Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza (kulia) akiendesha maombi maalum ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kufariki kwa Baba mzazi wa Mbunge wa Kisesa, Mhe. Luhaga Mpina (kushoto), Marehemu Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa Mama yake, Marehemu Kephrine Kabula Masaga katika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu leo Juni 15, 2022

 

Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza  akiendesha maombi maalum  kwa wazazi wa Mbunge wa Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina, Marehemu Mpina Gabisi Samweli Luchemba na Marehemu Kephrine Kabula Masaga alipofika katika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu Juni 15, 2022. Marehemu Mzee Mpina alifariki Juni 14, 2021 na Mama alifariki Juni 1, 2022.
Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza akiendesha maombi ya kumbukumbu ya mwaka mmoja tangu kufariki kwa Baba mzazi wa Mbunge wa Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina, Marehemu Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa Mama yake Mpina, Marehemu Kephrine Kabula Masaga aliyezikwa Juni 8, 2022. Hafla hii imefanyika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu Juni 15, 2022.

Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza akimbariki Diwani wa Kata ya Lubiga, Mhe. Juma Isack Mpina ambaye ni Kaka wa Mbunge wa Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina wakati wa ibada maalum ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa Mama yake Mpina, Marehemu Kephrine Kabula Masaga Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu, Juni 15,2022
Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza akiwapaka mafuta ya upako wananchi wa Jimbo la Kisesa walifika nyumbani kwa Mbunge wa Kisesa Mhe. Luhaga Joelson Mpina wakati wa ibada maalum ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa Mama yake Mpina, Marehemu Kephrine Kabula Masaga katika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu Juni 15,2022
Mtume Boniface Mwamposa akiwa katika picha ya pamoja na watoto wa Marehemu Kabula Kephrine Masaga baada ya ibada ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa Mama mzazi wa Mpina aliyefariki  Juni 1, 2022. Hafla hii imefanyika katika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu Juni 15, 2022.

Mtume Boniface Mwamposa akiiombea Baraka ardhi ya nyumbani kwa Mzee Mpina baada ya ibada ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa mama yake Mzazi Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, Kephrine Kabula Masaga leo Juni 15, 2022 katika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu.
Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza akimpaka mafuta ya Baraka Mbunge wa Kisesa, Mhe. Luhaga Joelson Mpina wakati wa ibada maalum ya kumbukumbu ya mwaka mmoja wa kifo cha Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba na kuhani msiba wa Mama yake Mpina, Marehemu Kephrine Kabula Masaga katika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu Juni 15,2022


Mtume Boniface Mwamposa akiweka shada la maua katika Kaburi la Mama yake Mzazi, Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, Marehemu Kephrine Kabula Masaga aliyefariki Juni 1, 2022. Hafla hii imefanyika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu leo Juni 15, 2022.

Mtume Boniface Mwamposa Bulldoza akiendesha maombi kwenye Kaburi la Mama yake mzazi Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina, Marehemu Kephrine Kabula Masaga aliyezikwa Juni 8, 2022 pamoja na kumuombea Baba Mzazi wa Mpina Marehemu Mzee Mpina Gabisi Samweli Luchemba Hafla hii imefanyika Kijiji cha Isangijo Wilaya ya Meatu Mkoa wa Simiyu Juni 15, 2022.




Share To:

TANGA RAHA BLOG

Post A Comment: