Na Mapuli Kitina Misalaba
Viongozi wa Dini mkoani Shinyanga wametoa tamko maalum wakiiasa jamii kujitokeza kwa wingi kushiriki kwenye zoezi la upigaji kura ifikapo Oktoba 29, 2025, ili kutimiza haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi bora watakaowaletea maendeleo kuanzia ngazi ya kata.


Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, akizungumza kwenye hafla hiyo leo Oktoba 18, 2025.

Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita, akizungumza kwenye hafla hiyo leo Oktoba 18, 2025.
Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, akizungumza kwenye hafla hiyo leo Oktoba 18, 2025 Mkoani Shinyanga.


Makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani (JMAT) Mkoa wa Shinyanga Askofu Mstaafu Dkt. Emmanuel Joseph Makala, akizungumza leo Oktoba 18, 2025.

Makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani (JMAT) Mkoa wa Shinyanga Askofu Mstaafu Dkt. Emmanuel Joseph Makala, akizungumza leo Oktoba 18, 2025.

Makamu mwenyekiti wa Jumuiya ya Maridhiano na Amani (JMAT) Mkoa wa Shinyanga Askofu Mstaafu Dkt. Emmanuel Joseph Makala, akizungumza leo Oktoba 18, 2025.

Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, akizungumza kwenye hafla hiyo leo Oktoba 18, 2025 Mkoani Shinyanga.

Aliyekuwa Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Lazaro Nyalandu, akizungumza kwenye hafla hiyo leo Oktoba 18, 2025 Mkoani Shinyanga.
Post A Comment: