Meneja Mauzo wa Tigo Mkoa wa Kilimanjaro,Tryphone Kamugisha,akikata utepe kwa pamoja na Kaimu Afisa Mtendaji wa mji Mdogo wa Mwanga, Hassan Msuya, wakikata utepe kwenye mnara wa Mawasiliano ya simu kuashiria kuanza rasmi kutumika kwa huduma ya mtandao wenye kasi ya 4G kwa wilaya ya Mwanga .


Baadhi ya wafanyakazi wa Kampuni ya Mawasiliano ya Simu za Mkononi ya Tigo wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa mji mdogo wa Mwanga mara baada ya kufanyika uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga.

Wakazi wa   Mwanga . na wafanyakazi wa Tigo  wakifuatilia uzinduzi wa uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga. 
Wateja  wakipata huduma mara baada ya kufanyika uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga.
Wateja  wakipata huduma mara baada ya kufanyika uzinduzi wa mtandao wa kasi wa 4G katika mji wa Mwanga.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: