Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Jerry Muro leo amekabidhi Mipira kwa Mchungaji Israel Moshi wa Usharika wa Lyamungo Kilanya kata ya Machame Mashariki , Wilaya ya Hai Mkoa wa Kilimanjaro  kwa Ajili ya Maandalizi ya Tamasha la Pasaka kijijini kwao kwa ajili ya tamasha la Pasaka
 *#WakatiWetu* *#MachameNyumbani*

Share To:

msumbanews

Post A Comment: