WATUMISHI wa Taasisi ya Utafiti wa Wanyamapori  Tanzania  (TAWIRI)leo Mei Mosi 2024 wameungana na Wafanyakazi Duniani kote kuadhimisha  Siku yao adhimu ambapo kitaifa maadhimisho  yanaendelea katika uwanja wa Sheikh  Amri  Abeid  jijinu Arusha na Mgeni Rasmi wa Sherehe hizo ni Makamu wa  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango
TAWIRI tunajivuni mchango mkubwa wa watumishi katika kusimamia, kuratibu na kufanya tafiti za wanyamapori nchini kwa ustawi wa uhifadhi na kukuza utalii nchini.
Aidha, Kauli mbiu ya siku hii ya Wafanyakazi Duniani kwa mwaka huu ni *"Nyongeza ya Mishahara ni Msingi wa Mafao Bora na kinga Dhidi ya Hali Ngumu ya Maisha"*




Post A Comment: