Kwa karibu mwaka mzima, maisha yangu yaligeuka kuwa ndoto ya kutisha. Kila nilipotoka nyumbani iwe ni kwa miguu, kwenye usafiri wa umma, au mimi mwenyewe nikihudhuria shughuli zangu nilikuwa hatarini kupata ajali.
Nilikwepa kugongwa na pikipiki mara kadhaa, nikalazwa hospitalini mara mbili baada ya gari niliyosafiria kupata ajali mbaya, na hata nyumbani nilikuwa nikidondoka au kujikata bila sababu za msingi.
Ndugu na marafiki walishangazwa na mlolongo huo wa ajali na kuanza kuniepuka wakihofia kuwa na mimi kutaingiza mikosi kwenye maisha yao.
Hospitali na matibabu vilitumia akiba yangu yote ya fedha, na hofu ya kifo ilitawala kila sekunde ya maisha yangu. Nilianza kuogopa hata kutoka nje ya nyumba. SOMA ZAIDI.
Nilikwepa kugongwa na pikipiki mara kadhaa, nikalazwa hospitalini mara mbili baada ya gari niliyosafiria kupata ajali mbaya, na hata nyumbani nilikuwa nikidondoka au kujikata bila sababu za msingi.
Ndugu na marafiki walishangazwa na mlolongo huo wa ajali na kuanza kuniepuka wakihofia kuwa na mimi kutaingiza mikosi kwenye maisha yao.
Hospitali na matibabu vilitumia akiba yangu yote ya fedha, na hofu ya kifo ilitawala kila sekunde ya maisha yangu. Nilianza kuogopa hata kutoka nje ya nyumba. SOMA ZAIDI.
Post A Comment: