Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza matokeo ya Mtihani wa Kidato cha Nne, huku baadhi ya wanafunzi wakifutiwa matokeo yao kutokana na makosa ya utovu wa nidhamu, ikiwemo kuandika matusi katika karatasi za mitihani.

Wakati baadhi ya wanafunzi wakikumbana na adhabu hiyo, hali imekuwa tofauti kabisa kwa wanafunzi wa Shule ya Sekondari FEZA Boys, ambapo matokeo yao yameleta furaha kubwa.

Kwa mujibu wa matokeo yaliyotangazwa, jumla ya wanafunzi 71 walifanya mtihani wa Kidato cha Nne katika shule hiyo. Kati yao, wanafunzi 69 wamepata ufaulu wa Daraja la Kwanza (Division I), huku wanafunzi wawili pekee wakipata Daraja la Pili (Division II).

Akizungumza mara baada ya kutangazwa kwa matokeo hayo, Mwalimu wa Taaluma wa shule hiyo, Said Hassan, aliwaeleza waandishi wa habari kuwa siri ya mafanikio hayo ni ushirikiano wa pamoja kati ya wazazi, walimu na wanafunzi, mkakati wanaouita “Utatu Mtakatifu (W3)”.

Alisema kuwa kwa upande wa shule, walimu hutimiza wajibu wao kwa kufundisha kwa bidii, huku wazazi wakipewa jukumu la kuhakikisha mahitaji muhimu ya wanafunzi yanapatikana kwa wakati, hali hiyo humwezesha mwanafunzi kupata muda wa ziada wa kujisomea.

Aidha, shule hiyo ina utaratibu wa kukaa na wanafunzi mmoja mmoja ili kufahamu changamoto zao, jambo linalosaidia kujenga urafiki kati ya mwalimu na mwanafunzi na hivyo kuongeza hamasa ya kupenda masomo.
Pia, shule hufanya mitihani ya mara kwa mara, ikiwemo kwa kushirikiana na shule jirani, hali inayowasaidia wanafunzi kuzoea mitihani na kuichukulia kama jambo la kawaida.

Kwa upande wa wanafunzi bora, Baraka Yunus, aliyepata alama A katika masomo yote, alisema mafanikio hayo yametokana na juhudi za pamoja kati ya shule na wazazi, aliongeza kuwa alipata muda wa kutosha wa kusoma akiwa shuleni na anatarajia kuwa mfanyabiashara baada ya kumaliza masomo yake.

Naye Chriss Mwingila, ambaye pia alipata alama A katika masomo yote, aliwashukuru walimu na wazazi kwa kuwawekea mazingira rafiki ya masomo yaliyowasaidia kupata muda wa kutosha wa kujifunza

Waalimu na wanafunzi wa shule ya Feza Boyz wakishangilia mara baada ya kupata matokeo ya kidato cha nne na kupata ufaulu wa alama A kwa darasa zima

Mwalimu wa taaluma wa shule ya Feza Boyz ,Said Hasan akizungumza na Waandishi wa Habari mara baada ya kutangazwa kwa matokeo ya kidato cha nne jijini Dar es salaam.
Wanafunzi wa shule ya Feza Boyz wakishangilia kwa kuwabeba wanafunzi waliofanya vizuri katika matokeo ya kidato cha nne na kupata ufaulu wa alama A kwa darasa zima

Ilikuwa usiku wa giza. Nilikuwa nikisafiri kwenda nyumbani baada ya mkutano wa kikazi. Barabara ilikuwa tupu, taa chache zikiwa zimethibitisha giza linaloweza kutisha.

Nilipokuwa nikitembea, ghafla nilipotea mwelekeo. Kila hatua ilinipa hisia ya kutisha, na mawazo yangu yalijaa hofu: “Huu ndio mwisho wangu?”
Nilijaribu kupiga simu, lakini hakuna ishara.

Nilijaribu kumuita mtu yeyote karibu hakuna aliyekuwa karibu. Kipindi hicho kilikuwa cha maumivu ya ndani, mwili wangu ukikosa nguvu, na moyo ukijaa hofu isiyo na kipimo. Nilihisi nitaanguka bila msaada, na hatari ya kukosa maisha ilikuwa karibu.

Nilikaa chini kujaribu kutuliza hisia zangu. Wakati huo, neno la rafiki yangu lilijitokeza: aliniambia nisikate tamaa, kulingana na uzoefu wake na wengine waliokuwa katika hali ngumu.Soma Zaidi.
Kila asubuhi ilikuwa vita. Mtoto wangu alianza kulia mara tu sare ya shule ilipotolewa. Alishika begi lake kwa mikono miwili na kusema hataki kurudi shule. Mwanzoni nilidhani ni uchovu wa kawaida au uvivu wa mtoto.

Lakini siku zilivyopita, machozi hayakuisha yaliongezeka. Nilijaribu kumlazimisha, nikamkemea, hata nikamwahidi zawadi. Hakubadilika.

Alianza kuumwa tumbo kila asubuhi, usingizi wake ukapotea, na tabasamu lake la kawaida likatoweka. Moyo wangu ulianza kunishtua: kuna kitu si sawa.

Siku moja nilikaa naye chini kwa upole nikamwambia aseme chochote bila kuogopa. Alilia sana ndipo akaniambia ukweli uliyonivunja kabisa. Shuleni alikuwa akidharauliwa, kuchekwa, na kutengwa kila siku.

Alikuwa anahisi hana thamani, na shule kwake ilikuwa mahali pa maumivu, si pa kujifunza. Nilikwenda shule mara kadhaa. Nilizungumza na walimu. Niliahidiwa mambo yangerekebishwa, lakini hali haikubadilika.

Mtoto wangu aliendelea kukosa amani, na mimi kama mzazi nilijihisi nimeshindwa. Nilikuwa nimejaribu kila njia ya kawaida lakini hofu ya mtoto wangu haikupungua.

Ni wakati huo rafiki yangu wa karibu alinishauri nisimame kidogo na nitafute msaada wa kina msaada wa kumjenga mtoto kisaikolojia na kurudisha ujasiri wake.Soma Zaidi.
Kulikuwa na siku niligundua kuwa ukimya unaweza kuumiza kuliko maneno. Mimi na mke wangu tulikuwa tunaishi nyumba moja, tunalala kitanda kimoja, lakini mioyo yetu ilikuwa mbali sana.

Hakukuwa na ugomvi mkubwa, wala kelele kulikuwa na kimya kizito kilichokuwa kikinikandamiza kila siku.
Nilijaribu kuanzisha mazungumzo, lakini kila nilipofungua mdomo nilikuta ukuta.

Macho yake yalikuwa na machozi ambayo hayakumwagika, nami nikabaki na maswali yasiyo na majibu. Ndoa yetu ilianza kukosa mwelekeo, na siku hadi siku matumaini yalizidi kupungua.

Siku moja nilichukua ujasiri kuuliza kwa upole kama kuna kitu kinachomsumbua. Hakujibu mara moja. Ilimchukua muda, kisha akaniambia kuna jambo la zamani lililokuwa linamuumiza moyoni jambo ambalo halikuwahi kusemwa kwa miaka mingi.

Ukweli huo ulinishtua, lakini pia ulinifanya nitambue kuwa kimya chetu kilikuwa kimejengwa juu ya maumivu yaliyofichwa. Tulijaribu kujitatulia wenyewe. Tulizungumza, tukasikiliza, tukajaribu kusamehe.

Lakini bado kulikuwa na mzigo ambao ulituzuia kusonga mbele kikamilifu. Nilihisi kama tunazunguka pale pale, bila suluhisho la kudumu.

Ni hapo niliposikia ushauri wa kutafuta msaada wa nje msaada wa watu waliokuwa wamesaidia wanandoa wengine waliokuwa kwenye hali kama yetu.Soma Zaidi.
Siku hiyo niliamka mapema kama kawaida, nikaoga na kujiandaa kwenda kazini bila kujua kuwa ingetakuwa siku ya mwisho. Nilipofika ofisini, nilikaa chini na kuitwa kwa haraka.

Maneno machache tu yakabadilisha maisha yangu: “Huduma zako hazihitajiki tena.” Hakukuwa na onyo, hakuna huruma, hakuna hata muda wa kujiandaa.

Nilirudi nyumbani nikiwa nimechanganyikiwa. Nilikuwa na kodi ya miezi miwili nyuma, watoto walihitaji karo, na simu yangu ilikuwa tayari imejaa madeni.

Jioni hiyo hiyo mwenye nyumba alinipigia akaniambia wazi kuwa kama sitapata pesa, nitatoka nje ya nyumba ndani ya siku chache. Hapo ndipo moyo wangu ulipoanguka kabisa. Usiku huo sikulala.

Nilikaa nikitazama dari nikijiuliza nitawaambia nini watoto wangu asubuhi. Nilijaribu kuomba kazi kwa marafiki, nikatuma CV kila mahali, nikajaribu hata kazi za mkono lakini hakuna kilichofunguka.

Kila mahali niligonga mlango, ulikuwa umefungwa. Siku ya pili, rafiki mmoja wa zamani alinipigia. 

Aliposikia hali niliyokuwa nayo, alinishauri nisimame kwanza, nitulie, na kutafuta msaada wa watu waliokuwa wamesaidia wengi waliokwama kama mimi. Soma Zaidi.
Kwa muda mrefu nilikuwa nakiishi na tatizo la tumbo kuvimba na kujaa gesi mara kwa mara. Haijalishi nilikula kidogo au chakula gani, baada ya muda mfupi tumbo langu lilijaa, likawa gumu na kunifanya nijisikie vibaya sana.

Wakati mwingine nilikuwa nikikosa raha ya kukaa na watu au hata kulala vizuri usiku. Mwanzoni nilipuuzia nikidhani ni tatizo la kawaida tu. Lakini siku zilivyopita hali haikubadilika.

Nilijaribu dawa za dukani, nilibadilisha chakula mara kadhaa, lakini nafuu ilikuwa ya muda mfupi tu. Ilifika wakati nikaanza kuchoka kimwili na hata kiakili. Nilijiuliza, “Kwa nini tumbo langu liko hivi kila siku?”

Siku moja nilimweleza rafiki yangu hali yangu. Akanisikiliza kwa makini kisha akanishauri nisikimbilie suluhisho la haraka, bali nitafute mwongozo wa asili na wa hekima. Soma Zaidi.

 



Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umemtaka Mkandarasi Kampuni ya CCC International Engineering Nigeria Ltd anayetekeleza Mradi wa Kusambaza umeme katika Vitongoji 135 vya Majimbo 9 ya uchaguzi Mkoani Ruvuma kuongeza kasi ya ujenzi ili kukamilisha Mradi huo kwa wakati.

 

Meneja wa Usimamizi wa Miradi ya Kusambaza Umeme REA, Mha. Deogratius Nagu ametoa maelekezo hayo Januari 31, 2026 kwa nyakati tofauti wakati wa ziara ya kukagua utekelezaji wa Mradi katika Vitongoji vya Mlimani Park na Liuli Chini Wilaya ya Songea Mkoani wa Ruvuma.

 

"Kasi ya utekelezaji wa mradi huu hairidhishi kwani hadi sasa Mkandarasi yupo asilimia 56 wakati alipaswa kuwa ametekeleza kwa asilimia 80 kwa maana kwamba amewasha vitongoji 43 kati ya vitongoji 135 ambavyo alitakiwa kuwasha,” amefafanua Mha. Nagu.

 

Mhandisi Nagu amemuelekeza Mkandarasi kumbadilisha Meneja wa Mradi, kuhakikisha anaongeza timu za mafundi na wataalam katika maeneo yote ya mradi na aongeze usambazaji wa vifaa vya mradi ikiwemo transafoma na nyaya ili afanikishe kukamilisha mradi mapema zaidi.

 

“Tumeongeza nguvu ya ufuatiliaji hapa na tumemueleza haturidhishwi na kazi yake; ahakikishe anazingatia maelekezo yaliyotolewa leo, tumejipanga kumsimamia kwa karibu zaidi na tunaamini hadi mwezi wa sita atakuwa amekamilisha mradi,” amesema Mhandisi Nagu.

 

Kwa upande wake Mhandisi wa Mradi, Erick Njau akizungumza kwa niaba ya Meneja wa Mradi, Li Hongli amesema kuchelewa kwa mradi kunatokana na kuchelewa kufika kwa vifaa vya mradi hata hivyo aliahidi kutekeleza maelekezo na kukamilisha mradi kwa wakati.

 

"Ni kweli hatuna changamoto zaidi ya hii ya kucheleweshewa vifaa na watoa huduma, tumepokea maelekezo na tunaahidi kuongeza kasi,” amesema Mha. Njau.

 

Aidha, akizungumza kwa niaba ya Msimamizi wa Miradi ya REA Mkoa wa Ruvuma, Mhandisi Zakaria Ng’okorome amesema mradi unatekelezwa kwa gharama ya shilingi bilioni 14.56 na kwamba utanufaisha wateja wa awali zaidi ya 5,400.





MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese,akizungumza wakati akifunga mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani wa Halmashauri ya Mji Handeni, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi yaliyolenga kuwaimarisha katika masuala ya utawala bora, ufuatiliaji wa mapato na uelewa wa mipaka ya majukumu yao katika uendeshaji wa halmashauri.

Na Augusta Njoji

MKUU wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese, amewataka madiwani wa Halmashauri ya Mji Handeni, Halmashauri ya Wilaya ya Handeni na Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi kuacha kutanguliza maslahi binafsi au ya kisiasa wanapotekeleza majukumu yao, na badala yake kuweka mbele maslahi ya wananchi na maendeleo ya halmashauri.

Nyamwese ametoa wito huo mjini Handeni wakati akifunga mafunzo ya kuwajengea uwezo madiwani, yaliyolenga kuwaimarisha katika masuala ya utawala bora, ufuatiliaji wa mapato na uelewa wa mipaka ya majukumu yao katika uendeshaji wa halmashauri.

Amesisitiza kuwa serikali haitavumilia uzembe, hujuma wala vitendo vyovyote vinavyozorotesha maendeleo ya halmashauri, akiwataka madiwani kuwa macho na kutoa taarifa kwa wakati pindi wanapobaini mianya ya upotevu wa mapato.

“Tunaomba mkawe wabunifu na mzishauri halmashauri namna bora ya kuboresha na kusimamia vyanzo vya mapato. Nyie ndio mnaoishi na wananchi; mnapobaini kapu linavuja, tuambieni linavuja wapi na nani analivujisha ili hatua stahiki zichukuliwe,” amesema Nyamwese.

Ameongeza kuwa madiwani ni macho na masikio ya serikali katika maeneo yao, hivyo wanapaswa kusimamia nidhamu ya watumishi, kuacha kufanya kazi kwa mazoea na kuchochea ushiriki wa wananchi katika shughuli za maendeleo.

Kwa upande wake, Katibu Tawala wa Wilaya ya Handeni, Margareth Killo, amesema mafunzo hayo yataongeza ufanisi na uwajibikaji wa madiwani katika kuwahudumia wananchi.

Naye, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji Handeni, Amiri Mwaliko, pamoja na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilindi, Michael Chabai, wamesema mafunzo hayo yamewawezesha madiwani kufahamu vyema wajibu na mipaka yao, hali itakayopunguza migongano na kuongeza tija katika utendaji wa halmashauri.
 

Waziri wa Madini na Mbunge wa Jimbo la Mtumba, Antony Mavunde, amekabidhi jumla ya majiko 1,000 ya gesi kwa mama lishe na baba lishe wa Jimbo la Mtumba, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Serikali katika kukuza matumizi ya nishati safi ya kupikia.

Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano hayo, Mavunde amesema mpango huo unalenga kuboresha afya za mama na baba lishe, kuongeza ufanisi katika shughuli zao za kila siku pamoja na kulinda mazingira kwa kupunguza matumizi ya mkaa na kuni.

Amesema kuwa Serikali itaendelea kuweka mazingira rafiki kwa wajasiriamali wadogo ambapo ameahidi kuanzisha klabu za mama lishe katika kila kata za Jimbo la Mtumba zitakazosaidia kuwaunganisha mama lishe na kuwapatia elimu ya ujasiriamali, usimamizi wa fedha pamoja na kuwawezesha kupata mikopo kwa urahisi ili waondokane na mikopo kandamizi maarufu kama kausha damu.

Kwa upande wake, Mkuu wa Idara ya Mafunzo kutoka kampuni ya Oryx Gas, Peter Ndomba, amewataka mama lishe na baba lishe kuacha kabisa matumizi ya mkaa na kuni akisema nishati hizo zimekuwa zikisababisha madhara makubwa ya kiafya ikiwemo magonjwa ya mfumo wa hewa, macho na moyo kutokana na moshi unaotokana na matumizi yake.

Kwa upande wao, mama lishe na baba lishe waliopokea majiko hayo wameishukuru Mbunge wao Antony Mavunde pamoja kwa msaada huo wakisema utawapunguzia adha ya kuni na mkaa, kuboresha mazingira ya kazi na kuongeza ufanisi katika shughuli zao za kila siku.

Usiku ule ulikuwa wa hofu na mateso makubwa. Nilikuwa nikielekea nyumbani kutoka kazi, lakini ghafla nilishambuliwa na watu wasiojulikana. Walinipiga na kunijeruhi vibaya, wakidhani mimi ni rahisi.

Kila kipande cha mwili wangu kiliumia, na hofu ilijaa moyoni mwangu. Nilihisi kama maisha yangu yamekumbwa na giza lisilo na mwisho. Lakini walikosea zaidi ya kuelewa.

Hawakujua kuwa nilikuwa tayari nimejipanga kwa hekima na busara. Nilikuwa na mbinu ya kipekee, njia ambayo walidhani haikuwepo.

Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la busara na la hekima, la sivyo mateso yangu yangeendelea bila mwisho, na dhihaka lao lingedumu.Soma Zaidi.
Nilipokuwa nikitazama shamba langu lililojaa historia ya familia yetu, siku moja nilikumbana na hali ya kustaajabisha na ya kuhuzunisha. 

Watu fulani walitaka kuninyang’anya shamba langu, wakitumia uongo na hila kuonekana kama mali hiyo ni yao.

Nilijaribu kuzungumza, kuwasilisha shauri kwa wazee wa kijiji, na hata kutafuta msaada wa kawaida, lakini kila jaribio lilishindikana. 

Hali hii ilinifanya nijisikie huzuni, hasira, na hatari isiyoonekana, huku kila siku ikizidi kuwa changamoto.

Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la hekima na busara, la sivyo shamba langu lingeishia mikononi mwa watu wasiokuwa na haki.Soma Zaidi.
Maisha ya kijiji chetu yalijaa hadithi na hekima za kale, lakini siku ile, tukio lisilo la kawaida liligusa kila mtu. 

Marehemu alifariki kwa sababu zisizo za kawaida, na kulikuwa na utata mkubwa kuhusu sababu ya kifo chake.

Baada ya mazishi, watu walishuhudia taambiko ya kipekee, ikiwemo kuzikwa kwa tochi kama ilivyokuwa desturi ya kale. Hali hiyo ilisababisha hofu na mshangao miongoni mwa kila mmoja aliyehudhuria.

Lakini jambo lililokuwa la kushangaza zaidi ni kwamba, siku chache baada ya mazishi, yule aliyemuua marehemu alifariki ghafla, bila hatia yoyote iliyoonekana.

Hii ilisababisha hofu kubwa, wakazi wa kijiji wakijiuliza kama kweli hekima na nguvu za kiroho zipo. Tukio hili lilionyesha wazi kuwa matendo mabaya hayana amani, na kwamba uharibifu unaweza kuja kwa haraka bila onyo.

Nilijaribu kuelewa sababu za hili, na baada ya kushauriana na wazee wa kijiji, niliambiwa kuna hekima maalum za kiroho zinazoweza kusaidia kulinda maisha, kutunza familia, na kuondoa hatari zisizotarajiwa.Soma Zaidi.
Nilipokuwa nikitazama sherehe ya mavuno ya maembe kijijini, nilishangaa kuona jamaa mmoja akijaribu kuiba maembe mengi haramu. Kila mmoja alishangaa, lakini hatimaye jambo hilo liligeuka tukio la kusikitisha.

Baada ya kula maembe yote aliyoiba, jamaa huyo alifura tumbo kupita kiasi. Hali ilikuwa mbaya sana, watu walikuwa wameshangaa, na machozi yalikuwa karibu kutokana na tukio hilo la aibu.

Nilijaribu kumsaidia kwa njia za kawaida kumpeleka kwa daktari wa kijiji, kumtuliza, na kumsaidia kunyonyesha maji lakini hali ilizidi kuwa mbaya.

Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la hekima na busara, la sivyo mateso yake yangeendelea, na tukio hili lingekuwa mbaya zaidi kwa jamii yetu. Soma Zaidi.
Nilipokuwa na matumaini makubwa katika ndoa yangu, siku moja maisha yangu yaligeuka ghafla. Dada yangu mdogo, ambaye niliyekaribisha kuishi nami Nairobi kwa muda, alianza kuonyesha tabia zisizozingatia heshima na uaminifu.

Hatimaye, aliniiba mume wangu, akivuruga amani na furaha ya familia yetu. Hii ilikuwa dhihaka kubwa kwangu; si tu kwa sababu ya mume wangu, bali pia kwa uaminifu na heshima yetu ya ndoa.

Kila siku nilijisikia huzuni, hasira, na kuchanganyikiwa. Nilijaribu njia za kawaida kuongea naye, kumshawishi, hata kujaribu kuondoa misugu lakini kila jaribio lilishindwa.

Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la hekima na busara, la sivyo upendo wangu ungeishia kudorora milele. Soma Zaidi.

 


Na Oscar Assenga,

Kutokana na kuporomoka  mmomonyoko wa maadili katika jamii, wanawake wa Kiislamu mkoani Tanga wameanzisha majadiliano na mikakati maalum ya kutafuta suluhisho la changamoto hiyo, sambamba na maandalizi ya kuupokea mwezi mtukufu wa Ramadhani.


Kupitia Taasisi ya Subra na Nusra, wanawake hao wameandaa kongamano maalum litakalofanyika Jumamosi hii katika Ukumbi wa Simba Mtoto, jijini Tanga, likilenga kuwaandaa wanawake kiroho na kijamii ili kutekeleza majukumu yao kwa kuzingatia mafundisho ya Mtume Muhammad (SAW).


Mratibu wa kongamano hilo, Bi Mwanakombo Abdallah Kipanga, alisema lengo kuu ni kutoa elimu kwa jamii, hususan wanawake, kuhusu umuhimu wa maadili mema na maandalizi sahihi ya mwezi wa Ramadhani.



“Huu si mwezi wa kawaida. Tunataka wanawake wapate elimu itakayowasaidia kuimarisha imani, malezi ya watoto na maadili ndani ya familia na jamii kwa ujumla,” alisema.




Alisema Mufti Abubakar Bin Zuberi anatarajiwa kuwa mgeni wa heshima, huku Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Balozi Dk Batilda Burian, akiwa mgeni rasmi. Hili litakuwa kongamano la nne kufanyika chini ya taasisi hiyo.


Bi Kipanga aliongeza kuwa jitihada hizo zimeungwa mkono pia na wanawake wenye asili ya Tanga wanaoishi Dar es Salaam, walioungana kuimarisha maandalizi ya kongamano hilo.




Miongoni mwa mada zitakazojadiliwa ni maandalizi ya wanawake katika mwezi wa Ramadhani, kujenga hofu ya Mungu, malezi bora ya watoto pamoja na umuhimu wa kuzingatia maadili mema katika maisha ya kila siku.


Aliwataka wanawake wa Kiislamu pamoja na wa dini nyingine kujitokeza kwa wingi kushiriki kongamano hilo.
Naye mjumbe wa kamati ya maandalizi, Bi Shamsi Diwani kutoka Dar es Salaam, alisema kuna haja ya dharura kwa wanawake kuungana kupambana na kuporomoka kwa maadili kunakojitokeza katika jamii.


“Ni wakati wa kusaidiana kurejesha maadili mema. Inasikitisha kuona mienendo isiyofaa na burudani zinazokiuka maadili zikizidi kushika kasi katika jamii,” alisema.


Aliongeza kuwa wako tayari kukaa pamoja na wanawake na kujadili kwa kina chanzo cha changamoto hiyo ili kupata suluhisho la kudumu.


Bi Diwani pia alielezea wasiwasi wake juu ya kuongezeka kwa migogoro ya ndoa na kuvunjika kwa familia, akisema si jambo jema kushuhudia baadhi ya wanawake wakisherehekea talaka.


“Hili si jambo la kufurahia. Ingawa talaka inaruhusiwa, si tukio la kushangiliwa,” alisisitiza.
Kwa upande wake, Bi Kibibi Saidi Kibao aliwahimiza wanawake kuhudhuria ili kunufaika na mafunzo yatakayotolewa na Mashehe maarufu pamoja na mke wa Mufti wa Kwanza, Sheikh Jumaa.

Naye mjumbe mwingine wa kamati, Bi Hawa Mweri, alisisitiza umuhimu wa wanawake wa Kiislamu kudumisha maadili mema wakati wote, si kipindi cha Ramadhani pekee.
MWISHO

 



Na Oscar Assenga, TANGA



BONANZA la Michezo maarufu kama Michezo Plus limekuwa na mvuto wa aina yake huku likifanyika kwenye viwanja vya Shule ya Sekondari Tanga Ufundi kwa kushirkisha wanafunzi zaidi ya 500.


Wanafunzi hao kutoka shule 50 Jijini Tanga ambao walishiriki katika Michezo ya Mpira wa Miguu,Pete na Wavu huku wakionyesha vipaji vya hali ya juu hatua iliyoshangiliwa na wadau wa michezo ambao walijitokeza kushuhudia bonanza hilo


Akizungumza baada ya kumalizika kwa Bonanza hilo Afisa Michezo wa Jiji la Tanga na Mratibu wa Michezo Plus katika mradi unaotekelezwa na Jiji hilo ukifadhiliwa nan a Botnar Foundation chini ya Programu ya Tanga Yetu Lucy Michael alisema kwamba waliliandaamaalumu kwa ajili ya kujenga mahusiano na kuwajenga kiakili.

Alisema kwamba bonanza hilo litakuwa linafanyika kila mwaka mara mbili ambapo hilo limeanza kwa kufungua mwaka na kukaribisha wanafunzi na watafanya bonanza la vijana.



Awali akizungumza Mratibu wa Bonanza hilo Haji Milao alisema kwamba nia na madhumuni yake ni kuwaweka watoto sawa kwa ajili ya michezo ya Umistashumta mwaka huu 2026 ikiwemo kutengeneza afya za watoto ili waweze kuwa sawa na watoto wakiwa vizuri kwenye michezo hata darasani watakuwa vizuri.



Naye kwa upande wake Mwanafunzi wa Shule ya Msingi Makorora Zuhuru Ally alisema michezo hiyo ina faida kubwa sana kwao kutokana na kwamba inawafanya wakutana na wenzao na kubadilisha mawazo jambo ambalo linawapa fursa.
Maisha yangu ya ndoa yalikuwa changamoto kubwa. Nilipata hisia kuwa upendo na uaminifu vilikuwa vimepotea baada ya mke wangu kuanza kuonyesha tabia zisizo za kawaida.

Mara nyingi nilihisi huzuni, kuchanganyikiwa, na hata kujiuliza ikiwa bado tupo kwenye ndoa ya kweli. Hali ilizidi kuwa mbaya nilipoona ishara kuwa mke wangu alikuwa akitengeneza uhusiano wa siri na gateman wa nyumba.

Nilijaribu kuzungumza naye, kujaribu kuelewa, na hata kujaribu kusahau alichokuwa akifanya, lakini kila hatua ilishindwa. Hali hii ilinifanya nijisikie kukosa nguvu, huzuni, na hasira. Nilijua lazima nifanye kitu cha hekima na busara, la sivyo ndoa yangu ingeishia kudorora kabisa.Soma Zaidi.
Nilipokutana na mpenzi wangu wa sasa, nilijua moyo wangu ulikuwa umepotea kwake. Tulianza mahusiano yetu kwa upendo wa kweli, lakini nilijaribu kumtambulisha kwa familia yake na kumpa heshima ya kulipa mahari, ila alikataa kabisa.

Nilihisi hasira, huzuni, na mara nyingine kuchanganyikiwa kwa sababu nilihisi upendo wetu ulikuwa hatarini kusambaratika.

Kila siku nikiwa naye nilijisikia huzuni kidogo, nikijua kwamba familia yake ilikataa kumpa ruhusa ya kuishi pamoja bila sababu halisi.

Nilijaribu kuongea, kujaribu suluhisho, na hata kuacha kujaribu mara kadhaa, lakini kila hatua ilikuwa imefungwa na kuta zisizoonekana.

Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la hekima na busara, la sivyo upendo wetu ungeendelea kudorora.Soma Zaidi.
Siku zote nilikuwa na shauku ya vitu vya ajabu na nguvu zisizo za kawaida, lakini sikuwa na wazo lolote kuwa kitambaa ndogo kilichopewa kama zawadi kinaweza kubadilisha maisha yangu kwa namna isiyotarajiwa.

Nilipokipata, nilihisi furaha ndogo tu, lakini ghafla mambo yasiyokuwa ya kawaida yalianza kutokea katika maisha yangu. Kila siku niliona mabadiliko madogo, lakini makubwa.

Familia yangu, ambao tulikuwa tukikabiliana na migongano ya muda mrefu, alianza kuonyesha mabadiliko ya kushangaza.

Hatimaye, niligundua kuwa kitambaa hiki kilikuwa na nguvu ya kipekee, kilichoweza kufichua siri zilizofichwa, kuleta amani, na kubadilisha hatma ya familia.

Nilijaribu kutumia hekima yangu mwenyewe, lakini mambo yalikuwa magumu kuelewa. Soma Zaidi.
Nilihisi maumivu makali siku nilipopata habari kwamba mume wangu aliniambukiza ugonjwa baada ya kuhusiana na wanawake wengine bila tahadhari yoyote.

Hii ilikuwa dhihaka kubwa kwangu; si tu kwa sababu ya ugonjwa, bali pia kwa uaminifu na heshima yetu ya ndoa. Kila siku nilihisi huzuni, hasira, na kuchanganyikiwa, nikijiuliza ni jinsi gani ningeweza kumrejesha bila kuharibu maisha yangu.

Nilijaribu njia za kawaida zungumza naye, kujaribu kumuelewa, na hata kumtetea lakini hakuna kilichofanya mabadiliko. Nilijua lazima nifanye kitu kingine, jambo la hekima na busara, la sivyo mateso yangu yangeendelea na heshima yangu ingepotea milele.Soma Zaidi.