MJUMBE wa Kamati Kuu na Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM),Namelok Sokoine Ametoa somo la elimu ya jinsi ya kupiga kura kwa jamii ya kifugaji ya Kimasai katika Kata ya Engaranaibor Wilayani Longido Mkoani Arusha ili kura za jamii hiyo zisiweze kuharibika.

Namelok alisema ana amini kuwa kila mmoja ana kadi ya kupigia kura na kadi hiyo inapaswa kutumiwa vizuri na wananchi wa jimbo hilo ambao wengi wao ni wafugaji wa Kimasai namna ya kupiga kura kwa mgombea Urais wa Chama Cha Mapinduzi(CCM) ,Mbunge na Madiwani ili waweze kumsaidia Rais kusukumu maendeleo ya jimbo la Longido.


Alisema yeye hana maneno mengi kwa siku ya leo kwa kuwa mgeni rasmi katika ufungaji kampeni na kusema eneo la Engaranaibor lina histori kubwa sana katika familia ya Sokoine hivyo alipoombwa na mgombea ubunge wa Jimbo la Longido,Dkt Steven Kiruswa hakusita na alikubali mwaliko huo.

Mjumbe wa huyo wa Kamati Kuu ya CCM aliwataka wakazi wa Longido kuhakikisha wanashika nafasi ya kwanza kimkoa na ikiwezekana Kitaifa kwa kura za ndio kwa mgombea Urais wa CCM Samia Suluhu Hassan ili aweze kuendeleza yale aliyoyafanya na anayotaka kuyafanya kwa maslahi ya wananchi wa Jimbo la Longido.

"Amewataka wanawake wa jinsi zote wadogo lwa wakubwa,vijana na wazee kujitokeza kwa wingi kesho kwenye vituo vya kupiga kura lengo ni kumchagua Rais Samia awe Rais kwa awamu nyingine tena ya kuliongoza Taifa"alisema Namelok

Kabla ya hotuba za viongozi mbalimbali wa CCM,Namelok alifanyiwa maombi maalumu na viongozi wa dini zote na viongozi wa Milla wa Kimasai maarufu kwa jina la Malaigwanani ili aweze kuendelee vema kuongoza chama Mkoa na Taifa pia kumwombea Rais afya njema ili aweze kuongoza vema Taifa la Tanzania.

Mwwnyekiti wa CCM Mkoa wa Arusha Loy ole Sabaya amesema kuwa jimbo la Longido hususani kata ya Engaranaibor ina histori kubwa kwa familia ya Sokoine hivyo basi wananchi wa Tarafa ya Engaranaibor wanapaswa kuienzi historia hiyo ikiwa ni pamoja na kutoa kura nyingi kwa Rais ili kuwaheshimisha wana Longido kwa ujumla.

Mgombea Ubunge wa Jimbo la Longido,Dkt Steven Kiruswa ambaye alihutubia mamia ya wakazi wa kata ya Engaranaibor kwa mvua kubwa alisema wananchi wa jimbo hilo hawamdai mgombea Urais wa CCM,Samia Suluhu Hassan kwani amefanya mambo malubwa ikiwemo kupeleeka miradi ya maendeleo ya zaidi ya shilingi Bilioni 106.

Kiruswa alisema Longido itakuwa ya kwanza kuongoza katika kura ya Rais kwani wananchi wa jimbo hilo wanamkubali sana kwa kuwa amewajali kwa miradi ya maji,elimu,afya na barabara hivyo fadhila yao ni kumpa kura za kishindo ili aweze kuongoza tena nchi.

Naye Mwenyekiti wa Chama cha Wafayabiashara wa Madini Nchini(CHAMMATA), Jeremia Kituyo amesema kuwa serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan imefanya mambo makubwa katika sekta ya madini hivyo anapaswa kuchaguliwa tena kuliongoza Taifa ili aweze kukamilisha ama.kuboresha zaidi sekta hiyo ambayo ni muhimili mkubwa wa nchi.

Kituyo alisema sekta ya madini ilikuwa chini katika kuliingizia Taifa Mapato lakini chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan na usimamizi mzuri wa mawaziri na watendaji wa Wizara hiyo sasa sekta hiyo imekuwa tegemeo la Taifa katika kuingoza mapato na imekuwa ikivuka malengo ya ukusanyaji mwaka hadi mwaka.









NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

KITUO Cha Taarifa na Maarifa katika kata ya Kitunda kimefanikiwa kuibua ajenda za kijamii na kuhamasisha usalama wa watoto wa kike pamoja na ushiriki wa wanawake katika uongozi, kufuatia kufanya tathimini ya mradi wa Women’s Leadership and Economic Rights (WLER).

  


Ndoa yangu ilifika hatua ya kutisha. Kila usiku tulikuwa tukilumbana kuhusu kitu kipya, hasa pesa na wivu. Mume wangu alianza kubadilika ghafla alikuwa mkali, mwenye hasira, na mara nyingi hakutaka kurudi nyumbani mapema.

Nilijaribu kumwelewa, lakini kila nilipojaribu kuzungumza naye, mambo yaliharibika zaidi. Tulianza kulala migongo, hatukuongea tena kwa upole, na hata watoto walihisi baridi ya mapenzi ndani ya nyumba.

Mimi ndiye niliyekuwa na kazi ndogo ya kuuza nguo, lakini sikuwa nikipata wateja kama zamani. Kila kitu kilianza kwenda mrama. Wakati mwingine nilihisi kama kuna nguvu mbaya zilikuwa zinavuruga maisha yetu. Mume wangu alianza kunishuku kuwa nina mtu mwingine, na mimi pia nikaanza kuwa na wivu wa kupitiliza. Ilifika mahali nilihisi kama ndoa yetu haingeweza kuendelea tena.

Nililia sana. Wakati mwingine nililala bila kula, nikijiuliza ni wapi tulikosea. Marafiki walinipa ushauri tofauti wengine walinambia niondoke, wengine walinambia nivumilie, lakini hakuna aliyenisaidia kupata suluhisho la kweli. Nilijaribu maombi, nilijaribu kufunga, lakini bado tulikuwa tunagombana kila siku. Ilifika hatua nilihisi kama kuna nguvu za kichawi au laana iliyokuwa inatusumbua. Soma zaidi hapa 

 

Katika juhudi za kuboresha miundombinu na kuinua uchumi wa wakazi wa wilaya ya Mbinga, Meneja wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) wilayani humo, Mhandisi Oscar Musa, amesema mradi wa Agri-Connect unaotekelezwa katika barabara ya Utili–Mahande umefikia hatua muhimu ya ujenzi.

Mradi huo wenye urefu wa kilomita 14.4 na thamani ya shilingi bilioni 16.5 ulianza kutekelezwa mwezi Novemba 2024 na unatarajiwa kukamilika Mei 2026, ikiwa ni kipindi cha miezi 18. Kwa sasa, kazi ya kuchonga na kufungua barabara yote imekamilika, huku ujenzi wa madaraja saba ukiendelea sambamba na uwekaji wa tabaka la udongo ambapo kilomita 8 tayari zimekamilika.

Mhandisi Musa amesema kwamba mradi huo unatekelezwa na Mkandarasi kutoka kampuni ya Ovans Construction Ltd iliyoko Mbinga.

“Lengo kuu la mradi huu ni kuwahudumia wananchi wa vijiji vya Utili, Mahande na Mbinga kwa ujumla. Mradi huu unatarajiwa kurahisisha usafirishaji wa pembejeo na mazao ya wakulima hususan kahawa na mazao ya nafaka, hivyo kuchochea maendeleo ya kiuchumi kwa wakazi wa maeneo haya”.

Mhandisi Musa ameongeza kuwa Wilaya ya Mbinga inasimamia mtandao wa barabara wenye urefu wa kilomita 2,037, ambapo kilomita 45 ni za lami, kilomita 207 ni za changarawe na kilomita 1,780 ni za udongo. 

“Kutokana na jiografia ya eneo hili kuna zaidi ya madaraja 300.

Awali, bajeti ya wilaya kwa ajili ya barabara ilikuwa shilingi bilioni 1.7, lakini katika kipindi cha Awamu ya Sita bajeti imeongezeka hadi kufikia bilioni 5.2”, ameongeza kusema.

Amesema kwamba ongezeko hilo limewezesha ujenzi wa kilomita 8 za barabara ya lami, ufungaji wa taa mpya 53 na ufunguzi wa zaidi ya kilomita 300 katika halmashauri zote mbili za wilaya hiyo. 

Aidha, Mhandisi Musa ameishukuru Serikali kwa ongezeko hilo la bajeti ambalo ni zaidi ya asilimia 200, akisema limechangia kwa kiasi kikubwa kuboresha huduma kwa wananchi.

Kwa mwaka wa fedha 2025/2026, TARURA Mbinga inatarajia kujenga madaraja ya mawe 12, kufanya matengenezo ya barabara za kiwango cha lami kilomita 1.8, kufunga taa za barabarani zipatazo 18 na kufungua barabara mpya kilomita 120 kwa kuweka changarawe katika kilomita 36.

Katika kuhakikisha ushirikishwaji wa wananchi, TARURA wilayani Mbinga imeendesha mafunzo kwa vikundi kazi ambapo jumla ya washiriki 24 walihudhuria na vikundi vinne vimesajiliwa rasmi. Vikundi hivyo tayari vimepata kazi katika awamu tofauti za miradi ya barabara wilayani humo, hatua inayolenga kuongeza ajira na ushiriki wa jamii katika maendeleo ya miundombinu.

Naye, Bw. Theofred Komba, mkazi wa Utili amesema kwamba wanamshukuru Mhe. Rais kwa kuwajali wananchi wake kwani ujenzi wa barabara hiyo utawasaidia kusafirisha mazao yao pia kuwaondolea adha ya usafiri kwani awali walikuwa wakilipa shilingi 5000 lakini kwa sasa wanalipa 3000.

Bi. Leonia Komba mkazi wa Utili amesema kukamilika kwa barabara hiyo itawasaidia wajawazito kufika kwa wakati kwenye kituo cha afya tofauti na zamani ambapo ilikuwa ngumu kuwahi huduma hususan kipindi cha mvua ilikuwa shida sana.

 


Na Magesa Magesa,Arusha

MKUU wa wilaya ya Arusha,Joseph Mkude amewatoa hofu wananchi jijini hapa juu ya uvumi wa  kuwapo kwa maandamano siku ya kupiga kura na kusema kuwa katika Wilaya yake hakutakuwa na maandamano hivyo wananchi wote waliojiandikisha katika daftari la mpiga kura wajitokeze kwenda kupiga kura.

Ameyasema hay oleo alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake juu ya maandalizi ya uchaguzi na kusema kuwa Serikali kupitia vyombo vyote vya ulinzi na usalama imejipanga kikamilifu kuhakikisha kuwa hakutakuwa na hali ya uvunjifu wa amani.

“Wananchi msiwe na hofu yeyete ya maandamano siku ya kupiga kura,nawahakikishia Arusha hakutakuwa na maandamano hivyo zipuuzeni taarifa hizo na mjitokeze kwa wingi kwenda kupiga kura”alisisitiza Mkuu huyo wa Wilaya.

Mkude alisema kuwa hadi sasa maandalizi kwa ajili ya uchaguzi yanaenda vizuri na kwamba vifaa vyote vya uchaguzi vimekwishawasili na kuhifadhiwa kusubiri siku hiyo na kwamba katika jiji la Arusha lenye mitaa 154 waliojiandikisha kupiga kura ni 4,350,119 na kwamba vituo vya kupigia kura vipo 1051.

Aliwataadharisha wananchi kutoshiriki kujihusisha katika vitendo vyovyote vile vya uvunjifu wa amani kwani watakaobainika watachukuliwa hatua kali z kisheria na kwamba mara baada ya kuga kura warudi majumbani kwa ajili ya kusubiri matokeo.

“Nisisitize kama mnavyojua jumatano ni siku ya mapumziko, nawasihi wananchi wakishamaliza kupiga kura warudi majumbani kwa ajili ya kusubiri matokeo na wajiepushe na vindo vya uvunjifu wa amani ila kwa yule ambaye ana shughuli zake za kufanya siku hiyo anaruhusiwa  kufanya”alisema Mkude.

Amesema hakuna mwananchi yeyete atakayetembea umbali wa zaidi kilometa tatu kufuata kituo cha kupigia kura kutokana na wingi wa vituo vilivyowekwa hivyo hakutakuwa na kisingizio cha kutokupiga kura kutokana na suala la umbali

 


 Kwa miaka mingi nilihisi nimerogwa kwa masikio ya wengine. Kuna mtu mmoja kazini alinidharau kila mara. Alinitaja kwa utani mbaya mbele ya wateja, alinichezea majukumu madogo, na hata alipokuwa na nafasi ya kunisaidia alizungumza bila kuwa karibu. Nilijaribu kukumbatia uvumilivu lakini kila tukio liliniongeza aibu na kutikisa utu wangu.

Siku hizo zilikuwa ngumu. Nilijaribu kujiendeleza kazi kwa bidii lakini heshima yangu ilionekana kutoweka hivi karibuni. Nilipitia mawazo ya kuondoka, lakini moyo wangu ulisema si njia bora. Nilitaka mtu huyo aje aitake ampongeze, sio kwa sababu ya kiburi, bali kwa sababu nilitaka utu wangu kurudi. Nilihisi lazima nifanye kitu kitakachomfundisha adabu bila kutumia ukatili.

Nilianza kwa kupunguza hisia. Nilisoma kinachoweza kumfanya mtu afanye mabadiliko. Nilizungumza na marafiki wa karibu, nikaelewa kwamba hisia za watu zinabadilika wakati wanapogundua thamani yako. Badala ya kulipiza kisasi kwa maneno au matendo, niliamua kutumia njia ya busara itakayofundisha. Soma zaidi hapa 

Songosongo, Kilwa — Oktoba 25, 2025

Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) limeendelea kudhihirisha dhamira yake yakuimarisha mahusiano na jamii kupitia programu zake za Uwajibikaji kwa Jamii (CSR), baada ya kudhamini na kuendesha bonanza kubwa la michezo na upimaji wa afya bure katikaKijiji cha Songosongo, wilayani Kilwa, mkoani Lindi.

  

Kwa muda mrefu nilihisi kama maisha yangu yalikuwa chini ya kivuli kisichoelezeka. Kila nilichogusa kiliharibika, kila mpango niliokuwa nao ulienda vibaya, na kila uhusiano niliouanza haukudumu hata miezi michache.

Watu walinicheka, wengine wakasema labda ni bahati mbaya, lakini moyoni nilijua kulikuwa na kitu kisicho cha kawaida. Nilikuwa nimepoteza kazi yangu mara tatu ndani ya mwaka mmoja, biashara niliyoanzisha ikafungwa, na hata marafiki wachache niliokuwa nao wakaanza kuniepuka.

Nilipojaribu kujipa moyo, nilijikuta nikizama zaidi kwenye matatizo. Nilihama nyumba nikifikiri labda tatizo lilikuwa mazingira, lakini hali haikubadilika. Nilipojaribu kuomba kazini kwingine, kila mara nilikosa hata pale nilipokuwa na sifa zote.

Nilianza kuamini kuwa labda nimezaliwa na mkosi au kuna kitu kilichokuwa kinanizuia kufanikiwa. Wakati mwingine ningesimama barabarani nikijiuliza kwa nini maisha yangu yalikuwa yamejaa giza lisiloisha.

Watu wa karibu walianza kuniona kama mtu wa mikosi. Nilihisi upweke mkubwa na hata familia yangu ilianza kuniambia labda nimekosea mahali pa kuomba. Nilijaribu sala, maombi, na hata kusoma vitabu vya motisha, lakini hakuna kilichobadilika.

Nilipoteza matumaini, nikaanza kuamini maisha yangu hayawezi kubadilika tena. Nilihisi nimechoka kuishi katika hali ya kushindwa, na kila siku nililala nikiomba muujiza utokee. Soma zaidi hapa 


NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

WANAWAKE wa Kata ya Gongo la Mboto wamehamasishwa kushiriki katika nafasi za uongozi na kujiimarisha kiuchumi kupitia Kituo cha Taarifa na Maarifa (KC) baada ya kufanya tathimini ya mradi wa Women’s Leadership and Economic Rights (WLER) unaoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na UNWOMEN
NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Kituo cha Taarifa na Maarifa (KC) Kata ya Chanika kimeibuka na ajenda ya kuimarisha miundombinu ya shule na uwezo wa kiuchumi kwa wanawake, baada ya kufanya tathimini ya utekelezaji wa mradi wa kuimarisha Haki za Uongozi na Uchumi kwa Wasichana na Wanawake pamoja na Wenye Ulemavu (WLER) yanayoratibiwa na Mtandao wa Jinsia Tanzania (TGNP) kwa kushirikiana na UN Women.

 


Na Oscar Assenga,MUHEZA

MSIMAMIZI wa Uchaguzi Jimbo la Muheza Serapion Bashange amewataka makarani waongoza wapiga kura wajitahidi na kujiepusha kuwa vyanzo vya malalamiko kutoka katika vyama vya siasa wakati wa mchakato wa uchaguzi mkuu utakaofanyika Octoba 29 mwaka huu.

Bashange aliyasema hayo leo mjini Muheza wakati wa mafunzo kwa makarani waongoza wapiga kura ambapo alisema badala yake washirikiane vyema na mawakala wa vyama vya siasa watakaokuwepo vituoni kwa mujibu wa sheria.

Alisema ili wafanye kama timu ili kufanikisha uchaguzi kwenye vituo mbalimbali walivyopangiwa kutekeleza majukumu yao ikiwemo kuhakikisha wanafika mapema kwenye vituo watakavyopangiwa ili kukamilisha upangaji wa vituo kabla ya muda ewea upigaji kuwa

“Leo mpo hapa kwa ajili ya mafunzo ya makarani waongozaji wapiga kura ambao mtakuwa na jukumu la kutekeleza shughuli za uchaguzi ipasavyo katika ngazi za vituo 494 vilivyopo Jimbo la Muheza na Kata 37 kwa wale mnaosimamia zoezi hili kwa mara ya kwanza ni mategemeo yangu mtajifunza niwaase pamoja na uzoefu mlionayo baadhi yetu msiache kusoma katiba,sheria ,kanuni na miongozo na maelekezo mengine yanayotolewa na tume ya uchaguzi”Alisisitiza.

Aliwaleza kwamba nafasi waliopewa ya kuwa makarani katika uchaguzi huo ni nyeti na muhimu kwa mustakabali wa Taifa l hivyo wanategemea watazingatia sheria kanuni na maelekezo watakayopewa mpaka watakapokamilisha jukumu hilo la uchaguzi mkuu.

“Lakini pia niwaase kwamba hakikisheni mnazingatia unadhifu mvae vizuri mpendeze pia tumieni lugh nzuri pamoja na kutoa vipaumbele kwa wapiga kura wenye mahitaji maalumu watakaofika kwenye maeneo yenu ya kupigia kura”Alisema


Aidha pia aliwataka kuhakikisha wanafanya mawasiliano na Afisa Uchaguzi au Msimamizi wa Uchaguzi pale ushauri utakapohitaji kuhusiana na masuala ya uchagizi kwenye vituo vyao.

“Lakini pia jazeni fomu za uchgauzi kwa ufasaha na ukamilifu kwa kuhakikisha mnaviweka kwenye bahasha husika kwa mujibu wa maelekezo lakini pokeeni vifaa vya uchagauzi na kuvitunza”Alisema








  


Kwa muda mrefu nilihisi kama maisha yangu yalikuwa yamekwama. Nilijitahidi kufanya kazi kwa bidii, lakini kila jambo nililojaribu halikufanikiwa. Nilianzisha biashara mara tatu tofauti, zote zikaanguka. Nilipoteza hela, marafiki, na hata kujiamini. Nilianza kuamini kuwa labda nilizaliwa na bahati mbaya. Kila siku nililala nikiwa nimechoka, nikijiuliza kwa nini maisha yangu yalikuwa magumu kiasi hicho.

Siku moja nilisikia watu wakiongea sokoni kuhusu pete ya kipekee ambayo ilikuwa ikiwasaidia watu kupata mafanikio. Walisema ilikuwa ya kiroho, yenye nguvu ya kuvutia bahati na kufungua milango ya mafanikio. Mwanzoni nilicheka, nikaona kama ni hadithi tu. Lakini baadaye nilipokutana na jirani yangu ambaye aliniambia mwenyewe kuwa maisha yake yamebadilika baada ya kutumia pete hiyo, nilianza kufikiria kwa kina. Soma zaidi hapa 

 




>Awataka watanzania kutoka kwa wingi kupiga kura kumchagua Dkt Samia Suluhu,Wabunge na Madiwani wanaotokana na CCM.

Na Oscar Assenga,MUHEZA.

MKURUGENZI Mstaafu wa Makosa ya Jinai nchini (DCI) Balozi Adadi Rajabu amesema kwamba suala la amani na utulivu ni muhimu Octoba 29 mwaka huu kupiga kura huku akiwataka watanzania kujitokeza kwa wingi na kwamba siku hiyo hakutakuwa na maandamano yoyote kutokana na uimara wa vyombo vya ulinzi hapa nchini.

Balozi Adadi aliyasema hayo wakati wa mkutano wa kampeni wa kumnadi Mgombea Ubunge wa Jimbo la Muheza (CCM) Hamisi Mwinjuma alimaarufu Mwana FA katika halfa ambayo mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Tanga Rajabu Abdurhamani ambapo alisema suala la amani ni muhimu sana

Alisema kwamba anasema hayo kutokana na kwamba yeye amekulia kwenye vyombo na anajua vyombo hivyo vinafanya nini vipo kwenye mazoezi kuangalia wale ambao wataleta chokochoko Octoba 29 washughulike nao.

“La mwisho suala la amani na utulivu Octoba 29 ni muhumu kuna watu wametokea wanaleta chochoko kwenye mitandano kwamba kuchafua na maandamano nawahakikishia hakutakuwa na maandamabo vyombo vipo imara”Alisema

“Niwaambie kwamba mimi nimekulia kwenye vyombo na najua vyombo vinafanya nini vipo kwenye mazoezi kuangalia wale ambao wataleta chokochoko Octoba 29 nawaomba mtokea kwa amani ikiwemo misusuru ya kwenda kwenye vituo vya kupigia kura mimi nitapiga kura Kerenge”Alisema

Aidha alisema kwamba baada ya kupiga kura ataangalia hali ya usalama inaende vipi hivyo kuwataka watoke wasiwe na hofu yoyote kwamba kutakuwa na watu gani ambao watawashauri waangamane wewe umeshaona watu wa aina hiyo.

“Vitu vya namna hii havijawahi kutokea sijaona mimi kulikuwa na ndugu zangu Waislamu miaka nipo kazini kulitokea maandamano mengi kule Magomeni kwa hiyo wachache wakafungwa ,wachache wakaenda jela”Alisema

Alisema kwamba lakini wale walivyotoka jela wakasema yale yalikuwa ni mambo ya kipumbavu wenzao waliwauza kuna wenzao waliwauza wao hawakutokea walikaa nyuma nyuma wao walikuwa mbele wakadakwa wakafungwa na kueleza hawarudiii tena hilo ni somo hivyo wapige kura kwa amani na utulivu bila matatizo yotote .

Balozi Adadi aliwambia wana Muheza katika mkutano huo kwamba wana kila sababu ya kumchagua Dkt Samia Suluhu kwa sababu ya mambo ambayo ameyafanya katika kipindi cha miaka minne kipovu haambiwa tazama ukiangalia malengo kila upande samia amegusa na uchumi umeongezekana na upo juu ukiangalia sekta ya miundombu barabara za lami nchi nzima.

Alisema pia ukiangalia ndege ambazo zimekuja zipo zaidi ya 15 pamoja na treli ya SGR watu siku hizi wanalala Dodoma wanakwenda kufanya kazi Dar huku wanalala Morogoro wanakwenda kufanya kazi Dar yote ni uchumi kuongezeka kwa kasi,.

Akizungumzia watalii alisema kwamba yeye alikuwa Balozi nchini Zimbabwe kivutio cha utalii ni kimoja tu Victoria Falls wale walikuwa wanaingiza watalii 2,500 na Samia Suluhu alivyoingia madarakani hapa nchini kuna vivutio vingi sana pamoja na vyote hivyo lakini watalii ambao walikuwa wanaingia walikuwa hawafiki Milioni 1 sasa hivi baada ya Royal Tour na sio raisi kufanya hivyo.

Alisema lakini Dkt Samia Suluhu alivunja rekodi aliingia na kufanya filamu ya hiyo na sasa wanaingiza watalii Milioni 5 na nusu lakini pia amefanya mambo mengi sana na uchumi umepanda kwa kiasi kikubwa sana na hata mfumuko wa bei upo katikati ni kitu cha kujivunia.

Hata hivyo aliwaomba wananchi wa Jimbo la Muheza kumchagua Mgombea Ubunge wa Jimbo hilo (CCM) Hamisi Mwijuma alimaarufu Mwana FA kwa sababu ni Mbunge k mwenye uwezo wa kila kitu na hatuwezi kuwa na mbunge anakuwa njaa badala ya yeye kuombwa yeye anaomba.

“Jamani Muheza tunahitaji Mbunge kama huyo ?hatuwezi kuwa na mbunge ambaye anaambiwa zahanati haijapauliwa anagonjea fedha ya Serikali sasa si kichekesho hicho,”Alisema

Balozi Adadi alisema kwamba anamuona mwana FA ndio mbunge ambaye anaweza kuongoza wilaya ya Muheza kutokana na uwezo wake akiingia bungeni sio bubu wala kukaa mjengoni kwani kuna wabunge wana lala miaka 5 hawajafungua mdomo.

“Mimi sikugombea safari hii na sidhani kama nitagombea tena lakini nilimuita mwana FA tukaongea yeye ndio anastahili kushika Jimbo la Muheza yeye ndio mwenye uwezo yeye akiingia bungeni sio bubu wala kukaa mjengoni kuna wabunge wengine wana lala miaka 5 hajafungua mdomo kuzungumza”Alisema

Aliwataka wana Muheza wamuombee ili aweze kuingia tena mjengoni aweze kuchaguliwa kuwa Waziri hiyo ni sifa ya Muheza unapokuwa waziri unakuwa na Faida na una uwezo wa kuongea na Mawaziri wenzake ,makatabu wakuu wowote ili Muheza iweze kupata msaada.

Hata hivyo alisema kwamba hata mbunge anatakiwa awe na nguvu ya kugonga kokote na hawahitaji wabunge waoga waoga hivyo lakini pia chagueni na madiwani ambao ni mahiri ambao wanaendea kutuletea maendeleo.

Mwisho.

 




Na Mwandishi WETU, SINGIDA


Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu imeandaa kikao kazi cha siku 3 kilichowakutanisha Wakuu   vitengo vya Ufuatiliaji na Tathmini kwa  Mikoa 26 nchini kilichofanyika katika ukumbi wa KBH by Royal Village Hotel uliopo Mkoani Singida.


lengo la kikao ni kueleza umuhimu wa zoezi la Ufuatiliaji,  Tathimini na upimaji wa utendaji wa shughuli za Serikali katika Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa.

Akizungumza  wakati akifungua kikao hicho Mkurugenzi Msaidizi kutoka Idara ya Ufuatiliaji na Tathmini ya Utendaji wa Serikali (Sehemu ya Mikoa na Mamlaka za Serikali za Mitaa) Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu,  Ndugu John Bosco Quman amesema lengo la kikao hicho ni kujenga uwezo kwa wataalamu hao ili kutekeleza zoezi la Ufuatiliaji, Tathimini na upimaji wa Utendaji wa shughuli za Serikali katika ngazi ya Mikoa na Halmashauri zote kupitia Wakuu wa Idara na  Vitengo.

Aidha kikao kimewashirikisha washiriki kutoka Mikoa 24 kati ya 26 ambao wamepitishwa katika dhana mbalimbali zinazohusiana na masuala ya ufuatiliaji, tathimini na upimaji utendaji wa  afua mbalimbali za Serikali  ukijumuisha sera,mipango mikakati ,miradi na Programu zinazotekelezwa kwenye ofisi za wakuu wa Mikoa na Halmashauri zote nchini.

"Msingi wa zoezi la ufuatiliaji na Tathimini kuratibiwa na Ofisi ya Waziri Mkuu ni kutokana na kuzingatia ibara ya 52 (1 ) ( 3) inayomkasimu madaraka Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuwa msimamizi mkuu wa Shughuli za Serikali siku hadi siku". Amesema Quman.

Ameongeza kwamba bado Serikali inaendelea kukamiikisha Sera ya Kitaifa ya Ufuatliaji na Tathimini Nchini ambayo ipo katika hatua za Uandishi baada ya kupita katika kamati ya Kitaifa ya uchambuzi wa Sera.


Hata hivyo amesema kwamba Ofisi ya Waziri Mkuu imeendelea kuandaa taarifa za Utendaji wa Serikali ikiwemo taarifa ya 3 katika mwaka wa 2024/25 ambayo ipo katika hatua ya ukamilishaji na itawasilishwa hivi karibuni.

Pamoja na hayo Quman amesema kwamba, jitihada zinaendelea katika Mashirika ya Umma pamoja na Makampuni ya Serikali kuwa na Idara za Ufuatiliaji na Tathmini zinazojitegemea pia jitihada kubwa zimewekwa katika  ngazi ya Mikoa na  Halmshauri ili kuhakikisha vitengo hivi vinajitegemea na kutekeleza majukumu yake.


Hata hivyo Mkurugenzi Quman amesisitiza wajumbe walioshiriki kupitishwa kwenye mafunzo mahususi yanayotokana na muongozo jumuishi wa ufuatiliaji na tathimini wa Utendaji wa Serikali  wa mwaka 2023/24, pamoja na nyaraka nyingine ziwawezeshe kujua na kufuatilia Sera, Miradi, Mikakati, Mipango na programu mbalimbali katika maeneo yao.


Mwisho.

 


Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Dkt. James Mataragio ameliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) na Kampuni yake Tanzu ya Uendelezaji Jotoardhi (TGDC)  kuhakikisha kuwa vifaa vyote vya uhakiki wa rasilimali Jotoardhi  katika mradi wa Ziwa Ngozi  vinafika kwa wakati ili kazi za uhakiki  ziweze kumalizika kulingana na muda uliopangwa.

Dkt. Mataragio ametoa maagizo hayo leo Oktoba 22, 2025 wakati wa ziara yake ya kukagua kazi zinazoendelea kutekelezwa katika mradi huo wilayani Rungwe mkoani Mbeya.

“Huu mradi mnapaswa kuukamilisha kwa wakati kutokana na umuhimu wake nchini, tunapotekeleza miradi hii ya Jotoardhi tukumbuke kuwa tunatekeleza pia Sera ya Taifa ya Nishati ya Mwaka 2015 ambayo inasema Tanzania inapaswa izalishe umeme kwa kutumia vyanzo mchanganyiko (generation mix) ambapo jotoardhi ni mojawapo." Amesema Dkt. Mataragio

Kuhusu suala la vifaa vya uhakiki kuchelewa kufika katika eneo la mradi la Ziwa Ngozi ambalo litazalisha umeme wa megawati 70, Dkt. Mataragio ameagiza kuwa  vifaa vyote vya mradi vinunuliwe na kufika eneo la mradi kwa mara moja.

Dkt. Mataragio ameeleza kuwa, utekelezaji wa miradi ya Jotoardhi imeainishwa pia katika Mpango wa Taifa wa Nishati (National Energy Compact) ambao unaishia 2030 ambapo Tanzania inatakiwa kuwa na megawati 130 zinazotokana na rasilimali ya jotoardhi, pia  Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050 inaelekeza nchi kuwa na vyanzo mchanganyiko vya kuzalisha umeme.

Kwa upande wake, Meneja Mkuu wa TGDC, Mha. Mathew Mwangomba ameeleza kuwa maagizo yaliyotolewa na Serikali yatatekelezwa kwa ufanisi ili kukamilisha mradi kwa wakati.

Akielezea maendeleo ya uhakiki wa rasilimali jotoardhi katika mradi huo, Mha. Mwangomba amesema umefikia asilimia 60 ili kuweza kufikia hifadhi ya jotoardhi.

“Tunategemea ndani ya miezi sita tutakamilisha uhakiki katika visima vyote vitatu”. Amesema Mha. Mwangomba

Katika ziara hiyo Naibu Katibu Mkuu aliambatana na Kamishna wa Umeme na Nishati Jadidifu Mha. Innocent Luoga na watendaji wa Wizara ya Nishati na TANESCO.

  


Taarifa kutoka maeneo mbalimbali zimeibua gumzo mitandaoni baada ya vijana wengi kuripoti mabadiliko makubwa katika bahati zao za kubashiri. Kulingana na mashuhuda, mbinu hiyo mpya ya kiasili imekuwa ikihusishwa na ongezeko la ushindi katika michezo ya kubashiri, hasa kwa wale waliokuwa wamekata tamaa baada ya kupoteza mara nyingi. Wengi wanadai wameanza kushinda mara kwa mara tangu walipojaribu njia hiyo ya ajabu.

Mwandishi wetu alizungumza na baadhi ya vijana waliodai kutumia mbinu hiyo. Wengi walisema hawakuamini mwanzoni, lakini baada ya kuona matokeo kwa macho yao, walibaki kushangaa. “Nilikuwa nimepoteza matumaini kabisa,” alisema kijana mmoja ambaye aliomba jina lake lisitajwe. “Lakini tangu nilipojaribu tiba hiyo, sijawahi kukosa ushindi angalau mara mbili kwa wiki.”

Kijijini na hata mijini, habari zimeenea haraka. Baadhi ya watu wanaamini ni nguvu za kiroho, wengine wanasema ni tiba asilia inayovutia bahati. Kinachofanya habari hii kuwa ya kipekee ni kwamba wale waliowahi kujaribu wanasisitiza hakuna kinachohusiana na ushirikina, bali ni nguvu chanya za kiasili zinazosaidia kuvuta mafanikio. Soma zaidi hapa


 

Wajumbe wa Bodi ya Chuo cha kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere wakiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa bodi ya Chuo hicho Fatma Mode wamefanya ziara ya kutembelea viwanja ambavyo Chuo hicho kinatarajia kujenga kampasi zake katika Mkoa wa Dodoma na Mkoa wa Njombe.

Wakiwa katika ziara hiyo Viongozi hao walikagua maeneo yote na kuahidi kuyaendeleza kwa Maslahi Mapana ya Taasisi na Taifa kwa ujumla.

Baada ya kutembelea eneo lililiopo Chidachi- Ntyuka mkoani  Dodoma lenye ekari 50 na lile lililopo kata ya Maguvani halmashauri ya Mji - Makambako lenye ukubwa wa ekari 103.2, Makamu Mwenyekiti wa Bodi hiyo Fatma Mode amesema ameridhishwa na hali za viwanja sasa kinachotakiwa ni kujenga.

“Tumeona maeneo yote ni mazuri, tumejiridhisha  sasa kinachofuata ni kujenga kwa lengo la kuongeza kampasi na kupanua wigo wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere kwa kuwa na kampasi katika mikoa mbalimbali hapa nchini,”Alisisitiza Makamu Mwenyekiti Fatma Mode.

Kwa upande wake Mkuu wa Chuo Prof. Haruni Mapesa amesema kwa sasa Chuo kinaandaa mpango kazi wa ujenzi ili mpango kazi huo uwasilishwe kwenye bodi ya Chuo na kuwa ndani ya miaka mitatu ujenzi utaanza kwa kujenga Madarasa na ofisi za Utawala katika halmashauri ya Mji - Makambako.

Prof. Mapesa ameishukuru Halmashauri ya Mji- Makambako kwa kutoa eneo bure kwa ajili ya Chuo, ambapo ameahidi kuliendeleza.

Prof. Mapesa amesema kwa sasa Chuo kina Kampasi tatu ikiwemo Kampasi ya Kivukoni iliyopo jijijini Dar es Salaam, Kampasi ya Karume- iliyopo Zanzibar, Kampasi ya Pemba iliyopo ChakeChake Pemba.

Mkuu huyo wa Chuo ameainisha maeneo ambayo Chuo inatarajia kuwa na kampasi ni pamoja na Mkoa wa  Tabora,Njombe, Dodoma, Mwanza, Arusha  na Katavi.

Naye Mkuu wa Wilaya ya Njombe Juma Sweda amesema kujengwa kwa kampasi ya Chuo cha Kumbukumbu Mwalimu Nyerere katika mji wa Makambako ni jambo jema na maamuzi ya kuchagua eneo  la makambako ni sahihi sana kwa kuwa eneo hilo lina mwingiliano mkubwa wa shughuli mbalimbali za Kimaendeleo.

Hata hivyo Mgombea Ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi ( CCM) wa Jimbo hilo Daniel Chongolo amesema Wananchi wa Makambako wako tayari muda wowote kwa ajili ya kuwekeza katika shughuli mbalimbali za kimaendeleo mara tu Chuo kitakapoanza ujenzi kwa lengo la kuleta Maendeleo.

“Sisi wananchi wa Makambako tunakipongeza sana Chuo kwa maono na maamuzi ya kuchagua Makambako na kujenga Kampasi ya Chuo hapa, ni heshima maana Jina la Chuo limebeba Jina la baba wa Taifa hivyo tunaamini kabisa Maono na Falsafa zote za baba wa Taifa zitawanufaisha sana Vijana watakaosoma katika Kampasi hiyo na Wadau wengine wa Elimu wa Makamabako nao watanufaika pia,” Alisema Chongolo.

Imeandaliwa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Masoko;
Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere
22.10.2022

  


Jina langu ni Miriam, na hadi leo nikikumbuka mateso niliyopitia mikononi mwa mtu niliyemwamini, moyo wangu hujaa maumivu na faraja kwa wakati mmoja. Nilikuwa katika uhusiano wa miaka minne na mwanaume niliyempenda sana.

Nilimsaidia kifedha, kihisia, na hata nilimkopesha pesa ili aanze biashara. Lakini baada ya kujinyanyua, alinitupa kando kana kwamba sikuwa na maana tena. Aliniambia wazi kuwa hangeweza kuendelea kuwa na “mwanamke asiye na thamani,” maneno ambayo yaliniumiza zaidi ya kisu moyoni.

Siku moja aliniita kwenye hafla yake ya “uzinduzi wa biashara,” nikafika nikijua ni mwanzo wa kitu kipya kwetu, kumbe ilikuwa ni harusi yake na mwanamke mwingine. Nilihisi dunia imenigeuka. Nililia hadi macho yakavimba, nikajifungia nyumbani kwa siku nyingi nikiwa sina hamu ya kula wala kutoka nje. Nilipoteza marafiki, kujiamini kukatoweka, na nilianza hata kuamini kuwa labda nililaaniwa. Soma zaidi hapa 

NA EMMANUEL MBATILO, DAR ES SALAAM

Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imewakamata watuhumiwa wanne katika eneo la Mlalakuwa, Kinondoni wakiwa wanatengeneza biskuti za bangi kwa ajili ya house party ya wanafunzi wa vyuo vikuu.

 

Kwa muda mrefu nilikuwa nafanya kazi katika kampuni moja ya usambazaji bidhaa, nikiwa msaidizi wa kawaida wa ofisini. Nilimpenda boss wangu kimya kimya tangu siku ya kwanza nilipoanza kazi pale. Alikuwa ni mwanaume mwenye heshima, mwenye busara na aliyevaa harufu ya mafanikio. Nilihisi kuwa ni mtu ambaye kila mwanamke angependa kuwa naye, lakini sikuwahi kufikiria kwamba siku moja ningekuwa sehemu ya maisha yake binafsi.

Kila siku nilijitahidi kufanya kazi yangu kwa bidii, nikihakikisha kila kitu kinachohusu ofisi kiko sawa. Nilimwona akitabasamu kila mara aliponipita, lakini nilijua ule ulikuwa ni tabasamu la heshima, si la mapenzi. Wenzangu kazini walikuwa wanasema ni bure kumpenda boss, maana wanaume kama hao huwa hawataki wanawake wa kawaida kama sisi. Nilinyamaza, lakini ndani ya moyo wangu nilijua kuna kitu tofauti.

Siku moja aliniita ofisini kwake akaniambia, “Naona kazi zako zimekuwa bora sana, endelea hivyo hivyo.” Nilihisi moyo wangu ukicheza kwa furaha. Baada ya hapo alianza kuniamini zaidi, akanipa majukumu mapya. Mara nyingi tulikuwa tukikaa pamoja kupanga mikakati ya kazi, na hapo ndipo nilianza kumjua kwa undani. Alikuwa mpole, mkarimu, lakini pia mwenye mipaka. Nilijaribu kila njia kumvutia, lakini haikuwa rahisi. Soma zaidi hapa