Nilikuwa nimekata tamaa kabisa ya maisha. Kila asubuhi ilikuwa mzigo mwingine wa kuamka, na usiku nilijikuta nikilia kimya kimya bila sababu. Watu waliniona kama mtu mwenye huzuni ya kawaida au hata msongo wa mawazo, lakini ndani yangu nilihisi kitu tofauti kabisa. Sikuwa mimi yule niliyekuwa kabla mwenye matumaini, furaha na ndoto nyingi. Hali hii ilianza ghafla, bila tukio kubwa la maisha kuichochea. Nilidhani ni msimu tu wa huzuni, lakini kila siku iligeuka kuwa vita ya kiakili na kimwili.

Nilianza kujitenga na marafiki, nikakosa hamu ya kula, na mara nyingi nilitaka tu kulala au kutoweka. Nilipokwenda hospitali, madaktari walinitaja kuwa na ‘depression ya kiwango cha chini’. Nilijaribu dawa na ushauri nasaha, lakini hakuna kilichonisaidia kabisa. Ndipo nilianza kuhisi labda kuna kitu zaidi ya afya ya akili kitu kisichoonekana kwa macho.

Nilipoanza kuuliza na kuchunguza kwa kina, dada mmoja aliyekuwa rafiki wa karibu alinieleza jinsi hali kama yangu inaweza kuwa matokeo ya nguvu za kiroho hasa uchawi wa kunifanya nijinyime maisha.

Aliniambia pia jinsi watu huweza kuwekewa vitu ili washindwe kuendelea na maisha yao, wakate tamaa, na kujiua hata bila kuelewa kwa nini. Sikuchukua kwa uzito mwanzoni, hadi alinielekeza kwa Kiwanga Doctors ambao husaidia watu waliopitia hali kama yangu. Soma zaidi hapa 

Share To:
Next
This is the most recent post.
Previous
Older Post

contentproducer

Post A Comment: