Mkuu
 wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiweka sahihi kwenye kitabu
 cha waombolezaji baada ya kuwasili nyumbani kwa marehemu Naibu Kamishna
 wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, aliyefariki dunia tarehe
 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na 
mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu 
za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).
Mkuu
 wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro, akiteta jambo na Mkuu wa 
Jeshi la Polisi Mstaafu IGP Said Mwema wakati walipokutana nyumbani kwa 
Marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, 
katika kambi ya Maafisa wa Polisi Oysterbay, Kinondoni jijini Dar es 
salaam, msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya 
alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini 
Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la 
Polisi).
Maofisa
 wa Jeshi la Polisi wakiingiza mwili wa Marehemu Naibu Kamishna wa Jeshi
 la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi katika Kanisa la Parokia ya Mt. 
Petro lililopo Oysterbay  jijini Dar es salaam kwa ajili ya  misa ya 
kuuaga, msiba huo ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya 
alipokuwa kwenye ziara ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini 
Dar es Salaam kwa ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la 
Polisi).
Mkuu
 wa Jeshi la Polisi Nchini IGP, Simon Sirro akiaga mwili wa marehemu 
Naibu Kamishna wa Jeshi la Polisi DCP Renatus Matanga Mbushi, katika 
Kanisa la Parokia ya Mt. Petro Oysterbay jijini Dar es salaam msiba huo 
ulitokea tarehe 03/03 mwaka huu huko Mkoani Mbeya alipokuwa kwenye ziara
 ya kikazi na mwili wake kusafirishwa kuja jijini Dar es Salaam kwa 
ajili ya taratibu za mazishi.(Picha na Jeshi la Polisi).
Post A Comment: