Ndoa ni safari ya upendo na kupeana furaha, lakini pale ambapo nyumba yenu inageuka kuwa uwanja wa vita na kelele za kila siku bila sababu ya msingi, amani ya nafsi hutoweka kabisa. Kwa zaidi ya miaka mitatu, mimi na mume wangu tuliaishi kwenye mateso makubwa ya migogoro.

Tulianza kugombana kwa vitu vidogo sana visivyo na msingi; jambo dogo tu liligeuka kuwa ugomvi mkubwa wa kutukanana, kuvunja vyombo vya ndani, na hata kupigana mbele ya watoto wetu na majirani.

​Furaha na upendo tuliokuwa nao mwanzoni mwa ndoa yetu vilitoweka ghafla na kubaki chuki nzito. Kila mume wangu aliporudi nyumbani, nilisikia uchungu na hasira mwilini mwangu bila kujua sababu, na yeye pia alikuwa akinitazama kwa jicho la udharau na ukali.

Njaa ya amani ilitutawala, watoto wetu walianza kuishi kwa hofu na msongo wa mawazo, na ndoa yetu ilikuwa ikielekea kwenye kuvunjika kabisa huku kila mtu akitafuta wanasheria wa kututenganisha.SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: