Jina langu ni Mamiena, nilikuwa kwenye ndoa kwa muda wa miaka sita, tulikuwa tunaishi kwa furaha na upendo na mume wangu kwani ndoa yetu ilikuwa yenye upendo na kuaminiana kila wakati.

Nilimpenda mume wangu ajabu na sikutaka kuwa na ugomvi naye hata kwa bahati mbaya, siku ziliposonga, nilianza kukumbwa na shida ambazo kamwe sikuelewa kabisa.

Mwili wangu ulikuwa ukitoa jasho jingi lililoandamana na harufu mbaya, harufu ile ilikuwa mbaya hata zaidi kwani hata nikitumia manukato ama mafuta yenye harufu nzuri harufu ile mbaya haikuwa inakwisha.

Kila mara nilipokuwa kazini nilishanga kwa nini watu hawakupenda kuka karibu nami, na kila mara nilipowakaribia marafiki zangu pale kazini walisema kwamba nilikuwa na harufu mbaya isiyokuwa ya kawaida. Soma zaidi hapa 

Share To:

contentproducer

Post A Comment: