Madiwani wawili kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zakayo Chacha Wangwe wa kata ya Turwa wilaya Tarime, na mwenzake wa Kata ya Mwangata Manispaa ya Iringa Mjini, Angelusi Mbogo wametangaza kujivua uanachama wa Chama hicho kwa kile kilichoelezwa kuwa kimepoteza imani yao kwa wananchi huku pia kikiendeshwa kibabe hivyo wameamua kujiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) ili kuunga mkono juhudi za Rais John Magufuli katika kuleta maendeleo na vita dhidi ya ufisadi.
Share To:

msumbanews

Post A Comment: