MAMLAKA ya maji mji wa Njombe imetakiwa kupima usalama wa maji ya visima katika mji huo, na kuwasaidia wananchi wake kutibu maji hayo ili kuepukana na madhara ya wadudu wanao sababisha taifodi na magonjwa mengine yatikanayo na maji.

Kauli hiyo inakuja wakati kila watu kumi wanao pima magongwa wawili kati yao wanapatikana na viashiria vya magonjwa yatokanayo na maji.

Kukatika mara kwa mara kwa maji kunasababisha wananchi kujichimbia visima ili kupata maji wakati wote.
 TYPHOD MWANANCHI,. KHAMIS CHUMI, MKAZI WA NJOMBE
Mamlaka hiyo inaombwa kupima maji ya visima ili kuwaokoa wananchi na typhoid kwa kuwapatia ushauri wa matumizi ya maji visima.
USHAURI
1. HOSEA MPAGIKE, KATIBU CCM MKOA NJOMBE,
2. JACKSON SAITABAHU, KATIBU TAWALA MKOA NJOMBE,
3. DEO SANGA, MBUNGE MAKAMBAKO.
Wataalam wa afya wanasema kuwa magunjwa hayo si maji pekee yanasababisha bali matunda yasipooshwa  viziri ugongwa hayo huambukizwa.
MTAALAM WA AFYA OSWADI MNG’OG’O MTAALAMU
Sasa nini wito kutoka kwa mtaalamu wa maji  mkoa wa Njombe kuhusi wao wanavyo tibu maji, kutoka sehemu yanapo chukuliwa maji. 
www.msumbanews.blogspot.comMTAALAMU WA MAJI, KARANGI MBWILE, MTAALAMU WA MAJI MKOA NJOMBE
Share To:

msumbanews

Post A Comment: