Sikuwahi kufikiria ningemuona tena mpenzi wangu wa zamani akirudi maishani mwangu. Tulikuwa tumekuwa pamoja kwa muda mrefu, tukijenga ndoto za maisha ya baadaye pamoja.
Nilimpenda kwa moyo wangu wote na nilikuwa naamini uhusiano wetu ungeishia kwenye ndoa.
Ndiyo maana siku alipoamua kuondoka, nilihisi kama dunia yangu imevunjika vipande vipande. Kwa kweli iliniumiza sana. Mwanzoni nilidhani ni ugomvi wa kawaida ambao ungeisha baada ya muda.
Lakini siku zikapita, wiki zikageuka miezi, na hatimaye mawasiliano yakakatika kabisa. Kilichoniumiza zaidi ni kuona akiwa anaendelea na maisha yake huku mimi nikibaki na maumivu na maswali mengi.
Kulikuwa na kipindi nilipoteza furaha. Nilikuwa nikijiuliza nilikosea wapi. Wakati mwingine nilikosa hamu ya kutoka, kuzungumza na watu, au hata kujaribu uhusiano mwingine. Nilihisi kama moyo wangu ulikuwa umechoka kupenda. SOMA ZAIDI.
Ndiyo maana siku alipoamua kuondoka, nilihisi kama dunia yangu imevunjika vipande vipande. Kwa kweli iliniumiza sana. Mwanzoni nilidhani ni ugomvi wa kawaida ambao ungeisha baada ya muda.
Lakini siku zikapita, wiki zikageuka miezi, na hatimaye mawasiliano yakakatika kabisa. Kilichoniumiza zaidi ni kuona akiwa anaendelea na maisha yake huku mimi nikibaki na maumivu na maswali mengi.
Kulikuwa na kipindi nilipoteza furaha. Nilikuwa nikijiuliza nilikosea wapi. Wakati mwingine nilikosa hamu ya kutoka, kuzungumza na watu, au hata kujaribu uhusiano mwingine. Nilihisi kama moyo wangu ulikuwa umechoka kupenda. SOMA ZAIDI.
Post A Comment: