Siku moja, marafiki zangu wawili wa karibu niliowaamini sana walikuja kunipiga mzinga wa kuazima gari hilo kwa masaa machache tu, wakidai wana dharura kubwa ya kifamilia mji wa jirani.
Kwa roho safi na urafiki wetu wa miaka mingi, niliwakabidhi funguo bila wasiwasi wowote. Hata hivyo, masaa machache yaligeuka kuwa siku. Walipokosa kurudi jioni ile, nilianza kuwapigia simu lakini zote zilikuwa zimezimwa.
Siku ya pili na ya tatu zilipopita bila kuona gari wala kupata habari zao, ndipo mshtuko na ukweli mchungu uliponipiga marafiki zangu walikuwa wamenigeuka na kutoweka na gari langu!
Nilienda kutoa taarifa kituo cha polisi, lakini siku zilivyozidi kusonga, ufuatiliaji wao haukuzaa matunda yoyote na matumaini yangu ya kumpata chombo changu yalianza kuyeyuka. SOMA ZAIDI.
Kati ya vitu vyote, jicho langu lilivutiwa na pete moja ya chuma cha ajabu iliyokuwa na mchoro wa kipekee. Mzee yule alinitazama kwa tabasamu fumbo kisha akasema, “Chukua hii kijana, itakusaidia.” Niliinunua kwa fedha kidogo sana nikiamini ni urembo wa vidole tu.
Nilipoivaa tu mkononi, sikuichukulia maanani. Lakini haikupita hata siku mbili, mambo ya ajabu yalianza kutokea katika maisha yangu ya kila siku mambo ambayo sikuwahi kuyatarajia kabisa. SOMA ZAIDI.
Kila nilipoona marafiki na vijana wenzangu wakipata fursa za kusafiri na kuendelea kimaisha, nilijihisi aliyetupwa na aliyekataliwa. Wasiwasi na msongo wa mawazo vilianza kuitawala nafsi yangu, na nilianza kuamini kuwa labda nyota yangu ya mafanikio ilikuwa imefungwa kabisa. SOMA ZAIDI.
Ndoa yetu ilianza kwa amani na matumaini makubwa ya kujenga familia yenye furaha. Hata hivyo, miaka ilipozidi kusonga bila kupata mtoto, furaha hiyo ilianza kutoweka taratibu.
Baada ya miaka minane ya ndoa, tulikuwa tumetembelea hospitali na zahanati mbalimbali, tukafanya vipimo vyote vilivyowezekana, lakini madaktari walizidi kutuambia hakuna tatizo la kibiolojia linaloonekana.
Aibu na maneno ya kejeli kutoka kwa baadhi ya ndugu na majirani yalianza kutuandama. Wengi walimnyooshea mke wangu kidole, na hata wengine walinishauri nimfukuze na kuoa mwanamke mwingine.
Mke wangu alilia kila usiku, na mimi nilijikuta nikiwa sina la kufanya huku nikishuhudia amani na matumaini ya familia yetu yakiporomoka. SOMA ZAIDI.
Baba yangu mzazi kabla ya kufariki dunia, aliniachia eneo kubwa la shamba la urithi kama mtoto wake wa pekee wa kiume ili liwe msingi wa maisha yangu na familia yangu.
Hata hivyo, baada tu ya mazishi yake kuisha, wajomba na ndugu wa karibu walianza kuweka mpango wa kuninyang’anya haki hiyo.
Walitengeneza nyaraka za uongo, wakadai kuwa baba hakuwahi kumiliki eneo hilo peke yake, na kunifungulia kesi iliyodumu mahakamani kwa miaka kumi mtawalia.
Kwa miaka hiyo yote kumi, nilitumia akiba yangu yote kulipa mawakili na gharama za kesi. Kila mara tulipokaribia kufanya maamuzi, kesi iliahirishwa au nyaraka muhimu zilipotea kimiujiza.
Ndugu hao walitumia fedha na ushawishi wao kuninyanyasa, huku mimi nikibaki maskini wa kutupwa na mwenye msongo mkubwa wa mawazo. Nilihisi kutengwa na kudhulumiwa jasho la marehemu baba yangu.SOMA ZAIDI.
Tafadhali Zingatia: Ikiwa unasoma kwenye PHOENIX, tafadhali bofya kitufe cha “Soma Makala Asili” kilicho upande wa juu kulia ili kusoma makala kamili.
Binti yangu alikuwa mtoto mwenye bidii na mwenye kuonyesha uwezo mkubwa wa akili darasani wakati wa vipindi vya kawaida. Walimu walimsifu kwa ustahimilivu na uwezo wake wa kuelewa masomo kwa haraka.
Hata hivyo, kuanzia alipoingia darasa la sita, kulizuka mtihani mzito uliotatiza maisha ya familia yetu. Kila siku ya mtihani ilipofika, binti yangu alipata homa kali ya ghafla, maumivu makali ya tumbo, na kupoteza kuona vizuri kiasi cha kushindwa hata kushika kalamu.
Tulitembelea hospitali mbalimbali na kufanya vipimo vya kila aina, lakini madaktari walithibitisha kuwa mwili wake haukuwa na ugonjwa wowote wa kimatibabu.
Hali hii ilipojirudia kwa miaka miwili mtawalia, matokeo yake ya shule yaliporomoka vibaya mno, na alianza kuogopa hata kwenda shule. SOMA ZAIDI.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Mhe. Deus C. Sangu, akizungumza na waandishi wa habari mjini Sumbawanga, Mkoa wa Rukwa, leo Julai 23, 2026,kuhusu Tanzania kushiriki katika maonesho ya Wajasiliamali Wadogo (Juakali) ya Afrika Mashariki yatakayofanyika Kigali Rwanda mwezi Oktoba mwaka huu.
Na: Mwandishi Wetu, SUMBAWANGA
Serikali imetangaza kuwa Tanzania itashiriki Maonesho ya 26 ya Wajasiriamali Wadogowadogo, Wadogo na wa Kati (MSMEs) ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, maarufu kama Nguvu Kazi/Jua Kali, yatakayofanyika jijini Kigali, Rwanda kuanzia Oktoba 30 hadi Novemba 8, 2026.
Akitoa taarifa kwa umma, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Ajira na Mahusiano), Deus Sangu, amesema Tanzania itawakilishwa na wajasiriamali 250 kati ya washiriki wapatao 1,000 wanaotarajiwa kutoka nchi nane wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki.
Amesema kaulimbiu ya maonesho ya mwaka huu ni "Kuendeleza Mnyororo wa Thamani kwenye Sekta ya Ngozi na Kilimo cha Bustani (Matunda na Mbogamboga) katika Ukanda wa Jumuiya ya Afrika Mashariki."
"Maonesho hayo yanalenga kuwawezesha wajasiriamali kurasimisha shughuli zao za biashara, kutangaza bidhaa na huduma, kubadilishana uzoefu, kuongeza ujuzi wa uzalishaji pamoja na kupanua masoko ya bidhaa na teknolojia za uzalishaji."amesema Waziri Sangu
Ameongeza kuwa ushiriki wa Tanzania katika maonesho hayo ni sehemu ya jitihada za Serikali za kuimarisha sekta ya ujasiriamali, kukuza biashara za ndani na nje ya nchi, pamoja na kuongeza fursa za ajira zenye staha kwa Watanzania.
Aidha, Waziri Sangu amewataka wajasiriamali wenye sifa kutumia fursa hiyo kwa kujisajili kushiriki maonesho hayo kuanzia sasa hadi Septemba 30, 2026 kupitia mfumo rasmi wa usajili uliotengwa kwa ajili ya washiriki.
Maonesho ya Nguvu Kazi/Jua Kali ni miongoni mwa majukwaa makubwa ya biashara katika ukanda wa Afrika Mashariki yanayowakutanisha wajasiriamali, wawekezaji na wadau wa maendeleo kwa lengo la kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kuongeza ushindani wa bidhaa zinazozalishwa ndani ya ukanda huo.
Ripoti zake za shule zilianza kuonyesha maksi za chini sana, alipoteza hamu ya kusoma, na walimu wake walianza kulalamika kuwa anakaa darasani akiwa amezubaa na kukosa ushirikiano.
Nilitumia fedha nyingi kumlipia walimu wa ziada (tuition) na kununua vitabu vya kila aina, lakini hakuna kilichobadilika. Kila mtihani uliporudi, matokeo yalikuwa mabaya zaidi kuliko ya nyuma.
Nilianza kuchanganyikiwa na kuhisi kuwa siku za usoni za mwanangu zinasambaratika mbele ya macho yangu. SOMA ZAIDI.
Urafiki wa miaka mingi unaweza kukudanganya ukadhani unamjua mtu kwa undani. Rafiki yangu wa karibu, niliyemwamini na kushirikiana naye kwa kila jambo, alinigeuka kwa namna mbaya zaidi.
Siku moja nilipokea simu kutoka kwa taasisi ya mikopo wakinidai fedha nyingi ambazo sikuwahi kuzikopa. Baada ya kufuatilia, nilipata mshtuko mkubwa.
Baada ya kugundua kuwa rafiki yangu alitengeneza nyaraka za uongo na kutumia kitambulisho changu kukopa mamilioni ya fedha, kisha akatoweka na kukata mawasiliano.
Riba zilianza kuongezeka, na watoa mikopo walianza kunitishia kunipiga mnada na kunichukulia hatua za kisheria. Nilipoteza amani ya moyo, sikuweza kulala usiku, na jina langu lilikuwa hatarini kuchafuka kabisa kwa kosa ambalo sikufanya. SOMA ZAIDI.
Kwa miaka saba mtawalia, nilikuwa mfanyakazi wa mfano kwenye kampuni yetu. Nilijitolea kwa moyo wote, nikifanya kazi hadi usiku wa manane na kuacha familia yangu nyuma ili kuhakikisha kampuni inapata faida.
Hata hivyo, uaminifu wangu haukuthaminiwa. Siku moja niliitwa ofisini kwa Mkurugenzi na kupewa barua ya kufukuzwa kazi mara moja, kisa ikiwa ni fitina zilizotengenezwa na bosi mpya aliyekuwa ananionea wivu.
Nilipoteza kila kitu kwa sekunde moja. Bado nilikuwa na madeni ya benki, kodi ya nyumba ilikuwa inakaribia kuisha, na watoto wangu walihitaji ada za shule. Kwa miezi miwili ya mwanzo, maisha yaligeuka kuwa usiku mnene.
Nilihisi kuchezewa akili, kupotezewa muda wangu, na kukatishwa tamaa na mfumo mzima wa maisha.SOMA ZAIDI.
Badala ya kukata tamaa na kuitumia kwa chakula cha siku mbili, niliamua kuchukua hatua ya kipekee nilinunua bidhaa ndogo za viungo na kuanza kuzitembeza mtaani nyumba kwa nyumba.
Maisha ya biashara ya mtaji mdogo hayakuwa mepesi. Nilitembea umbali mrefu chini ya jua kali, nilipatwa na dharau na kukatishwa tamaa na watu wengi.
Kwa miezi kadhaa, biashara ilikuwa ikienda kwa kusua sua mno; faida niliyopata ilikuwa ndogo sana kiasi cha kushindwa hata kukuza mtaji wangu. Nilijihisi kama ninazunguka kwenye duara lile lile bila kupiga hatua.
Kama ni mahusiano, yalivunjika bila sababu ya msingi; na hata nilipopata fedha, zilipotea bila kufanya la maana. Nilikabiliwa na mikosi mfululizo kiasi cha kuanza kuamini kuwa labda nilizaliwa chini ya nyota ya nuksi na bahati mbaya tu.
Ndugu na marafiki walizoea kuniona kama mtu wa mikosi. Kila nilipoomba msaada au ushauri, nilionekana kama mzigo. Msongo wa mawazo ulinisonga sana, na matumaini ya kufanikiwa maishani yalianza kutoweka kabisa.
Wezi Walivamia Duka Langu Mara Tatu Lakini Mara ya Nne Walinaswa Kwa Njia Ambayo Hakuna Aliyetarajia
Kila mara walivunja kufuli na kubeba bidhaa za thamani kubwa pamoja meza ya fedha. Nilipata hasara ya mamilioni ya fedha, na ripoti za polisi hazikuzaa matunda yoyote.
Nilishindwa kulala usiku kwa hofu na wasiwasi. Nilikopa fedha tena ili kujiweka sawa, lakini mawazo ya kuvamiwa tena yalinikosesha amani. Nilijua wazi kuwa uvamizi mwingine mmoja ungekuwa mwisho wa biashara yangu na mwanzo wa umaskini wa kutupwa.
📌 Asema ucheleweshaji wa mradi hauendani na matarajio ya Serikali na wananchi.
📌 Amuagiza mkandarasi kuongeza kasi ya utekelezaji na kuzingatia masharti ya mkataba.
📌 Aelekeza hatua stahiki kuchukuliwa iwapo maendeleo ya mradi hayataboreshwa kabla ya Septemba 30, 2026.
📌 Mradi wa kV 220 utaiunganisha Mikoa ya Lindi na Mtwara kwenye Gridi ya Taifa na kuimarisha upatikanaji wa umeme Kusini mwa Tanzania.
Waziri wa Nishati, Mhe. Deogratius Ndejembi, ameonesha kutoridhishwa na kasi ya utekelezaji wa Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea hadi Masasi kupitia Tunduru na kuagiza mkandarasi kuongeza juhudi ili kuhakikisha mradi huo unakamilika kwa wakati uliopangwa.
Akizungumza wakati wa ukaguzi wa maendeleo ya mradi huo leo Julai 22, 2026, Mhe. Ndejembi amesema Serikali haitakuwa tayari kuona miradi ya kimkakati inayogusa maisha ya wananchi ikicheleweshwa bila sababu za msingi.
Amesema mradi huo ni miongoni mwa miradi muhimu ya Sekta ya Nishati inayopewa kipaumbele na Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, kutokana na mchango wake katika kuimarisha upatikanaji wa umeme na kuchochea maendeleo ya kiuchumi katika ukanda wa Kusini.
“Maendeleo ya mradi huu hayaridhishi ukilinganisha na muda uliopita tangu utekelezaji wake uanze. Serikali inatarajia kuona kasi kubwa zaidi ya utekelezaji katika kipindi kilichobaki. Nimemuagiza Katibu Mkuu kufuatilia kwa karibu utekelezaji wa maelekezo haya na kuhakikisha hatua stahiki zinachukuliwa iwapo hakutakuwa na maboresho yanayoonekana,” amesema Mhe. Ndejembi.
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Nyasa, Mhe. Boniface Magiri, aliyemwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, amesema Mkoa utaendelea kushirikiana na Serikali Kuu katika kufuatilia utekelezaji wa mradi huo ili kuhakikisha unakamilika na kuanza kutoa huduma kwa wananchi kwa wakati.
Naye Mhe. Sikudhani Chikambo kwa niaba ya wabunge wa Mkoa wa Ruvuma, viongozi hao wameishukuru Serikali kwa kuendelea kuwekeza katika miundombinu ya umeme ambayo itachochea ukuaji wa uchumi, uwekezaji na kuboresha huduma za kijamii katika maeneo ya Kusini mwa Tanzania.
Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme wa msongo wa kilovoti 220 kutoka Songea kupitia Tunduru hadi Masasi unatekelezwa na Mkandarasi Kalpataru Power kutoka India. Mradi huo unatarajiwa kuiunganisha Mikoa ya Lindi na Mtwara kwenye Gridi ya Taifa pamoja na kuimarisha upatikanaji wa umeme katika Wilaya ya Tunduru na maeneo jirani.


















