







Usiku mmoja nilipata ndoto ya ajabu sana. Niliota nimesimama kando ya mto mkubwa uliokuwa karibu na kijiji chetu.
Nilipoamka asubuhi, moyo wangu ulikuwa mzito. Sikuwa na amani kabisa. Saa chache baadaye nilipigiwa simu na kaka yangu aliyekuwa akiishi mjini.
Lakini mambo hayakwenda kama nilivyotarajia. Kila biashara niliyoanzisha ilianguka bila sababu ya kueleweka. Niliwahi kufungua duka la jumla, likafungwa baada ya miezi sita. Nikajaribu biashara ya mazao, nikapata hasara kubwa.
Hata nilipoingia kwenye biashara ya usafirishaji, gari langu liliharibika mara kwa mara hadi nikauza kwa hasara. Kilichonishangaza ni kwamba watu waliokuwa wanaanza biashara baada yangu walikuwa wakifanikiwa, lakini mimi nilikuwa narudi nyuma kila mwaka.
Madeni yaliongezeka, amani ikatoweka nyumbani, na mara kwa mara nilijikuta nikigombana na mke wangu. Miaka saba ilipita katika hali hiyo.
Siku moja, mke wangu alisafiri kwenda kumtembelea mama yake. Alisahau begi lake nyumbani. Nilipokuwa nikitafuta kitabu cha watoto ndani ya begi hilo, niliona bahasha ndogo iliyokuwa imefungwa.
Ndani yake kulikuwa na vitu vya ajabu picha yangu ndogo, vipande vya kitambaa nilivyokuwa nimevaa zamani na karatasi zilizoandikwa maneno nisiyoyafahamu. Nilishtuka sana. Mke wangu aliporudi, nilimuuliza kuhusu vitu hivyo.
Alianza kulia na baada ya muda mrefu alikiri ukweli. Aliniambia kwamba miaka mingi iliyopita, kabla hatujaoana, alienda kwa mganga kwa sababu aliogopa nitamuacha. Alipewa vitu hivyo na kuambiwa avihifadhi ili nibaki karibu naye milele.Endelea Kusoma Kwa Kubofya Hapa.
Mwanzoni nilidhani ni uchovu wa kawaida kwa sababu nilikuwa nafanya kazi ya useremala. Lakini kadri miezi ilivyopita, hali ilizidi kuwa mbaya.
Nilitumia pesa nyingi kutafuta matibabu. Wakati mwingine nililala chini kwa sababu sikuweza kupanda kitandani kutokana na maumivu.
Mke wangu ndiye aliyekuwa akinisaidia kwa karibu kila kitu. Kuna siku nilishindwa hata kumbeba mwanangu mdogo kwa sababu mgongo wangu ulikuwa unauma sana. Nilijikuta nikipoteza matumaini na kuanza kuamini kwamba ningekaa na maumivu hayo maisha yangu yote.
Siku moja nilikutana na rafiki yangu wa zamani ambaye nilikuwa sijamuona kwa miaka kadhaa. Alinishangaa kuniona nikitembea kwa shida.Endelea Kusoma Kwa Kubofya Hapa.
Viongozi wa Serikali wameshauriwa kuongeza Elimu ya utoaji na urejeshaji wa mikopo ya asilimia 10, ambayo katika bajeti ya mwaka 2026/2027 itakuwa asilimia 15.
Hayo yameelezwa leo Julai 12,2026 na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Idara ya Mambo ya Siasa na Uhusiano wa Kimataifa Ndg Rabia Abdalla Hamid katika muendelezo wa ziara yake ya Kusikiliza na kutatua changamoto za Makundi mbalimbali ya kijamii mkoani Rukwa.
“Nitoe rai kwa Viongozi wa serikali kuhakikisha Elimu ya utoaji na urejeshaji wa mikopo ya asilimia 10,ambayo katika bajeti ya mwaka 2026/2027 itakuwa asilimia 15 inatolewa kwa kasi ili wananchi wawe na uelewa mpana katika masuala ya fedha na walengwa waendelee kunufaika ”,amesema Ndugu Rabia.
.jpeg)
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI), Mhe. Prof. Riziki Silas Shemdoe, amewasili mjini Sumbawanga kwa ajili ya kumuwakilisha Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, katika ufunguzi wa mafunzo ya utoaji elimu kuhusu fursa za mitaji na huduma za uwezeshaji wa wananchi kiuchumi.
Mafunzo hayo yatafanyika kuanzia Julai 13 hadi 16, 2026 katika Manispaa ya Sumbawanga, yakiwa yameratibiwa na Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Rukwa, Mhe. Jacqueline Mzindakaya, kwa kushirikiana na Baraza la Taifa la Uwezeshaji Wananchi Kiuchumi (NEEC).
Prof. Shemdoe alipokelewa katika Kiwanja cha Ndege cha Sumbawanga na Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Mhe. Makongoro Nyerere akiambatana na Mhe. Mhe. Jacqueline Mzindakaya pamoja na viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali.
Kesho, Julai 13, 2026, Prof. Shemdoe atafungua rasmi mafunzo hayo katika Ukumbi wa Country Hotel, ambapo yanatarajiwa kuwakutanisha wananchi, wajasiriamali, vikundi vya wanawake na vijana, makundi yenye mahitaji maalum pamoja na wadau mbalimbali wa maendeleo.
Lengo la mafunzo hayo ni kuwajengea wananchi uelewa kuhusu fursa za mitaji, mikopo na huduma mbalimbali za uwezeshaji zinazotolewa na Serikali na taasisi zake, ili kuongeza ushiriki wao katika shughuli za uzalishaji, kukuza biashara, kuongeza ajira na kuinua kipato cha familia.
Mafunzo hayo pia yanatarajiwa kuwapa washiriki taarifa sahihi kuhusu namna ya kufikia huduma za kifedha na programu za uwezeshaji wa kiuchumi, hatua itakayochochea ukuaji wa uchumi wa wananchi na kuharakisha maendeleo ya mkoa wa Rukwa kwa ujumla.
![]() |
Ndani ya miaka sita nilifukuzwa kazi mara nne. Hali hiyo ilinivunja moyo sana. Marafiki waliniona kama mtu asiye na bahati, na hata familia yangu ilianza kunipotezea imani.
Siku moja, nikiwa nimekata tamaa kabisa, nilikutana na mwanaume mmoja ambaye nilikuwa nimewahi kufanya naye kazi zamani.
Watu wengi walinipongeza kwa mafanikio yangu, na niliamini maisha yangu yalikuwa yamekaa sawa. Lakini ghafla mambo yalianza kubadilika.
Nilimuita daktari wa mifugo mara kadhaa. Aliwachunguza waliobaki na kuwapa dawa, lakini bado vifo viliendelea.
Hasara ilianza kuwa kubwa. Nilishindwa kulipa ada za watoto na hata chakula cha mifugo kilianza kuwa tatizo.
Siku moja, mzee mmoja jirani yangu aliniuliza swali la ajabu. “Umeshawahi kukagua zizi lako usiku?” Nilimjibu hapana.
Aliniambia kuna mambo ambayo hayaonekani mchana. Alinieleza kuwa kuna watu wenye wivu wanaweza kutumia nguvu za giza kuharibu mifugo ya mtu anayefanikiwa. SOMA ZAIDI.
Siku moja nilipokuwa nikitoka darasani, niliitwa katika ofisi ya utawala. Nilidhani ni jambo la kawaida, lakini nilipoingia, nilikabidhiwa barua iliyosema kuwa nilikuwa nimefukuzwa chuo kutokana na deni la ada na madai ya ukiukaji wa kanuni za chuo.
Nilishangaa sana. Kwanza, nilikuwa nimebakiza kiasi kidogo sana cha ada ambacho nilikuwa nimeahidi kulipa baada ya mitihani. Pili, sikuwahi kuvunja sheria za chuo. Nilijaribu kujitetea lakini hakuna aliyekuwa tayari kunisikiliza.
Nilitoka ofisini nikiwa nimevunjika moyo. Nililia sana usiku huo. Niliona ndoto zangu zote zikifutika mbele ya macho yangu. Nilijiuliza ningewaambia nini wazazi wangu ambao walikuwa wamejitolea kila kitu ili nisome.
Rafiki yangu mmoja aliponiona katika hali hiyo, aliniambia nisikate tamaa. SOMA ZAIDI.
Katika kuonesha ujirani mwema Mbunge wa Kiteto Edward Ole Lekaita na Mbunge wa Kilindi Salehe Mhando wameamua kushirikiana kuhakikisha barabara ya Lengatei- Songe inatengenezwa kwa kiwango cha changarawe na kupitika kwa mwaka mzima.
Mbali ya kushirikiana kusimamia Ujenzi wa barabara hiyo pia Wabunge hao wameshiriki shughuli ya uzinduzi wa shule ya awali na msingi Kijiji cha Lesiot Kata ya Lengatei Kiteto.








.jpeg)


.jpeg)

.jpeg)





















