Jina langu ni Ruth kutoka Nakuru. Kwa muda mrefu nilikuwa naona aibu hata kuzungumzia maisha yangu ya faragha. Nilijua mambo hayakuwa sawa lakini nilijifanya hayana uzito.

Baada ya kujifungua mtoto wetu wa pili, nilianza kuhisi mabadiliko makubwa katika mwili wangu. Nilikuwa mkavu, sina hamu, na kila mara tendo la ndoa lilikuwa kero badala ya raha.

Niliona mume wangu anazidi kuwa mbali nami, na nilihisi kama ndoa yangu ilikuwa inatumbukia shimoni polepole.

Nilijaribu kutumia mafuta, dawa za dukani na hata ushauri kutoka kwa marafiki, lakini hakuna kilichobadilika. Wakati mwingine nilijilazimisha kufanya tu tendo ili mume wangu asihisi vibaya, lakini ndani yangu nilikuwa naumia.

Nilihisi kama nimepoteza ule uhusiano wa karibu tuliokuwa nao mwanzoni. Nilianza kuwa na wivu bila sababu, nikihisi labda tayari anatafuta mwanamke mwingine nje. Soma zaidi hapa 


Share To:

contentproducer

Post A Comment: