Jina langu ni Carol kutoka Nakuru. Nilikuwa nimechoshwa na maumivu ya ndani moyoni na mwilini kwa sababu kila mara tendo la ndoa lilinifanya nihisi aibu badala ya raha. Mume wangu, George, alianza kubadilika. Alikuwa mtu wa furaha na upendo, lakini ghafla alianza kuepuka kunigusa.
Nilijua kitu hakiko sawa, ila sikutaka kukubali kuwa labda tatizo lilikuwa upande wangu. Nilihisi sipo sawa kama mwanamke aliye na afya. Kila jaribio la tendo la ndoa lilikuwa kama mateso.
Nilianza kutumia mafuta ya madukani na ushauri wa mitandaoni, lakini yote yalishindikana. Wakati mwingine nililia kimya kimya usiku nikimwona mume wangu amegeuka upande mwingine kitandani.
Nilihisi aibu na huzuni kubwa. Nilikuwa natamani kurudisha ule ukaribu tuliokuwa nao wakati wa uchumba, ule wakati hakulala bila kunishika mkono. Nilijua nikikaa kimya, ndoa yangu ingeyumba kabisa. Soma zadi hapa
Post A Comment: