Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji Jotoardhi (TGDC)  kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya uhakiki wa rasilimali Jotoardhi  katika mradi wa Ziwa Ngozi  vinafika kwa wakati ili kazi za uhakiki  ziweze kumalizika kulingana na muda uliopangwa.

Dkt. Mataragio ametoa maagizo hayo leo Oktoba 22, 2025 wakati wa ziara yake ya kukagua kazi zinazoendelea kutekelezwa katika mradi huo wilayani Rungwe mkoani Mbeya.

“Huu mradi mnapaswa kuukamilisha kwa wakati kutokana na umuhimu wake nchini, tunapotekeleza miradi hii ya Jotoardhi tukumbuke kuwa tunatekeleza pia Sera ya Taifa ya Nishati ya Mwaka 2015 ambayo inasema Tanzania inapaswa izalishe umeme kwa kutumia vyanzo mchanganyiko (generation mix) ambapo jotoardhi ni mojawapo." Amesema Dkt. Mataragio

Kuhusu suala la vifaa vya uhakiki kuchelewa kufika katika eneo la mradi la Ziwa Ngozi ambalo litazalisha umeme wa megawati 70, Dkt. Mataragio ameagiza kuwa  vifaa vyote vya mradi vinunuliwe na kufika eneo la mradi kwa mara moja.

Dkt. Mataragio ameeleza kuwa, utekelezaji wa miradi ya Jotoardhi imeainishwa pia katika Mpango wa Taifa wa Nishati (National Energy Compact) ambao unaishia 2030 ambapo Tanzania inatakiwa kuwa na megawati 130 zinazotokana na rasilimali ya jotoardhi, pia  Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 inaelekeza nchi kuwa na vyanzo mchanganyiko vya kuzalisha umeme.

Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa TGDC, Mha. Mathew Mwangomba ameeleza kuwa maagizo yaliyotolewa na Serikali yatatekelezwa kwa ufanisi ili kukamilisha mradi kwa wakati.

Akielezea maendeleo ya uhakiki wa rasilimali jotoardhi katika mradi huo, Mha. Mwangomba amesema umefikia asilimia 60 ili kuweza kufikia hifadhi ya jotoardhi.

“Tunategemea ndani ya miezi sita tutakamilisha uhakiki katika visima vyote vitatu”. Amesema Mha. Mwangomba

Katika ziara hiyo Naibu Katibu Mkuu aliambatana na Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Mha. Innocent Luoga na watendaji wa Wizara ya Nishati na TANESCO.

  


Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zimeibua gumzo mitandaoni baada ya vijana wengi kuripoti mabadiliko makubwa katika bahati zao za kubashiri. Kulingana na mashuhuda, mbinu hiyo mpya ya kiasili imekuwa ikihusishwa na ongezeko la ushindi katika michezo ya kubashiri, hasa kwa wale waliokuwa wamekata tamaa baada ya kupoteza mara nyingi. Wengi wanadai wameanza kushinda mara kwa mara tangu walipojaribu njia hiyo ya ajabu.

Mwandishi wetu alizungumza na baadhi ya vijana waliodai kutumia mbinu hiyo. Wengi walisema hawakuamini mwanzoni, lakini baada ya kuona matokeo kwa macho yao, walibaki kushangaa. “Nilikuwa nimepoteza matumaini kabisa,” alisema kijana mmoja ambaye aliomba jina lake lisitajwe. “Lakini tangu nilipojaribu tiba hiyo, sijawahi kukosa ushindi angalau mara mbili kwa wiki.”

Kijijini na hata mijini, habari zimeenea haraka. Baadhi ya watu wanaamini ni nguvu za kiroho, wengine wanasema ni tiba asilia inayovutia bahati. Kinachofanya habari hii kuwa ya kipekee ni kwamba wale waliowahi kujaribu wanasisitiza hakuna kinachohusiana na ushirikina, bali ni nguvu chanya za kiasili zinazosaidia kuvuta mafanikio. Soma zaidi hapa


 

Wajumbe wa Bodi ya Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa bodi ya Chuo hicho Fatma Mode wamefanya ziara ya kutembelea viwanja ambavyo Chuo hicho kinatarajia kujenga kampasi zake katika Mkoa wa Dodoma na Mkoa wa Njombe.

Wakiwa katika ziara hiyo Viongozi hao walikagua maeneo yote na kuahidi kuyaendeleza kwa Maslahi Mapana ya Taasisi na Taifa kwa ujumla.

Baada ya kutembelea eneo lililiopo Chidachi- Ntyuka mkoani  Dodoma lenye ekari 50 na lile lililopo kata ya Maguvani halmashauri ya Mji - Makambako lenye ukubwa wa ekari 103.2, Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Fatma Mode amesema ameridhishwa na hali za viwanja sasa kinachotakiwa ni kujenga.

“Tumeona maeneo yote ni mazuri, tumejiridhisha  sasa kinachofuata ni kujenga kwa lengo la kuongeza kampasi na kupanua wigo wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa kuwa na kampasi katika mikoa mbalimbali hapa nchini,”Alisisitiza Makamu Mwenyekiti Fatma Mode.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa amesema kwa sasa Chuo kinaandaa mpango kazi wa ujenzi ili mpango kazi huo uwasilishwe kwenye bodi ya Chuo na kuwa ndani ya miaka mitatu ujenzi utaanza kwa kujenga Madarasa na ofisi za Utawala katika halmashauri ya Mji - Makambako.

Prof. Mapesa ameishukuru Halmashauri ya Mji- Makambako kwa kutoa eneo bure kwa ajili ya Chuo, ambapo ameahidi kuliendeleza.

Prof. Mapesa amesema kwa sasa Chuo kina Kampasi tatu ikiwemo Kampasi ya Kivukoni iliyopo jijijini Dar es Salaam, Kampasi ya Karume- iliyopo Zanzibar, Kampasi ya Pemba iliyopo ChakeChake Pemba.

Mkuu huyo wa Chuo ameainisha maeneo ambayo Chuo inatarajia kuwa na kampasi ni pamoja na Mkoa wa  Tabora,Njombe, Dodoma, Mwanza, Arusha  na Katavi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Njombe Juma Sweda amesema kujengwa kwa kampasi ya Chuo cha Kumbukumbu Mwalimu Nyerere katika mji wa Makambako ni jambo jema na maamuzi ya kuchagua eneo  la makambako ni sahihi sana kwa kuwa eneo hilo lina mwingiliano mkubwa wa shughuli mbalimbali za Kimaendeleo.

Hata hivyo Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi ( CCM) wa Jimbo hilo Daniel Chongolo amesema Wananchi wa Makambako wako tayari muda wowote kwa ajili ya kuwekeza katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo mara tu Chuo kitakapoanza ujenzi kwa lengo la kuleta Maendeleo.

“Sisi wananchi wa Makambako tunakipongeza sana Chuo kwa maono na maamuzi ya kuchagua Makambako na kujenga Kampasi ya Chuo hapa, ni heshima maana Jina la Chuo limebeba Jina la baba wa Taifa hivyo tunaamini kabisa Maono na Falsafa zote za baba wa Taifa zitawanufaisha sana Vijana watakaosoma katika Kampasi hiyo na Wadau wengine wa Elimu wa Makamabako nao watanufaika pia,” Alisema Chongolo.

Imeandaliwa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Masoko;
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
22.10.2022

  


Jina langu ni Miriam, na hadi leo nikikumbuka mateso niliyopitia mikononi mwa mtu niliyemwamini, moyo wangu hujaa maumivu na faraja kwa wakati mmoja. Nilikuwa katika uhusiano wa miaka minne na mwanaume niliyempenda sana.

Nilimsaidia kifedha, kihisia, na hata nilimkopesha pesa ili aanze biashara. Lakini baada ya kujinyanyua, alinitupa kando kana kwamba sikuwa na maana tena. Aliniambia wazi kuwa hangeweza kuendelea kuwa na “mwanamke asiye na thamani,” maneno ambayo yaliniumiza zaidi ya kisu moyoni.

Siku moja aliniita kwenye hafla yake ya “uzinduzi wa biashara,” nikafika nikijua ni mwanzo wa kitu kipya kwetu, kumbe ilikuwa ni harusi yake na mwanamke mwingine. Nilihisi dunia imenigeuka. Nililia hadi macho yakavimba, nikajifungia nyumbani kwa siku nyingi nikiwa sina hamu ya kula wala kutoka nje. Nilipoteza marafiki, kujiamini kukatoweka, na nilianza hata kuamini kuwa labda nililaaniwa. Soma zaidi hapa 

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewakamata watuhumiwa wanne katika eneo la Mlalakuwa, Kinondoni wakiwa wanatengeneza biskuti za bangi kwa ajili ya house party ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

 

Kwa muda mrefu nilikuwa nafanya kazi katika kampuni moja ya usambazaji bidhaa, nikiwa msaidizi wa kawaida wa ofisini. Nilimpenda boss wangu kimya kimya tangu siku ya kwanza nilipoanza kazi pale. Alikuwa ni mwanaume mwenye heshima, mwenye busara na aliyevaa harufu ya mafanikio. Nilihisi kuwa ni mtu ambaye kila mwanamke angependa kuwa naye, lakini sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningekuwa sehemu ya maisha yake binafsi.

Kila siku nilijitahidi kufanya kazi yangu kwa bidii, nikihakikisha kila kitu kinachohusu ofisi kiko sawa. Nilimwona akitabasamu kila mara aliponipita, lakini nilijua ule ulikuwa ni tabasamu la heshima, si la mapenzi. Wenzangu kazini walikuwa wanasema ni bure kumpenda boss, maana wanaume kama hao huwa hawataki wanawake wa kawaida kama sisi. Nilinyamaza, lakini ndani ya moyo wangu nilijua kuna kitu tofauti.

Siku moja aliniita ofisini kwake akaniambia, “Naona kazi zako zimekuwa bora sana, endelea hivyo hivyo.” Nilihisi moyo wangu ukicheza kwa furaha. Baada ya hapo alianza kuniamini zaidi, akanipa majukumu mapya. Mara nyingi tulikuwa tukikaa pamoja kupanga mikakati ya kazi, na hapo ndipo nilianza kumjua kwa undani. Alikuwa mpole, mkarimu, lakini pia mwenye mipaka. Nilijaribu kila njia kumvutia, lakini haikuwa rahisi. Soma zaidi hapa 

 


Nilikuwa nimezoea maisha ya kawaida, lakini mwaka jana mambo yalibadilika ghafla. Kila usiku nilihisi kama kuna mtu ananitazama, nikisikia sauti zisizoeleweka na upepo wa baridi ukipita chumbani hata nikiwa nimefunga madirisha yote. Wakati mwingine ningelala nikihisi uzito kifuani, nikishindwa kupumua au kuamka. Nilifikiri ni ndoto mbaya, lakini hali ilipoanza kujirudia kila usiku, nilijua kuna kitu kibaya.

Siku moja majirani wangu waliniambia wamekuwa wakiniona nikitoka nje usiku nikiwa nimenyamaza, macho yakiwa mekundu, kana kwamba siko katika fahamu zangu. Nilishangaa kwa sababu sikuwahi kukumbuka jambo lolote kama hilo. Niliamua kulala kwa ndugu yangu kwa muda, lakini hata huko nilisikia sauti za kunong’ona na mizigo ikianguka bila sababu. Niliishi kwa hofu, nikihisi kama kila mtu ananichukia au kunitakia mabaya.

Nilipofika kazini, nilianza kukosa umakini. Wenzangu walidhani nimechanganyikiwa. Nilianza kufikiria kuacha kazi, lakini moyoni nilijua siwezi kuruhusu nguvu za giza zinishinde. Niliamua kutafuta msaada wa kiroho. Watu wengi walinielekeza sehemu tofauti, lakini nilitaka suluhisho la kweli si la muda. Soma zaidi hapa 


 

 


Kwa miaka miwili nilikuwa nikijaribu kusahau mapenzi ambayo yalikuwa sehemu ya maisha yangu. Nilimpenda mpenzi wangu kwa dhati, lakini maisha yakatupiganisha. Tuliachana kwa sababu ya mambo madogo yaliyoongezeka kila siku hadi yakawa makubwa.

Nilijaribu kujifanya niko sawa, lakini kila usiku nilijikuta nikilia kimya nikimkumbuka. Upweke ulikuwa rafiki yangu wa karibu, na moyo wangu haukuweza kufunga ukurasa huo.

Marafiki walinambia niondoke kwenye kumbukumbu hizo, wengine walinishauri nijaribu mtu mwingine, lakini nilijua moyoni mwangu kwamba nilitaka mtu yuleyule.

Nilihisi kama moyo wangu ulikuwa umekwama mahali pasipo na tumaini. Nilimwandikia meseji kadhaa, lakini hakujibu. Nilijua labda alikuwa amesahau kila kitu kuhusu mimi. Soma zaidi hapa

Makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani (JMAT) Mkoa wa Shinyanga Askofu Mstaafu Dkt. Emmanuel Joseph Makala, akizungumza leo Oktoba 18, 2025.