Nikiwa chuoni nilikuwa na ndoto kama vijana wengi kufanya kazi kwenye kampuni kubwa, kuvaa suti, kuwa na ofisi yenye AC na jina langu mlangoni. Niliposoma kozi ya biashara na usimamizi, kila mtu aliniambia nina kipaji. Nilikuwa nikiamini kuwa mara tu baada ya kuhitimu, maisha yangenitabasamia.

Lakini hali haikuwa hivyo. Baada ya kuhitimu, nilianza kutuma maombi ya kazi kila mahali. Nilipigwa “Asante kwa kuomba, lakini hatukuchagua” mara ya kwanza. Nilijikaza. Nikatuma ya pili, ya tatu… mpaka nilikua nimefikia maombi 17 yote yakikataliwa.


Wakati huo, nilikuwa na ujasiri wa kuhesabu kila barua ya kukataliwa. Niliunda faili la “Maumivu ya Kitaaluma.” Nikaanza kujiuliza: “Je, kuna kitu kibaya ndani yangu? Je, elimu yangu haina thamani? Au kuna kitu zaidi kinachonizuia?”

Nilipoangalia nyuma, niliona wenzangu waliopata kazi kwa urahisi wengine hata walikuwa wa kawaida darasani. Nilianza kuhisi kuna nguvu ya ajabu inayonizuia. Nilijaribu hata kubadilisha CV, kuongea na washauri, kujitokeza kwenye ‘networking events’ lakini bado, barua za kukataliwa zilikuja kama mvua ya Novemba.

Nilipokuwa karibu kukata tamaa, ndugu yangu wa mbali alikuja nyumbani kwetu. Nilipomueleza mateso yangu ya kutopata kazi, aliniuliza swali moja: “Umejaribu kutafuta msaada wa kiroho?” Nilimcheka. Lakini akaendelea, “Bahati ya mtu inaweza kufungwa bila yeye kujua. Kuna watu wanaweza kukufungua."Soma zaidi hapa.


Share To:

contentproducer

Post A Comment: