
Tukio hilo lilikuwa ni la kutengeneza ambapo polisi walikuwa wakifanya mazoezi kwa ajili ya kujiimarisha.
Mara kwa mara Jeshi la Polisi Tanzania hufanya mazoezi katika mazingira halisi ambapo tukio linaweza kutokea, kwa ajili ya kujiweka tayari kukabiliana au kuwalinda raia pamoja na mali zao.









Post A Comment: