Balozi wa Tanzania nchini Italia, Mhe. Mahmoud Thabit Kombo akiongea na Wanadiaspora (hawapo pichani) wanaoishi nchini Italia wakati wa Mkutano 

Katibu wa Jumuiya ya Watanzania Roma akiwasilisha Bi. Anastacia Lubangila, taarifa ya Jumuiya hiyo wakati wa mkutano


Mhashamu Baba Askofu Mkuu, Protase Rugambwa akifuatalia majadiliano


Mwenyekiti Kamati Kuu ya Wanadiaspora Italia Bw. Maulid Kagutta, akiwasilisha taarifa ya Diaspora Italia 


Balozi Kombo akipokea picha ya nembo rasmi ya Jumuiya ya Watanzania Genova kutoka kwa Bi. Eva Nangela, Mwenyekiti wa Jumuiya (kushoto). Wanaoshuhudia (kulia) ni Bi. Zakia Kombo, Mwenza wa Mhe. Balozi; Baba Askofu Mkuu Rugambwa na Maafisa Ubalozi, Bw. Sigfried Nnembuka pamoja na Jacqueline Mbuya. 


Wanadiaspora wakifuatilia mkutano

Wanadiaspora wakifuatilia mkutano

Share To:

Post A Comment: