Jina langu ni Mercy Naliaka kutoka Nakuru. Niliwahi kufika mahali nilihisi kama ndoa yangu inazama polepole. Mume wangu alikuwa amepoteza kabisa hamu ya kuwa karibu nami kimapenzi. Tulianza kulala kitanda kimoja lakini kila mtu akitazama upande wake.
Nilijua kitu hakiko sawa, na zaidi nilihisi kama kosa lilikuwa kwangu. Kila nilipojaribu kumvutia, alionekana kuchoka haraka au kupoteza hamu kabisa. Nilianza kuhisi aibu, nilikosa kujiamini, na hata marafiki waliona nimebadilika.
Kila usiku nilijaribu kufikiria ni nini nilichokuwa nikikosea. Nilinunua mafuta ya harufu nzuri, nguo za usiku za kuvutia, lakini bado hakukuwa na mabadiliko. Nilihisi kama nimekauka kabisa, na mwili wangu haukuwa na ule utelezi wa zamani.
Mume wangu alianza kutumia visingizio vya kazi nyingi, na hata nyakati tulipokuwa pamoja, hakuwa na ule moto wa zamani. Nilihisi kama mwanamke asiye na maana tena. Siku moja nikiwa nimechoka kabisa, nilimueleza rafiki yangu wa karibu kuhusu hali yangu. Aliniambia kwa utulivu kwamba tatizo hilo linaweza kutatuliwa. Soma zaidi hapa
Post A Comment: