Kulikuwa na kipindi maishani mwangu ambapo nilikuwa najiona sifai kabisa. Nilikuwa mtu mwenye ndoto nyingi, lakini kadri muda ulivyopita nilianza kupoteza kujiamini. Kila nilipojaribu jambo jipya, kulikuwa na watu waliokuwa tayari kunikosoa au kunicheka.
Wengine walikuwa wakiniambia siwezi kufanikiwa, huku wengine wakinifanya nijihisi mdogo bila sababu. Kwa kweli iliniumiza sana. Polepole nilianza kujifungia ndani ya dunia yangu mwenyewe.
Nilianza kuogopa kuzungumza mbele za watu, kujaribu opportunities mpya, au hata kuvaa vile nilivyopenda kwa sababu nilihofia watu wangesema nini.
Wengine walikuwa wakiniambia siwezi kufanikiwa, huku wengine wakinifanya nijihisi mdogo bila sababu. Kwa kweli iliniumiza sana. Polepole nilianza kujifungia ndani ya dunia yangu mwenyewe.
Nilianza kuogopa kuzungumza mbele za watu, kujaribu opportunities mpya, au hata kuvaa vile nilivyopenda kwa sababu nilihofia watu wangesema nini.
Kilichoniumiza zaidi ni kuona watu wa rika langu wakisonga mbele huku mimi nikihisi kama nimesimama sehemu moja.
Kulikuwa na siku nilijiangalia kwenye kioo na kushindwa kuona kitu kizuri kuhusu mimi mwenyewe.
Kulikuwa na siku nilijiangalia kwenye kioo na kushindwa kuona kitu kizuri kuhusu mimi mwenyewe.
Confidence yangu ilikuwa imeshuka sana kiasi kwamba hata watu walikuwa wanaanza kunichukulia kawaida. Nilianza kuamini maneno mabaya ya watu.SOMA ZAIDI.
Post A Comment: