Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata
Mulamula akimkabidhi zawadi ya picha ya Mlima Kilimanjaro Balozi wa Oman
aliyemaliza muda wake wa uwakilishi nchini, Mhe. Ally Abdallah
Almahruqi
Waziri
wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Liberata
Mulamula (Mb) akizungumza na Balozi wa Oman nchini, Mhe. Ally Abdallah
Almahruqi katika hafla ya kumuaga mara baada ya kumaliza muda wake wa
uwakilishi hapa nchini. Hafla ya kumuaga imefanyika katika Ofisi Ndogo
za Wizara Jijini Dar es Salaam.
Balozi
wa Oman aliyemaliza muda wake wa uwakilishi nchini, Mhe. Ally Abdallah
Almahruqi akiteta jambo na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa
Afrika Mashariki, Balozi Liberata Mulamula katika Ofisi Ndogo za Wizara
Jijini Dar es Salaam.
Home
Unlabelled
WAZIRI MULAMULA AMUAGA BALOZI WA OMAN
Post A Comment: