Waziri wa Madin, Dotto Biteko akimpongeza na kumkabidhi chet Mkurugenzi wa Masoko na mawasiliano wa kampun ya GF, Salman Karmali baada ya kusaini mkataba na STAMICO wa kuwakodisha mitambo ya kuchimbia madini wachimbaji wadogo nchini wakati wa mkutano wa wachimbaji wadogo wa madini jijini Dar es salaam
Mkurugenzi wa Masoko na mawasiliano wa kampun ya GF, Salman Karmali akibadilishana nyaraka na Mkurugezi Mtendaji wa Shirika la Madini la Taifa (STAMICO) Dkt. Venance Mwasse baada ya kusaini mkataba wa kuwakodisha mitambo ya kuchimbia madini wachimbaji wadogo nchini wakati wa mkutano wa wachimbaji wadogo wa madini jijini Dar es salaam jana.Kushoto ni Afisa Mauzo wa kampuni ya GF Trucks & Equipment’s Ltd , Peter William



Share To:

Post A Comment: