Miaka mingi maisha yangu yalikuwa ya mateso na kukwama bila kuelewa ni kwanini. Nilimaliza shule mapema lakini sikuweza kupata kazi yoyote yenye maana. Wakati wenzangu walikuwa wanaoa, wanajenga nyumba na kununua magari, mimi nilibaki pale pale kila fursa niliyojaribu ilinipita.
Nilihisi kama kuna kitu kilikuwa kimenizuia. Hata katika mahusiano, kila uhusiano niliojaribu uliishia kwa maumivu. Nilianza kuamini labda nilizaliwa kwa bahati mbaya au kulikuwa na laana fulani juu ya maisha yangu.
Nilipata maumivu makubwa zaidi pale niliposhindwa mara ya nne katika maombi ya kazi niliyoitolea moyo wangu wote. Niliporudi nyumbani siku hiyo nilijifungia chumbani nikalala nikiwaza maisha yangu hayana maana. Soma zaidi hapa
Post A Comment: