Kwa muda mrefu nilikuwa mtu wa kuonewa huruma. Nilikuwa nakula kama wengine, wakati mwingine hata zaidi, lakini mwili haukonyesha dalili zozote za kunona au kuongezeka uzito. Kila nilipokutana na watu, waliniambia “unakonda sana” au “unaumwa?”

Maneno hayo yaliingia akilini na kunifanya nijione sina thamani. Nilijaribu protini za dukani, kuongeza milo, na hata kubadilisha ratiba ya kula, lakini hakuna kilichobadilika.

Kilichoniumiza zaidi ni kwamba hata mavazi hayakunikalia vizuri, na kujiamini kwangu kulianza kupotea. Nilianza kujiuliza kama tatizo lilikuwa zaidi ya chakula labda kuna kitu ndani ya mwili wangu hakikuwa sawa.

Hapo ndipo nilipoamua kuacha kubahatisha na kutafuta ushauri wa kina.Soma Zaidi..
https://kiwangadoctor.com/kiswahili/nilikuwa-mwembamba-kupita-kiasi-licha-ya-kula-vizuri-hatua-nilizochukua-kuanza-kuongeza-uzito-kwa-afya/
Share To:

Post A Comment: