. Nilipoteza usingizi.

Nilijikuta nikiwa na hasira zisizoisha. Watu walidhani nina wivu au roho mbaya, lakini ukweli ni kwamba nilikuwa nimeelemewa kimya kimya. Nilipoanza kujiangalia kwa makini, niligundua kitu cha ajabu.

Kila nikiongea na mtu huyo, siku yangu huharibika. Kila nikimkumbuka, moyo wangu huzidiwa na uzito. Nilihisi kama kuna kamba isiyoonekana iliyokuwa inanivuta nyuma. Nilijaribu kupunguza mawasiliano, lakini bado niliendelea kuathirika.

Ndipo nikajua kwamba hii haikuwa hali ya kawaida. Nilipofika hatua ya kukata tamaa, nilipata ushauri wa kunifungua macho. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoamua-kumcut-off-katika-maisha-yangu-hatua-niliyochukua-ilinipa-amani-na-utulivu/
Siku zote nilikuwa nikihisi moyo wangu unaumika kila nilipomuona mpenzi wangu akipotea. Kila mara nilijaribu kuzungumza naye, lakini mara zote majibu yake yalikuwa ya kawaida, bila hisia yoyote. Nilihisi kama hatimaye ananipuuza kabisa.

Hali hiyo ilinifanya nijihisi mnyonge na kuchoka kiakili. Mara nyingi nililala nikiwa na huzuni, nikijiuliza kama bado angeweza kunipa nafasi ya pekee katika maisha yake.

Nilijaribu njia zote za kawaida kuongea, kumpa zawadi, hata kumsaidia katika changamoto zake lakini hakuna kilichobadilisha jinsi alivyokuwa akinionea.

Nilihisi kuwa kila kitu kilikuwa kinapita bila matokeo. Hata marafiki walinipendekeza nisumbue hisia zangu, lakini nilijua jambo hili linahitaji hatua kali na makini. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/alianza-kunifikiria-kila-siku-hata-nisipotuma-neno-hatua-nilizochukua-ndiyo-ilimfanya-kuniwaza-kwenye-akili-yake-kama-zuzu/
Nilikuwa nimekaa muda mrefu nikijaribu kuuza mali zangu. Kila siku nilipofikiria nyumba, gari, na shamba zangu, moyo wangu ulikuwa unazidi kuwa na hofu. Hakuna mnunuzi aliyekuwa tayari kuninunulia, na kila njia ya kawaida niliyojaribu ilishindikana.

Nilijaribu matangazo, wakala wa mali, hata kushirikiana na marafiki, lakini kila kitu kilishindikana. Hali ilikuwa ikiniletea shinikizo kubwa na kulazimisha ndoto zangu za kifedha kusimama. Nilihisi nimekufa kimya kimya kwa muda mrefu.

Nilijua lazima nifanye kitu, lakini hatuwezi kuona mwanga peke yetu.Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/baada-ya-kukwama-kuuza-mali-zangu-hatua-niliyopata-ilibadilisha-kila-kitu-ndani-ya-muda-mfupi-sana/
Kwa muda mrefu nilikuwa nikiishi na maumivu niliyoyazoea kimya kimya. Kila kukojoa kulikuwa maumivu. Tumboni kulikuwa na moto. Wakati mwingine nilikuwa nashindwa hata kukaa kazini. Nilihisi aibu kuzungumza. Nilihofia kuhukumiwa.

Nilijaribu dawa za hospitali mara kwa mara. Dalili zilipungua kidogo, kisha zikarudi tena.
UTI ilinirudia kila baada ya muda mfupi. PID nayo ilininyima amani. Ndoa yangu ilianza kuyumba. Nilikuwa na hofu ya ukaribu.

Nililala vibaya. Nilichoka bila sababu. Kila nilipokwenda hospitali, nilikuwa na majibu yale yale. Nilianza kukata tamaa. Siku moja nilipata ushuhuda wa mwanamke aliyepata nafuu kwa dawa za asili. Nilikuwa na mashaka.

Nilikuwa nimechoka kujaribu kila kitu. Lakini niliamua kusikiliza. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/niliteseka-na-uti-na-pid-kwa-muda-mrefu-lakini-dawa-za-asili-zisizo-na-madhara-ndizo-zilizoniponya-kabisa/
Kwa muda mrefu, maisha yangu yalikuwa kama mzunguko wa kushindwa. Kila nilipoanza kitu kipya, kilivunjika kabla hakijaimarika. 

Biashara zilifungwa ghafla. Kazi zilipotea bila maelezo. Hata mahusiano yangu yalikuwa yanaisha kwa maumivu.

Nilijaribu kujilaumu. Nikadhani ni bahati mbaya ya kawaida. Lakini moyoni nilijua kulikuwa na kitu zaidi. Kila mtu aliyenijua alishangaa. Nilikuwa nafanya bidii kuliko wengi. Nilikuwa mwaminifu. Nilikuwa na mipango. Lakini matokeo hayakuonekana.

Kila pesa niliyopata ilitoweka. Madeni yaliongezeka. Hata usingizi ulikuwa mgumu. Nilianza kuishi kwa hofu na kukata tamaa kimya kimya. Siku moja nilikutana na mtu aliyenisikiliza kwa makini. Aliniambia si kila bahati mbaya ni ya kawaida.

Alinitajia kuhusu nyota ya baharini. Alisema nyota ikifungwa, mikosi hujirudia bila mtu kujua sababu. Soma Zaidi.......https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilivyotumia-nyota-ya-baharini-kuondoa-nuksi-na-mikosi-zilizokuwa-zikinifuatilia-maishani/
Nilikutana na jambo ambalo lilinishangaza sana. Kijana mmoja wa jirani yetu aliibuka akila nyasi katikati ya mtaa. Wote tulisimama, tukishangaa. Hakusema neno. Alikuwa na hali ya kushangaza, macho yake yalikuwa waziwazi yametoboka.

Tukaanza kuuliza majirani wengine. Wote walishangaa. Hakukuwa na mtu aliyeweza kueleza kilichokuwa kinaendelea. Kila mtu alijiuliza, “Ni nini kinamfanya afanye hivyo?”

Siku kadhaa baadaye, nilikumbuka kuwa kijana huyu mara nyingi alikuwa akipoteza mali zake. Kila mara alipoteza kitu, hakuwahi kupata suluhisho. Nilijua ni lazima nikichukue hatua.
Nikaamua kumtembelea.

Nilimkuta akibadilika polepole. Nilimsaidia kuelewa hali yake. Ndipo nilipogundua kuwa tatizo lake halikuwahi kuwa la kawaida. Kulikuwa na nguvu zisizoonekana zinazoingilia maisha yake. Soma Zaidi..https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mwanamme-aonekana-akila-nyasi-hadharani-baada-ya-kusingiziwa-wizi-kilichofichuka-baadaye-kilishangaza-wengi/
Nilipofungua mlango wa nyumba yangu asubuhi ile, sikujua kuwa siku yangu ingekuwa tofauti kabisa. Kitu kilichokuwa kimeachwa kilinifuta hofu yote ya kawaida na kuingia moja kwa moja katika maisha yangu.

Nilishangaa kuona umbo hilo na jinsi lilivyokuwa limepangwa kwa utaratibu usio wa kawaida.
Nilijaribu kuhoji majirani, lakini kila mmoja alikwepa kusema chochote. Hali hiyo ilinifanya nijihisi kutokuwa na nguvu, kwa sababu sikujua ni nani aliyefanya hivyo au kwa nini.

Nilihisi kutoelewa ni wapi ningepata suluhisho la haraka na la uhakika. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilifungua-mlango-wa-nyumba-yangu-asubuhi-nikakuta-nimeachwa-kitu-ambacho-kilibadilisha-hatma-yangu-milele/
Nilipokuwa nikiangalia meza ya bet, moyo wangu ulikuwa ukipiga kwa wingi. Kila mara niliposhinda mara moja, mara kadhaa baadaye nilipoteza kila kitu. Nilijikuta nikipoteza pesa nyingi na kuwa na huzuni isiyoelezeka.

Nilijaribu mbinu zote nilizozijua, lakini matokeo yalikuwa sawa kila mara. Kila mara nilijisikia kama beti yangu haikuamsha bahati yoyote kwangu. Hali hiyo ilinifanya nijihisi kipotevu.

