Ndoto ya wenda nje ya nchi kutafuta maisha bora na fursa mpya ilikuwa ikitukuta moyoni mwangu kwa miaka mingi. Hata hivyo, safari hiyo iligeuka kuwa mlima mrefu uliojaa kukatishwa tamaa.
Kila nilipoona marafiki na vijana wenzangu wakipata fursa za kusafiri na kuendelea kimaisha, nilijihisi aliyetupwa na aliyekataliwa. Wasiwasi na msongo wa mawazo vilianza kuitawala nafsi yangu, na nilianza kuamini kuwa labda nyota yangu ya mafanikio ilikuwa imefungwa kabisa. SOMA ZAIDI.
Post A Comment: