Nilikuwa nimefika mwisho wa matumaini. Kila jambo nililojaribu halikufaulu. Nilihangaika kutafuta kazi, biashara zangu zilianguka mara kadhaa, na hata marafiki walionekana kuniepuka kana kwamba mimi ndiye chanzo cha bahati mbaya. Nilianza kuamini kwamba labda mimi nilizaliwa bila bahati. Kila siku nililala nikiwa nimejaa huzuni na kuamka nikiwa sina nguvu za kuendelea.
Niliona watu wenzangu wakipiga hatua maishani huku mimi nikiendelea kuzama kwenye madeni na matatizo. Wengine walinicheka, wengine walinionea huruma. Nilijaribu kila njia ya kawaida maombi, kujaribu biashara mpya, kutuma maombi ya kazi lakini yote yaligonga mwamba. Nilihisi kama kuna nguvu fulani imenizuia kufanikiwa. Soma zaidi hapa
Post A Comment: