Kwa miaka mingi niliamini kuwa nilizaliwa chini ya nyota mbaya. Kila nilipopata kazi, mambo yalikuwa yanaenda vizuri kwa miezi michache, halafu matatizo ya ajabu yalianza. 

Wakati mwingine nilisingiziwa makosa ambayo sikufanya, wakati mwingine kampuni ilifunga ghafla, na mara nyingine nilifukuzwa bila maelezo yoyote.

Ndani ya miaka sita nilifukuzwa kazi mara nne. Hali hiyo ilinivunja moyo sana. Marafiki waliniona kama mtu asiye na bahati, na hata familia yangu ilianza kunipotezea imani.

Nilikuwa nimeoa na nilikuwa na watoto wawili, hivyo kila nilipopoteza kazi, maisha ya familia yangu yalizidi kuwa magumu.

Siku moja, nikiwa nimekata tamaa kabisa, nilikutana na mwanaume mmoja ambaye nilikuwa nimewahi kufanya naye kazi zamani. 

Nilimkuta anaendesha kampuni yake mwenyewe na maisha yake yalikuwa yamebadilika sana. 

Nilimweleza matatizo yangu, naye akaniambia kuwa wakati mwingine kuna vikwazo vya kiroho vinavyoweza kumfanya mtu ashindwe kudumu katika kazi au kufanikiwa.SOMA ZAIDI.
Share To:
Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

Post A Comment: