Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akitazama masalia ya  Tembo na Nyati baada ya kupata maelezo kwa ufupi kutoka Muhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Bi. Neema Mollel ( hayupo pichani) wakati alipoongoza wajumbe wa Maadhimisho ya Miaka 40 ya Umoja wa Posta Afrika kutoka katika nchi 45 za umoja huo walipotembelea hifadhi ya Taifa ya Tarangire jana Januari 19/2019.
Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Juliana Shonza akipokea maelezo kuhusu masalia ya  Tembo na Nyati kutoka kwa Muhifadhi Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Tarangire Bi. Neema Mollel wakati alipoongoza wajumbe wa Maadhimisho ya Miaka 40 ya Umoja wa Posta Afrika kutoka katika nchi 45 za umoja huo walipotembelea hifadhi ya Taifa ya Tarangire jana Januari 19,/2019.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: