Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati (anayeshughulikia mafuta na gesi),Dkt. James Mataragio ameipongeza Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (PBPA) kwa kuhakikisha nchi inakuwa na mafuta ya kutosha wakati wote.
Ameyasema hayo leo Aprili 21,2026 alipotembelea Banda la PBPA katika Maonesho ya Wiki ya Nishati yanayoendelea katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma.




Post A Comment: