Ndoto ya wenda nje ya nchi kutafuta maisha bora na fursa mpya ilikuwa ikitukuta moyoni mwangu kwa miaka mingi. Hata hivyo, safari hiyo iligeuka kuwa mlima mrefu uliojaa kukatishwa tamaa.

Kwa miaka mitano mtawalia, nilikuwa nikituma maombi ya visa mara kwa mara, lakini kila mara majibu yalikuwa yale yale: “Maombi yako hayajafanikiwa.” Nilipoteza fedha nyingi kulipia mawakili wa uhamiaji, Ada za ubalozi, na nyaraka mbalimbali, lakini hakuna kilichozaa matunda.

​Kila nilipoona marafiki na vijana wenzangu wakipata fursa za kusafiri na kuendelea kimaisha, nilijihisi aliyetupwa na aliyekataliwa. Wasiwasi na msongo wa mawazo vilianza kuitawala nafsi yangu, na nilianza kuamini kuwa labda nyota yangu ya mafanikio ilikuwa imefungwa kabisa. SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: