22 Disemba, 2025.
KAMPUNI ya Airtel Tanzania imezindua rasmi minara 5 katika maeneo mbalimbali ikiwemo Kigoma, Singida, Kilimanjaro, Geita na Morogoro. Minara hii ni sehemu ya mkakati wa airtel wa kupanua wigo na kuweza kuwafikia watanzania wengi waishio maeneo ya mijini na vijijini.

Nae Meneja kanda wa Kigoma, Bw. Issack Kijuu, alieleza kuwa Wakati Mwingine wanakijiji walikuwa wanapata shida kuwasiliana na jamaa zao, kwasababu wakiwa katika maeneo haya ya tambalale mtandao unakuwa haushiki kabisa. Aliongeza kwa kuishukuru kampuni ya Airtel kwa Kujenga mnara wa mawasiliano kijijini hapo.

Wakizungumza katika nyakati tofauti Mameneja wa kanda ya Mikoa ikiwemo Meneja wa Masoko Airtel Kanda ya Kati, Bw. Salum Ngururu, amesema kuwa “Sote tunatambua umuhimu wa Mawasiliano katika jamii yetu, Hivyo Airtel tumeamua kupanua wigo wetu wa mawasiliano na kuweza kuwafikia nyie ndugu zetu mnaoishi hapa Singida. Mnara huu utarahisiha upatikanaji wa huduma zetu za Airtel ikiwemo kupiga, Kutuma na kupokea pesa, pamoja na kufurahia interneti yetu yenye kasi ya 4G na 5G.

Naye Meneja wa Airtel kanda ya Ziwa, Bw. Joseph Mushi, akizungumza na wananchi wa kijiji cha Nyarututu, Kata ya Bwanga mkoani Geita amesema “kuwa Kadri uhitaji wa mawasiliano unavyozidi kuongezeka hasa ukichangiwa na ukuaji wa kidigitali, ndivyo na sisi Airtel tunavyoongeza wigo wa mawasiliano kwa kujenga minara katika maeneo ambayo yanauhaba wa miundombinu ya mawasilianoa kama ilivyokuwa hapa Geita.”

Minara hii ya mawasiliano itachangia kufungua fursa kwa vijana, akina mama na watu wote walipo katika mnyororo wa shughuli za kibiashara, Mikoa hii iliyopo kanda inaongoza kwa ufugaji pamoja na kilimo, shughuli hizi zote zinategemea mawasiliano katika kuwaunganisha wazalishaji na wanunuzi au Masoko. Hivyo uwepo wa minara ya mawasiano ya Airtel unaenda kufungua rasmi mzunguko mkubwa wa kibiashara na uzalishaji Tanzania.

Kadhalika meneja wa mauzo Airtel Kanda ya Morogoro, Bw. John Tungaraza, Ambaye katika alizungumza na wananchi wa maeneo hayo akisema “Airtel tumejidhatiti katika kuhakikisha tunajenga minara mingi zaidi hata katika maeneo yasiyofikika kwa urahisi, ili ukuaji wa kidijitali usimuache mtu nyuma. Tuna minara takribani 200 ambayo itazinduliwa msimu huu katika kata mbalimbali za kila mkoa hapa nchini, lengo likiwa ni kusogeza huduma zetu karibu na wateja wetu.”

Uzinduzi huu uliambatana na ofa maalum ya siku tatu kwa wakazi wanaotumia minara hii, ambapo Airtel iliwawezesha kupata dakika 50 za kupiga mitandao yote, MB 500 za intaneti pamoja na SMS 50 ikiwa ni sehemu ya shukrani kwa wananchi wa maeneo hayo.
Kwa muda mrefu nilijiaminisha kuwa kila ninachopitia kinatokana na mwili pekee. Nilijisikia mchovu mara kwa mara, mambo yalikwama, na hata juhudi nilizoweka kazini na kwenye maisha yangu binafsi hazikuzaa matunda.

Nilipima afya, nikazingatia lishe, na nikabadilisha ratiba zangu, lakini hakuna kilichobadilika kwa kiwango nilichotarajia.
Kilichoniumiza zaidi ni kuona wengine wakisonga mbele kwa urahisi huku mimi nikikwama bila maelezo.

Nilianza kujiuliza kama nilikuwa sifanyi vya kutosha au kama nilikosa nidhamu. Kadri nilivyozidi kujilaumu, ndivyo mzigo wa mawazo ulivyozidi kuongezeka. Mabadiliko ya mtazamo yalianza nilipozungumza na mtu aliyenifanya nione picha nzima.

Alinieleza kuwa wakati mwingine kikwazo si cha mwili pekee, bali kuna vizuizi vya ndani vinavyoathiri mwelekeo wa maisha. Hapo ndipo nilipoamua kutafuta ufafanuzi zaidi.Soma Zaidi.......
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilifikiri-tatizo-liko-kwenye-mwili-pekee-sikujua-kulikuwa-na-kizuizi-kingine/
Kwa miaka mitano tulibeba siri ambayo haikuonekana usoni, lakini ilituumiza ndani. Kila mwezi ulikuwa ni mzunguko wa matumaini mapya na maumivu yale yale. 

Tulijaribu kukaa kimya, tukiepuka maswali ya watu, tukicheka mbele ya familia huku mioyo yetu ikibeba uzito mzito.

Nilijifunza kutabasamu hata pale nilipokuwa nikivunjika. Tulipitia hatua nyingi vipimo, ushauri, na mabadiliko ya maisha. Kila tulipoambiwa “jaribuni tena,” nilihisi kama tunaanza upya bila ramani. 

Nilianza kujiuliza kama tatizo lilikuwa kwangu, kwetu, au kama kulikuwa na kitu kikubwa zaidi ambacho hatukukiona.

Msongo wa mawazo uliongezeka, na ukimya kati yetu ukaanza kutuathiri. Ukweli mmoja ulipojitokeza, ulitubadilisha mwelekeo. 

Nilielewa kuwa wakati mwingine safari ya uzazi haikwami kwa sababu ya jambo moja la wazi, bali mkusanyiko wa mizigo ya kihisia, hofu, na vikwazo visivyoonekana.

Hapo ndipo tulipoamua kutafuta mwongozo tofauti na tuliozoea.Soma Zaidi..
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/miaka-mitano-ya-kujaribu-kimya-kimya-kisha-ukweli-mmoja-uliobadili-safari-yetu-ya-uzazi/
Kwa muda mrefu nilikuwa naamini tatizo langu ni bahati mbaya. Nilihitimu, nikaboresha CV, nikatuma maombi kila mahali, na nikaitwa kwenye mahojiano kadhaa.

Lakini kila mara majibu yalikuwa yale yale “tutakujulisha.” Hakukuwa na maelezo, hakuna mrejesho, na matumaini yangu yakaanza kupungua siku baada ya siku.

Kila nilipoona wengine wakipata ajira, nilijilaumu. Nilianza kujiuliza kama nilikuwa sifai, au kama kuna kitu ndani yangu kilikuwa kinanizuia hata kabla sijaingia kwenye chumba cha mahojiano.

Hofu na kujiamini kidogo vilianza kunitawala, na hata nilipoitwa tena, niliingia nikiwa tayari nimeshajishinda moyoni. Hatua ya mabadiliko ilikuja nilipoamua kujiangalia kwa undani zaidi, si kwa macho ya watu bali kwa ukweli wangu mwenyewe.

Nilizungumza na mtu aliyenishauri nisitazame tu vyeti na uzoefu, bali pia hali ya akili, hofu, na mizigo ya kihisia niliyobeba. Soma Zaidi...
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilifeli-kila-mahali-nilipoomba-kazi-mpaka-nilipobadilisha-njia-ya-kujitathmini/
Kupoteza mzazi mapema ni jeraha ambalo halionekani wazi, lakini huishi moyoni kila siku. Nilikuwa bado mdogo, nikiwa na ndoto, maswali, na hofu nyingi. Siku aliyofariki, maisha yalionekana kusimama.

Watu walinipa pole, lakini hakuna aliyenifundisha jinsi ya kuendelea kuishi bila ule upendo nilioutegemea kila wakati. Nilijifunza kuvaa tabasamu mbele ya watu, lakini ndani nilikuwa nimejaa huzuni, hasira, na upweke. Nilianza kujitenga kimya kimya.

Nilikosa usingizi, mawazo yalikuwa mengi, na mara nyingi nilihisi kama nilikuwa nimeachwa duniani peke yangu. Kila hatua ya maisha ilinikumbusha pengo lililoachwa na mzazi wangu.

Nilijaribu kujipa shughuli, kazi, na hata kuzunguka watu, lakini maumivu hayakuondoka. Nilipofika mahali nilipochoka kujifanya niko sawa, niliamua kutafuta msaada kwa njia tofauti. Soma Zaidi.....
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipoteza-mzazi-mapema-sana-njia-niliyochagua-kuniponya-kihisia/
Sikutambua mapema kuwa mtandao ulikuwa unanimeza polepole. Nilikuwa nikiamka na simu mkononi, kulala nikiwa napitia mitandao ya kijamii, na hata kazi zangu nilizifanya huku macho yangu yakirudi mara kwa mara kwenye skrini.

Kwa nje nilionekana sawa, lakini ndani akili yangu ilikuwa imechoka, imejaa mawazo, wivu, hofu, na kujilinganisha na maisha ya wengine.
Kadri muda ulivyopita, nilianza kupoteza mwelekeo.

Nilikuwa nakosa usingizi, nikiishi kwa presha isiyo na sababu ya moja kwa moja, na furaha ya vitu vidogo ikaisha. Nilihisi kama maisha yananiwapita huku nikiwa nimekwama kwenye simu.

Mahusiano yangu yakaanza kudorora, umakini ukapungua, na hata kujitambua kulianza kupotea. Nilijaribu kujidhibiti peke yangu, nikifuta baadhi ya apps au kuapa kutumia simu kidogo, lakini sikudumu.

Hatua ya kubadilika ilikuja nilipotambua kuwa tatizo halikuwa simu tu, bali mzigo wa akili uliokuwa umekusanyika ndani yangu. Hapo ndipo niliamua kutafuta msaada wa kina zaidi. Soma Zaidi...........
Maisha yangu yalianza kuwa magumu sana. Kila siku ilikuwa lazima nipate mkopo wa kulipa madeni, nikijaribu kudhibiti gharama za nyumba, chakula, na shule za watoto.

Nilijaribu kila njia ya kawaida ya kuokoa pesa, kuwekeza kidogo kidogo, lakini matokeo hayakuwa thabiti. Nilihisi kukosa fahari, na kila mara moyo wangu ulikuwa unajaa wasiwasi. Nilijua familia yangu inategemea, lakini sikuona mwanga wa kutoka kwenye mzunguko huu wa umasikini.

Nilijaribu kuzungumza na marafiki, familia, na hata wakopeshaji wengine. Wote walinipa ushauri wa kawaida: “Endelea kufanya kazi zaidi,” “Hakikisha unahifadhi kidogo kila mwezi,” au “Usijali, muda utapita”.

Lakini ndani yangu nilijua kuna kitu nilikosa kuelewa. Tatizo halikuwa tu kifedha; lilikuwa ni mzizi wa kimuundo na kieneji ambao sikuweza kuona kwa macho. Nilijua lazima nifate mwongozo wa kina zaidi. Soma Zaidi...........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilikuwa-nikiishi-kwa-mikopo-suluhisho-hili-la-kienyeji-liliwasha-mwanga-na-kunionyesha-njia-ya-kuondoa-umasikini/
Kwa muda mrefu, maisha yangu yalikuwa yamejaa changamoto zisizoelezeka. Nilihisi nguvu zisizoonekana zinanizuia mimi na familia yangu. 

Vitu vilikuwa vinatokea kinyume na matarajio: biashara zikishindikana, migogoro isiyoelezeka ndani ya familia, na usumbufu wa mara kwa mara bila sababu inayoonekana.

Mara nyingine nilihisi wafuasi wa giza wapo karibu nasi, wakitishia amani yetu. Nilijaribu kila njia ya kawaida ushauri wa rafiki, madawa, hata kufuata utaratibu wa kawaida wa maisha. Lakini hakuna kilichobadilika.

Hali ilikuwa ngumu kiasi kwamba kila mtu alihisi hofu, na mimi mwenyewe nilianza kujiuliza kama kuna njia ya kuilinda familia yangu dhidi ya nguvu zisizoonekana. Soma Zaidi..........
Nilianza kuhisi kuna kitu hakiko sawa muda mrefu kabla sijapata uthibitisho. Simu zilizofungwa kwa nywila, safari za ghafla, tabia kubadilika bila maelezo na majibu mafupi mafupi vilianza kunitesa kisaikolojia.

Kama ilivyo kwa watu wengi Tanzania, nilijaribu kujituliza nikisema labda nawaza sana. Lakini moyoukudanganya.

Nilimwambia rafiki yangu wa karibu hali niliyokuwa napitia. Badala ya kunihukumu au kuniongezea hofu, Soma Zaidi........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jinsi-nilivyofichuliwa-ukweli-wa-usaliti-kupitia-tiba-asili-ya-kiwanga-doctor-na-kurejesha-amani-ya-moyo-wangu-leo-tu-hii/
Nilihisi kama nimekosa njia ya kufanikisha maisha yangu ya kifedha na ndoto zangu. Nilijaribu njia nyingi: kazi ndogo, biashara ndogo ndogo, hata kuomba msaada kwa marafiki, lakini kila kitu kilikuwa cha muda mfupi na hakikuleta matokeo ya kudumu.

Nilihisi kama nilikuwa nikitafuta suluhisho kwenye sehemu zisizo sahihi. Nilijaribu mbinu za kawaida za kuvutia watu tajiri kutembea kwa mtindo, kuwa karibu na sehemu zinazojulikana kwa utajiri, lakini bado hakuna kilichofanikisha.

Hali ilinifanya nijihisi kuchanganyikiwa, na mara nyingine hata kujiuliza kama ndoto yangu ingewezekana. Soma Zaidi........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/kutafuta-sugar-daddy-tajiri-nilijaribu-njia-nyingi-hii-moja-ya-kienyeji-ilifanya-kila-kitu-rahisi/
Nilikuwa na shaka kubwa ndani yangu. Kila mtu alidhani sitashinda, wakiwemo marafiki zangu, familia, na hata mimi mwenyewe mara nyingine. Nilijaribu mara kadhaa kushiriki kwenye dau mbalimbali, lakini matokeo hayakuwa kama nilivyotarajia.

Kila kushindwa kulinifanya nijihisi mdogo na kuanza kujiuliza kama bahati ingekuwa nami daima. Hali ilizidi kuwa ngumu nilipoona wengine wakishinda na kufurahia, huku mimi nikibaki nyuma.

Nilijaribu mbinu za kawaida, ushikaji wa hesabu sahihi, na hata nasaha za rafiki. Lakini bado hakuna kilichofanikisha. Ndipo nilipoona kuna uwezekano wa kuchagua njia tofauti njia ya asili ambayo sikuwa nimeijaribu.Soma Zaidi..
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/wote-walidhani-sitaweza-kushinda-bet-lakini-siku-moja-hatimaye-nilipata-ushindi-usiyotarajiwa/

 


Na James  Mwanamyoto - Dar es Salaam

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (OWM–TAMISEMI) Mhe. Prof. Riziki Shemdoe ameulekeza uongozi wa Shirika la Masoko kuhakikisha zoezi la upangishaji wa vizimba na vyumba kwa wafanyabishara wa Soko la Kariakoo unazingatia bei ya soko ili mradi huo wa Soko la Kariakoo uwanufaishe wafanyabiashara kama ilivyokusudiwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan.

Prof. Shemdoe ametoa maelekezo hayo leo Disemba 24, 2025 Jijini Dar es Salaam, wakati wa ziara yake ya kikazi ya kukagua maendeleo ukarabati wa soko, ambao ulianza kutekelezwa Januari 7, 2022 na kukabidhiwa katika Shirika la Masoko ya Karikakoo  Agosti 25, 2025.

“Mpangishe vizimba na vyumba kwa kuzingatia bei ya soko kwani Mhe. Rais alitoa Shilingi Bilioni 28 za ukarabati wa soko ili wafanyabishara wanufaike, hivyo kusiwe na ujanja ujanja wa baadhi ya watu kufanya udalali,” Prof. Shemdoe amesisitiza.

Sanjari na hilo, Prof. Shemdoe ameusisitiza uongozi wa Soko la Kariakoo kuhakikisha wafanyabishara wa awali wanapewa kipaumbele kupewa vizimba na vyumba kabla ya kuwapatia wafanyabiashara wapya, ili kuondokana na malalamiko.

Pia, Prof. Shemdoe ameusisitiza uongozi wa Soko la Karikaoo kutoruhusu watu kupata vizimba au vyumba kinyume na utaratibu katika soko jipya, wakati tayari wapo wafanyabiashara waliokwishapata vizimba na vyumba kupitia mfumo wa TAUSI.

Aidha, Prof. Shemdoe ameuhimiza uongozi wa Kariakoo kuhakikisha majengo ya Soko la Kariakoo yanakatiwa bima, na kuendelea kutoa elimu ya umuhimu wa bima kwa wafanyabiashara ili nao wakate bima kwa ajili ya kulinda mitaji yao pindi wanapokabiliana na changamoto zitakazoweza kuwarudisha nyuma kibiashara.

Prof. Shemdoe ameongeza kuwa, ujenzi wa Soko la Kariakoo umeongeza chachu kwa sekta binafsi kufanya uwekezaji katika kujenga majengo ya kibiashara kulizunguka soko hilo, hivyo amewapongeza  na kuwahimiza kukamilisha majengo hao ili  kuimarisha sekta ya biashara na kuboresha utoaji wa huduma kwa wananchi.

Kwa upande wake, Kaimu Katibu Tawala Msaidizi (Miundombinu), Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Mhandisi Aman Mafuru amesema kuwa, ukarabati wa soko la Karikaoo umezingatia uwekaji wa miundombinu mbalimbali ikiwemo  mifumo imara ya kukabiliana na ajali za moto, lifti za kubeba bidhaa, wafanyabiashara na wanunuzi wa bidhaa.





Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, akiwa ameongoza na Kikosi cha Usalama Barabarani wilayani humo kufanya ukaguzi wa kushtukiza katika barabara kuu ya Dar es Salaam–Tanga, eneo la Segera, ambapo jumla ya madereva 60 walibainika kukiuka makosa mbalimbali ya usalama barabarani.

Na Mwandishi Wetu, Handeni

Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, ameongoza Kikosi cha Usalama Barabarani wilayani humo kufanya ukaguzi wa kushtukiza katika barabara kuu ya Dar es Salaam–Tanga, eneo la Segera, ambapo jumla ya madereva 60 walibainika kukiuka makosa mbalimbali ya usalama barabarani.

Akizungumza wakati wa ukaguzi huo, Mhe. Nyamwese amesisitiza umuhimu wa madereva kuzingatia sheria na kanuni za usalama barabarani, hususan katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, ili kuepusha ajali na kulinda maisha ya abiria pamoja na watumiaji wengine wa barabara.

“Ninatoa wito kwa madereva wote; huu ni msimu wa sikukuu, tafadhali epukeni kabisa matumizi ya vilevi mnapokuwa barabarani. Tuko macho saa 24. Dereva yeyote atakayekamatwa akiendesha gari akiwa amelewa katika barabara yetu hatapata msamaha, leseni yake itafutwa,” amesema Mhe. Nyamwese.

Ameeleza kuwa ukaguzi huo ni sehemu ya jitihada za Serikali ya Wilaya ya Handeni katika kuhakikisha usalama wa wananchi unaimarishwa na ajali za barabarani zinapungua, hasa katika kipindi cha sikukuu.

Nilikuwa nikijaribu bahati yangu kwa muda mrefu. Kila siku nilikuwa nikinunua tiketi za lottery, nikijaribu hesabu tofauti, na hata kuzingatia nasaha za marafiki.

Lakini kila mara matokeo yalikuwa sawa kushindwa. Wakati mwingine nilihisi ningeweza kuacha, lakini ndani yangu kulikuwa na tamaa ya kuona maisha yamebadilika mara moja kwa bahati moja.

Marafiki na familia walidhani sitaweza kushinda, wakiwemo watu waliokuwa karibu sana nami. Hali hiyo ilinifanya nijihisi peke yangu na kujiuliza kama jackpot inaweza kuwa kweli kwangu. Nilijua lazima nifate njia sahihi zaidi, njia ambayo ingekuwa tofauti na mbinu za kawaida ambazo hazikuleta matokeo.Soma Zaidi..............
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/wote-walidhani-jackpot-haingewezekana-lakini-hatimaye-nilipata-bahati-kubwa-na-hii-njia-ya-kienyeji/
Nilihisi maisha yangu ya shule yamegeuka kuwa giza la kila siku. Marafiki walikuwa hawajali, walimu walikosa kujua au kushughulikia, na mimi niliishi kwa hofu isiyoelezeka. Kila hatua nilipochukua, nilijihisi nikiwa hatarini, huku heshima yangu ikinyamazishwa kila mara.

Mara nyingi nilijihisi peke yangu, na kuanza kuamini kuwa maisha yangu ya shule hayangeweza kubadilika. Nilijaribu kuzungumza na watu wazima, walimu, na hata familia yangu, lakini mara nyingi waliniambia subiri au kujaribu kusahau.

Lakini huzuni na hofu vilikuwa vikibakia. Nilihisi kila siku kama ngome ya ukatili haingeweza kuondolewa bila msaada wa kina zaidi. Soma Zaidi......
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilipitia-unyanyasaji-wa-kijinsia-shuleni-hatua-moja-ilinilinda-na-kubadilisha-maisha-yangu/
Nilikuwa nimefika hatua ya kuchoka kimawazo na kihisia. Ndani ya ndoa yangu kulikuwa na maswali mengi kuliko majibu. Mabadiliko ya tabia, simu zilizokuwa zikifichwa, kuchelewa kurudi nyumbani na ukimya usioelezeka vilianza kunipa mawazo mengi.

Kama mwanamke wa Kitanzania, nilijaribu kuvumilia nikiamini muda ungeweka sawa mambo. Lakini kadri siku zilivyopita, hali ilizidi kuwa nzito moyoni. Soma Zaidi.........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jinsi-nilivyopata-ukweli-wa-ndoa-yangu-kupitia-tiba-asili-ya-kiwanga-doctor-na-kurejesha-amani-ya-maisha-tanzania-leo-tu/
Mimi ni mwanamke wa kawaida kutoka Dodoma. Kwa muda mrefu nilikuwa nikijaribu kubashiri kama njia ya kujiongezea kipato. Sio kwa tamaa, bali kwa matumaini.

Nilikuwa napiga bet kwa nidhamu, nikichagua timu kwa uangalifu, lakini bahati ilikuwa inanipita kila wakati. Nilipoteza pesa kidogo kidogo mpaka nikaanza kujiuliza kama tatizo ni akili au bahati.

Nilipochoka, niliamua kusimama kabisa. Ndipo rafiki yangu akanisimulia hadithi yake ya kubadilika kwa bahati baada ya kupata msaada wa tiba asili.Soma Zaidi........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/jinsi-mwanamke-wa-dodoma-alivyoshinda-jackpot-kubashiri-baada-ya-kusaidiwa-kwa-tiba-asili-ya-kiwanga-doctor-leo-hii-tu/
Nilihisi moyo wangu umesalia kwenye hatua moja, huku mpenzi wangu akionekana mbali zaidi kila siku. Tulikuwa tumepitia changamoto nyingi, lakini mara nyingi nilihisi kama hakuna njia ya kumfanya arudie kuamini hisia zangu.

Nilijaribu maneno, zawadi, hata makosa yangu kuonyesha nia, lakini hakuwa tayari. Kila jaribio lilikuwa dogo na kuisha haraka. Hali ilizidi kuwa ngumu nilipoona rafiki zangu wakifurahia mapenzi yao wakati wangu ulishindikana.

Nilijua lazima kuna kitu nilikuwa nakosa kuelewa. Nilihisi kuna kizuizi kisichoonekana kinazuia mpenzi wangu kumkaribia moyo wangu tena. Nilijua lazima nitafute msaada wa kina zaidi kuliko vile nilivyokuwa nikijaribu peke yangu. Soma Zaidi...........
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/mpenzi-wangu-alikuwa-kizuizi-hatua-moja-ilinisaidia-kumwinua-moyo-wake/

Watendaji wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) na wenzao wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), leo 23 Desemba 2025, wamekutana na kujadili namna ya kuimarisha ushirikiano wa utendaji hususani katika usimamizi wa masuala ya kikodi yanayotokana na huduma zinazodhibitiwa na EWURA.

 

 


Na Ashrack Miraji

Waziri wa Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, amewataka viongozi wa Mikoa, Wilaya, Halmashauri na Kata kuacha tabia ya kukaa ofisini na badala yake kushuka chini kuwafuata vijana ili kuwaeleza fursa mbalimbali za kimaendeleo zinazotolewa na Serikali kwa ajili ya kuwainua kiuchumi.

Akizungumza na vijana wa Jimbo la Same Mashariki mkoani Kilimanjaro, Waziri Nanauka alisema viongozi hao wana wajibu wa kuwafikia vijana moja kwa moja kwenye maeneo yao na kuwapatia taarifa sahihi kuhusu fursa za mikopo, mafunzo, ajira na miradi mbalimbali ya kiuchumi inayotolewa na Serikali.

Alisema katika ziara zake tangu ateuliwe kuwa Waziri wa wizara hiyo, amebaini kuwa idadi kubwa ya vijana hawana taarifa za fursa za maendeleo zinazotolewa na Serikali, hali inayosababisha fursa hizo kuwafikia vijana wachache huku wengi wakibaki nyuma kwa kukosa taarifa.


“Nimegundua taarifa nyingi za fursa za vijana hubaki kwa makundi machache. Serikali ya Awamu ya Sita inataka kila kijana, bila kujali itikadi au eneo alipo, apate taarifa na kunufaika na fursa hizi,” alisema Waziri Nanauka.

Aliongeza kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameagiza fursa zote zinazohusu vijana zitolewe kwa uwazi na usawa, huku viongozi wa ngazi zote wakihamasishwa kuhakikisha vijana wanapata elimu ya namna ya kuzitumia fursa hizo kwa maendeleo yao binafsi na Taifa kwa ujumla.


Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Same Mashariki, Anne Kilango, alisema kundi la vijana ni kubwa kuanzia ngazi ya dunia, Taifa hadi jimbo lake, akieleza kuwa takribani asilimia 64 ya wakazi wa jimbo hilo ni vijana, hivyo linahitaji mikakati madhubuti ya kuwawezesha kiuchumi.

Kilango alisema miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa ndani ya jimbo hilo imeongeza imani ya vijana kwa Serikali, ikiwemo mradi wa ujenzi wa barabara ya Mkomazi–Kisiwani Same yenye urefu wa kilomita 101 inayojengwa kwa kiwango cha lami, ambayo imefungua fursa za kiuchumi na kijamii kwa vijana wa eneo hilo.

Naye Waziri Nanauka aliahidi kushughulikia changamoto zilizowasilishwa na vijana, hususan miundombinu ya umwagiliaji, akisema Serikali inaendelea kutenga rasilimali ili kuboresha kilimo cha umwagiliaji kwa mazao ya kimkakati yanayolimwa na vijana ili kuongeza tija na kipato.

Kwa upande wao, vijana waliohudhuria mkutano huo, wakati wakiwasilisha risala yao kwa Waziri, walisema wanakabiliwa na changamoto ya miundombinu ya umwagiliaji katika kilimo cha tangawizi kwenye kata za milimani pamoja na kilimo cha mpunga katika kata za tambarare, wakiiomba Serikali kuharakisha upatikanaji wa miradi ya maji kwa ajili ya kilimo.