Nilijisikia kama kila nafasi ya ushindi ingali imefichwa kwangu. Nilijaribu kuzungumza na wenzangu, lakini walinipigia hila zisizo na maana. Nilijua nilihitaji msaada wa kweli, kitu cha kipekee ambacho kingerejesha bahati yangu. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilivyoshinda-bet-kubwa-baada-ya-kupoteza-mara-nyingi-hatua-nilizochukua-ilinifanya-nione-ushindi/
Nilipokuwa nikiendesha biashara yangu ndogo, kila siku ilikuwa ni changamoto mpya. Mara nyingi nilijaribu mbinu mbalimbali za kuuza bidhaa zangu, lakini kila mara matokeo yalikuwa hafifu. 

Nilihisi kutokufanikisha, na mara nyingi nikajiuliza kama nitawahi kuona wateja wengi au kuleta mapato ya kutosha.

Kuona wenzangu wakiendelea kulinifanya nijihisi kidogo, na mara nyingine hata kuchoshwa na kuanza kufikiria kuacha.
Marafiki waliniambia kuwa mafanikio ya kweli hayaji kwa bahati tu.

Kuna siri na mbinu ambazo wafanyabiashara wenye mafanikio hutumia kwa makini, jambo ambalo wengi hawajui. Nilijua kuwa lazima nipate msaada wa kweli ili kugundua mbinu hizi na kurekebisha hali ya biashara yangu. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/siri-zilizofichika-ambazo-wafanyabiashara-walioshikilia-mafanikio-hutumia-kukuza-biashara-yao/
Mimi ni mwanamke wa kawaida, lakini kwa miaka mingi nilipitia changamoto kubwa katika ndoa yangu. Kila siku nikiwa na mume wangu, nilipata huzuni na kukosa hamu. Nilijaribu kila njia ya kisaikolojia na kidaktari, lakini hakuna kilichobadilika.

Nilijihisi kimekwama ndani yangu, na kila usiku nilipolala nilihisi nikipoteza kitu muhimu cha maisha yangu ya ndoa. Nilijaribu kutafuta suluhisho la muda mfupi, lakini kila kitu kilikuwa cha muda tu.

Hisia za kukosa unyevu zikanifanya niwe na hofu ya kushiriki kitandani. Hii ilitengeneza barabara ndefu ya huzuni na migogoro midogo na mume wangu, na hali ya kukosa hamu ilikuza ukosefu wa mawasiliano. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/baada-ya-miaka-ya-kutokuwa-na-hisia-kitandani-hatimaye-nilipata-suluhisho-la-kudumu-la-kuongeza-unyevunyevu-sasa-mume-wangu-haepukii-usiku/
Ndoa yangu ilikuwa na changamoto kubwa. Kwa miaka mitatu, kila niliposhika mimba, nilipoteza haraka. Hii ilinifanya nihisi huzuni kubwa na kushindwa kabisa. 

Nilijaribu kila njia ya kisayansi na madaktari, lakini kila kitu kilishindikana.

Nilihisi kuumizwa na kukosa matumaini ya kweli ya kuwa mama. Wakati huo, shaka na hofu zilikua ndani yangu. Nilijua kuwa tatizo si la kawaida. Nilijaribu kuzungumza na mume wangu, lakini mara zote alikataa kuamini au kunisaidia.

Hali hii ilifanya maisha yangu ya ndoa kuwa magumu na yenye maumivu ya kihemko. Soma Zaidi...https://kiwangadoctor.com/kiswahili/miaka-3-ndoani-sikuwa-naweza-kushika-mimba-hadi-nilipogundua-alichokuwa-akinifanyia-mama-mkwe-sasa-nina-miezi-6-ya-ujauzito/
Maisha yangu ya mapenzi yalikuwa changamoto kubwa. Kila mwanamke niliyempenda, sikuweza kumridhisha. 

Hii ilinifanya nijihisi kushindwa kimawazo na kimahemko. Nilijaribu kila njia ya kawaida, madaktari, dawa, na mbinu za kiasili, lakini hakuna kilichofanikisha.

Nilihisi hofu kubwa kila nilipojitokeza mbele ya mwanamke. Hali hii ilikuza ujinga na kuanguka kwa heshima yangu binafsi.