Kulikuwa na kipindi ambacho nilianza kuhisi kama uhusiano wangu ulikuwa unabadilika polepole. Mwanzoni mimi na mpenzi wangu tulikuwa karibu sana. 

Tulizungumza kila siku, tulicheka pamoja, na kila kitu kilionekana kwenda vizuri. Nilikuwa naamini tulikuwa tunaelekea kwenye maisha mazuri pamoja.

Lakini ghafla mambo yakaanza kubadilika. Mpenzi wangu alianza kuwa tofauti. Alianza kurudi akiwa kimya, mazungumzo yetu yakapungua, na mara nyingi alikuwa anashika simu yake kwa siri. Wakati mwingine nilipomuuliza nini kinaendelea, alikuwa anakasirika au kubadilisha mada.

Kwa kweli iliniumiza sana. Kilichoniumiza zaidi ni kuona mtu ambaye zamani alikuwa karibu sana nami akianza kuwa distant. 

Nilianza kujiuliza kama kuna kitu nilikuwa nimekosea au kama kulikuwa na mtu mwingine kwenye maisha yake.

Kulikuwa na usiku nilikosa usingizi. Nilikuwa na mawazo mengi sana kuhusu future ya relationship yetu. Wakati mwingine nilijikuta nikilia kimya kwa sababu sikuwa nataka kupoteza mtu niliyempenda sana.

Lakini sikutaka kufanya maamuzi ya haraka. Nilijaribu kuzungumza naye kwa utulivu mara kadhaa, lakini ilikuwa ngumu kupata maelezo ya wazi. Polepole nilianza kupoteza furaha na confidence yangu. SOMA ZAIDI.
Share To:

Post A Comment: