Jina langu ni Charity kutokea Nairobi nchini Kenya, ni miongoni mwa wanawake waliofanikiwa sana upande wa ujasirimali kwa sasa, kampuni yangu ndogo tu ya ushonaji nguo imeweza kuzalisha ajira kwa vijana zaidi 20 ambao hulipwa kila mwezi.

Hata hivyo, hadi kufikia mafanikio hayo haikuwa rahisi, ilinibidi kufanya kazi sehemu mbalimbali na huko kwenye kazi pia nilikumbana na changamoto nyingi ambazo kamwe siwezi kuja kuzisahau.

Kusema ukweli wanawake katika kutafuta kazi tunapitia changamoto nyingi sana, unakuta una sifa zote za kupata kazi ila Bosi anataka umpatie rushwa ya peni ndipo akupatie kazi yake, vinginevyo kazi hiyo unaweza kuikosa.

Maishani mwangu kuna kisa kimoja kamwe sitokuja kukisahau, miaka kama mitatu iliyopita nilifika katika ofisi moja kuomba kazi ya taaluma ambayo nimeisomea, Bosi akaniambia kazi nimepata ila kuna jambo ambalo napaswa kufanya.

Jambo hilo ni kufanya naye mapenzi walau mara mbili hivi, ukweli jambo hilo nilishtuka sana, kama kazi ipo na nina sifa za kuipata kwanini nitoe rushwa, tena rushwa ya ngono!, huku ni kuuza utu wangu.

Ila ukweli nilikuwa nahitaji sana kazi hiyo maana maisha yangu kiuchumi hayakuwa mazuri sana, nniliondoka katika ofisi ile nikiwa na maswali mengi kichwani, akili nyingine ilikuwa inaniambia ni mkubalie tu ili nipate hiyo kazi, nyingine ikiniambia nikatae.

Akili nyingine iliniambia nijaribu kuomba ushauri kwa marafiki zangu ambao nina waamini, ndipo nikakutana na rafiki yangu mmoja na kumueleza jambo hilo, naye alishangaa sana kusikia kitu kama hicho.

Basi, akaniambia hakuna haja ya kufanya ujinga kama huo, kwani Kiwanga Doctors wanaweza kunisaidia kupata kazi niipendayo, akaniambia hawa wamewasaidia watu wengi kupata kazi wazipendazo.

Akanipatia namba zao za simu nami nikaanza kuwasiliana nao na kuwaeleza shida yangu kuwa nahitaji kupata kazi nzuri katika maisha yangu, basi wakanifanyia tiba zao ambazo kwangu naona ni za uwakika kufuatia kile kilichokuja kunitokea.

Haikupita muda mrefu, niliweza kupata kazi sehemu nyingine ambayo ni nzuri kuliko ile ya awali, huku hata kiwango cha mshahara kilikuwa ni kikubwa sana ukilinganisha na sehemu ile ya mwanzo. Kazi hii ndio ilinipa mtaji wa kufungua biashara hii ya kushona nguo na sasa nimefanikiwa sana.

Kitu pekee ambacho naweza kuwashauri wanawake wenzangu hasa mabinti, ni kutokubali kutoa rushwa ya ngono ili kupata kazi, unaweza kupata kazi uipendayo wakati wowote bila kufanya jambo la kukuvunjia utu wako.  Mpigie Kiwanga Doctors kwa namba +254 769404965 kwa maelezo zaidi.

L

Share To:

Post A Comment: