.
 Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Rosemary Senyamule ameupongeza Mpango wa Kurasimisha Rasilimali na Biashara za Wanyonge Tanzania (MKURABITA) alipokuwa akielezwa na Mtaalamu wa Sheria wa taasisi hiyo, Harvey Kombe kuhusu huduma mbalimbali wanazozitoa kwa wananchi alipotembelea banda hilo katika kilele cha Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane Kanda ya Kati jijini Dodoma Agosti 8, 2022

Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano na Mawasiliano MKURABITA, Glory Mbilimonyo akitoa maelezo zaidi kwa RC Senyamule kuhusu baadhi ya wananchi walivyonufaika kwa kupata mikopo kupitia hatimiliki za ardhi.
Share To:

Post A Comment: