Kwa zaidi ya muongo mmoja, maisha yangu yalizunguka kwenye mzunguko wa kuhama kutoka nyumba moja ya kupanga hadi nyingine. Mara kodi inapanda, mara mwenye nyumba anataka kutumia, mara maji hayapo, mara umeme umekatwa kwa wiki nzima.
Nilikuwa nimezoea kubeba vitu vyangu kwa gunia; hata watoto wangu walijifunza kutofunga mizigo sana, kwa kuwa hatukuwahi kukaa mahali pamoja kwa zaidi ya mwaka mmoja.
Nilikuwa mfanyakazi wa kawaida kwenye kampuni ya kusafisha maofisi, nikilipwa mshahara wa kutosha tu kula na kulipa kodi.
Niliwahi kujiwekea lengo la kununua kiwanja, lakini kila nikianza kuweka akiba, jambo la dharura linatokea mtoto anaugua, shule zinadai karo, au vifaa vya nyumbani vinaharibika. Miaka ilivyopita, nilianza kuamini labda umiliki wa nyumba ni kwa wale waliozaliwa katika familia zenye uwezo au waliobahatika kuolewa na watu wenye mali. Soma zaidi hapa
Post A Comment: